Тёмный
No video :(

"WACHINA WANAKUJA KAMA SHAMBA LA BIBI HAPA, KWAO WANAZUIA" - MBUNGE SHABIBY ACHARUKA 

Global TV  Online
Подписаться 4,9 млн
Просмотров 39 тыс.
50% 1

"WACHINA WANAKUJA KAMA SHAMBA LA BIBI HAPA, KWAO WANAZUIA" - MBUNGE SHABIBY ACHARUKA
Mbunge Shabiby leo mei 31 amesimama bungeni na kuchangia hoja yake katika bajeti ya wizara ya mambo ya nje.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Опубликовано:

 

30 май 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 170   
@noelnoel4916
@noelnoel4916 2 года назад
Shabib Allah akulinde kwa uzalendo na ukweli mimi niko ulaya nimemjengea mama nyumba na waweka vizuri ndugu zangu na mimi huko Ndio nyumbani
@jiwekichwa2857
@jiwekichwa2857 2 года назад
Bro una roho safi ,Mungu azidi kukubariki.
@deohaule8161
@deohaule8161 2 года назад
Kweli kabisa, Serikali ya Filipino ina train manesi alafu ina wapeleka nchi za ulaya kufanya kazi. Hakuna nchi inajali masilahi ya Tanzania na ndio maana tupo kama kichwa cha mwendawazimu, kila mtu anajifunza kunyoa nywele. Serikali ya kichina ni baguzi kupindukia, wachina ndio waliosema corona ilisababishwa na watu weusi wa africa. Na tangia kipindi hicho ubaguzi ukawa mkali, na watu kutoka nchi za afrika waka katazwa kuingia. Kibaya zaidi bado tuna endelea kuwapa tenda za mikataba. Na hamna viongozi wanao kemea hili. Huu unaitwa ukoloni mambo leo (neocolonialism), viongozi wetu wana tuuza kwa mabeberu. Hawajui shida, hajawahi kubaguliwa pale waki enda kusaini hiyo mikataba, ila sisi wananchi wachini ndio tuna umizwa. Viongozi kuweni na uzalendo.
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 2 года назад
hata wakenya wanajigunza kwenye kichwa cha Tanzania sio wachina tuu
@kalengashoppingcenter1108
@kalengashoppingcenter1108 2 года назад
Cc Africa hatuna uzalendo ndo maana tukakubali kugawanywa na kubaguana cc Kwa cc na Leo kuingia nchi nyingine za kiafrica au za nje ya Africa ni ngumu sana utaulizwa unaenda kufanya nn
@trillhappybeautypoint9874
@trillhappybeautypoint9874 2 года назад
Mbunge ana uwezo mpana sana hawa wachina ni wabaguzi sana
@williamlulale8791
@williamlulale8791 2 года назад
Maneno ya kusikitisha sana , mbunge umeongea mambo ya kuumiza
@nassoroali7226
@nassoroali7226 2 года назад
Mh uko sahihi
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 2 года назад
sio mnaambiwa nchi imefungukiwa sasa 🤣🤣
@athumansangawe4165
@athumansangawe4165 Год назад
@@nassoroali7226 . Look. 😆 l.l..l my.o MO l
@oscarkasalile5058
@oscarkasalile5058 2 года назад
Mheshimiwa shabiby upo vizuri. Hawa wachina wanatuchezea akili
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 2 года назад
sio mnaambiwa nchi imefunguliwa sasa
@japhetdaudmaneno8440
@japhetdaudmaneno8440 2 года назад
Magufuliiiiiiiiiiii🤔🤔🤔🤔😭😭😭😭😭😭😭😭 wanyonge wanakulilia nchi Tz ni yao sasa wamefukuzwa,wametapakaa wachina wanauza vikombe,karanga kariakoo uwiiiiiiii
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 2 года назад
nchi imefunguliwa ndio tunaambiwa
@jumagitti7000
@jumagitti7000 Год назад
You're right shabiby. Kwenye construction industry wanajazana mpaka vibarua graduate wote wa Tanzania wanakuwa vibarua
