Тёмный

🅻🅸🆅🅴 : MWABUKUSI ANAZUNGUMZA MUDA HUU SAKATA LA KUKATWA NA TLS KUGOMBEA URAIS CHAMA CHA MAWAKILI... 

JAMBO TV
Подписаться 899 тыс.
Просмотров 39 тыс.
50% 1

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RU-vid: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Опубликовано:

 

6 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 299   
@mickgeofreyjoachim1580
@mickgeofreyjoachim1580 7 дней назад
The man's voice in the jungle....powerful voice that brings hope to all members of TLS who are in the side of right....keep going brother u deserve to be leader indeed
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 7 дней назад
UBARIKIWE SANA WAKILI SHUJAA NA JASIRI MSOMI BONIFACE MWABUKUSI 👏🏼👏🏼👏🏼
@hildandumbalo5827
@hildandumbalo5827 7 дней назад
Brother Mwabukusi wewe ni mkweli na ni mzalendo. Waambi e💪🏻💪🏻💪🏻
@hildandumbalo5827
@hildandumbalo5827 7 дней назад
Wamejinyanyasa wenyewe una Yesu brother
@hildandumbalo5827
@hildandumbalo5827 7 дней назад
Powerful, tuko pamoja kaka
@hamisijuma3276
@hamisijuma3276 6 дней назад
Mwabukusi, Mpina na Katiba Mpya mbona hapendwi???
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo 3 дня назад
Kwa kweli Kwa Mwabukusi kuwa Rais wa TLS ni tatizo maana Chama hichi ni cha Watu wote wasio na vyama na wenye vyama tofauti!sasa yeye ana Marengo wa kisiasa ulio wazi,sasa Kwa hivyo anaikosesha heshima taasisi hii muhimu ya watu ni vyema hao waliomuengua kufanya hivyo!yeye aungsne na Mbowe na wanasiasa wengine watuelimishe wananchi mambo muhimu ya inchi yetu!❤🎉
@ceciliamagalabajimmy4391
@ceciliamagalabajimmy4391 7 дней назад
Mwabukusi ❤ you. You seem to be working as teachers!! We use our eyes, hands, legs , mouth and the whole body that's why our pupils understand better. No teacher agrees without questioning Why, when, what, which who....Am proud of you 👏 .
@sospeterodhiambo6869
@sospeterodhiambo6869 7 дней назад
Kwa kweli TLS haipo kwa ajili ya kusimamia haki Hatusikii sauti yao pale wananchi wa nchi hii wanaonewa TLS inataka akili kubwa ya watu kama huyu Mwabukusu kuinyoosha Big up Mwabukusi
@Lubango-gj3ud
@Lubango-gj3ud 7 дней назад
Viva viva Mabukusi, unaitendea haki fani yako ya sheria. Mungu akulinde uendelee kutetea rasilimali za umma wa Taz.
@robertzingu9889
@robertzingu9889 7 дней назад
Yes. Hawa ndio wanasheria tunaowataka hapa Tanganyika. Jamaa anasema, "tutazungumza kwa lugha wanayoielewa hata kwa mkono!!". This is bold and strong statement
@DON-ERICKDANIELKINDOLE-pj8to
@DON-ERICKDANIELKINDOLE-pj8to 7 дней назад
Hongera sana sana Mwanasheria mzalendo wa kweli.
@serafineslaa1082
@serafineslaa1082 7 дней назад
Au mchakato unaendeshwa na mamluki wa serikali ndani ya tls? Huyu Mwabukusi anavyoongea hakuna kifungu alichovunja cha Sheria ya chama.
@user-oy5dz5xl8s
@user-oy5dz5xl8s 7 дней назад
Nyie mtu anaposimamia haki mnakimbilia ukibaraka acheni tabia hiyo kabisa
@GabrielMwampulo-ys4nl
@GabrielMwampulo-ys4nl 7 дней назад
Ndg Mwabukusi endelea na ujasiri huo huo sisi wenye akili hatuoni kosa lako.wewe unatetea maslahi ya nchi.
