Тёмный

VURUGU ZAIBUKA! MKURUGENZI na Wanachama CHADEMA Nusura WAZICHAPE, Akataa KUPOKEA FOMU za WAGOMBEA... 

Global TV  Online
Подписаться 4,9 млн
Просмотров 143 тыс.
50% 1

VURUGU ZAIBUKA! MKURUGENZI na Wanachama CHADEMA Nusura WAZICHAPE, Akataa KUPOKEA FOMU za WAGOMBEA...
KATIKA hali isiyo ya kawaida, Mkurugenzi wa uchaguzi Moshi ameingia katika mgogoro na wanachama wa Chadema chanzo kikiwa ni fomu ya wagombea wa Chadema.....
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Опубликовано:

 

23 авг 2020

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 602   
@marymremi1241
@marymremi1241 3 года назад
,Mungu Mungu Mungu Mungu Mungu Mungu Mungu Baba ulieumba mbingu na nchi vyote vilivyomo Baba simama tusaidie uchaguzi wa amani tunakuangalia wewe hatutaona mwingine na jua unaweza njia zako hazichunguziki uliefanya njia ktkt ya bahari fanya njia zako Mungu wewe unatujua kuliko tunavyojijua unaona mpaka mioyo iliyofichika damu ya mtanzania yoyote ilindwe na wewe
@ramadhanimbulu6716
@ramadhanimbulu6716 3 года назад
Daah! angekuwepo Adamu mchomvu angefupisha mazungumzo tu...!! huyu mkurugenzi ni jeuri Sana.
@gasperswai6963
@gasperswai6963 3 года назад
Mkurugenzi tumia hekima na wajibika, ni accountability yake hao ni wateja wako kujua form ni feki a u receipt ni wewe, jua receipt inatumika ku-acknowledge payment, na wewe mkurgenzi ndiyo process owner, unavyo Tiba Shaka Nani wa kutoa wajibu hayo zaidi ya ofisi yako?
@mtengiefoya2835
@mtengiefoya2835 3 года назад
Pmpmpm
@saidasimba9979
@saidasimba9979 3 года назад
Kwani kawajibu nini si amesema wawasilishe vielelezo. Tatizo liko wap.
@mariamhassan1894
@mariamhassan1894 3 года назад
Huyo anatak kichapo ajui hapo ndio kaskazn chadema ndio kwao
@denismassawe9255
@denismassawe9255 3 года назад
Chadema mtakaa sanaa
@hassankurwa464
@hassankurwa464 3 года назад
Waende Polisi Mkurugenzi Hana taaluma ya wanacho kidai
@damsonwillison435
@damsonwillison435 3 года назад
Huyu mkurugenzi Ana kiburi Mi sio Chadema lakini kwa hili mkurugenzi unakera
@abassmtemekelemkovizuritv7231
@abassmtemekelemkovizuritv7231 3 года назад
Piga makofii ya maan upuuz kama huo wanini mnanlea hvo
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 3 года назад
CHADEMA kwa kuzua maneno huwawezi. Unamsikiliza kuwa waliambiwa na NCCR mageuzi Wanachakachua mwenyewe kisha waanazua kesi hawa watu ni wajinga sana
@verdianabanabi5943
@verdianabanabi5943 3 года назад
Kweli mkurugenzi anakela ila hajui cheo siyo dhamana
@mathiasmsese6128
@mathiasmsese6128 3 года назад
hapana hawa wazee wanataka mbango mbona mkurugenzi amewaambia wapeleke tena aliwaambia muda mrefu tu
@amosikabalata6381
@amosikabalata6381 3 года назад
Ndugu yangu unajua hawa watu ambao wako upande wa utawala wana jeuri sana
@victorjames3730
@victorjames3730 3 года назад
Huyu msimamizi anachokitafuta atakipata! Huu sio uchaguzi wa serikali za mitaa
@martinemaganga2546
@martinemaganga2546 3 года назад
Tatizo ni kwamba wanaochukua form wanamchanganya kwanini wao mara aliyechukua form siyo yeye
@givenkigahe8116
@givenkigahe8116 3 года назад
@@martinemaganga2546 acha ujinga ww
@laghanganuwagi7602
@laghanganuwagi7602 3 года назад
We ulijuaje kwamba wsnamchanganya?
