Ww momo ni yanga uwapendi sana simba acha unafiki sema ww mnafiki sana ss tunaajua sana kama fei atumchukui na uyo mayele ss sio kama awo vula ss vula akiacha atuxhukuwi😊
Hivi ninyi kwanini mnadharau watu? Hivi kweli MO hayo hayawezi? Ni ninyi tu msiopenda aende Simba. Lakini kila kitu kinawezekana. Kikubwa ni uamzi wa Mchezaji je yuko tayari. Kama yuko tayari mapovu yenu hayana maana.