@SarahAlphonce-q4e
@SarahAlphonce-q4e 6 дней назад
Kaka kaza buti kweli tumechoka haki inafunikwa kwa wenye madaraka.
@chuguletheodos3342
@chuguletheodos3342 7 дней назад
Tuko pamoja mwabukusi ,wewe ni big brain brother
@dennisrwelamira1259
@dennisrwelamira1259 7 дней назад
Upewe nafasi yako. Wewe ni mpambanaji. Mara nyingi viongozi hawataki watu walionyooka.
@chuguletheodos3342
@chuguletheodos3342 7 дней назад
Kwa lissu alivokuwa rais wa tls hakuwa mwanasiasa wa chadema ,acheni ujinga nyinyi mnaopinga hii akili kubwa ya mwabukisi ,
@richardnganya2311
@richardnganya2311 7 дней назад
Hata Lissu alikwamishwa sana Hadi alipotumia mbinu mbadala na kuwahishwa Kwa helicopter mkutanoni!!
@TegemeaFutemakatifu
@TegemeaFutemakatifu 6 дней назад
Tena Alikuwa na Kesi kibao, Hawa wamemuondoa huyu Kwa malengo yao
@mathewyoung2159
@mathewyoung2159 7 дней назад
Tuko pamoja Sana kamanda wetu
@paull8659
@paull8659 7 дней назад
TLS imebanwa koo ni maccmm. Pole brother Boni
@edsonkahesi8603
@edsonkahesi8603 6 дней назад
Kabisa, na hawa ndo wanaoiharibu nchi kwa kuleta viongozi wabovu, wasiojiamini, nakuacha viongozi bora eti ni wachochezi, mara wanamkosoa rais yani kiufupi maciciem hayapendi kiongozi wakuwafumbua watanganyika macho, wanataka raia wengi waendelee kuwa mazuzu, wajinga wajinga ili watawalike vizuri..wakiona kiongozi mwenye vision wanampiga vita, kwa njia zote, kama siyo kumbakizia kesi watampa skendo mbaya ilimradi asipate nafasi ya kuongoza ili waendee kufanya yao. Mfano mzuri tuliona walivyokuwa washambambikizia tuhuma za uhaini huyu wakili, mara amevunja sheria kwa kumkosoa rais hadharani, mara unaweza sikia mhujumu uchumi, mara mkwepa kodi, yani ciciem wana uhuni mwingi kwa mwenye kuwakosoa.
@serafineslaa1082
@serafineslaa1082 7 дней назад
Hayo ni maagizo kutoka juu.
@user-gx4jx4gv9l
@user-gx4jx4gv9l 7 дней назад
Nakukubali sana mwambukusi tutafika tu haki huwa haipotei ila inachelewa tu.
@patrinraura1397
@patrinraura1397 7 дней назад
Kwa Sisi watu wa chini tunaamini unabii wa kweli unasimama kwenye ukweli na msema kweli siku zote huchukiwa na ndiyo gharama ya Nabii. Mhe Wakili Mabukuzi Mungu atakulinda kwa kuwa unasimama kwenye haki.
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 7 дней назад
Haki huinua taifa
@fabianmahenge301
@fabianmahenge301 7 дней назад
Big up to you brother Mwabukusi........
@eliyagikaro6426
@eliyagikaro6426 7 дней назад
Uko sahihi!asante.
@user-zg4yz7je8d
@user-zg4yz7je8d 6 дней назад
Omba kugombea uraisi chadema mwabukusi unakubarika na watanzania aijapata kutokea. Tunakuomba gombea uraisi chadema
@floraashery224
@floraashery224 6 дней назад
Big up sana brother,even though ukweli utasimama hata wakipinga na kukuondoa
@user-gv3bv5cu2z
@user-gv3bv5cu2z 3 дня назад
Hi. Ni. Kweli. Unasema. Vizuri. Asante. Wambie. Wajijue
@juliuskitaluka1206
@juliuskitaluka1206 7 дней назад
Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana
@EzekielChalomhola
@EzekielChalomhola 7 дней назад
Mwambukusi napenda honest Yako. Wewe ni Moja ya viongizi "Strong" katika nchi yetu. Huwa una nimotivate sana Mimi katika kusimamia uwazi na haki. Mungu akupe maisha marefu.