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 2 года назад
Shabby mmmh very intelligent 🙌🙌 madini tupuuu hayo Sasa uliowashauri mbumbuuuumbuu tuuu
@peterswai391
@peterswai391 2 года назад
Mchango mzuri Mhe shabby, God bless more
@hansdedes1903
@hansdedes1903 2 года назад
Ndugu yangu mheshwimiwa mbunge nikopamoja wewe maneno yako kweli yanatija naumeona mbali kuhusu wachina wanajifanya wanaakili sana swala lako lichukuliwe maamuzi haraka iwezekanavyo mwenyezi mungu awenawe Shukrani Sana with peace ✌️ and love 💞💞 always 🇹🇿🇹🇿🇹🇿!!†
@mwanagwakyala3213
@mwanagwakyala3213 2 года назад
Wenzio hlo hawalioni watakuambia unatengeneza ubaguz ,big up mzee
@kalengashoppingcenter1108
@kalengashoppingcenter1108 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤓🤔🙏🏃🇹🇿 umeona eeeh
@gracemzoo5015
@gracemzoo5015 2 года назад
Safi sana mbunge hilo umesema
@pascalgasper403
@pascalgasper403 2 года назад
Na sio wachina tuuh, mbwa wote wanaokuja kuja tuuh Wazingatiwe,🇿🇦🇿🇦🇿🇦
@tamrikznz7583
@tamrikznz7583 2 года назад
UMEONGEYA POINT SANA MKUUU... SERIKALI YA VIPOFU HIYO NA VIZIWI .HATA UWAMBIYEE VIPI NIBURE.KIZIWI NIKIZIWITU WANABOWA KWELI BOBOTU JINGI.
@tuntulusekelo4191
@tuntulusekelo4191 2 года назад
Mbunge wa Taifa
@bantononemmasy7862
@bantononemmasy7862 2 года назад
Mzee wangu nakuamini sana.
@khalidballeth5957
@khalidballeth5957 2 года назад
Wabunge kama hawa wenye kuongea maisha halisi ya Mtanzania wamebaki wachache saana bungeni
@tousihhhh6765
@tousihhhh6765 2 года назад
mim nalia huku jaman 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@omarikessy2339
@omarikessy2339 2 года назад
Safi sana mheshimiwa kwa ujumbe huo ni huzuni kubwa sana
@deusdedit789
@deusdedit789 2 года назад
Sema kiongozi hawa wa CHINA WAIZI SANA WANAIBA SANA MAPATO MIMI NINA USHAHIDI JINSI WANAVYO IBIA TRA
@derrikdesertman4564
@derrikdesertman4564 2 года назад
Naomba uniambie wanafanyaje nikaropoke Al Jazeera. Maana siwapendi wachina
@veronicanangale4700
@veronicanangale4700 2 года назад
Kweli kabisa Shabiby.
@moriskelvin7865
@moriskelvin7865 Год назад
Mwenyezi MUNGU aendelee kukuongoza Mh Shabib well said
@shadrackmwakalinga6037
@shadrackmwakalinga6037 2 года назад
Uko vzr Mh. Shabiby keep it up 👨‍🏭
@venancephilbert9397
@venancephilbert9397 2 года назад
Huu ndo upumbavu wa mwafrika eti nafungua nchi haya sasa na sisi tukawekeze huko yaani mpaka machoz yananitoka kwa upumbavu wetu
@raphaelsikumbi5517
@raphaelsikumbi5517 2 года назад
Safi sana mheshimiwa watanzania tunakuelewa sana wewe ni mzalendo
@ramadhanijumakishai7783
@ramadhanijumakishai7783 2 года назад
Shabibi nakukubali sana unatufaa sana
@yasmeenaal4191
@yasmeenaal4191 2 года назад
My,shabiby allah akusimamie kwa kweli wengine tupo Omani huku lakin hatuna hata mkataba wa wafanyakazi kwa sababu serikali mnatukataza kuja kujitafutia ridhiki ya harali mpk wengine wanachukua jukumu la kupita kwa njia za panda je kwa Tanzania 🇹🇿 mnanufaika na nini sasa ni Bora muingie nao mkataba hata majesty wawe Hutu na kazi zao
@ericapingi8354
@ericapingi8354 2 года назад
Ni Magufuli pekee ndio angeweza kuchukua maamuzi hayo.