@verdianabanabi5943
@verdianabanabi5943 3 года назад
Mkurugenzi tumia busara katika kazi yako na hekima usije ukaleta shida
@ceciliajimmy5652
@ceciliajimmy5652 3 года назад
Asanteni sana kina mama kwa ujasiri wenu.
@lukagulagekidehele5788
@lukagulagekidehele5788 3 года назад
Mkurugenzi wa Moshi ujue kuna utawala wa mpito nchi hii haina mwenyewe, mwenywe ni Mungu tu. Utakuja jutia kijana
@kibotvkibo7877
@kibotvkibo7877 3 года назад
Duh shida nn wakurugenzi mbona mnawatesa sa wapinzani jmn!!!
@msatibongonyuzi14
@msatibongonyuzi14 3 года назад
Ndomana tulipendekeza kwamba msimamizi wa uchaguzi asiwe mkurugenzi mana ni walewale
@leokamil6284
@leokamil6284 3 года назад
Umeona eee
@barakanatus5676
@barakanatus5676 3 года назад
Ujaelewa hapa yaani form yeyote wanasema feki sasa Mkurugenz ataongea nini
@williamkayanda603
@williamkayanda603 3 года назад
Hali ii kuludisha fom kutangazwa je
@williamkayanda603
@williamkayanda603 3 года назад
Hali ii kuludisha fom kutangazwa je
@jaksonjulius9010
@jaksonjulius9010 3 года назад
@@williamkayanda603 hatariiy
@solemba595
@solemba595 3 года назад
Hawa Viongozi gani wasio na hekima, baadae wanasema tutangulize Mungu, yaan aibu tupu
@philipgerald9646
@philipgerald9646 3 года назад
Hawa wakurugenzi mwaka huu tutaimba nao iyenaiyena ama zetu ama zao
@aidanhamza4656
@aidanhamza4656 3 года назад
Uwe mbele mbele ili wakutegue kiuno mkeo wakulele wenzio
@mwambamkombozi4672
@mwambamkombozi4672 3 года назад
Aidan Hamza mbona jina alifanani na majibu unayomuandia mtu au jina bandia?!!
@nabothngailo6594
@nabothngailo6594 3 года назад
Ndo.maana.tulikataa.wakulugenzi.kusimamia.uchaguzi
@aidanhamza4656
@aidanhamza4656 3 года назад
@@mwambamkombozi4672 jibu lenye uhalisia kabisa hilo yeye anasema ataimba naye iyena iyena wakat anao wapigania wao wapo makwao wanakula raha , sasa ndio namwambia awe mbele mbele kule kwenye kupamba ili akione cha moto c anataka kuimba naye
@hadija846
@hadija846 3 года назад
Haahaaaahaaaaa nyimbo mzuri sana iyenaiyena ama zetu ama zao 👍😍
@augustinemwalongo2580
@augustinemwalongo2580 3 года назад
Mbona vizingiti vinakua vingi kwa wagombea wa chadema jaman!!!🤔🤔🤔
@mussasualehe7146
@mussasualehe7146 3 года назад
Yaani wametangaza kukubalika leo wameanza wizi. Si wanapendwa? Figisu za nini?
@jafariakili2360
@jafariakili2360 3 года назад
Yaaan
@geraldgodsontv7982
@geraldgodsontv7982 3 года назад
Huu uchaguz wa mwaka huu Mungu tuvushe😭😭
@fattyjoe1911
@fattyjoe1911 3 года назад
😭😭😭😭🤧😤
@saningotobikongotiek8072
@saningotobikongotiek8072 3 года назад
😭😭😭😭😭😭😭😂😂🤓
@msetikebwasi6895
@msetikebwasi6895 3 года назад
Amna ni kawaida tu.
@bonnyngowo7567
@bonnyngowo7567 3 года назад
Kwa mambo ya kipuuzi kama haya tutawezaje kudumisha amani.Huyu mkurugenzi aache kucheza na haki za watu wa Moshi
@duoxmasisa6529
@duoxmasisa6529 3 года назад
Hapa hakuna mkurugenzi,sasa FOMU c za kwako hutaki kupokea huyu itakuwa alitaka kuwachomekea ili bde aje awakatae sasa pale ishu ishabumbuluka atakufa nazo mwenyewe
@msuo7215
@msuo7215 3 года назад
Mwaka huu ccm wajiangarie sana
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 3 года назад
kbsaa kabsaaa maaana wanaaanhaika sanaaaaa!
