Mungu aendelee kutupa uvumilivu tu kwa kweli kama ingekuwa kila mume au mwanaume anayetuchiti stahili yake ni kuuwawa basi wanaume wangebaki wachache sana na wanawake weng tungekuwa jela na watoto wengi wangeendelea kuwa machokoraa ila kwa hekima na uvumilivu anaozidi kutujalia mungu sisi tunadunda kwa kulea vyema watoto wetu na wanaume wakiendelea kuambulia magonjwa na mwisho umauti usio na nuru machoni pa mungu✍️asee mungu endelea kunijaza hekima na uvumilivu katika maisha haya yanayoumiza ni mengi ila isinifanye nikachukua hatua aliyochukua. Mwanamke mwenzetu📌
Unafiki hautaisha dunia hii. Huo wasifu siyo wa kwake. Anaheshimu watu gani kama kashindwa kuheshimu mke na watoto wake? Eti mcha Mungu! Uzinzi ni ucha Mungu? Acheni kutupotosha
Mkewe kwa imani ipi, yeye ni mkristo tena mroma kanisa la kiroma hata padre haruhusiwi tu kuoa wala watawa hawaruhusiwi kuolewa ila waumini ukioa au kuolewa haitambuliki ndo myengine, shida ni vile tunaficha maovu ya wanaotangulia mbele za haki au wanaotangulizwa kabla ya mipango ya Mungu, tunapaswa tu kusema ukweli sababu ya marehemu kufa ni alichomwa na kisu na mke wake kwa wivu wa mapenzi hivyo nasi tujifunze kuwa waaminifu kwenye ndoa zetu kuepuka haya yasitokee watu wangekuwa waoga na vifo kama hivi vitapungua sana, hata mtu akifa kwa HIV iwekwe wazi tu kusaidia wengine kuwa wacha Mungu na kuepuka ngono zembe, mtu amekufa kwa ugonjwa wa moyo figo au kisukari zisemwe sababu za kifo chake kuwa chanzo ni unywaji wa pombe na kutofuata ushauri wa kitabibu hii itasaidia kuzingatia afya na kupunguza vileo usasa na kufanya mazoezi kuzingatia afya.@@LydiaIsangi
Wanawake tuwe werevu kama nyoka siku zote tukishazaa tuangalie watoto wetu na tuwache kuangalia hawa wanaume jmn ona sasa mama huyu ameacha watoto wake wazuri na dhambi za huyu baba alizokua anafanya za kuzini anazibeba huyu mwanamke zote jmn inauma binafsi nimejifunza mengi kwenye jambo hili
Pole sana juma raibu kwa kumpoteza rafiki. Poleni sana, nimeumia sana. Jamani mkishindwana ni bora muachane kwa amani kuliko kutoana uhai Mungu hapendi
@@user-zx5wu5ql7h wew inaonekakana una roho lauuji kama huyu alieua, umekazania et yasikukute kwani huku umejuaje maisha yetu ? Yametukuta Sana Tena Sana, asilimia chache ya wanawake ambao hawajakutwa na haya mambo ya mchepuko, qq😥😥😥mtu unatendwa mpaka unajiuliza hivi nimekosea Nini mpaka iwe hivi lakini hata siku moja huwezi kuwaza kuua hata kidogo.. eti hayajakukuta! Kuna mwanamke ambaye sio muhanga wa kuoneshewa michepuko??