@user-jz1or4mb7q
@user-jz1or4mb7q 7 дней назад
Mungu iokoe Tanzania!
@helencyprian8745
@helencyprian8745 7 дней назад
Maagizo toka juu, nuru na giza havichangamani kaka# bandari
@alexlazoro3530
@alexlazoro3530 3 дня назад
Kaka mungu akusimamie tuko pamoja wewe ni mwanasheria wa haki kabisa
@samsonrusagira5168
@samsonrusagira5168 6 дней назад
Ubarikiwe Wakili Mwabukusi.Kwa kweli TLS wametuangusha Wa tanzania. Panahitajika mageuzi katika chombo hiki Cha Wanasheria
@ThobiasMasabire
@ThobiasMasabire 7 дней назад
Mungubakuongoze kaka yangu
@georgewambura7695
@georgewambura7695 7 дней назад
I am not fear of an army of lions led by sheep, I fear of the army of sheep led by lions
@renatusikanoni4203
@renatusikanoni4203 7 дней назад
Brother wewe nakuelewa sana. Nakuombeaga sana kwa Baba katika jina la Yesu azidi kukulinda juu ya MAADUI.
@innocent91044
@innocent91044 7 дней назад
Bro Achana na hii TLS, Gombea uraisi TLS watakutafuta wenyewe baadae.
@helencyprian8745
@helencyprian8745 7 дней назад
Uko sahihi sana bro
@Siha01TV
@Siha01TV 3 дня назад
Hii nchii kila mtu ni mnafkiii mpaka mawakiliii ...mnashimdwa ku saport huyuu jamaa kweli
@HassanSaburi-ge6ej
@HassanSaburi-ge6ej 7 дней назад
Shida inaanzia hapo kwanini tuwe na vyama viwili kwenye nchi Moja ? Mali zinazo zungumziwa ni za Tanganyika kweli umuhimu wa katiba mpya unahitajika wanasheria wetu mlitetee hili TAIFA
@mosesmacha1080
@mosesmacha1080 7 дней назад
Kuna kitu kizto kinakuja kutoka mbinguni🎉🎉
@Alute-son2003
@Alute-son2003 7 дней назад
Mungu akutunze zaidi kaka
@user-zu8ou2oe4c
@user-zu8ou2oe4c 7 дней назад
Mwabukusu mm nakukubal sana wanakuogopa ila mm nina wazo hata kama ww huna naomba lichukue kagombee ubunge mwaka kesho nilijuta sana cku nimekuona green hurt arusha unakunywa chai nikaogopa kuja japo kukulipia kikombe cha chai nakukubal sanaaaaa
@robertsulus7947
@robertsulus7947 7 дней назад
Mwabukusi for president..you have my vote of confidence bro.
@bonifasmashingia
@bonifasmashingia 6 дней назад
Ivi Kinjekitile ngwale!.mtemi isike. Mkwawa and other freedom fighters wa Tz wakafufuka leo wakaona hii Tz ilivyo now na maovu yake !Unafikirii watawafanyia nini rulers?? Im not the fool and i cant rejoin with watu wa matumbo yao !! Instead i can work with people who have vision and volunteers and sio watu wakuagalia nini watapata kwa matumbo yao !! NATIONAL INTEREST FIRST THEN OPTIMISTIC PERSON INTERESTE LAKIN SERKALI YA SASA NI PERSONAL INTEREST FIRST THEN NDO INAKUJA LEAST BIASED IMPLEMENTATIONS OF GROUPED NATIONAL INTEREST NA SOMETIMES. NO IMPLEMENTATION ON IT !!OUR LATE FREEDOMS FIGHTER HAWAKUWA NA HII SPIRIT NA HII BAD SOUL AMBAYO MKO NAYO CCM RULERS !!THUS TUKAWA INDEPENDENT UNTIL NOW BUT CCM MNATURUDISHA *10 YA MKOLONI FEW MNATUKANDAMIZA MAJORITY WHY THIS CCM LEADERS??WE AWAITING TO DIE NOW !!PREACH AND practice right !! Tanzania