Majirani pongezi nyingi kwenu 🎉🎉 ni mashujaa, na waume zenu pia mmejitolea na kubeba jukumu zito na hatari, mna miiyo ya upendo wa kipekee, Mungu awe nanyi ktk harakati zenu za maisha 🙌🙏Poleni sana muwe na subra Mungu atajibu
Awashike sana majirani zake hao ni ndugu zake..hakika Mungu anaweza kukuletea watu wenye ni kumbukumbu kweny maisha yetu hakika kapata ndugu huyu dada nasikia namuonea na wivu kwa majiran aliopata
Duu iyosura ya mtuhumiwa anaonekana jangiri mwee wanawake sisi tunajua kufakamia wanaume apa tujifunze sana kubeba mijanaume kuipeleka nyumbani unapokaa na watoto wako nihatari sana inauma ila tujifunze sana.
Hao wenngine hujitia ushekhe ili aaminiwe upesi hatari usiamini kwa vigezo vya dini vya uongo hao wanafiki tu na m munguatawalipa watu kusingizia dini kumbe Wana yao
Km nijirani mama samweli umempata Kwenye ulimwengu wasasa majirani watakusema kwenye uovu tu ila kwenye matkio ya hivyo hawapogo Kiukweli mama poo 🎉🎉🎉🎉 upo vzuri
Kwanza hakuna mtoto wa haram uharamu ni lile tendo alofanya baba na mama kuzini kwa uislam lakini huyu baba hajui uislam muwe na hadhari si ukiona kanzu tu ukadhani wana dini kumbe sio lazima uchunguze Pole sana INSHA allah watapatikana
@@fathiyahmuzney7367 uislam wa kwel ni kuwa mtoto wa nje ya ndoa ni wamama na si baba yeye mama angelikuwa ni mtu wa itikad ndo angesimama kuwa huyo mtoto ni mama ndo ana haki na malezi nae..pia hivyo vitu vya kumwaga maji ndani sijui mara ngap sijui msomee mara ngap huo ni ushirikina katika uislam hakuna kitu Kama hicho isopokua mambo ya kizushi so huo uislam wake ni wa mashaka
Sasa jamani mwanaume unakutana nae hata mwezi haujamaliza umemkubali na kutangaza ndoa khaaaaaa. Huu ugumu wa maisha tutakaribisha na majini majumbani mwetu.
Wadada ,masingo maza kuna la kujifunza sio kila mwanaume akija tu unamkaribisha kwenye himaya yako wengine ni madui zetu wapo kutuumiza subhanallah 😢😢😢😢😢😢😢
Kwakweli Rais Samia tunakuomba upaze sauti kwa Askari police. Police wanapewa rushwa na watuhumiwa. Pole Sana mama. Police wanajua kila kitu nyuma ya panzia
Tabia ya simba dume anapohodhi familia huwa anaua watoto wote wa dume la zamani sasa usikute huyu bwege nae ameiga tabia hiyo kapeleka watoto kwenye kafara kwa sababu siyo DNA yake. Wambane atasema vizuri malaika hao wako wapi
Wapili jamani dada pole yani kuweni makini na wanaume wanaotaka hifadhi mtanga mwenzangu katapeliwa nyumba mbande nahao matapeli wanaume mpakaleo anajuta bola ungemlipoti polis
Ndoa sio lazima jamani💔🥹….polis tunawaamini sana tunaomba mtusaidie tujue mtoto yuko wapi ni mdogo sana kuwa nje ya mzazi wake ingali bado yupo hai siku 29 ni nyingi mnoo jaman🙏
Pole mama ila uliyumba sana kuanzia hapo kwenye hii ndoa yako...unaolewaje bila ya kujua familia ya mumeo na yy kujua yako...?khabari za kulea wanaume matokeo yake ndio haya mmmh.pole sana
Mungu anisamehe lkn huyo baba anahusika kwa 100% sasa mtu mmempeleka police mnashindwa kufatilia kesi jaman mmepotelewa au mnaigiza Astaghafilullah dd ulikuwa na shida ya ndoa hujawahi kuolewa ama aisee siwezi olewa hivyo km nimeokotwa jalalani😢
Tatizo la wanawake wa Tanzania 🇹🇿 warogwa na kuolewa mwanamke unawatt wako unafanya kikazi chako unapata kipato sasa kuolew kunahusu mwanamke mzuri kwani hamuwezi kuishi bila kuolewa ?mange anayaongea kilasiku hamsikii mtu ameisha kataa mtoto wako nabado unamuweka ndani kusa kuolewa ona sasa 😢
Police inaweza kuwa wako pamoja na huyo jamaa aingii akilini kabisa ni njama yao police nyinyi amjui lkn police wanaju wasinge kua wanasema mpaka tumuhuji la la police wako pamoja na mshukiwa jambazi sikuizi watu wanajua police anakula na jambazi dunia yote watu wajua huyu jamaa inaweza kua ni jambazi musiani watu saai watu ni wanyama musiache kuomba mungu pia sisi tutaomba mungu mtoto warudi salama kwa nguvu za Allah biidhini Allah
Halafu we dd mbona maneno yako unajichanganya mara likizo ya mwezi wa 3 alikataa wasije akasema watakuja mwezi wa 6 nitapanga chumba wakati mwanzo umesema umekutana nae ndani ya mwezi mmoja mkaoana
Mungu wangu huyo alikuja kuwaiba tuy alitumia kukupenda ww mwezi unaleta mwanaume ndan et mme wanawake jitambuien kwan ni h8zo nyege zinawasupuw am ni ujinga tuy umetujaa sasa mtamtafutia wap huyo baba