Тёмный
No video :(

ANAPOISHI WASTARA SAJUKI/ AONESHA UFUNDI WA MAPISHI AKIWA JIKONI/ MUME WANGU ALIOA WAKE 9 

ZamaradiTV
Подписаться 246 тыс.
Просмотров 71 тыс.
50% 1

Usisahau ku"SUBSCRIBE" RU-vid channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 339   
@nurumasha
@nurumasha 3 месяца назад
Sema nimempenda mtangazaji anajua kujishughulisha
@bintialiali670
@bintialiali670 3 месяца назад
Mrembo huyu dada Mashallah alafu anaongea kwa uzuri.❤
@Tuu2019
@Tuu2019 3 месяца назад
Nampenda Wastara since namjua huwa hafake life that's why hana sura ya stress bad Ana nawawirii Mashaalah
@user-fb8yx3ml8s
@user-fb8yx3ml8s 3 месяца назад
Wastara nakupendaga Sana,,,rakin umetupiga navkitu kizito form four umemariza mwaka gan na Mambo ya BIASHARA umeanza mwaka gan me mwenzenu cjakuelewa
@BerthaModest
@BerthaModest 3 месяца назад
Comment yangu iende kwa mr show buz ana heshima sana salleh mungu akuongez vyem kweny kaz zako❤❤❤
@farahali6041
@farahali6041 3 месяца назад
Kweli anaeshima sanaa
@ummishakii8322
@ummishakii8322 3 месяца назад
Kweli sarehe ana adabu sana afu mcheshi
@naimanimo4925
@naimanimo4925 3 месяца назад
Omg that girl & her 4on she can't put it away it's will enter the saucepan 😂😂 the boy loves the camera very innocent people 😅😅
@angelrichard899
@angelrichard899 3 месяца назад
Anaongea vizurii alafu uzuri wakee haubadiliki mrembo xana huyu dada....
@user-fx7ig1uy6t
@user-fx7ig1uy6t 3 месяца назад
Sana mashallah mwenyezimungu amuhifadhi
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 3 месяца назад
​@@user-fx7ig1uy6t Aamin
@ReginaMinja-G22
@ReginaMinja-G22 3 месяца назад
I love wastara❤she super woman
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 3 месяца назад
Maa Shaa Allah interview Tamu,Hongereni.
@godfreymunishi370
@godfreymunishi370 Месяц назад
Wastara ana Story nzuri sema yupo bize sana na shughuli ata hainogi Khaaaa
@zuwenaabdallah7748
@zuwenaabdallah7748 3 месяца назад
Huku kupika huku kuongea aaah hainogi bhana😊
@rerisamba
@rerisamba 3 месяца назад
Kuna miaka ya nyuma huyu dada akifanya interview alikua analia kweli hope nowdays maisha yake yamegeuka
@MahmudOmar-gx2ok
@MahmudOmar-gx2ok 3 месяца назад
kweli hata mimi nakumbuka
@RamlahNassoro
@RamlahNassoro 3 месяца назад
Maa shaa Allaah walipendana sana na mumewe
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 3 месяца назад
Usiseme waarabu hawapendi sana Kuhusu Elimu wewe...sema mie sikuwa na wazazi wenye Ufunguo wa kusomesha
@user-ct2qp6ur9t
@user-ct2qp6ur9t 3 месяца назад
Yupo sahii warabu awasomi 😂😂😂 miaka 20 ndoq
@sikukuuchuo3093
@sikukuuchuo3093 3 месяца назад
Hawa watu hawasomi 5 yrs tuko nao tunajua SEMA sai kiasi wamestaarabika😂
@mannahsalwa8433
@mannahsalwa8433 3 месяца назад
Waarab bint akishavunja ungo tu ndoa
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 3 месяца назад
Yuko sahihi wanaamin hivyo waarabu wewe usiyejua uliza
@Siasia209
@Siasia209 3 месяца назад
​@@user-ct2qp6ur9t nyie mmwsoma mpo na mavyeti ndani wenzenu wasio soma wamewazid pesa😂😂
@AalyahNassor
@AalyahNassor 3 месяца назад
SAMAHANI JAMANI HUYO DADA ULIYE NAE NI MSAIDIZI AU NI NDUGU YUPO BUSY NA SIMU KAMA NI MSAIDIZI DAH SISTER DUU SIMU NA KAZI WAPI NA WAPI
@Channelque890
@Channelque890 3 месяца назад
Ana record huyo
@user-hk3yy8zv9t
@user-hk3yy8zv9t 3 месяца назад
Amezidiwa had na huyo kaka yeye kakaa anasubiri kuagizwa kusaidia
@SalimhchialaAtilio-qj5cs
@SalimhchialaAtilio-qj5cs 3 месяца назад
Acha ajiachie kwani mfanyakazi siyo mtu
@jacklinechuga2569
@jacklinechuga2569 Месяц назад
Acha ujuwaji na maisha ya watu
@magrethkapinga1811
@magrethkapinga1811 3 месяца назад
Ivo uyo kaka anae tumwa kwa wastara mzima kweli
@khadjamhozya
@khadjamhozya 3 месяца назад
Kwanini?