ni mali ya umma na sio ya watu flani flanii!! NO QUITE AGAIN WE WILL SPEAK AND FIGHT FOR NEO CCM COLONISATION UNTIL MY LAST BREATH AND IM RAEDY FOR THAT !!IM WAITING FOR MY DUTIES AND TIME BY NOW!! TANZANIANS DONT SLEEP AGAIN BECAUSE OUR TERRITORY IS NOW BARGAINED AS BRIDE PRICE TO THE FEW FOOL NON ELITES WHILE ELITE WE ARE SEEING IT AND WE STILL SILENT !!,WE NEED HEAVILY PATRIOTIC SUPPORT AGAINST THIS SESSION OF INTERNAL LIBERATION OF OUR COUNTRY FROM FEW DECENT AND MONSTER LEADERS WHO WOUND OUR PROSPERITY AND BROKE THEM WE NEED READNESS OF ALL TANZANIAN WITHOUT ANY REGARDING CRITEA TANZANIAN ELITE AND NON ELITE TO RECONCILIATE AND START OUR EFFORTS OF OUR SECOND nationalization with our common slogan for our future better ness!!mtu msomi ambaye hasaidiii kupushi ustaw na maendeleo ya Taifa lake huyo kwangu ni foool na hafai kuitwa kiongozi wala kusimamia hata usafi wa chooni!!Watanzania wote bila kujali tofauti zetu ni time ya kulikomboa tena taifa letu kwa njia yeyote ile hata ya umwagikaji wa damu kama inawezekana!! Naona sana uchungu pale ninapooona ................hayaendi sawa pamoja na utajiri wa rasilimali tulionao alafu nikiangalia naona maisha ya watu flani hivi waliopo SERIKALIN JINSI MAISHA YAO YANAVYO NAWIRI KWA KUJIPAKULIA WENYEWE HII NATIONAL CAKE YA WATANZANIA WOTE!!!IM REGRET TO BORN IN TANZANIA BUT I WILL FIGHT FOR REEL TANZANIA I WANT
@dillonfoya
@dillonfoya 6 дней назад
Wa Tanganyika tunahitaji watu wenye udhubutu kama Huyu Wakili.msomi tatizo la kujipendekeza na uoga kuwafurahisha wateuzi hii dhambi Sasa imefika mpaka kwenye Sheria tutaponea wapi kwa mtindo huu TLS mambo mengi wanayanyamazia hawapigi kelele
@manyarangemgendi4958
@manyarangemgendi4958 5 дней назад
U doing a good job brother
@lucaschisamalo2852
@lucaschisamalo2852 7 дней назад
Ipo siku yote yataisha mambo ya ukandamizaji Kuna watu wanajiona wao tanzania ni yakwao peke yao
@DiscowKajojo-no2up
@DiscowKajojo-no2up 7 дней назад
Be blessed
@ndilibangokaruhawe9335
@ndilibangokaruhawe9335 7 дней назад
Ukiwa na utimamu wa akiri huwezi kuiamini TLS
@ThomasEkama
@ThomasEkama 7 дней назад
saw saww mwambukusi
@atupegemwakahesya
@atupegemwakahesya 2 дня назад
Nchi yetu imeoza Kila mahali. Sijui tukimbilie wapi! Haki haki imepotea.
@SarahShao-jw1up
@SarahShao-jw1up 7 дней назад
TLS inaelekea kuwa Organization ya kichawa....!!! TLS becoming USELESS 😢
@dassustephen731
@dassustephen731 7 дней назад
Bogus organization
@MuhojaMalicho
@MuhojaMalicho 6 дней назад
Nenda jimbon ungane chadema ili ungane na jeshi kubwa la chadema
@daudigabriel9860
@daudigabriel9860 7 дней назад
Haki huinua Taifa 🇹🇿🇹🇿
@zabronmwaipungu2212
@zabronmwaipungu2212 7 дней назад
Issue: We, as Africans, must acknowledge that our failure stems from our leaders, who view their positions as hunting grounds rather than opportunities to serve their people.