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 2 года назад
nchi imefunguliwa kwa wachina
@lotegeluakilengai5443
@lotegeluakilengai5443 2 года назад
Huyu mbunge ameongea ukweli mtupu. Diplomacy gani ambayo ni upande mmoja tu unafaidi.
@deusdedit789
@deusdedit789 2 года назад
JAMAN HAWA WACHINA HAPANA MIMI NIMEFANYA NAO KAZI KWA MIAKA 8 ILA HAO WATU WANAMATESO WALIOKUA WANATUPA MANYANYASO WAIZI WANAIBIA SERIKALI SANA HASA TRA 🙌🙌🙌 NILIWAI KUOMBA MSADA JUU YA MATESO WALIOKUA WANATUPA LAKINI WALIHONGA
@lailalaila8206
@lailalaila8206 Год назад
wabunge wote wangekuwa kama shabiby waray tz tungesonga mbele tz imekuwa shamba ra bbi kabsaa sisi wa tz haturusiwi lkn wao wapo kibaho wanauza biashara lkn ssi wenyewe wenye nchi hatuna hajila na ukifanya tunafukuzwa tu nch yetu hatuna huru na nch za wezetu pya hatuna huru
@hadijamlokakuzenza2146
@hadijamlokakuzenza2146 2 года назад
Umeongea ukweli kabisa ,huku tunajisifu wageni kwa sasa wanaingia huku nyie hamruhusiwi kwenda popote
@errydeo8865
@errydeo8865 2 года назад
YAANI ni TZ tu bado malimbukeni,duo citizenship in manufaa saana kwenye nchi..Niko UK,nina passport ya hapa,inasikitisha kuona unakuja nchini kwako kama mgeni..tunashindwa hata kuinvest kwa sababu ya mlomlongo wa mashart kama FOREIGNER!!!! Tanzania in mamilion in DIASAPORA,ILA hatuna hamu kuwekeza,lakini TUNGEKUA NA PASSPORT ZA KIBONGO PIA,WHICH IS OUR RIGHTS,WATANZANIA TULIOKO HUKU PESA TUNAZO,MAWAZO TUNAYO TENA MORDEN ,KWASABABU TUNAONA MENGI AMBAYO TUNAWEZA YA COPY KWA MANUFAA YA NCHI YETU...Ukitaka kununua nyumba,kiwanja,mashamba,either ohonge au utumie ndugu! ukitumia majina yako watakuomba vitambulisho...hapa shida ndo inapoanzia..sioni shida yoyo kuwa na duo,kwani sisi ni wazaliwa wa Tanzania,huku tumekuja kutafuta tu...BUT,i can tell u,hii ni kwetu sisi wa kuwaida tu,matajiri eg wahindi,wana passport zao na za bongo!!!
@TEMBAANICETUS1
@TEMBAANICETUS1 2 года назад
Tatizo hapa ni watanzania hawaelishwi faida ya watanzania wanaoishi nchi za nje: Faida Kubwa ni Elimu na ufumbuzi wa vitu kwenye nchi wanayo ishi kuleta nyumbani. Nakubaliana na wewe kabisa.
@fredgonga
@fredgonga 2 года назад
Mbunge ukiwa na hela utachangia chochote na usifanywe kitu. siyo wale kila siku "ameupiga mwingi" shabiby safi sana Wachina ni Mavi kabisa huwa nawachukia kutoka moyoni.. Wanawaita watanzania wenzetu nguruwe wanapojenga barabara..