@petermwacha9909
@petermwacha9909 3 года назад
CCM wanahusikaje? Nyie mnatengeneza comed zenu mnasumbua WASIMAMIZI wa uchaguzi
@gideonstephen6879
@gideonstephen6879 3 года назад
Hi Nicole mbinu mpya na sct juzi ubungo nao wakafanya wanapeleka barua haina hata reference namba halafu mgombea mwenyewe ni mwna sheria huu ni utoto
@msuo7215
@msuo7215 3 года назад
@@gideonstephen6879 mh ni shida kwakweli
@naomimabula2660
@naomimabula2660 3 года назад
Mkurugenzi uelewa mdogo sana jaman, hilo suala sio la kifamilia, ni dhamana tu umepewa, sikiliza Wananchi
@margarethalyimo5475
@margarethalyimo5475 3 года назад
Kama CCM wanapendwa, hizi figusi zote za nn??
@mlapikauma7660
@mlapikauma7660 3 года назад
Huku kwetu tumetiliwa mageti barabarani..Hahaaa hofuuuuuuu
@mathiasmsese6128
@mathiasmsese6128 3 года назад
ukiondoa ushabiki wa vyama hawa wazee wamekua na mbango zisizo na maana. walitakiwa waendee kwa police waconfirm
@sweetbertrwiza5982
@sweetbertrwiza5982 3 года назад
Apo sasa!!!
@babylonyNgwembe
@babylonyNgwembe 3 года назад
CHADEMA wanatakiwa wajfunze zama zmebadlka na siyo kama awali kutafuta kiki za kujiboost
@emmanuelndaki7942
@emmanuelndaki7942 3 года назад
Mkurugenzi ahahoja ya msingi. Msikilize anasema formu ziko sahihi. Kama unashaka nenda polisi wathibitishe theni rudisha lakini kwa kibali cha polisi. Sasas shida iko wapi? Mkurugeni uko vizuri sana kimaelezo hao wahuni achana nao wafate taratibu.
@ndimesady7467
@ndimesady7467 3 года назад
Hawa jamaa wanatutesa sana ila ipo siku wataumbuka tup pamja na chadema wawo wangake tunataka mabadiliko ccm tumeichoka jaman
@petermwacha9909
@petermwacha9909 3 года назад
Vitu vingine vinatengenezwa na vyama vyenu kisha baadae wanaanza kueneza uongo. Angalia yule mtu wa ACT aliekamatwa kule KIBAMBA.
@timorpathsullusi7055
@timorpathsullusi7055 3 года назад
Wapuuzi hao, si wafate taratibu za Tume, wenyewe wanabishania nje ya ofisi. Na majibu yao watapewa hovyohovyo
@victormneney8789
@victormneney8789 3 года назад
Mnapo jibu humu comment mjue kuna vipanya pandikizi vyakutetea upuuzi kama vile vya hai leo vinanyea ndoo kisa buku ten
@lindambilinyi6253
@lindambilinyi6253 3 года назад
Tumeichoka,wasubil oct 28 ccm tutawanyoosha shenzy zao
@kiandangulwi3546
@kiandangulwi3546 3 года назад
Hatari sana. God help Tz, Tuondolee wahujumu haki wote hata kama wanania njema kwa mawazo yao
@meshackngujati2905
@meshackngujati2905 3 года назад
Mwacheni tu atawatambua tu
@Tanzaniawildcats
@Tanzaniawildcats 3 года назад
Dah noma hii
@gaspermatee3970
@gaspermatee3970 Год назад
Kama ni kenya 🇰🇪 huyu jamaa sijui kweli form tu
@josefusamki8294
@josefusamki8294 3 года назад
Huyu mkurugenz hatufai moshi tunaongozwaje na mtu kma huyu?