Dah watoto wadogo sijui wamezoea kuwaona wazazi muda wote Sasa wanaanza maisha ya uyatima 😢😢😢😢😢 uwiiiiiiii Mungu tujalie subra yarab na nyie makahaba mnaongilia nyumba za wanandoa na kujisahau ndio mjifunze hapa hii dhambi haiwaacha salama
Huyo mwanaume na yy ni kahaba kaenda kwa kahaba mwenzake ndo kifo kikamfika na weye unaesema mwenzako kahaba ww pia ni kahaba tafakari kwanza ndo uongee
Mtu meshafikia utuuzima sio km ni binti wtt sita inamana ndoa unaweza ikawa inamiaka 10 ss chaajabu nikipi kufanya wtt wadhalilike mimi ata angetembea nyumba ya pili mazali niko kwangu pesa yakula anatoa uduma za wtt anawapa naende ata akimaliza mtaa mzima atajijua mwenyewe
Hakufikilia watoto wake alifikilia mapenzi hivi kweli nina watoto sita naenda kugombania mapenzi niache wanangu waangaike hahahahah wee tembea tu hata na dadaaako wala sishtuki
Poleni sana watoto. Mwenyezi mungu awatie nguvu. Marehemu apumzike kwa amani. Hatujui ulipitia nini kwenye ndoa yako mpaka ukaamua kutafuta mke mwingine. Ndoa zina siri kubwa kuziombea tu
Msimlaumu huyo mamaa angalieni chanzo...hapo kaacha fundisho mshahara wa dhambi ni mauti...angetulia kwa mkewe na kujenga mqili wa Kristo yasingemkuta yote haya...
Hakuna malaika duniani, tukisema kila mwenye mwanamke nje auwawe...nusu ya wanaume kama sio robo tatu watauwawa. Mungu atusaidie sana , atupe mioyo ya subira, na atupe wanawake uvumilivu.
Duuuh...poleni sana watoto Mungu pekee atajua namna ya kuwapigania hawezi kuwaacha yy ni baba wa yatima..kweli hasira hasara naamini kabisa Beatrice hukujua kama utamuua mumeo ona sasa unaacha wanao unakwenda kuanza maisha mengine kabisa ambayo hukuwahi kuyaota pole sana
Kuna kinaulazima gani mpk utatilie mwanaume wtt wadogo watapata shida kwa wivu wa kijinga mtu nyumba mmejenga nasio km umetolewa akaletwa mchepuko upo ndani kwako shida niyanini anawacha wtt wanakuwa na simanzi hata hawa wtt awatoishi kwa raha na familia ya baba yao watakuwa na msimango sn roho yangu imeniima jamani
Mshenzi kweli wewe ni mmachame yupi uliona kauwa mume au ni stori tu za kipuuz huko mtaan kwenu hyu ni mkibosho piwa uache kudhihaki kabila za watu kenge wewe
Wamachame hawaui kizembe angeumwa tumbo 😂 au kifua. Mnatafuta mali kwa nguvu then mtu anaenda kuzitawanya kwa wanawake wengine. Haya akakipumzishe sasa kwa amani
Na nikuhakikishie kwamba huko aliko ajutiii lolote na ukiona ivo alikua kashafik steji ya mwisho ya Sina cha kupoteza😂😂😂mwanamke akifik hii steji Ata aue nchi nzima atakua Okey kabiss
Yaani mi mungu aniguse tu dkk zote maana mme wangu mimi anayoyafanya jamani,leo tumeanza kuitwa wa wapangaji wa mtu na tulikua na jumba letu la kifahari chanika huku,yote Kuma tu hizo zimesababisha kuuza nyumba na maisha kuyumba kiasi hiki.
