Hii tabia ya kuvamia maeneo ya watu imeshamiri mno Tz,na sio eti kuna matatizo ya ardhi kwani wengi wao wametoka mikoani wameacha maeneo yao makubwa tu na kuja kubanana mijini na kusingizia hakuna maeneo. Na pia wa Tz tunapenda mno vya bure,na kutokujali sheria.