@esterMahenge
@esterMahenge 3 месяца назад
😅😅😅
@Leylah-pz5sc
@Leylah-pz5sc 3 месяца назад
😂😂😂😂 wacha umbea ww heeeee
@kidoesther
@kidoesther 3 месяца назад
Kumbe na wewe umeona🤣🤣🤣
@miriyamasanja6766
@miriyamasanja6766 3 месяца назад
Saleh umejifanya kushtuka kusikia bikra imetolewa mara mbili😂😂😂😂😂
@fatmachikambo8780
@fatmachikambo8780 3 месяца назад
Huyo dada anae rekodi angeolewa na yule kinyozi wapili wa interview ya Chid Benz mwenye mask wana ushamba unaofanana 😂😂😂😂😂
@user-br4tl7jv9j
@user-br4tl7jv9j 3 месяца назад
😂😂😂😂😂
@MahraMansoor5969
@MahraMansoor5969 3 месяца назад
Mie nampenda sana kwa ajili ya Allah natamani kumpa kaka angu from uk 🇬🇧
@zayumar2955
@zayumar2955 3 месяца назад
Nipe mie huyo kakayako 🙈🙈🙈
@samanthalyimo4598
@samanthalyimo4598 3 месяца назад
😂😂😂
@zayumar2955
@zayumar2955 3 месяца назад
@@samanthalyimo4598 umefurah mwenyewe 😅😅😅
@khadjamhozya
@khadjamhozya 3 месяца назад
Wstara aronyesha mapenzi ya dhati kwa sajuki kabisa sajuki nae arifanya hivo waripendana kweri mpenzi ya dhati
@AalyahNassor
@AalyahNassor 3 месяца назад
Jamani mkiwa mna Ajili ma Housegril Mume makini wengine ni SHIHATA HAPO UTASEMA UNA MFANYAKAZI AU NI MUANDISHI WA HABARI WA KUJITEGEMEA
@princesmaile5561
@princesmaile5561 3 месяца назад
Shida ya mdada w
@aurorahmo3702
@aurorahmo3702 3 месяца назад
😂😂😂😂😂😂
@jacklinechuga2569
@jacklinechuga2569 Месяц назад
We umejuwaje ni mfanyakz
@hollymore4904
@hollymore4904 Месяц назад
Huwenda kaambiwa na boss
@mwanaidiomari7941
@mwanaidiomari7941 3 месяца назад
verry polite women
@janetdundul3858
@janetdundul3858 3 месяца назад
NAMPENDA SANA UYU DADA ❤❤❤❤❤❤😊😊
@mankinemansulikine-2220
@mankinemansulikine-2220 3 месяца назад
Salehe mate yanakutoka unavyopenda kula 😅😅
@salmakakozi963
@salmakakozi963 3 месяца назад
🤣🤣🤣🤣 nanjo kasha honja kidogo nyama bila hivo mate yangemjaa mpaka yaka dodoka 😅😅
@user-lq6kr2gl7n
@user-lq6kr2gl7n 3 месяца назад
Nampenda san wastara yan hanaga maskendo pamoja na kwamb ni msanii wa bongo movie anajielewa
@bahiyaseleman5838
@bahiyaseleman5838 3 месяца назад
Yaana kungekuw na sehemu yakutuMa voice ningeongea sana..maana hapo sjui ni jiko dogo mtu kasimamiwa😢😢
@user-vm5yf8cs2r
@user-vm5yf8cs2r 3 месяца назад
Wastara MashaAllah Allah akubariki Kwa Kazi zako
@khadijatanzania8040
@khadijatanzania8040 3 месяца назад
Kuanzia leo sitaki kujinenea mabaya zaidi ya mazuri tu kweli mdomo unaumba jaman pole sana Wastara😢
@rosemaryrwabibi5908
@rosemaryrwabibi5908 3 месяца назад
Mdomo uuumba mahi jinene mazur jiseme mm naweza
@khadijatanzania8040
@khadijatanzania8040 3 месяца назад
@@rosemaryrwabibi5908 kwakweli nimejifunza dear sitaki kabisa
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 3 месяца назад
Dada na cm utazania aliambiwa arekodi tu😅😅
