Hawa tuwachukulie kama waathirika wa madawa ya kulevya...wapelekwe sobber house au milembe...tutawaokoa watapona. Bangi haijawai mwacha mtu salama..maneno Bangi, mavazi Bangi, mwondoko Bangi....majina Bangi....tuwaombee sana. Serikali kamatwa wote peleka milembe...tutawaponya watoto wetu hawa
Wako sawa jeshi la polisi lazima lifuate sheria katika ukamataji, hayo ni maisha yao walio chagua na wanapata riziki. Nyie mnao sema wakalime watu wote hawazi kulima. Haki ya mtu ni ya mtu
Hawa tunawachekea lakini ni kikundi cha hatari kuna siku tutavuna majuto. Mnakumbuka kile kikundi hatari kule Kenya "MUNGIKI" kilivyo fanya mambo ya ugaidi.
Mbona watu mnawasema sana,tjis people are really cool minding their own business,Am from Arusha this people are really good and peace Stop cursing them .its life they have ,let them live .
Kweli kabisa wataharibu vizazi vijavyo wakifumbiwa macho, hawa wavuta ugoro bangi,wawekwe gerezani walime bustani, wakitoka huko watakuwa wamepata ujuzi, wezi hawa hawana maadili kabisa hata heshma hamna, Mie sipendi ujinga ,kunguni hawa
Yan tunapata tabu sana huku mikoani kwa ajili ya hii lafudhi kama mm najitahidi kubadilisha lkn cwez hata kidogo mana nimezaliwa Arusha nimekulia Arusha
Mungu awasaidie vijana hawa wapo vizuri sana na hatujawahi kusikia wamegombana na mtu yeyote au kuchukua cha mtu,hawa wadudu wasiozuri ni hakika hawana baya lolote,hivyo kupitia kilio chao cha kudhalilishwa tunaomba mahakama itoe hukumu kwa haki,mimi ni jirani yao na nikiongozi Moivo nasema tena wadudu hawana baya,pia naomba nijue ni mahakama gani ili tuende SK ya trh 3
mnatengeneza utawala ambao baadae watawaendwsha nyie sio kuwaendesha watuu wanafanya vituu vyaa ajabu mnawasapoti wakienda kuzika wanateka bara bara kama vile serekali hamnaa wanapiga makelele watuu wanashangaa wanvunja sheria wanabebana watatu watatu yani shida sana
wadudu wanatukanwa na kukashifiwa sana na watu wa DAR...wakati Dar ndio kuna makundi mengi ya ovyoooo Mungu awalinde vijana,hata Wabunge wetu wamekaaaa Kiduduuu
Makonda hao wadudu unawapa uhuru mkubwa wa kufanya watakacho tumeona ktk boda walivyopewa uhuru sasa hawakamatiki wala hawaambiliki wamekua kundi ambalo kila kukicha wanatia vilema watanzania na wauwaji wakubwa wa wananchi na wamekuwa wahalifu wakubwa uelewe kuwa unatengeneza bomu kwa wananchi na mkuu mwengine atakae kuja hapo arusha utakapo chaguliwa kiti au mkoa mwengine ni ushauri
Hata sura zao wenyewe wamekaa kama vibaka watanzania ni wakati sasa kuelimike tujue namna ya kufanya kazi masuala ya kuzurura mitaani sio fresh ata kidogo kila mtu afanye kazi
Hawa wamezidi sasa tatizo wanalewa sifaa dawa yako wafungwe ata mwaka mmoja kila siku wawe wanachapwa bakora kumi kumi asubui mchana na jioni tuoke kama hawatabadilikaa mapuuzi haooo
Hivi hawa viumbe ndo waliokaa na Rc na kula nao kiapo na kuwapa nafasi ya kuwa sehemu ya walinzi wa jiji la Arusha. Aah mbona nahisi kizunguzungu jamani nchi yangu.
Yani kweli nyie hamjui kula na vipofu mheshimiwa Makonda ndio jembe anaeweza kuishi ata na vichaa. Ivi hamjui mkiwatumia vizuri hao mtajua mengi yavichochoroni msioyajua leo mnawanyanyasa.
@@yasintajoseph7495si sisi ni wazawa wa Arusha nimesoma meru primary secondary Bondeni na home kaloleni hakuna lafudhi ya aina hiyo hawa sijui wanatoa wapi hayo mamisemo wanatakiwa wabadilike
@@faithstephen3690 duh yaani nimeshangaa, jjnsi wanavyoongea kama walevi, hata hawaeleweki hicho kiswahili mhh kweli dunia hii, watoto wetu wanaelekea wapi, mambo ya kuiga.