😂kujisifia una MAISHA bora nitabia ya roho kilicho bora mwisho mwema nyoka alikosa miguu juu ya majigambo sokwe alikosa mkia kwa kuwazomea watu chunga MAISHA mwenyezi mungu alali usingizi
@user-id8 Wewe huna marehemu wa kumrithi? toka mmeanza kusema urithi imepita miaka 7 hizo pesa zipo tu hadi leo? Tafuteni wengine wa kuwatukana achaneni nae kwa nini yeye?
Kumbe watu wana penda kiki tu kabisa ha kumbuke kifokiko hata mwenye ali bitafuta ali fariki akabihacha duniya ni mapito sote ni wakufa bitabaki bibi zari