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 3 месяца назад
Yani amekazana balaaa 😅
@virginiahaule5880
@virginiahaule5880 3 месяца назад
Yani
@rahmasuleiman9334
@rahmasuleiman9334 3 месяца назад
Mmmh nimjuavyo Saleh 😂😂😂hapo kichwa kipo kwa jiko na pua zishafikisha ujumbe wakti muafaka wa nyamnyam 😂😂😂😂😂
@selinathindwa9754
@selinathindwa9754 3 месяца назад
Mtangazaji ulienda muda sahihi ulikuta wanapika😂
@SamiaSamia-qc6tz
@SamiaSamia-qc6tz 3 месяца назад
Mbona mnamsema sana dada wakazi jamani khaaa
@user-ed4nr1lx6f
@user-ed4nr1lx6f 3 месяца назад
Mmh jikon mpangilio hmn eti kila kitu kinatafutwa jmn
@MwanatumuJumaa-rj4fg
@MwanatumuJumaa-rj4fg 3 месяца назад
Ila huyu dada kampenda sana sajuki ku.move on ni ngumu sana kila mwanaume atakae mpata atamlinganisha na sajuki tuu.ama kweli upendo wa kweli upo
@user-fx7ig1uy6t
@user-fx7ig1uy6t 3 месяца назад
Maskin...ndo mna unaambiwa hata kwa utani usijinenee mabaya .. anyway pamoja na yote pia mungu alishaandika hakuna wakupinga qadar
@maureenmgeni
@maureenmgeni 3 месяца назад
Ulimi hulaani na kubariki, tujiepushe kujinenea maneno ya kujilaani..
@tunsumealfredym7896
@tunsumealfredym7896 3 месяца назад
Amejinenea vp nimepitwa hcho kipande?
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 3 месяца назад
Dada anayerekodi uazania yeye ndiye aliandaa mahojiano😂😂
@AalyahNassor
@AalyahNassor 3 месяца назад
😅😅😅😅😅
@nathalieswedy3653
@nathalieswedy3653 3 месяца назад
2007 nmezaa mwanangu wa kwanza nikiwa na miaka 15 kasoro na hakuna serkal iliingiilia kati ikiwa hd clinic niwambia nina miaka 16 wakabisha sjafka na pemben niko na alienitia mimba mbn hawakuchukua hatua
@SalimhchialaAtilio-qj5cs
@SalimhchialaAtilio-qj5cs 3 месяца назад
😢😢
@YoungLovedii
@YoungLovedii 3 месяца назад
Alie ona box iliochanika anipe likes zangu
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 3 месяца назад
Nakumbuka kaolewa na kigogo ndoa ikadumu wiki kaachika na taraka juu😂😂😂😂😂😂
@sikukuuchuo3093
@sikukuuchuo3093 3 месяца назад
Sasa ndio unashabikia
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 3 месяца назад
@@sikukuuchuo3093 ili! 🤣🤣
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 2 месяца назад
@@sikukuuchuo3093 ndiyo 🤣🤣
@user-nr3bf4om8z
@user-nr3bf4om8z 3 месяца назад
Ni kweli kabisa aliolewa na kaka mmoja hanaitwa juma.. Na niliishi kwao na kaka alikua anaitwa dalueshi..alikua mdogo sana
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 3 месяца назад
Huyu aliishia la4b ndo maana hachanganyi kizungu kwenye sentes zake anaongea kiswahili na anaeleweka vizuri
@MtuSafi
@MtuSafi 3 месяца назад
Kwahyo ukichanganya na kizungu unakuwa umesoma?...Kuna watu wanajifunza kiingereza tu lakin hawajafika hata la7 je, ikoje hii...Kiingereza sio kipimo cha Elimu elewa hilo.
