Тёмный

Yanga SC 4-1 Tanzania Prisons | Highlights | NBC Premier League 28/05/2024 

Azam TV
Подписаться 2,7 млн
Просмотров 263 тыс.
50% 1

Stephane Aziz Ki amefunga #hattrick Yanga ikiiadhibu Tanzania Prisons magoli 4-1 kwenye mchezo wa kuhitimisha msimu #NBCPremierLeague 2023-24 uliopigwa Azam Complex, Chamazi.
Waliotangulia kufunga ni Tanzania Prisons kwa goli la beno Ngassa dakika ya tano huku Aziz akifunga magoli yake dakika ya 11', 12', na 79' huku goli lingine likifungwa na Kennedy Musonda dakika ya 52.
Magoli haya yamemfanya Aziz kuwa mfungaji bora wa ligi #TopScorer akifikisha jumla ya magoli 21 mbele ya Feisal Salum aliyemaliza na magoli 19
Tazama highlights....

Спорт

Опубликовано:

 

27 май 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 166   
@lossarungira965
@lossarungira965 Месяц назад
Mm yanga Ila Niko tofauti kidogo. Nafurahi Ki Aziz kupata kiatu, lakini siwezi kumbeza fei, tukumbuke fei kuondoka yanga kumeketa tija kwa wote wawili😊, yaani fei kuonekana zaidi na azizi kuonekana zaidi tofauti na walipokuwa pamoja huku mara nyingi wakigimbea namba kumi. Narudia, nafurahi Aziz kushinda kiatu, lakini wote fei na Aziz ni wachezaji wazuri Sana. Hongera kwao.
@KhadijaNgoma
@KhadijaNgoma Месяц назад
Nakupenda Aziz k
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 Месяц назад
Skudu yuko bomba sana
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 Месяц назад
aziz ki kacheza kwa bidii mno,astahili golden Boot,kaichukuwa kwa haki,.
@elishawilliam4722
@elishawilliam4722 Месяц назад
Aliyeona kitu kwa Ngassa jr. Tujuane 🙌
@BenLaw_2003
@BenLaw_2003 Месяц назад
Ki aziziii like hapa
@Joycekombe2
@Joycekombe2 Месяц назад
Aziz kweli mchezaji 🙌.. anajua
@user-qz2if6nc9j
@user-qz2if6nc9j Месяц назад
Huu ulikuwa msimu Bora kwetu wananchi tuombe mungu tuvunje hii rekodi inshaallah
@Elizakilisipinilikolika1996
@Elizakilisipinilikolika1996 Месяц назад
Nakupenda sana azizi l love you. baby boy❤❤❤❤🎉🎉🎉
@FeisalMduda
@FeisalMduda Месяц назад
Yanga is a best
@galadjogadiaga9660
@galadjogadiaga9660 Месяц назад
Stéphane Aziz Ki 🇧🇫🇧🇫🇧🇫
@user-vb9zr8lj4o
@user-vb9zr8lj4o Месяц назад
Embu pendeni kuwapa watu maua Yao mtu akifanya vizuri mpongeze
@nasmahhussein7452
@nasmahhussein7452 Месяц назад
Kilichowaponz ni kuanza kufunga😅😅😅
@HASSANABDALLA-uw2ui
@HASSANABDALLA-uw2ui Месяц назад
Many good things you have done, weldone president hersi
@FilbertFidelis203
@FilbertFidelis203 Месяц назад
Nasikia laa sana kikwel kwa master ki aziz
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 Месяц назад