@AP-uk3mq
@AP-uk3mq 2 года назад
God bless you
@Lubango-gj3ud
@Lubango-gj3ud Месяц назад
Safi sana mh. Shabiby wachina wanachukuwa fulsa zote kariakoo. Sisi wa tz tuuze nini?
@chakulachaleo
@chakulachaleo 2 года назад
big point, i like person like this
@seiflugendo5043
@seiflugendo5043 2 года назад
Ongea bro hili kweli ni shamba lqbibi na hata sikumoja haitachukuliwa hatua kurekebisha hili mtazungumza sana Ila ukweli utabaki kwamba Tanzania tunawawakilishi ila viongozi hatuna huo ndioukweli mchina anakuja mpaka kuendesha magari(dereva)
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 2 года назад
Viongozi dhaifu, wasio na maono wanaliletea taifa fadhaa kubwa.
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 2 года назад
wapo wapo tuu wala hawajui walifanyalo
@imeldasamwel539
@imeldasamwel539 2 года назад
Ndo anayoyataka mama anaupga mwingi 😂😂😂 kutembea miji ya watu ili waje nchin Mambo ya ajab kwer
@lubatikoseme9412
@lubatikoseme9412 2 года назад
Thank you
@machoguhameri7757
@machoguhameri7757 2 года назад
Unapofungua milango kwa pupa, bila kuweka uangalizi wa kutosha huingia hewa,mbu,na inzi.
@jumaramadhanirajabu1938
@jumaramadhanirajabu1938 2 года назад
Wachina hawafai kbsa lazima na wao wasiingie kwani sio lazima kuchukuwa vitu huko ..mbunge yupo sahihi hatua za haraka zichukuliwe ubaguzi huo
@zaipazzi9490
@zaipazzi9490 2 года назад
Lazima tuamka wa Africa nina mengi moyoni lakini siwezi kuyazungumza umu sio mahala pale. Tunanyasika sana
@jeremiamakungu6047
@jeremiamakungu6047 Год назад
nakuombea uchukue urais mheshimiwa wangu
@wilfredlukowo9476
@wilfredlukowo9476 2 года назад
Nchi ya wakubwa nenepa wadogo konda
@geofreysenka7091
@geofreysenka7091 2 года назад
Shabibu siku zote anaongea point sana
@rehemaa597
@rehemaa597 2 года назад
Kweli kabisaa wafilipino wanathaminiwa saana inchi za waarabu kwa sababu serikali yao inawalinda wanaingia kwa mikataba sio sisi tunauzwa na maajenti wanachukua pesa kibao ukimwelezea shida unayopata hakusaidii
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 года назад
Pia nchi yao inauchumi mkubwa alafu mwarabu mtu mweusi unauona kikalagosi yani si chochote
@japhetdaudmaneno8440
@japhetdaudmaneno8440 2 года назад
Oooo eti kaupiga mwingi huku mnajaza wageni,wenyeji Watanzania mnawafukuza
@joachimandrea7641
@joachimandrea7641 2 года назад
Mwenye nchi yake amekufa
@goalpost6753
@goalpost6753 2 года назад
Hamna mwenye nchi boya
@trillhappybeautypoint9874
@trillhappybeautypoint9874 2 года назад
Yaaani
@geey7893
@geey7893 2 года назад
Haya mambo ya upumbavu kuwanyenyekea Watu JPM alikataa. Alipokufa haya mamtu maoga yakatuvua nguo zote sahiz wazungu na wachina wanatugonga bila kutumia nguvu
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 2 года назад
Hao Wachina kiburi wanapata wapi? Ukipata jibu ndio tutaweza kudhibiti yote yanayojiri ambayo hayana maslahi Kwa Taifa wala Wananchi Mmoja Mmoja
@mwanyongamama4407
@mwanyongamama4407 2 года назад
Tunauza utanzania wetu tiliojaliwa
@amenipasanga9865
@amenipasanga9865 2 года назад
Mtu mmoja anafanya taifa Zima tunaonekana vilaza jmn, ww unafungueje mipaka kwa wanaokufukuza? Mungu atunusuru tupate kiongozi mwenye akili na mzalendo
@sarahmackenga3868
@sarahmackenga3868 2 года назад
Point sana
@kulwamussa3612
@kulwamussa3612 2 года назад
Wachina wabaguzi sana wanaubaguzi moubwa sana hilinalo mliangalie kwaumakini hapa tunawafanyia kazi lakini washenzi
@trillhappybeautypoint9874
@trillhappybeautypoint9874 2 года назад
Huyu mheshimiwa yuko vzr sana
@kdloon2030
@kdloon2030 2 года назад
Jamaa anaongea point
@yohanathadeo1447
@yohanathadeo1447 2 года назад
Shabibu upo vizuri sana
@mmarandu2417
@mmarandu2417 2 года назад
SHABIBI UMESEMA UKWELI KUHUSU BIASHARA NA CHINA. KAULI YAKO ITAFANYIWA KAZI?