@user-il8wn9ko9y
@user-il8wn9ko9y 7 дней назад
sema kaka
@alexlazoro3530
@alexlazoro3530 3 дня назад
Mungu akubariki
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 7 дней назад
Tunakuunga mkono ❤
@ndaskoi8769
@ndaskoi8769 7 дней назад
Mkuu tuko pamoja na wewe mpaka waseme
@ChristianMkumbo-ix2ke
@ChristianMkumbo-ix2ke 6 дней назад
The Power of God shetani hawezi kushinda
@malkavoice2570
@malkavoice2570 6 дней назад
Mipango ya ccm. Tangu Rugemeleza ameachia ngazi hii TLS imebakia uchi,haina nguvu ipo ki serikali ya mapinduzi zaidi
@OscarBethel
@OscarBethel День назад
Msema kweli hao mafisadi hawata kuachia kwasaba wanajua wewe ni mwiba kwao ukiingia TLS utwabana wanataka watu wao ndio wakae hapo
@user-gv3bv5cu2z
@user-gv3bv5cu2z 3 дня назад
❤❤❤❤🎉
@camilmlay3088
@camilmlay3088 7 дней назад
Yuko na we rafiki yetu mpenda haki
@bmdele5816
@bmdele5816 7 дней назад
Mwabuksi, You are a big brain brother, Keep hiting hard!.. 🔥🔥
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 6 дней назад
TLS ni kichochoro cha baadhi ya mawakili kunyanyasi wananchi kwa kuuza haki zao. Wanashawishi wananchi kupeleka kesi mahakamani ikifika huko wanakula upande wa pili. Hivyo mwananchi kutumika kama daraja la kuwatafutia ulaji. Mkiona meseji hii waambieni wapunguze njaa wanachafua TLS.
@user-gw1df8cf2t
@user-gw1df8cf2t 7 дней назад
Wapo wasio penda haki Kama hao wanao kubeza no ma mbwa tu
@elickchaula858
@elickchaula858 3 дня назад
NAKUKUBALI SANA MWAMBA IPO SIKU KILA MTU ATAKUELEWA
@linogodson6478
@linogodson6478 7 дней назад
Tupo pamoja mkuu
@allyfutto8763
@allyfutto8763 6 дней назад
zama za utandawazi wengi tutaumbuka maana kupindiswapindishwa kutasherehekewa, Mungu ibariki.
@user-mm6sm9rt9x
@user-mm6sm9rt9x 7 дней назад
Kwa kazi unazozifanya wewe huna mpinzani katika uchaguzi huu. Ila kiukweli namshukuru sana Mungu kutupa Mtanganyika mhimu kama wewe. Itoshe tu kusema Asante sana Mungu kutupa mtu kama wewe. Ila Serikali na taasisi nyingine za kimaamzi zijifunze mandamano ya Kenya. IPO SIKU na sisi WATANGANYIKA tutakujafanya maamzi magumu Kwa udhalimu huu unaofanywa siku Hadi siku. WATANGANYIKA wa siku hizi siyo mambumbumbu kama ilivyokuwa zamani. We know white and black.
@serafineslaa1082
@serafineslaa1082 7 дней назад
Hawa tls tuseme wote wapo kwenye serikali? Wanasimamia Sheria au serikali na viongozi wake.
@leodgardotmar7198
@leodgardotmar7198 7 дней назад
Nyie ndo mnajiita learned brother and sisters ovyoooo, bringback Fatuma and Lissu..
@StevenGendo-vx9jo
@StevenGendo-vx9jo 6 дней назад
Kuma lamama ako mbwa usiyejielewa
@ambokileasheengai1140
@ambokileasheengai1140 6 дней назад
Chombo kimoja tu kilichobaki vcha Watanganyika vingine vyote vimeporwa na Tanzania
@user-gw1df8cf2t
@user-gw1df8cf2t 7 дней назад
Chama Cha kuwafukuza wamasai
@YussufPandu-es7ou
@YussufPandu-es7ou 7 дней назад
Hakika jnasikitisha zile taasisi zinazotetea haki pia zinaporwa na machaw a wa ccm,,,VIJANA WA TANZANIA LAZIMA MUAMKE ,,,muwe kama vijana wa Kenya muingie barabarani
@GodfreyMwamaso
@GodfreyMwamaso 6 дней назад
Watan,ania hawa mashabiki wa simba na yanga wacheza kamari bodaboda vijana wa kitanzania ni waoga machawa hawawezi kuingia barabarani
@virendavictoria5174
@virendavictoria5174 7 дней назад
Yaan huyu ndio raisi wangu kama hayupo hakuna uchaguzi hatutaki ukanjanja kwenye haki za watu lazima tusimamie haki
@RabihuHussein
@RabihuHussein 6 дней назад
Nimeamini TLS ni ma mbwa wanaong'ata bila kupuliza. yani wapo kwaajili ya maslahi ya baadhi ya watu.
