Ni kweli na hiyo ni kwa sababu hawapo serious na kazi ya comedy. KAMA COMEDIAN inabidi uumize kichwa hata usiku unaamka unawaza nitachekesha vipi kwa audience inayoenda kunisikiliza siku fulani. Lakin pia mchekeshaji lazima ajue vitu vingi saaana ikiwezekana kila eneo alijue kwa undani ili hata akitengeneza content awe na uwezo wa kuwaus kila jamii ya wau.