Bei gani wakili Mimi Niko tayari tuanzishe kampeni hiyo watu watajitokeza tu kwani hiyo haitaishia kwa waliokwisha tekwa bali itaendelea na humpata mtu yeyote
Ila kiukweli chadema na baadhi ya wanaharakati mnazingua yani mishipa ya shingo inawasimama kumsemea nwanachama au ntuwenu aliepotea lakini vijanawakitanzania bodaboda wanatekwa kilasiku hatuwasikii mkisema ila akipotea mfuasi wenu mnachachamaa
Wanazinguaje, kwann ww usiwatetee hao bodaboda au unadhani wenye wajibu huo ni wapinzani tu wakati ww hutaki kuwajibika?? Sahivi eti makatibu wenezi wamepewa bodaboda kama siyo rushwa na upendeleo ni nn na unadhani ni hela za ccm??