@mashakalukinda2350
@mashakalukinda2350 6 дней назад
Jaa Baya sana Kaka jaa zao ziko sehem zote zamwili kama vile kasa hawawezi kuwatetea raiya
@user-wl5np6sv3i
@user-wl5np6sv3i 6 дней назад
Inauma kwa kweli pambana Mungu yu pamoja nawe
@MenelusCzar
@MenelusCzar 6 дней назад
MUNGU ALIUMBA PEPO KWA WATU WEMA TUU🙏
@ChristianMkumbo-ix2ke
@ChristianMkumbo-ix2ke 6 дней назад
God bless MWABUKUSI
@EstherMushi-d7v
@EstherMushi-d7v 7 дней назад
Thank you role model🫡
@gabapentin8070
@gabapentin8070 6 дней назад
🔥🔥
@godfreykahabi1964
@godfreykahabi1964 7 дней назад
Pambana wakili msomi
@noellema9109
@noellema9109 7 дней назад
Mungu akulinde ndugu
@user-bp7nb7yp2o
@user-bp7nb7yp2o 7 дней назад
Kaka wamekuona wewe unakubalika na ungechukua kiti asubuhi na mapema.
@CharlesiPhilimoni
@CharlesiPhilimoni 6 дней назад
Kwelii kabisa
@JamesFrelimo-rz8ub
@JamesFrelimo-rz8ub 2 дня назад
Nakukubari mkuu nipo nyuma yako
@user-hw6uq9vy5r
@user-hw6uq9vy5r 2 дня назад
Tulitegemea na kuona kuwa tunawakili wasomi watakao tetea jamii ,kumbe nao ................pambana jamii IPO nyumba Yako utashindwa
@helencyprian8745
@helencyprian8745 7 дней назад
Tls branch ya kijani
@ezralameck4150
@ezralameck4150 6 дней назад
Wasio wanasiasa ndio wakuweza kuleta ukombozi Tanzania Mungu ibarik Tz ipate viongoz kama huyu😢
@husseynzooh1979
@husseynzooh1979 6 дней назад
✌️🔥
@CharlesiPhilimoni
@CharlesiPhilimoni 6 дней назад
Hoyeeeee sema kweli mwanashelia
@titusrobert5890
@titusrobert5890 7 дней назад
Mungu atakupigania,usikate tamaa mh
@AlexChawe
@AlexChawe 7 дней назад
💪💪👍
@saitotimollel8495
@saitotimollel8495 7 дней назад
Brother no retreat no quite fight until last breath. Tupo pamoja kaka.
@innocentmbunda736
@innocentmbunda736 7 дней назад
Tupo pamoja counsel
@ramsomnanka8688
@ramsomnanka8688 6 дней назад
Mwambukusi umeongea vitu muhimu sana ambavyonimekua najiuliza TLS Iko likizo au imetekwa na watawala, na genge la watu wachache,
@user-sp2pp9yl8g
@user-sp2pp9yl8g 7 дней назад
Hutakiwi Kahubili Dini ya Kuokoa watu
@bensonjoseph8845
@bensonjoseph8845 7 дней назад
I stand with MWABUKUSI....
@rweumbizalugaimukamu4905
@rweumbizalugaimukamu4905 7 дней назад
Well done
Далее
Косплей на ГОЛОВОЛОМКА 2!
15:20
Просмотров 382 тыс.
Ruto's Biggest Mistake Firing Attorney General Muturi?
14:27