Bora umesema kweli wanaume wengiiiii wanauwa wake zao wangapi huwa wanakuja kutetea familia wanaona ni kawaida Leo mwanamke kauwa anaonekana hana akili wanawake tuache unafiki
Mwenyezi Mungu Awatetee Wanandoa Wote Duniani, Wamama Chonde Kazana na Sala na Maombi ili Moyo Uushinde Katika Hizi Zambi za Uzinzi na Mengi Ya Kutisha Eee Mwenyezi Mungu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 🧎🏾♀️🤲🏾👏🏾🙏🏿
Wanawake tunajua tunapitia magumu sanaa lkn tuombe hekma kwa Mungu kabla ya masmuzi km haya ya kuumiza familia,,,ona wstoto wanavyolia😢😢😢😢😢na nyie wanawake wa nje kuweni ns hruma na ndoa za watu mungu anawaona jmn mkiganda familia za wstu mmeganda dah,naishiwa maneno
Tusipokuwa na maarifa tutateseka sana kunawatu wapo kuaribu maisha ya wengine umechochea ugonvi wanandoa wameuwana wewe unapata mwanaume mwingine mwanao analelewa watoto wamwenzio wanateseka inatia hasira sana
Hasira ni hasara ningejua inakuja mwishoni majuto ni mjukuu mwishowe uja kinyume watoto wanaumia kukosa wazazi wote kabla ya kutenda nyatupasa tufikilie mapenzi ni ya kupita tu kikubwa kuomba Mungu sana ona sasa.watoto wanatuliza ata watu tunao angalia mtandaoni 😢😢😢
Wanawake wengine wapumbavu,sasa unauwa mume wako ili iweje sasa watoto wake watalelewa na nani baba kaburini na mama atafungwa. Wanawake wenzangu tuache ukatili na akili mbovu acheni ujinga ona watoto umewavuruga.poleni sana watoto.
Hivi huo wivu wa kiasi hicho unatokea wap mpka kumtoa mumeo uhai bila kujali kitakukuta nn na kwann umfuatilie mwanaume na bodaboda kila kona afu umebeba kitu chenye ncha kali ina maana alidhamiria kumuua kwahiyo bora wakose wote roho mbaya sana hii
@@FunnyJumpingSpider-bz9dr watu wote wanapitia magumu ila wana tulia kwa sababu ya watoto ona hapo mama hayupo baba hayupo mimi mwanangu ni bora sana kuliko mwanaume wewe
Tufike wakati tujue tu akuna mwaume anerifhika japo sio wt ss unapoishi nae kaa kwaajili ya familia yk umeona umeshindwa basi kajivue kanisani engekuwa nisisi waislamu wamwambia nimeshindwa na km ataki kukuacha pia waenda jivua bakwata yote yanini haya kuwacha wtt wadhalllike wallah nimeumia sn simfikiri bb wala mama nawaonea uruma hawa wtt changamoto watazo kutana nazo Allah awafanyie wepesi
Haya ni matokeo ya kuumizana na mtu kukuona mpumbavu na mjinga flani hivi unauliza vitu unajibiwa shombo ila pamoja na yote uamuzi mama aliochukua mgumu ameacha watoto ni kama yatima. Ukiona umepata mchepuko mrembo muache mkeo mtagombana utamuumiza lakini ukweli mapema unakuacha huru. Mwanaume kapenda uzinzi mpaka umemuaa
Tatizo umalaya kaka zetu hawa liziki ndo hapo...mshahara wa dhambi ni mauti...na hapo ukute katika kupigana na kujitetea bahati mbaya kikamchoma...unadhani huyo mama alitaka kumuua mumewe?! hapana...
