Mh Waziri umeongea vizuri halafu maongezi yako umeyatia dosari pale ulipobadilisha lugha ya kiswahili na kuongea lugha ya kiingereza pasi umuhimu wowote! Ulishawahi kumsikia kwa mfano, Rais wa Urusi au China anaongea kiingereza ? Kwa nini basi hatupendi kujisikia fahari tunapoongea lugha ya kiswahili?! Mdharau kwao ni mtumwa wahenga wamesema!