@mohamedwarsame3073
@mohamedwarsame3073 3 года назад
Mpigeni Tu.Mshenzi Mkubwa
@azizawadh5973
@azizawadh5973 3 года назад
Ndio maana inatakiwa mabadiliko
@victormneney8789
@victormneney8789 3 года назад
Katiba mpya tume huru
@isaacsongoro6278
@isaacsongoro6278 3 года назад
Nimemfatilia sana mkurugenzi, nimegundua chadema mnakwenda kwa mihemuko, na jazba mnatakiwa kuwa watulivu mpewewe maelekezo sahihi
@charzwilson9494
@charzwilson9494 3 года назад
Chunguza akiriyako Kisha Pima ujue Kama hujanasiriwa na maisha
@fahamnitwahir9249
@fahamnitwahir9249 3 года назад
Aisee kiukwel mm huyu mkurugenz ningkuwa hpo angerud nyumbani na maundu au meno hana
@xerxespersian1384
@xerxespersian1384 3 года назад
AIBU KUBWAAAAAAA ME NAWAOGOPA BINADAM MAANA WALIMUUA YESU PIA WALICHUKIWA NA MARAIKA MKUU WA BODI YA MASIFU YA MUNGU NA NDIO MAANA NAWAOGOPA BINADAMUUUUUUUU🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🛌
@shanelisessoa6319
@shanelisessoa6319 3 года назад
Huyu niwakupiga na inatakiwa apigwe kabla ya uchaguzi na ikibidi akajue cheo nidhama siyo uungu
@shanelisessoa6319
@shanelisessoa6319 3 года назад
Ndugu zangu hawa Miungu watu ndio watakao tuleta vita vya wenyewe kwawenyewe,na mwisho nikuwa ng'oa mapema kwa nia ya kuleta amani ya nchi, Huyu niwa kushughulikia yawezekana nimaelekezo
@kaishozigodfrey3476
@kaishozigodfrey3476 3 года назад
Hujielewi kwani maelekezo ya mkurugenzi hayajaeleweka? Tatizo tushajua tu kuwa CDM wazee wakiki. NCCR na ACT unamaana hawajielewi? Pumbavu CDM fuata kanuni na taratibu za nchi fala nyinyi
@fattyjoe1911
@fattyjoe1911 3 года назад
🏋‍♀️🏌🏻‍♂🤸🏿‍♂🤺🤣🤣🤣
@willymgogo6975
@willymgogo6975 3 года назад
Tendeni haki tulinde amani
@danielgiiti7295
@danielgiiti7295 3 года назад
Wee fara tu
@agneskigongo217
@agneskigongo217 3 года назад
Mwaka huu hakika tutashuhudia mengi
@sponsor7882
@sponsor7882 3 года назад
Sasa basi
@allydilunga9621
@allydilunga9621 3 года назад
Dah 😯😯😯😯
@raphaelsamwel2640
@raphaelsamwel2640 3 года назад
Ndio matatizo ya kuwa na makurugenzi makada ya ccm !! Unazi wala hana sifa za kiongozi!! Magufuli umetukosea sana kwa huu mtindo wa kuteuwa nafasi za utendaji kama ukurugenzi makada wa ccm !! Haibu!!
@exuperiusmutabuzi7218
@exuperiusmutabuzi7218 3 года назад
Huu ni ushuhuda tosha kuwa Tanzania haijawa tayari kwa uchaguzi huru. Tume ya uchaguzi ni upuuzi mtupu. Bila katiba mpya tutakuwa tunawalaumu bure hawa wakurugenzi. Wapo kutimiza matakwa ya chama chao tawala. Inasikitisha sana.
@robertsemaganga9168
@robertsemaganga9168 3 года назад
Tunduuuuuuuuuuuuuu.😂😀😁😂😀😁🚵🚵🚵🚵 kubwaaaaaa sana
@ramadhanimahongole8764
@ramadhanimahongole8764 3 года назад
huyo mkurugenzi ni mwizi kama mwizi mwingine yoyote muiba kuku pumbavu zake
@ezekielrutendeli1325
@ezekielrutendeli1325 3 года назад
Hivi huyo mkurugenzi anafanya hivyo kwa ili iweje ?.Au anatekeleza maagizo toka juu?.Yale yale ya uchaguzi wa serikali za mitaa yameanza.