@faridapandu7579
@faridapandu7579 3 месяца назад
Nampenda wastara hanamavuno yupo pece🎉🎉🎉❤❤❤
@racheljohn2216
@racheljohn2216 3 месяца назад
Kijana anajua kurenga 😂😂😂🙌
@abdulschannel7937
@abdulschannel7937 3 месяца назад
Wastara ❤❤❤unanipaga raha
@happinessmtalika16
@happinessmtalika16 3 месяца назад
Mara secondary mara la saba mara 96 mara kuolewa miaka 14
@maligeltabatholomeo8128
@maligeltabatholomeo8128 3 месяца назад
Dah miaka 14 ulikuwa umemaliza secondary?😮
@jenifermakundi8230
@jenifermakundi8230 3 месяца назад
Nimejiuliza hvyohvyo
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 3 месяца назад
Anatupangaaaa
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 3 месяца назад
Hakumaliza
@user-sz7fj6ll5y
@user-sz7fj6ll5y 3 месяца назад
Inawezekana labda alianzishwa shule na miaka 3
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 3 месяца назад
Hakufika
@user-ug2vb6yw7w
@user-ug2vb6yw7w 3 месяца назад
Masikini pole dada yangu nakupenda
@user-ib7kn6fs4x
@user-ib7kn6fs4x 3 месяца назад
Show bizz leyo cyo nzuri ni jikoni tu
@IreneGrayson
@IreneGrayson 3 месяца назад
😂😂angalia comment yako alafu I translate kwa kiswahili utachekaa😂😂😂
@Grtudajunior-cw5zp
@Grtudajunior-cw5zp 3 месяца назад
​@@IreneGraysonweeeee imenibidi
@nuruhassan-qu1ff
@nuruhassan-qu1ff 3 месяца назад
😅😅
@safiasaleh669
@safiasaleh669 3 месяца назад
Anajua kupika huyu🎉🎉🎉
@Fatma-re2hw
@Fatma-re2hw 3 месяца назад
Mbona muandishi umekwenda wakati wakupika tunachoka au tunafundishwa kupika pilau as well?😊
@user-mw5xs2wx8n
@user-mw5xs2wx8n 3 месяца назад
Zamani aliwai kusema aliachishwa shule daresay la 6 akaolewa ila leo kasshabalisha😂😂
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 3 месяца назад
amesema waarabu shule haikuwa mbele kwa wasichana ukikua mkubwa kama umeisha la saba au formfour unaolewa tu
@user-dx6dm6lh1i
@user-dx6dm6lh1i 3 месяца назад
Ni kweli ehe​@@sabihaibrahim143
@queenmilan2024
@queenmilan2024 3 месяца назад
she is very educated and intelligent
@Brunn-mh2bq
@Brunn-mh2bq 3 месяца назад
Very educated? Really? Where did you get that idea?
@SikudhaniKulonda-jy1bq
@SikudhaniKulonda-jy1bq 3 месяца назад
​@@Brunn-mh2bqhahahaaaaaah. Mwasutana sio hofwi😂
@hamidajabu3324
@hamidajabu3324 3 месяца назад
Uyo kaka ana shida gan 😢manake anajichekesha mara anyali mara amuangalie saleh dooh😅
@mariamdullazy8166
@mariamdullazy8166 3 месяца назад
😂😂 kwanza anasubiria nin hapo jikoni
@AalyahNassor
@AalyahNassor 3 месяца назад
😢😢😢😢
@siahsiah4192
@siahsiah4192 3 месяца назад
😂😂😂
@RebeccaMuhimba-be1pj
@RebeccaMuhimba-be1pj 3 месяца назад
sialiitwa jamani
@Leylah-pz5sc
@Leylah-pz5sc 3 месяца назад
😂😂😂😂😂 daaah nyie
@chany9950
@chany9950 3 месяца назад
Love you mama 😘❤️🙏🏾🙏🏾
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 3 месяца назад
Mnatafuta kupigwa na majambazi kwenda kuhoji watu usiku sehemu hata gari haifiki si ungeenda asubuhi au mchana
@faizamohamed6993
@faizamohamed6993 3 месяца назад
Mbona nje ya nyumba ya wastara kuna magari itakuwa swaleh ametumia njia haipiti gari
@user-zy8th6ou4f
@user-zy8th6ou4f 3 месяца назад
Bwagala Turiani kuja madam mtusalimie
@SamiaSamia-qc6tz
@SamiaSamia-qc6tz 3 месяца назад
