Mimi binafsi waziri wa fedha na w/mipango waangaliwe vizuri nahisi hawapo sawa na Mh.Rais awaondowe ,Kisha aweke wengine pia Kilimo hakuna kitu Kila kukicha wanalalamikiwa wao tu kwani wananini?--Huu ni ushauri wangu na Sina kinyongo nao.
Madam fransisca masika dah nakumbuka ulivyokua redio tripleA arusha redio ya papa king big up xn nimefurahi xn kukuona wewe ni kichwa unaongea kisomi kama spika tulia akson 🎉🎉🎉🎉
Mko sawa viongozi wetu kwa kweli wahusika waliohusika ni vyema wachukuliwe hatua maana wamefanya hivyo kwa makusudi ili hali wanajua mwongozo wa bank kuu
Sasa hii nchi ni wapi hawa viongozi wetu wanapabtia? Yaani kila sekta malalmiko tuu... kwani ninyi viongozi hamjipangi kabla hamjafanya maamuzi mkakaa na hao wadau mkaelewana?
Mpaka lini mpaka lini jamani mivutano hii inakoma mbona ni swala dogo tu serikali kufanya maamuzi sahihi mara mmoja tu watu wakafanya kazi zao kwa utulivu serikali inapungukiwa na nini wakisikiliza kero na wakatoa mamuzi yanayotakiwa dah inachosha na kuumiza sana sana watu wateseke kutafuta wageni nje kwa gharama zao wanunue magari kwa gharama zao tena kwa kukopa wenyewe bado kuletewa shida kila kukicha
SHIDA HATA NINYI PIA MKIZIPATA HIZO DOLA MNAPENDA KUUZA BEI KUBWA MNO,HUKU MNAJIFANYA KUTAKA KUPEWA KIDOGO. TUACHE USANII ILI PESA YETU IPANDE THAMANI. KUNA TATIZO KTK TAASISI ZA SERIKALI NYINGI ZINAJIENDESHA KIBABE NA KUTAMANI KUWAIBIA WAWEKEZAJI,NA WABADILIKE.
Dahh. Mmeguswa kidogo tu.. kelele kibao. Malalamiko kibao. Vipi mnavyowabana ma tour guide wenu????. Mnavolalamika pia jaribuni kuangalia Hao wapambanaji ambao Ni mabalizi WA kujitolea hapa nchini kwetu. Mikitu mna miroho mibaya.
Kwenye kutishia kugoma sasa hapo mnakosa busara kabisa, mnahudumia wageni wetu watokao nje ya nchi ulaya america Urabuni tabia za kienyeji enyeji mzitoe kabisa vichwani mwenu yaani ni aibu hata kutanka hilo neno eti tulitaka kupaki magari mbugani? Au mmechoka pesa? Kama kuna miaka mmefaidika na utalii ni miaka hii ambayo majirani zetu Kenya vurugu zinatisha wageni na watalii wote wanasema tunaenda Tanzania kuna uhakika sasa msijichanganye na kulewa sifa na pesa, mtaharibu sasa hivi, mkumbuke mwisho wa yote mtajikomoa wenyewe watalii wakiacha kuja nani anapata hasara? Mtumie busara kubwa kwenye maamuzi yenu hasa kioindi hiki cha neema kilichowadondokea