@issakwisamwasanjobe541
@issakwisamwasanjobe541 2 года назад
Viongozi watanzania tumelogwa kusimamia sera zetu zanje tumekuwa vipofu
@issakwisamwasanjobe541
@issakwisamwasanjobe541 2 года назад
🙏🙏kwa wanaohusika wafanyie kazi ushauri wa mbunge huyo vinginevyo kizazi cha mwafrika kitapotea kwasababu roho za watu wa nje kwa mwafrica mngekuwa mnaziona ndani mwao nadhani msingukuwa mnawasalimia😔😔
@mbojesalumsalumneema3659
@mbojesalumsalumneema3659 2 года назад
Ukweli kabisa
@antonynyaulingo8359
@antonynyaulingo8359 2 года назад
Huyo ndiyo mzalendo
@jumafundi2871
@jumafundi2871 2 года назад
Sisi huju wametupokonya mashambayetu kisha eti wanataka kupanda mpunga huu unafika mwaka bila kupanda chochote ,na sisi hatunatena sehem zakulima tena wanalindwa na polic utazani wao ndio wanomiliki hii nchi dah shida kwakweli.
@mrsnam6897
@mrsnam6897 2 года назад
Akili mingi sana
@mwanyongamama4407
@mwanyongamama4407 2 года назад
Dharau sana sema is too much
@omanmwajabumbeguoman8642
@omanmwajabumbeguoman8642 2 года назад
Duh 🙄🤯😇😇kwakweli ulifaa ata kua raisi kweli tatizo nyota umeongea vzr baba umeona mbali 🤔🤔🤔
@superangeltv4615
@superangeltv4615 2 года назад
nakukubari sana man
@yusuphmpando9900
@yusuphmpando9900 Год назад
Huyu mzee nimkweli nandomaana kafanikiaa ameongeza kwelitupu
@immathebonga5164
@immathebonga5164 2 года назад
Shida sis ni tegemez hay muwakataze wachina na wao wagome kuleta bizaa zao
@stevenclaud6648
@stevenclaud6648 2 года назад
Huu ndio upumbavu wetu wa bara langu Africa tukiongea wanyonge utaambiwa wakukute kituo cha police ila kiukweli naumia sana kuiona Tanzania yangu inakuwa kichwa cha Mwenda Wazimu kwa hisani yenu mliopata dhamna itendeeni mema hii nchi
@piusrweyemamu3900
@piusrweyemamu3900 2 года назад
Ameongea point sana
@salcle9702
@salcle9702 2 года назад
Wachina kweli wamejaa huku Tz kama mapopo mpaka vijijini na ndo wamejaza mabonanza kama utitiri pia haya mabonanza yaishie kwenye makasino yanaharibu watoto.
