Wakongomani lindeni wakuu wenu watetezi wenu kama jinsi wao wanavyojutolea kuwatetelea inchi isinyanganywe na wanyarwanda ndipo mtabarikiwa zaidi msizarau watu wajitesao kwa ajili yenu msije mkazidi kupandikiza laana ya milele leo hii mnakuwa mnajivinjari kwakuwa kiongozi alioko madarakani ni mwana wa inchi ajuwaye uchungu wa inchi na wanainchi wake
Nimeipenda bure vile amani na itawale kwetu kongo mtu na kwao mkataa kwao mtumwa ugenini ndugu zanguni msikubali hata punje moja ya inchi kunyanganywa na wanyarwanda kwetu kweli huraha ilioje?