Jaman sanene nimepamiss 😊😊
@Leylah-pz5sc
@Leylah-pz5sc 3 месяца назад
Salehe jamaa limekupenda ilo mana si kwa jicho ilo😂😂
@marrymaganga7210
@marrymaganga7210 3 месяца назад
Huyo mkaka anajitumilisha huyo ili hari tu aonekane kwa kamer😅😅
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 3 месяца назад
Na ww nenda
@marrymaganga7210
@marrymaganga7210 3 месяца назад
Nyoo😏😏​@@chunaabdullah1333
@sikukuuchuo3093
@sikukuuchuo3093 3 месяца назад
Hujui kma n mgonjwa wa mguu ako n mguu mmoja
@IslamPeto-fd6wr
@IslamPeto-fd6wr 3 месяца назад
Sio kweli waarabu kuozesha watoto wao wadogo.. Twaishi nao uku.. Kutongozwa yenyewe mtihani,, mchezo uwo sisi waafrika,, wee msichana simu na gas iyooo,, kuwa makini cku ingine yaja kurepukia
@SamiraRamadhani-sc6db
@SamiraRamadhani-sc6db 3 месяца назад
Kutongoza mtihani
@IslamPeto-fd6wr
@IslamPeto-fd6wr 3 месяца назад
@@SamiraRamadhani-sc6db.. eeh waume wafanya kutafutiwa waja kuonana nyumbani
@namsamson3443
@namsamson3443 3 месяца назад
Huyo msichana wake yuko kwenye simu mda wote mpaka anaudhi. Msaidie mama jikoni
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 3 месяца назад
Wasichana wa kitanga na kirangi ndo zao kwenye kazi hawafai na hawadumu saa 24 simu mkononi wanachokiongea hakijulikani mpaka chungu kinaungua vyomvo vichafu vimejaa
@SuleimanKhdija
@SuleimanKhdija 3 месяца назад
😅😅anatak aonekane
@Brunn-mh2bq
@Brunn-mh2bq 3 месяца назад
Kwani umejuaje kuwa ni msichana wa kazi na sio ndugu yake?
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 3 месяца назад
@@Brunn-mh2bq kwani km ni ndugu yake hafai kumsaidia?!
@AalyahNassor
@AalyahNassor 3 месяца назад
Hadi kichefuchefu
@ngambikomsu64
@ngambikomsu64 3 месяца назад
1994 unamaliza 7 ,1996 unaanrza biashara na wakati huohuo ulifika form four , hapohapo uliolewa na miaka 13.duuu.kizunguzungu.
@bahiyaseleman5838
@bahiyaseleman5838 3 месяца назад
Hajui kujieleeza kabisaa yaan mtihani sana
@batulialmass8914
@batulialmass8914 3 месяца назад
Zamani watu walikuwa hawjali secondary
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 3 месяца назад
Yani balaa 😂😂😂
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 3 месяца назад
​@@batulialmass8914 kivipi sasa wakati amesema amemaliza form 4 ?
@edithaeugeni9695
@edithaeugeni9695 3 месяца назад
😂😂😂😂😂Kuwa mpole hao ndo wasanii wetu
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 3 месяца назад
Mashaallah❤❤❤
@HamimuBadyanaJR
@HamimuBadyanaJR 3 месяца назад
Huyu mshukaji ni mboga au😂
@user-eo4hd8xu6d
@user-eo4hd8xu6d 3 месяца назад
😂😂😂 Yaan salekh mbea,,,et hakuungui
@lightnesstippe9006
@lightnesstippe9006 3 месяца назад
Nimepata mshtuko nilichokiona daka ya 7:58 🙈🙈🙈🙈
@SikudhaniKulonda-jy1bq
@SikudhaniKulonda-jy1bq 3 месяца назад
Jmn miaka kumi na nne at umemaliza form four ni kwl hiyo
@mjsaidkeya
@mjsaidkeya 3 месяца назад
Siwezi kosa hii
@blandinamyinga9489
@blandinamyinga9489 3 месяца назад
NGUVU ya MATAMSHI""tujifunze ni nini tunatamka kwenye vinywa vyetu maana MANENO YANAUMBA.hata wamama wengi tunapenda kuwambia watoto wetu mbwa,mjinga wewee kesho yake akiwa na tabia za hovyo tunashangaa kumbe zile tabia tuliziumba wenyewe.