@babylonyNgwembe
@babylonyNgwembe 3 года назад
Uyu jamaa mpuuz sana wewe mnapeleka shda police alafu unataka urudishe sasa msimamz atapokeaje form so lazima ithibitshwe tena na police ivyo wamejchanganya wenyewe na wakat mwngne wanapga goli la MKONO wenyewe kwa upande wapli kwan wao nani mana malalamiko n mbwembwe kbao kla siku
@alphonsengowi9503
@alphonsengowi9503 3 года назад
Huyu mjinga ni wa kuondoa hapa Kilimànjaro. Mpumbavu mmoja anaweza kuhatarisha amani ya nchi yetu.
@jeremiadaudi5780
@jeremiadaudi5780 3 года назад
Hao wapumbavu wa pigeni hata mawe maana washenzi kweli
@jamesngonndo6672
@jamesngonndo6672 3 года назад
Gombeneni tuuu
@johnsonkiwia6577
@johnsonkiwia6577 3 года назад
Mkurugenzi anaongea na kupangusa mdomo kwa ulimi kama nyoka😁😁😁 dalili za hila. Unavuruga uchaguzi kwa sababu za kijinga kabisa. Kwani hizo formu hazina number? Pokea formu kwa number ya copy uliyobaki nayo kwenye copy book eti kwa kuwa wameshaenda polisi hupokei tena real?
@sniperbogo6210
@sniperbogo6210 3 года назад
Ccm ndio hiyo inaenda kufa yenyewe kiulain yan
@abassmtemekelemkovizuritv7231
@abassmtemekelemkovizuritv7231 3 года назад
Alooo mm nicingekuvumilia hata dkk 2
@allenmeta1851
@allenmeta1851 3 года назад
Huyo mkurungenzi yuko sahihi ,yeye ndiye aliyewapa hizo fomu wao wanadai ni feki na wameripoti kituo cha polisi,hivi,swali LA kujiuliza kati ya mkurungezi na hao wagombea ni nani mwenye ujuzi na hizo fomu,isitoshe hakuna aliyeiona hiyo fomu,tuwe na akiba ya maneno itatusaidia!
@denismassawe9255
@denismassawe9255 3 года назад
Wewe ndio uliowapa walipoona haziko sawa kwanini hawakurudi kwako wakaenda polisi ??? Kwani polisi ndio waliowapa?? Wangekuja kwako kwanza wakuoneshe uzione kama sio zenyewe ndio aangeenda lakini sasa wameshaenda huko halafu ndio wanakuja kwa mkiirugenzi kulalamika waendelee na polisi kelele za nini si ndiko walikoona watapata msaada. Hawa chadema bwana hawaa taabu sana
@mussahuyya7775
@mussahuyya7775 3 года назад
Hivi katiba yetu IPO wazi kuwa kila MTU anahaki ya kuchaguliwa na kuchagua sasa hata mambo yanayoletwa ya kuwanyima watu haki ya kugombea kwa kigezo cha fomu ni batili kabisa mgombea amepita kwenye mchakato wa chama na kimewapitisha mkurugenzi anaonekana ameandaa mgombea wake lazima apite,Hii ndiyo inaleta tafasiri kuwa maamuzi mengine ya MAHAKAMA unaona Hana shida yanaleta migongano inaonekana wazi wasimamizi wengi wa uchaguzi ni wana chama wa chama kilicho kwenye kinyanganyiro ni vipi haki itatendeka,hili majaji wa MAHAKAMA ya rufaa ndiyo kwenye majibu
@sebastianmwantuge5597
@sebastianmwantuge5597 3 года назад
Huyo mkurugenzi hajui kwamba anayempa jeuri hiyo ni mpapai,atakuja kukiona cha moto akiharibu uchaguzi
@adammbaruku4434
@adammbaruku4434 3 года назад
Sikuona sababu ya kugombana na mkurugenzi kabla ya kujaza hizo form alizowapa na kuzirudisha akizikataa ndiyo muanze kesi , sasa mnaanza kulinganisha na za vyama vingine sijui mliziona wapi, tulizeni mizuka ndugu!!
@mtanzaniamzalendo7001
@mtanzaniamzalendo7001 3 года назад
Huyu Mkurugenzi gani kiazi,tunawatoa wapi Hawa aina ya wakurugenzi .mnatuabisha Sanaa ktk serikali. Huwezi kujianika km umeharibu
@saymongwaltu9546
@saymongwaltu9546 3 года назад
Mmmh
@magrethsomi4318
@magrethsomi4318 3 года назад
Ndugu haya ni maisha tu, kila apandacho mtu ndicho atakachovuna. Tutendeane wema.