Anyway naomba niwe tofauti tuu..mguu wangu mmoja na nusu upo upande wa mwanamke,iyo nusu naiweka upande wa mwanaume..embu imagine umezalishwa watoto 7 mwili umekushuka shukii na ukute mda unazalishwa na mishono yako mlikuwa bega kwa bega na mwanaume kuchuma mali..leo kazipata ,mwanamke mwili umejaa makovu mara 7 , ndo anaona bora akajilie vinono na wengine ..aloooo iyo ishu hata shetani anakaaga pembeni,,kabla hawajamfunga uyo mama wajaribu pia kumcheki afya ya akili huenda hata hakuwa sawa kiakili
Ongeeni na watoto wenu, ndugu, wakileta wanawake wengine wakanyeni sio kufurahia. Haya ndiyo madhara ya zinaa. Umemchoka mke wako mwache nenda kaoe mwingine. Wanaume kama hamwezi kuwa na mwanamke mmoja si muishi peke yenu mfanye ufuska mkiwa free? Pole Beatrice
Wanawake tunapitia magumu sana hasa wake wa ndoa wanaishi kwa mateso sana hivi uko mstari wa mbele kanisani na shirika la moyo wa yesu alafu hata kutulia hutulii si laana hiyo saa ingine mungu anaruhusu tatinzo kwa tabia zako mbaya dini yake hairuhusu poleni sana nachojua ni shetani tuu iko ck atatoka akalee wtt wake mama ni mama tuu hata angekuwa kichaa mtakujakuniambia
Poleni wafiwa mungu awape ujasiri , Lakini tuache kutoa hukumu hp duniani ,mkumbuke kwa mungu hakuna SIRI HASA DHAMBI YA KUZINI,utasali sn na majitoleo mengi Lakini mungu akiamua kufunua tabia yk ijulikane ndio hivyo Mtaongea yote na sheria mtumie lakini mtoa kibari cha uhai / pumzi ni mungu mwenyewe anaelewa sitahiki ya kila mwanadamu
Jamani wanawake ss ndo chanzo cha mifarakano katka ndoa nying za waty...unajua kbsa mty ana mume kwann uingilie lakn m namlaani b mdogoo laana imfike maisha yake yoteee yy ndo chanzo cha mwanamke mwenzake kuwa gerezani
Nyie shabikia mnajua maumivu nyiyni ya mapenz mnahangaika kutafuta pesa kwa bidii mkishafanikiwa mwenzako anaenda kutawanya pesa kwa wanawake wengine unazan yeye ana moyo wa chuma japo angetumia busara tu na hyo mwanaume akakipumzishe kwa amani sasa hicho kinanii chake.
Bibilia inasema shahara wa dhambi ni mauti,alicho kifanya Huyo mama mshahara wake ni mauti.Hakuna cha upendo hapo.Upendo husitiri wingi wa dhambi na wivu ni dhambi.
Wanawake wa Moshi Mimi nawaogopa sana maana matukiyo kwenu yamekuwa mengi sana mala kuuwa wazazi Kisa Mali mala muuwe wame zenu namengineyo mengi njiee TU duuuu
Mi natamani hizi taratibu za kanisa kusema hakuna cha kutenganisha ndoa zaidi ya kifo matokeo yake ndo haya... Hawa huenda walishakuwa na migogoro muda mrefu ila kwa sababu ya ndoa ndo matokeo hayo. Watu wameshashindwa ila wanaishi tu kwa sababu ya ndoa. Sheria za ndoa zilegeze mashart
Kwaiyo watoto watakuwa wanasema mama alimuua baba 😢 Na waombee wapate akili na mwongozo wafanikiwe katka maisha maana kuna lawama zitakua juu ya mama yao
😢hapo uyo mama kahawaharibia wanae wakati wa kuolewa na kuowa utasikia nani aozeshe mwanae kwenye ukoo wa wauwaji nani aowe watt wa muuwaji nao wakitulia mtto wetu😢😢 Na hivi vitu ni endelevu chunguzeni uyo mama kwenye ukooo wao utakuta walishauwa
@@ElizabethMkini Kabisa dhambi Ni dhambi Mungu hajawahi sema Uongo Wanamtetea mtu dhahir inajulikana katenda dhambi,Tena huyo mwanamke akitubu Mungu anamsamehe kabisa hsijalishi watu wanasema Nini
Natamka kwa Jina kuu la YESU Kristo hai watoto Wataolewa pasipo maswali Wala Nini Wataoa pasipo maswali Wala Nini Nafuta Maneno ya watu kwa Damu ya YESU hayataumbika hata moja Iko Damu ya Mwanakondoo inenayo mema kuliko Maneno ya watu Ufunuo 12: 11 ikawe spesho kwa Hawa Watoto Ameen Kama Mungu wangu aishivyo hata milele
Amakweli siku za mwanadam zakuishi hapa Duniani zina Esabikaa.famly Mungu Awalinde na Akawe juu yenu kwa kila maamuzi utakayo hamuwaili watoto hao wakapate mikono salama ya kuwaleyaah