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 3 месяца назад
Sema wtoto wakiarabu hawazehekiharakaharaka
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 3 месяца назад
😂😂😂SHANGAHLA wa wastara😂😂😂jmn
@SalimhchialaAtilio-qj5cs
@SalimhchialaAtilio-qj5cs 3 месяца назад
Unavituko eti shagala😃😃
@glorianikiza3940
@glorianikiza3940 3 месяца назад
Boxa imetoboka mr shobizz😂😂😂
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 3 месяца назад
Sijui hajaiyona ila wajifunze kuvaa milegezo mm sipendi hii tabia imemzalilishaa
@dayanandama8873
@dayanandama8873 3 месяца назад
Camera man kasogeza camera haraka tucone vizur
@chany9950
@chany9950 3 месяца назад
🤣🤣🤣 mbavu zangu jmn🤣
@ttss7716
@ttss7716 3 месяца назад
Mbona kawaida bora ni safi 😂😂
@zuwenasalim2794
@zuwenasalim2794 3 месяца назад
😂😂😂😂😂nyie imebidi nirudishe nyuma nitizame😅😅😅umbea cwez kuuliza mie
@christinenere4696
@christinenere4696 3 месяца назад
Sio kweli uliolewa ukiwa na miaka 18 kuwa mkweli bhana hivi kwanini mnapenda kurudisha umri nyuma au huku soma mpaka form four 4️⃣ uliishia la 6 au 7
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 3 месяца назад
Huyu nikama aliishia la saba
@chimamilion
@chimamilion 3 месяца назад
Ushawai skia au kuona akiongea au kuandika english😅
@batulialmass8914
@batulialmass8914 3 месяца назад
Kasema ameishia lasaba
@user-uo8xw9kr4b
@user-uo8xw9kr4b 3 месяца назад
Inawezekana mumewe alimsomesha jaman au alisoma q t.
@neemamhelela7771
@neemamhelela7771 3 месяца назад
❤❤❤
@rehemamejja8342
@rehemamejja8342 Месяц назад
Njaa huna wastara wapendaa kujiliza tu
@dayanahancygao
@dayanahancygao 29 дней назад
Hivi kwanini mnaendaga kwa wasanii usiku
@zayumar2955
@zayumar2955 3 месяца назад
Mmmh uwongo na kweli 😂😂😂
@user-mw5xs2wx8n
@user-mw5xs2wx8n 3 месяца назад
Watu wanamacho jmn mpk boksa wameona😂😂
@zuhurakhasimu969
@zuhurakhasimu969 3 месяца назад
Imetoboka nyuma au sijaona vzur 😂
@junioremmanuel1695
@junioremmanuel1695 3 месяца назад
Hahahaha kama imetatuka
@Mzuri_002
@Mzuri_002 3 месяца назад
Nimecheka😂😂😂
@yasminemohamed4377
@yasminemohamed4377 3 месяца назад
Kama ameolewa na miaka 14 hiyo form four kamaliza na miaka mingap? Au me ndo sijaelewa
@KautharRamadhan-xv3gf
@KautharRamadhan-xv3gf 3 месяца назад
Ila kweli na mm nimejiuliza hvhv
@yasminemohamed4377
@yasminemohamed4377 3 месяца назад
Tumepigwa na kitu kizito hhhhhhh​@@KautharRamadhan-xv3gf
@joslinchuwa1298
@joslinchuwa1298 3 месяца назад
Na mimi nilitaka kuuliza hilo mmmh wasanii waongo
@evelynsalila
@evelynsalila 3 месяца назад
​@@joslinchuwa1298hata yeye ni mwanadamu jamani labda ulimi umeteleza
@SafiyaJ-yw2vt
@SafiyaJ-yw2vt 3 месяца назад
Huyu kaishia la7 eti fom4 halafu kazaa ana miaka14🤣🤣🤣🤣🤣
@chimamilion
@chimamilion 3 месяца назад
Sema uyu mtangazaji mbona kilakipind yeye nimda wakula shida ipo wap🙄nauyo dda wakaz kz yke nn et mfyuui
@AalyahNassor
@AalyahNassor 3 месяца назад
😅😅😅😅
@AalyahNassor
@AalyahNassor 3 месяца назад
Huyo Dada wa kazi yupo bussy na simu hadi kichefuchefu
@SuleimanKhdija
@SuleimanKhdija 3 месяца назад