@kingtommdogo6232
@kingtommdogo6232 3 года назад
Nikupe kazi nikupe nyumba nikupe gari Kisha mtangaze mshindi! Nakufuta kazi
@salumuhamissi3492
@salumuhamissi3492 3 года назад
Ccm inakata roho bado kuzikwa tu
@adrophwilliam3225
@adrophwilliam3225 3 года назад
Sasa maziko yamesha tangazwa.
@kisiriryoba710
@kisiriryoba710 3 года назад
Tunakoelekea Si kuzuri. mtaingiza nchi hii kwenye matatizo kwa kujitia upofu. mkurugenzi wewe ndiye kiongozi unayesimamia zoezi hilo alafu watu wanakuja kwako kama kiongozi badala ya kushughulia malalamiko yao unafanya upuuzi mizaha na kujitia upofu. kesho mahakamani utajibu nini? au fujo ikitokea usalama ukaharibika utasema nini hapo.
@kambamazig02024
@kambamazig02024 3 года назад
Mkurugenzi mama ana kichwa kigumu sana haelewi anachokifanya, yupo yupo tu na kiburi kazi itamshinda.
@thieryniyonkuru5023
@thieryniyonkuru5023 3 года назад
NCCR- waliwambia form siyo sahihi indeed 🤨🤨🤨
@wolframkifaru5885
@wolframkifaru5885 3 года назад
Utajibu mbele za Mungu wako
@ephraimrugabandana773
@ephraimrugabandana773 3 года назад
Uongozi wa juu tafadhari angalieni haya mambo yanatia aibu nchi yetu pia inaonyesha picha isiokua nzuri kwataifa letu!!! Machafuko mengine mtasababisha wenyewe na sio wapinzani!!!
@aminaabdallah7702
@aminaabdallah7702 3 года назад
Nyinyi chadema hamridhiku n'a chochote pahali mlipo mnaleta balaa
@OLELEMBRICE
@OLELEMBRICE 3 года назад
Chadomo vilaza mnaimbiwa muwasilishe receipt manaleta longo longo,ka mmetengeneza receipt na form zenu atajuaje,sasa form mmepeleka police unataka zipokelewe na msimamizi mlio mtuhumu,kwann msirudi police wawape mwongozo,alaf mna bahati hamja kutana na mtu kama mimi,mmekutana na mtu mpole kidogo.
@mathiaszakaria7052
@mathiaszakaria7052 3 года назад
Hawa ndo wanaharibu uchaguzi,kwa hakika inauma Sana maana ukiangalia huyu mtu anakabidhiwa majukumu ya kusimamia uchaguzi ilihali hajateuliwa na mkurugenzi wa tume ya uchaguzi,kiukweli Mungu atusaidie siku moja haya yasionekane
@khamissnassor1462
@khamissnassor1462 3 года назад
CCM mnachokifanya mungu anawaona
@noahmboma1759
@noahmboma1759 3 года назад
Dah, lakini tukumbuke kuwa baada ya uchaguzi kuna maisha yanaendelea
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 3 года назад
kwanini form zenye utata ni za wapinzani tu!!!!!!?????
@fattyjoe1911
@fattyjoe1911 3 года назад
Jamani eti hata mitambo nayo risiti inaprint ya ccm tu yani mpizini akifika zinagoma ,ccm je mitambo inazindiku🤣🤣🤣🤣🤣 jamani tusubiri movie
@azizawadh5973
@azizawadh5973 3 года назад
Mkurugenzi anasema muda imeisha hatoi huduma
@lindambilinyi6253
@lindambilinyi6253 3 года назад
Hapo xx
@yusuphmohammad1385
@yusuphmohammad1385 3 года назад
Sababau wanakihoro cha kujaza wenzao wametulia na wamepewa semina juu ya hizo fomu
@msetikebwasi6895
@msetikebwasi6895 3 года назад
Hatareeeee sana.