Azizi ki kapambana sana msimu huu anastahili kiatu❤❤❤
@SuzyAntony-ko5oz
@SuzyAntony-ko5oz Месяц назад
akuna kitu kilicho wahi nifurahixha Feisal kukoxa kiatu big up brother
@NeemaMichael-pc9jj
@NeemaMichael-pc9jj Месяц назад
Haswaaaaaaaaaaa Yan kakosea Nina Raha mpaka nashindwa kueleza yaaan apewe Salam zake hawez shindana na azzzzzz
@Ba63828
@Ba63828 Месяц назад
Bravo
@titusedson2234
@titusedson2234 Месяц назад
mnzizeee asitoke yanga
@lucyhamad3042
@lucyhamad3042 Месяц назад
Kabsa yaan, alafu hizi match 3 za mwisho alikua anajitahid kumtengenezea Aziz
@Prince-rafael
@Prince-rafael Месяц назад
Fei toto nakukumbusha tu kuwa mwenzako master ki kabeba medal,kabeba mpira, kabeba kombe, kabeba kiatu na anabeba na Hamisa mobetto😁
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo Месяц назад
Amesomba Mvp kombe fei mtt sana kwa azizii
@MrBema87
@MrBema87 Месяц назад
Utapigwa😂😂😂😂
@user-px3ct3nq6r
@user-px3ct3nq6r Месяц назад
😂😂😂😂😂😂
@ismailkiwawas5982
@ismailkiwawas5982 Месяц назад
😂😂😂😂😂namobeto tena
@user-yk8zp8zr5b
@user-yk8zp8zr5b Месяц назад
😂😂😂😂😂🎉🎉🎉
@azizambise
@azizambise Месяц назад
Nimefurahi wachezaji wamechangia wote mwenzao kupata kiatu
@user-cl1ut6oq1v
@user-cl1ut6oq1v Месяц назад
Jezi nzur Sanaa ushind mnonooo
@nangonga1991
@nangonga1991 Месяц назад
Magoli ayo ametaabiriwa na Harmonize
@ramadhanrobin-st6hh
@ramadhanrobin-st6hh Месяц назад
TATU FC wakiona hii highlights wanaumia vibaya mnoo
@tinahwilliam1918
@tinahwilliam1918 Месяц назад
😂😂😂😂😂 nimejikuta nacheka
@mohamedkutwambi
@mohamedkutwambi Месяц назад
Kiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
@ProsperEnock
@ProsperEnock Месяц назад
Ki Aziz ❤❤
@CharlesCharlesmaduhu
@CharlesCharlesmaduhu Месяц назад
Asante sana Azizkii
@malietamalieta9658
@malietamalieta9658 Месяц назад
Aziz ki kabeba1: kiatu 2:kombe :robo final caf 4:hamisa 5:kabebesha mimba yani musimu huu amekosa tu kumbeba rais
@denismwaisanila3223
@denismwaisanila3223 Месяц назад
naomba yanga hii isibomolewe ila mwamnyeto akapumzike
@MwesigaGodfrey
@MwesigaGodfrey 8 дней назад
😊😊
@user-uv5jf6he8r
@user-uv5jf6he8r Месяц назад
Tuvaa hizo jezi Huwa tuko noma sisi fei
@rahelnamonde
@rahelnamonde Месяц назад
Na fard jamn hamjamuon km anaweza
@trice_yanga
@trice_yanga Месяц назад
mwamnyeto baba tunakupenda badilika😢
@brother_majesty
@brother_majesty Месяц назад
Saikolojia jmn..hayuko sawa
@frankevaristo6918
@frankevaristo6918 Месяц назад
Pamojaaaa sanaaa Azizi kiiiiiii
@MashakaMajiji
@MashakaMajiji Месяц назад
Mwamba WA Ouagadougou ni ninja tu.