Dah huyo dada anabowa mda wote na sim kama hataki kufanya kazi kwanini yupo jikoni mda wa kaz ni wa kaz sim tupa huko😮
@naah884
@naah884 3 месяца назад
Yaan kaonyesha ushamba wa hali ya juu sasa chakureko hapo ni nn 😂
@user-dx6dm6lh1i
@user-dx6dm6lh1i 3 месяца назад
Hii ndio tabia ya wafanyakazi walivo sio wote Lkn asilimia kubwa tabia hii wanayo mpk anaunguza
@SuleimanKhdija
@SuleimanKhdija 3 месяца назад
​@@naah884😅atapost status 😊😅
@SikudhaniKulonda-jy1bq
@SikudhaniKulonda-jy1bq 3 месяца назад
Waiz wa waume tu mm nadeal na houseboy bn​@@user-dx6dm6lh1i
@user-hk3yy8zv9t
@user-hk3yy8zv9t 3 месяца назад
Kaja Dar ..yuko shule ya msingi 94 ..96..97 kaingia kwenye biashara ya dhahabu ..mmmh nyie ..au m mahesabu yangu sijamuelewa..
@KhadijaDija-ir2hq
@KhadijaDija-ir2hq 3 месяца назад
Yasio kuhusu yasikusumbue
@fatmazullu4933
@fatmazullu4933 3 месяца назад
Na kweli 😅😅😅​@@KhadijaDija-ir2hq
@charlesgafau778
@charlesgafau778 2 месяца назад
Kwani unaaona kuna editing hapo punguza ujuaji au umetumwa😂😂😂 fatuma wewe
@catherinenenula7450
@catherinenenula7450 3 месяца назад
Salehe ata ajanawa ye anabugia tu😂😂😂kweli anapenda kula
@khadjamhozya
@khadjamhozya 3 месяца назад
Ndio vyo arivyo sio Mara yake yakwanza mbona ndomaana wanamsemaga mtandaoni kuwa anapenda Kura kwa ma staa
@SalimhchialaAtilio-qj5cs
@SalimhchialaAtilio-qj5cs 3 месяца назад
😅😅
@NusraHozza-qp8yy
@NusraHozza-qp8yy 3 месяца назад
Mtoto chiriku uyo Hadi Kero
@ashaashaa1959
@ashaashaa1959 3 месяца назад
Sas ndugu yangu pembeni yuko anachukuwa zake video 😊😅😅😅😅
@user-do4md7jo6x
@user-do4md7jo6x 3 месяца назад
Kisiri siri😂😂😂
@user-kt1cf9yp3e
@user-kt1cf9yp3e 3 месяца назад
Hapo amedanganya form 4 amesoma lini kwa umri huo?
@user-se9no4rg3k
@user-se9no4rg3k 3 месяца назад
Uyo ndo mtoto was sajukii uyo wakiume
@sarahmcharo1548
@sarahmcharo1548 3 месяца назад
owwh i know the bwagala hosp turiani
@batulialmass8914
@batulialmass8914 3 месяца назад
Jamani miaka ya 1994 shule alikuwa anafauru mmoja au wawili
@SalimhchialaAtilio-qj5cs
@SalimhchialaAtilio-qj5cs 3 месяца назад
Kabisa 😮
@ogdosho93
@ogdosho93 3 месяца назад
Mzee boxa imetoboka io😀
@arafaomari1832
@arafaomari1832 3 месяца назад
Ya nani
@shufaa8921
@shufaa8921 3 месяца назад
Mboa huyo kaka kainama nikaona box kama ime toboka😂
@anawiliam-eb4kb
@anawiliam-eb4kb 3 месяца назад
Ata mimi kama nimeona😮😮😮😮😅😅
@wardaomar4828
@wardaomar4828 3 месяца назад
hyu Dada yko bizze na cm mpka ameunguza anasingizia kaambiwa asije😂😂
@AalyahNassor
@AalyahNassor 3 месяца назад
Umbea una msumbua Huyo
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 3 месяца назад
Dada anarekodi tu😅😅
@ashazuber6548
@ashazuber6548 3 месяца назад
😅😅😅😅😅boss kapata
@user-pu6pr5jt4n
@user-pu6pr5jt4n 3 месяца назад
Wastaraa❤❤❤❤❤
@hadija_makange
@hadija_makange 3 месяца назад
Sasahao wanao zunguka hapo kwann hawapishi kipindi bhna wanaboa
@rehemamahendeka-rm2ek
@rehemamahendeka-rm2ek 3 месяца назад
Yaani tusipende kuongea tusivo na kumbukumbu nazo,umeolewa ukiwa 13 yrs old na umesoma hadi form 4,hesabu ya haraka ina maana darasa la kwanza ulianza ukiwa 3yrs(C KWELI KABISA KWA BONGO HII),tusidanganye kihivo.