@kasalimareju6052
@kasalimareju6052 3 года назад
Watanzania wenzangu tulieni tudhuma aijawai kushinda kwamwe ina mwisho naisi mwaka huu Mungu kaisha tuandalia Daudi alie muua goriati watu wakafulaihi
@geofreymollel6973
@geofreymollel6973 3 года назад
Kipindi iki wakurugenz mtakula mlikopeka mboga mmezoea kutupeleka mnavyotaka ss mtajua hii nchi ni ya watanzania wana haki yakudai haki zao
@rammyrichtv6913
@rammyrichtv6913 3 года назад
Mkae mkijua mnaishi na wanajamii ambao mnawaletea miyayusho.Huyu mkurugenzi mpumbavu sana
@hilarykinyekile7433
@hilarykinyekile7433 3 года назад
Mungu ingilia Kati Mambo ya hovyo kabisa haya,nimambo aibu kwa taifa,huu mchezo mchafu,haki itendeke Kama wanadamu,Kweli Kuna binadamu na wanywadamu,Mungu anawaona!
@mashakamwashilindi5607
@mashakamwashilindi5607 3 года назад
Viongozi wa dini semeni na hii,AMANI ipo apo kwa mkurugenzi.
@ambasonkalenga2047
@ambasonkalenga2047 3 года назад
Wasemakweli nimashehe waliopo kifungoni tu wengine wote wachumia tumbo kula zaka za masikini tu kumbuka wengine walipewe hata pesa za escro
@wolframkifaru5885
@wolframkifaru5885 3 года назад
Polisi sio watoaji wa fomu
@wahidkombokhamis4330
@wahidkombokhamis4330 3 года назад
Tume ndiyo inayoanzisha vurugu na sio polisi, mtazamo tu
@afredyohana356
@afredyohana356 3 года назад
Kwakweli cjui hiki kiburi wanakipata wapi wakurungezi ira Mungu atawahukumu tu
@ceciliajimmy5652
@ceciliajimmy5652 3 года назад
Mteule huyoooo, halafu ana kiburi sanaa. Cheo ni dhamana.
@zubeirali6323
@zubeirali6323 3 года назад
Zichukuwe mkurugenz km ishu kuchukuw half uzitie debe la taka basi kazi ishaisha si anatk uipokee tu.
@zenassylvester125
@zenassylvester125 3 года назад
Tatizo la watanzania tukipewa maagizo hua hawataki kufwata mnaambiwa kama kuna hoja wasilisha mnazidisha maelezo meeengi
@jaksonjulius9010
@jaksonjulius9010 3 года назад
Kiraza mkubwa sana huyu mkurugenzi.Polis wanausika na nini hapo.
@mulangilakabwarebenson5128
@mulangilakabwarebenson5128 3 года назад
TATIZO WA CHADEMA HAMKO WASKIVU HATA KIDOGO.
@titosaid9027
@titosaid9027 3 года назад
Hatima ya nchi yetu imekuwa mkononi mwa wateule kweli tunahitaji katiba mpya bila hvo tutabuluzwa Sana ??
@dullahdullah5499
@dullahdullah5499 3 года назад
Aiseh
@sandraasafisana811
@sandraasafisana811 3 года назад
Kiongozi Kama huyu hata Sijui niseme anafaa au hafai maana kid ngozi wetu wa nchi kashasema sheria zitekelezwe ili kusiwepo malalamiko sasa huyu anataka kutuchafulia jina.
@kissirukuba6538
@kissirukuba6538 3 года назад
Wanapokea maagizo kutoka wap?????
