Danielkanso hii speaker anajaribu kufunikafunika na umewapa Pole kw kufunikafuka,nikuvulia kofia boss,zetu dua kw wa Tanganyika, Tozo zinawahusu sana mtajijeijei,
Hivi huyu nape kwa nini anajitoa mshipa kuongezea mambo ambayo hayaingii akilini. Hapo hakuna chochote alichoongea ni ulaghai tu. Hata mtoto mdogo atagundua kwamba Nape hakuwa na hoja yoyote hapa. Ni wa kufukuza tu .
Nape akiwa waziri anaruhusiwa kuvunja kanuni za bunge, mbona akiambiwa taarifa na hata spika akimkataza yeye hatii. Nimemuona hata Masauni naye hivyo hivyo.
Huo ndio mchezo unaoendelea: kuhusu utaratibu, taarifa,muongozo, kanuni, ili kupotezea hoja tu! Nani ni nani kati ya bunge,serikali,na CAG?! Waziri Nape Wabuge wa chama chako ni wengi utashinda tu kwa ndiyooo...
External Auditor (CAG) hutoa taarifa yake inayohusu uandaaji, uandishi wa taarifa bora kufuata viwango vya kimataifa. Suala la wizi, ubadhirifu, matumizi mabaya ya mali, rasilimaliwatu, rasilimali fedha nk ni jukumu le utawala yaani Mamlaka. Taarifa ya ukaguzi inaweza kuwa safi ilihali kuna ubadhirifu au wizi.