@user-uo8xw9kr4b
@user-uo8xw9kr4b 3 месяца назад
Kasoma qt
@mwanakitenge
@mwanakitenge 3 месяца назад
Mkiwa mnahoji msiwege mnauliza mwaka gani mwaka gani mnakuwa mnawachanganya watu kwasababu unapouliza mwaka gani wakisema ukweli tunakuwa tunapata umli wa mtu ulio sahihi na mastar hawataki tuwe tunajua miumuli yao ndio maana hapo wastara katupiga hawezi kusema kama alimaliza from 4 alafu kaolewa na miaka 14 haiwezekani labda awe aliolewa akiwa dalasa la sita kwa ufupi wastara hapo alipo anazaidi ya miaka 45
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 3 месяца назад
😂😂😂😂😂
@batulialmass8914
@batulialmass8914 3 месяца назад
Mue mnasikiliza kasema aliishia lasaba miaka ya 197 shule ilikuwa hazingatiwi
@Rayramtz
@Rayramtz 3 месяца назад
Ila mm binafs cjasikia km kasema kasoma seco ayo nimaneno yenu wanazengo
@nancyfantasia1945
@nancyfantasia1945 3 месяца назад
Sa kwann ukoroge huo mchanganyiko wako kwa kidole 🤮🤮🤮🤮
@aishaarusha894
@aishaarusha894 3 месяца назад
Unakula wewe au yeye
@nancyfantasia1945
@nancyfantasia1945 3 месяца назад
@@aishaarusha894 umeulizwa ww yy au shobo tu
@aishaarusha894
@aishaarusha894 3 месяца назад
@@nancyfantasia1945 KOMA
@aishaarusha894
@aishaarusha894 3 месяца назад
@@nancyfantasia1945 shobo ni wewe unayochunguza ya wezio mxiew
@Bquality
@Bquality 3 месяца назад
kina kimtu kinaboa kina pitapita mpaka nmeacha kuangalia mana sikaelew au kaleft nn kwenye group la masela
@cleopatrajustine
@cleopatrajustine 3 месяца назад
Anatumia nguvu sana kuonekana kwenye video.... nimechoka ule muda amerudi na chenji eti anachukua wallet aweke chenji kwenye wallet halafu anachukua kigoda anakaa😂😂😂😂😂😂... na huyo dada hiyo video anarekodi ya nini??? 🤣🤣🤣. big up Saleh and I missed this.
@shazmapinky9012
@shazmapinky9012 3 месяца назад
Nampenda Sana huyu Dada😍😍😍
@ommyisihaka6017
@ommyisihaka6017 3 месяца назад
kma nmeiona boksa ya salehe imeliwa na panya matakoni
@zuwenasaleh9613
@zuwenasaleh9613 3 месяца назад
Walimwengu jamani 😂😂
@oscanyakunga
@oscanyakunga 3 месяца назад
Mtangazaji uwezi muonji mtu akiwa ashughuriki nakazi mbaka mmebanana
Далее
PEDRO PEDRO INSIDEOUT
00:10
Просмотров 2,7 млн
ОБЗОР ПОДАРКОВ 🎁 | WICSUR #shorts
00:55
Shajara ya Coy Mzungu | Afungua Kurasa za Maisha Yake
57:52