@francisrogears528
@francisrogears528 3 года назад
Hawa macccm yalisha shindwa wana tumia dhambi
@temkezatv4381
@temkezatv4381 3 года назад
Nyie chadema Ni watu wa madrama Sana trick zenu tumeshazisoma tayar na kura hamtozipata
@amossemela362
@amossemela362 3 года назад
Idiot🚮🚮🚮
@jeremiadaudi5780
@jeremiadaudi5780 3 года назад
Ndugu zangu hawa wakurugenzi wote ni makada wa ccm sasa wa amini hu mwaka damu kwa damu
@bonifacekalima5273
@bonifacekalima5273 3 года назад
Wastulazimishe kuunga mkono juhudi za rais,, bila upinzani hata huyo rais angeendelza madudu... upinzani umefichua mengi CCM wameifilsi saana nchi hii na kuingiza nchi kwenye madeni bc ya ajabuajabu tu
@jeremiadaudi5780
@jeremiadaudi5780 3 года назад
Subirini
@jeremiadaudi5780
@jeremiadaudi5780 3 года назад
Wao wameapishwa kuto tangaza wapinzani watakao shinda sasa nasi tumeapa kufa kabla ya siku zetu maana uwe mwema utakufa uwe shetani utakufa tu, sasa bora tufenao
@bongo255tv7
@bongo255tv7 3 года назад
Tutachoma nyumba zao
@aidanhamza4656
@aidanhamza4656 3 года назад
Jidanganya tu tena ww ndo inatakiwa uwe mbele mbele ili umwagwe ww damu kwanza ili tukuone shujaa wetu ukitapika damu, unajifanya unauchungu sana wakat hta mia huna
@magaumasiaga3120
@magaumasiaga3120 3 года назад
Aibu sana ila kumbuka hakuna mwenye hati miliki ya hii inchi
@philemonmachange1853
@philemonmachange1853 3 года назад
Yani ndy mnategemea huyu mtu awatangaze kama mkishinda 😳😳 nisawa na kusubiri Meli airport
@innocentnkya5916
@innocentnkya5916 3 года назад
Mkurugenzi kaswaki mdomo unanuka🥱
@azizawadh5973
@azizawadh5973 3 года назад
Polisi hawatoi fomu mkurugenzi huo ujanja uliofundishwa ni wa kipumbavu. Iyo fomu sio ubwabwa kua ukishapakua haurudi chunguni kwa kua una mchuzi. Unafanya makusudi na unajua unachokifanya. Huo ni mkakati kharam
@festusgwota2998
@festusgwota2998 3 года назад
Hili Ni kada ndani ya koti la mkurugenzi
@samwelsimon9278
@samwelsimon9278 3 года назад
Ifike maali watanzania muache maneno mengi wakurugenzi kama hawa nikuwa zibuwa fasta mtaiyona heshima
@mwambietv7614
@mwambietv7614 3 года назад
Ndo maana tunataka katiba mpya hawa wakurugenzi hawafai kuwa wasimamizi kabisaa wapo upande mmoja wa ccm hawa
@saantz5135
@saantz5135 3 года назад
Form zimefifia
@hossainom7632
@hossainom7632 3 года назад
Flance. Naselemani. Chungeni. Vinywa. Vyenu. Kwani. CCM. Hapoimefkaje
@givenkigahe8116
@givenkigahe8116 3 года назад
Kusoma hujuwi je hata picha huwoni acha ujinga ww
@monicachoga5878
@monicachoga5878 3 года назад
Rais ni Mmoja tu Mh J PM CCM
@victormneney8789
@victormneney8789 3 года назад
Kwani chadema wanaongoza serikali we vipi mtz kweli?
@nicholasedward2658
@nicholasedward2658 3 года назад
Duh! Hatari sana
@christianmumwi3166
@christianmumwi3166 3 года назад
Ok
@gastordominic410
@gastordominic410 3 года назад
Kwan kazi ya police ni kuthibitisha fomu halal au siyo halali?
@richardnjau9706
@richardnjau9706 3 года назад
Duuh! Hapo kuna kazi!
@fredrickkinyaha8735
@fredrickkinyaha8735 3 года назад
Mkurugenzi huyuu mbona anakiburi xnaaa asijisahau aliyemteua mdaa wowote anaweza mtumbua asivimbe kichwa
@agustinomakaranga1196
@agustinomakaranga1196 3 года назад
Yaani hilo taaghira anafikiri moshi watu ninwajinga tutampwela ashangae
@petsmore9955
@petsmore9955 2 месяца назад
Hilo kurugenzi ni lichawa. Li chukuliwe hatua za kisheria.
@charlesdonath8792
@charlesdonath8792 3 года назад
Huyu mkurugez nikilaza jaman,,😂😂😂😂
@africanhunter1245
@africanhunter1245 3 года назад
hapa kazi tu
@josurelauwo7104
@josurelauwo7104 3 года назад
Kilichobaki ni vita tu Ili ufike wkt wa kuheshimiana hakuna njia nyingine zaidi ya iyo tu
@khadeejaabdullah7083
@khadeejaabdullah7083 3 года назад
Hekima na busara zinahitaji
Далее
Qalpoq - Kichkina tabib (hajviy ko'rsatuv)
30:41
Просмотров 285 тыс.