@user-ge3yd1tx5e
@user-ge3yd1tx5e Месяц назад
Sasa Mliona rahisi Fiken nyie Kwenye shirikisho Final Tuone.........Hawooooooo Makolo
@mwajumabandula6122
@mwajumabandula6122 Месяц назад
❤❤❤
@MartinYakobo-io1og
@MartinYakobo-io1og Месяц назад
Yanga wana
@izvibez6823
@izvibez6823 Месяц назад
I blame Tanzania prisons for scoring first😂
@user-jn8us1qi1z
@user-jn8us1qi1z Месяц назад
Ndo wanafananisha na fei😂😂😂🎉
@user-im6wu8uk6i
@user-im6wu8uk6i Месяц назад
Huyu jamaa ana just sanaaaaa
@Faustine_Charles
@Faustine_Charles Месяц назад
msheri kaonyesha ni kipa wa daraja gani, mwamnyeto kaonyesha ni beki wa daraja gani, goli moja limetupa majibu mawili yaani jiwe mmoja ndege wawili
@idanysedrc1200
@idanysedrc1200 Месяц назад
Goal kosa la mshery hana maamuz ya hraka maana kaishaona mwamnyeto kabanwa na watu 2 kwann asibane angle ya pemben au akamsaidie mwamnyeto? Maana mwamnyeto kaenda kuclear makosa ya yao
@JUU-lw2je
@JUU-lw2je Месяц назад
Mwamnyeto hajaanza leo
@NdevuKamdini
@NdevuKamdini Месяц назад
Aziz k 🎉🎉🎉🎉
@UpendoJoseph-ht3qy
@UpendoJoseph-ht3qy Месяц назад
Jaman Aziz ki so mchezaj wa kuliganishwa na fei too
@ChirwaWaisaka
@ChirwaWaisaka Месяц назад
Mwamba Aziz kiiiiiiii hakuna wa kutokea kama kiiii
@kirobotonyo6352
@kirobotonyo6352 Месяц назад
Siache mmbachao...kwa msala upitao Fei take care.....😂😂
@AbuuRayyaanah
@AbuuRayyaanah Месяц назад
Master key
@user-ox3ij7ki3t
@user-ox3ij7ki3t Месяц назад
Jamani mashut ya aziz k ni ya moto naona golikipa wa prisoni anadaka alaf anapuliza mikono hatari ila prisoni wameyataka wenyewe pale walipo jaribu kupiga mzinga wa nyuki busu ndipo nyuki wakaamka kweli kweli comback ya kibabe
@AllyMasangaluka-bm5ib
@AllyMasangaluka-bm5ib Месяц назад
Uyondio mwamnyeto ninaemjua mm makosa yakijinga afaikia yanga uyu
@babacaren1801
@babacaren1801 Месяц назад
Mabigwa WA kila kitu🎉
@ogmr-bg7gd
@ogmr-bg7gd Месяц назад
Woooooooooxh
@willisonkahamba4344
@willisonkahamba4344 Месяц назад
Nomaaa
@zeroconscious1916
@zeroconscious1916 Месяц назад
Huyu mwamba namkubali sana aisee. Mungu azifi kumtia nguvu
@nadhirijay9902
@nadhirijay9902 Месяц назад
Kuna namna league yetu iwe na championship playoff kuanzia wa kwanza Hadi wa 7 afu na relagation play off wacheze 8 - 16 watu wachukue ubingwa kwa mbinde
@gregory6165
@gregory6165 Месяц назад
utatuharibia ligi
@khamisisima711
@khamisisima711 Месяц назад
Ukimfuatilia sana Mwamnyeto Kila goli atakalofungwa yanga basi lazima yeye kafanya kosa kiukweli amekua na makosa Kila mchezo ambaye anacheza
@FlorahDaud
@FlorahDaud Месяц назад
acha wivu bro 😮😮😮😮
@HafidhSimba-hu3ne
@HafidhSimba-hu3ne Месяц назад
Watoto 2nabalaa
@user-uv5jf6he8r
@user-uv5jf6he8r Месяц назад
Mpeni salaam fei sisi tushiki
@hajially4527
@hajially4527 Месяц назад
Fei toto atapewa socks
@user-lf5mo3tp9k
@user-lf5mo3tp9k Месяц назад
Mwamnyeto dah mi ananikwaza kweli kweli
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 Месяц назад
Huyu golikipa wa yanga anadaka kwa macho
@rahelnamonde
@rahelnamonde Месяц назад
Skud abaki
@RithaPhellan-qw3uh
@RithaPhellan-qw3uh Месяц назад
Fei alikuwa anampiga misumari mwamba....ila mungu naye ni nani😂😂😂😂
@muhsiniamiri9310
@muhsiniamiri9310 Месяц назад
Ila mwamnyeto tumpe thank yu
@RobertLaizer-tk8ym
@RobertLaizer-tk8ym Месяц назад
Naomba skudu asiondoke
@evertheobald1811
@evertheobald1811 Месяц назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉, ametisha sanaaaaa kaka Kiiiii
@fatumasophu5855
@fatumasophu5855 Месяц назад
Mamaeeeeeeh
@catherinesembeka1417
@catherinesembeka1417 Месяц назад
Kama wyn room wa man u vile.🙌🙌🙌🙌
@selemanmussa3459
@selemanmussa3459 Месяц назад
Yule streka wa majini au teka la mguu mmoja salamu zimfikie...
