Mwanamuke ni mwanamuke hata ni raïs lazma atongozwe na mwanaume yeyote anaye mupenda juu hata Mimi nikisha penda siwezaki kujizuhi mbele ya yele ninaye mpenda ni lazma ni muhambiye...huyho ndo wanaume Ndugu STEVE cheo cha mwanamuke kisikitishe maana kama hajaholewa angali wa kila anaye mupenda kupima bahati yake kwake...