#CloudsDigital ipo mubashara kutoka studio ya Clouds Fm kwenye kipindi cha XXL Ambapo Weusi na Interlude yao imesimama Kama Jiwe la wiki. #Naiaminia255
Uzuri wa hip hop si vizuri kurushiana maneno kama taarabu, ushauri iandaliwe freestyle battle kati ya weusi na tamaduni, tufunge mjadala. kama umenielewa gonga like.
Mashabiki acheni unafiki nyie ndo mnawaangusha wasanii mnapretend mnataka mziki mzuri kumbe ukija mbaya mnaacha mzuri mnaenda kwenye mbaya, sasa ebu niambie ni ngoma gani ya kikosi kazi ulosaport mpaka sasa?
Hapa najiuliza maswali. WEUSI kama walijua watachanwa sasa kulikuwa na haja gani ya #WEUSI kuwachana #TAMADUNI hata kama kwa mistari 2 kati ya 80. Kumbuka hata kama ukinitukana mimi tusi moja tu kwa mfano MSENGE, alafu ukazungumza mambo mengine ambayo hayanihusu. Basi tambua kuwa nikikusikia nitakuja na lundo la MATUSI hadi ujute.
Clouds mnafeli sana kuwabeba watu ...weusi mmewadiss wengi sana sema nyie mafisi coz waoga sana ... Hiyo diss imewapanikisha sana kiasi joh anaonekana kabisa hayuko sawa ...mnaenda international wapi toka miaka hiyo hakuna iliyovuka mipaka... Nikk good failure kwenye game sema kundi limekupa bebeo la kutosha
Clouds ipo kwa ajili ya watu wa Arusha au kaskazini mchomvu ni mtu anayetumika kuwabeba weusi akishirikiana na boss wake joh kusaga...kikosi kazi haina ukabila wala ukanda
Loveness Luoga 😂😂😂😂😂😂sasa we rasta huzijui ama!! By the way yule alie sema atazikata na chupa yale maneno tu!! So waneona wamepotea ndo style ya kurudi cuz wa bongo unapenda ujinga sana,, amber rutty kalipishwa million kumi afu alie kula kondoo kapewa fom ajazi awekiongozi,, wasenge kweli kama viongozi wenu!
Mm ni fans wa weusi na nifansi wa. Kikosi kazy Ila nadhan mmeogopa kuwadis Ila Kama mgeendeleza bato hip hop yetu ingeenda Mbali sanaa kwasababy sasaiv tumefhnika miziki mingine ni hip hop kwasababu yenu nyinyi weuse na tamaduni ila Kama mmetaka kuuwa game ya hip hop sawa
Wanacho fanya njamaa hawa ni kucheza na Psychology za haters then wana brings creativity alafu n kundi lililo dumu muda mrefu sna coz lipo kibiashara sana . Tofaut na wengine ambao wana ungana kwa mission tu na hupotea gafla
Niki nimkali sawa atukatai lakn / shida yake moja tuu apendi kupingwa ndo maana ! anaitwa m bishi ndo maana afikimbali / angalia mtu kama khaligraph Yupo mbali sana jamaa
@@hancymachibbula4355 sisi tuongelee mziki wana lipi jipya...maana ukiingia kwenye issue zingine utapotea mana kwa kisomo tu weus wapo good...mishe mishe ndo usijichangaje wapo gudi pia ...wanakulitafuta mtalipata
Wangapi sasa wenye kisomo hapo weus kama si mmoja tu maana bonta kama hayupo, pia mimi sijaongelea mambo ya kisomo nimeongea wanafanya mzik na issue zingine.
We don't see your game changing nyinyi ni Entrepreneurs na kwenye ulimwengu wa HIPHOP nyinyi ni combustible na KIKOSI KAZI ni Moto kwa so kaeni mbali msije mkadharaulika wale Jamaa HIPHOP kwenye dam
Kiukweli weusi hawana mziki wa kushindana na kikosi kazi hata huyo dogo raptcha ni msanii wa kawaida sana sema clouds mnampa nafasi kubwa na kusahau vipaji vya kweli acheni kubebana tunataka wasanii wa ukweli
mamy bae uko too personal sana toka interview ya kikosi kazi try to change kua mid plz play your part. Otherwise tunapigia mstari kwamba kuna watu mnawabeba. Am sorry kama ntakua nimekukwaza lakini.
Hv nyie mnajua beef au mnalisikia beef lilikuwepo zamani Kati ya Kikosi cha mizinga na nako 2nako mpaka nako wa kasanda wakaomba msamaha Kwa kutoa nyimbo ya try Love hapo Hakuna beef awo wanachananana tuuu
Ukigombana na mjinga nawewe utaonekana mjinga. Nawakubali sana Weusi kwa kupotezea machoko,kazen wana kaskazin hakuna kundi bora kama weusi Tanzania na Afrika mashariki
Uwezo hawana wa kubattle wanajifanya ooh sie hatuna muda huo😆😆😆 this is hiphop ma meen!msiogope battle kama kweli nyinyi ni wana hiphop ila nyie ni wana "mdundiko!"kk wamewaonea walitakiwa wabattle na watu kama roma.stamina.fid q.na maemcee wengine ila sio kuwachana mandezi kama nyinyi mnaobebwa na "REDIO WAFU"
@@nakalikyumile4370 🤣🤣🤣....unaowaita mamc wako hao ndo wana mambo ya kimama ...wamejishuku af hawana kitu mbona wengine hawajaona ... Watu nane kwa mtu tatu..nan mwenye akili hapo
Tsg!😁😁😁kweli we boya!nyie maboya!wamejistukia!hivi unadhani kk wanawaogopa hao "WEHU???!!😁😁😁😁😁 nadhani wewe ni mmoja wa hao mchelemchele!mtu mmoja tu p the mc angetosha tu kuwachakaza wote!na wanajua hawawezi battle na kk!ndo maana wanaishia kufyata😁😁