@user-xg1qk1li9y
@user-xg1qk1li9y Месяц назад
Master ki mwamba kwel kwel
@rajabmwange4634
@rajabmwange4634 Месяц назад
Ila Mwamnyeto!😂
@johnmichael2524
@johnmichael2524 Месяц назад
The video quality is very low and bad
@ChartyMpepo
@ChartyMpepo Месяц назад
Kama huna D 2 uwezi kuewa😅😅😅😅😅😅
@NailaMickey
@NailaMickey 26 дней назад
Haka kabeno ngasa soon kaje yanga
@FarhiaRamadhani
@FarhiaRamadhani Месяц назад
Yangaaaaaaa
@user-wb3ff1eq1b
@user-wb3ff1eq1b Месяц назад
Au wewe ndo wale waliokosaa D mbilii ambacho huelewii nn???😱😱😱😱😱 hata kuonana!!!!!!!
@elizabethismile6827
@elizabethismile6827 Месяц назад
Mtasema mengii ila.. ndo ivo kajituma na Mungu kashamwandkia kitambo kushinda na leo kahitimisha .ligi imeisha muwape washindi maua yao
@imaniisaya-np9md
@imaniisaya-np9md Месяц назад
Hivi mwamnyeto wa ninni
@fabiandanielkatikiro1478
@fabiandanielkatikiro1478 26 дней назад
Mwamnyeto nguvu nyingi akili kiduchu 🤔
@SkayuMusic
@SkayuMusic Месяц назад
Key anawashenyenta mabeki na makipa
@neemaisrael688
@neemaisrael688 Месяц назад
PIRA BIRIAN.
@kelvin7ithuiumwasamaki987
@kelvin7ithuiumwasamaki987 Месяц назад
Huyu skudu leo
@MrBema87
@MrBema87 Месяц назад
🎉 ana vitu vingi na nimdogo sana
@EbbyMalende
@EbbyMalende Месяц назад
jiniaz
@issakarim4413
@issakarim4413 Месяц назад
Wanachangia au tayr maongezi yamepita
@user-hv8ns7gs9c
@user-hv8ns7gs9c Месяц назад
This is top foul
@marysaimon2213
@marysaimon2213 Месяц назад
Sisi humu Tu
@user-yq7te7ms5p
@user-yq7te7ms5p 20 дней назад
Acha huo mgol Cheo mpas wa shekh
@dickMassawe
@dickMassawe Месяц назад
Clement yanga wakimtumia kama winga alaf watuletee striker anayeeleweka clement tutaona umuhimu wake
@lossarungira965
@lossarungira965 Месяц назад
Sahihi Sana, tofauti na clement kucheza kama striker
@JosephineItambu
@JosephineItambu Месяц назад
Quality ya video mbovu Azam Tv jmn khaaa🙄🙂‍↔️💔
@johnmichael2524
@johnmichael2524 Месяц назад
Mbovu sana
@Neymoses
@Neymoses Месяц назад
Yaan inaumiza macho balaa
@aminimwanga4818
@aminimwanga4818 Месяц назад
Wacha wanaostahili kushinda ashinde kiatu cha mfungaji bora
@user-jn8us1qi1z
@user-jn8us1qi1z Месяц назад
Kuna fala anapiga hatrik wachezaji wako 8 lakini master ki kapiga hatriki Azam wako 11😂 alafu makolo wanasema fei😂😂😂
@mwanangusana
@mwanangusana Месяц назад
😂😂 hata Azam kapigwa 3 nmaster k
@jaymorisonwonder1156
@jaymorisonwonder1156 Месяц назад
Hivi mwamnyeto aliyemroga alikufa???
@KelvinRobert-mn2mn
@KelvinRobert-mn2mn Месяц назад
😂😂😂😂😂😂 amutaft
@abdulmohd6880
@abdulmohd6880 Месяц назад
Yani mm hua nashangaa sn kuckia simba wanamtaka huyu alafu hua nashangaa sn kua eti hatuwapi😂
@abdulkarimabdallah9536
@abdulkarimabdallah9536 Месяц назад
😅😅😅😅😅😅
@RestutaLeo-xq7rf
@RestutaLeo-xq7rf Месяц назад
Hv mbangula yumo kwl?