@Fundi12345
@Fundi12345 Год назад
Tupo kwa jili ya ya kipigwa a china tu wanaojiita wasomi hakuna kitu wasomi hapo wapo wapigaji tumombe mama atoe vizuizi vya ajabu hivo toka chini
@benitopilla3145
@benitopilla3145 2 года назад
Du safisana mbungewa taífa
@Princewaweru
@Princewaweru 2 года назад
Huyu baba yetu Shabiby awekewe ulizi wa kutosha nna mafuzo ya kutosha ukinipa idhini ntakulinda mkuu
@mkomwambezi8829
@mkomwambezi8829 2 года назад
huyu ugomvi wake sio kariakoo bali ni inshu ya mabasi new force
@abdallahally842
@abdallahally842 2 года назад
Mama.amkaaa wameshauri vyemaa
@kilalaurio9922
@kilalaurio9922 2 года назад
Wananchi wa E.A wanapata wanaingia Tanzania wakati wanaishi nje ya nchi Hizo na ni raia pacha ktk nchi za E.A
@miketzee806
@miketzee806 2 года назад
Kiti:Asante lol
@personpeter2221
@personpeter2221 2 года назад
Shabb anafaa kuwa rais wa tz anamaono makubwa
@mohamedschaeublin7374
@mohamedschaeublin7374 2 года назад
Kuhusu China hamtafaidika Sababu Tanzania Govement haina control over China, TZ Gov mtaleta njaa kwa wananchi, nafasi za kazi biashara ndogo ndogo zipo kwa Wachina pia, Future ya watanzania ipo Hatarini,
@yahayahussein-fh2tq
@yahayahussein-fh2tq Год назад
Kaka yangu shabibi nakuunga mkono hiyo hoja kaka
@kasakealex5444
@kasakealex5444 2 года назад
Mh.Shabiby umenena vyema wachina ni watu wa hovyo sana tunasumbuana sana hata makazini ni mijitu ya ajabu
@charlesmathayo893
@charlesmathayo893 Год назад
Wachina wabaguzi sana kaliakoo wamejazana utafikili tanzia imekuwa China
@anwaryabdallah7782
@anwaryabdallah7782 2 года назад
Swadakta
@mangobase
@mangobase 2 года назад
JPM alisema mkamuona ujinga
@simasima8084
@simasima8084 2 года назад
Na hao wachina wasije tz watume mizigo na wao mbav sana
@dazandavie9466
@dazandavie9466 2 года назад
Magufuli tutamlilia mpaka tufe
@dungayusufu1954
@dungayusufu1954 2 года назад
mh anaakil sana
@zephaniazacharia519
@zephaniazacharia519 2 года назад
Yan Tanzania kwenda nje ni shda sjui tunashda gani
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 года назад
Uchumi haupo vizuri na serikal pia haijajipanga sawa sawa
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 года назад
Shabiby sema usiogope sema
@musason1680
@musason1680 2 года назад
Asee hawa wachina wamezid walikua kariakoo saiz kila mji mkubwa wanaanzisha maduka
@bonifasemmanuel4700
@bonifasemmanuel4700 2 года назад
Kweli wewe ni Hazina ya hii Inchi,lakini sasa hata na wewe ukipewa uwaziri utakaa kimya hauta sema ndugu yangu,mimi ningekuombea kWa mama akakupa Uwaziri,
@samirazuberi186
@samirazuberi186 2 года назад
Kaongea sawa kabisa lakni mhmh
@petermsangi2701
@petermsangi2701 2 года назад
Serekali ifanyie kaz huu ushaur jaman
@mariampazi8753
@mariampazi8753 2 года назад
Unaongeaga vitu vizuri san
@alfredibrahim7085
@alfredibrahim7085 2 года назад
Waafrika tutateseka mpaka kufa hatujali utu wetu tujali vijisenti tunavyopewa tu
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 2 года назад
Alfred Ibrahim...hatupewi tunakopa tutakuja kuzilipa sisi na wajukuu na vitukuu vyetu!!!
@alfredibrahim7085
@alfredibrahim7085 2 года назад
@@mamboshepea8888 Tunawachekea huku wanatuumiza
@drisayaambulatoryvetclinic1514
@drisayaambulatoryvetclinic1514 2 года назад
Duuh huyu jamaa akili mingi sanaaa ndo maana basi zake siachagi kupanda maana amejipanga vyema
Далее