@simpleboytz255
@simpleboytz255 Месяц назад
Mbangula alikuwemo
@baranyikwamohammed628
@baranyikwamohammed628 Месяц назад
Fei we fei wewe ,adi mobeto anachukuliwa ,zanzibar bure kabisa
@MysarahMohamed
@MysarahMohamed Месяц назад
Mwamnyeto cjui ana shida gani huyu
@ashikalojr6961
@ashikalojr6961 Месяц назад
Yan hzo ndio mech za nyumban tukienda kimataifa attuzngua hyu aspo jilekevisha
@SubiraMohammed-ks6qg
@SubiraMohammed-ks6qg Месяц назад
Ila gharib mzinga maneno yako jaman mbona mambo d2
@gerrardcharlesmonyo1331
@gerrardcharlesmonyo1331 Месяц назад
Azizi ki anasemaje dada fei ni wake na anatamba nae namimi kama baba mkwe npepitisha ndoa ifungwe
@mamohamed1252
@mamohamed1252 Месяц назад
Mtangazaji kiswahili ni Msumari sio Msumali duuu😂
@chire4574
@chire4574 Месяц назад
Izo ni vitu vudogo ww
@clintonjames7154
@clintonjames7154 Месяц назад
Iyo mechi Ni Kama imeuzwa😮
@Fgldesigns
@Fgldesigns Месяц назад
Nawewe kanunue
@FettyObedy
@FettyObedy Месяц назад
Kanunua mamako
@user-bk1gm7yh2w
@user-bk1gm7yh2w Месяц назад
😂😂😂 hata ile ya kwenu tulinunua
@frankemmanuel5239
@frankemmanuel5239 Месяц назад
Ata Simba mbona mliuza Mana nyie mlikula tano hao nne
@mhandomhina5503
@mhandomhina5503 Месяц назад
Huyu dogo Ngasa kwani vp?
@user-be6rc7le8l
@user-be6rc7le8l Месяц назад
Unasifia kijinga wee mtngazaji kiwango ambacho anaonyesha azizki ni chakawaida tu unampa kichwa na masifa kibao ambayo hana, top class unamjuwa wap?au unaongea tu kwakuwa umekata spika tena ndo watu wakuskie unaongea kiingeraza feki kisichokuwa na mpangilio
@gladnessmushi-ge6fd
@gladnessmushi-ge6fd Месяц назад
Makasiriko ya nn kolo😂😂😂ni top class magoli 21
@charlesmillinga992
@charlesmillinga992 Месяц назад
Pole ndugu
@kapambahassan1183
@kapambahassan1183 Месяц назад
Wewe ndio umeandika ujinga, eti kiwango cha kawaida lete takwimu kama kuna Mchezaji yeyote kutoka kwenye litimu lako lililoshika nafasi ya 3 anayemfikia.
@georgewilson6830
@georgewilson6830 Месяц назад
Una maumivu eti?
@abdulkarimabdallah9536
@abdulkarimabdallah9536 Месяц назад
Kama haitoshi jitombe mwenyewe sikujui sijui una mshono au muhogo utajijua mwenyewe nakam huwezi jitumbukize chooni kwako
@user-qo6qv6mc5p
@user-qo6qv6mc5p Месяц назад
Magoal ya mchongo
@SuleimanJuma-kv4ze
@SuleimanJuma-kv4ze Месяц назад
Shoga nn
@user-qz3zq4jp1v
@user-qz3zq4jp1v Месяц назад
Kacheze shirikisho na watoto wenzio
@florakweyunga4490
@florakweyunga4490 Месяц назад
Hata kama huna Akili,macho nayo hayaoni.
@UpendoJoseph-ht3qy
@UpendoJoseph-ht3qy Месяц назад
Hay magol so ya mchogo km ya musimu uloisha
@user-jn8us1qi1z
@user-jn8us1qi1z 7 дней назад
Goli lakwanza kolozdad wanasma kipa kauza😂😂😂
Далее
Самое Романтичное Видео ❤️
00:16
My signature pose💪🏻
0:19
Просмотров 4,9 млн
Segurança do Messi 😬 #shorts #futebol
0:34
Просмотров 20 млн