Uliyasema hayo ya corona ata mm nilikuunga mkono kwa nn wewe unamuhukumu mwenzio ungesubili mda upite tuone kama alio ongea mheshimiwa mpina niya uongo ww ukosei Ila wenzio wanakosea apana jaribu kukaa kimya Kama una hoja
Kitu ninachojiuliza ni kwa nini wabunge wengi wa afrika kama sio baba zao au familia zao matajiri na watu maarufu ndio wamejazana kuwaumiza raia wanyonge....
Mchungaji kaongea kwa akiri sana me naona yupo upande wa Mpina ila . Anamshauri mpina kwamba upo sahihi ila tumia akiri na angalia huo ukweri unaongea ukiwa wapi
Swali bashe alitoa wap mamlaka ya kuipa kampuni ya simu na stationry kuagiza sukari? Pili kwann bashe ameandaa kibali kukubwa kuliko gape sugar ya nchii hii? Ata km yalikuwa makadrio kwann yawe makubwa hvyo?
aSKUFYU MBABAISHAJI WW, WATU WA JIMBO LAKO UMESHINDWA KUWAPELEKA ULIKO WAAHIDI UNAKURUPUKA NA VITU VYA HOVYO, MPINA HAJAMPIGA TU KWA SIRI, MTU KAPIGWA HADHARANI NA TUMESIKIA, UNATUMIA BIBLIA KUFANYA UCHAWA WA CHAMA CHAKO
@@BRM2025 Amina lakini Gwajima naye anafahamu kwamba kwa sasa mr mpina naye ana jambo analoamini kwamba ndio la ukweli kulisema kwa sasa kwa faida ya watanzania hivyo sio busara kumpuuza lakini ni sawa maana katiba ya sasa inatubidisha kusifu kwa kila hali na kila mazuri na makosa na wizi kusifu tu maana ukikosoa wewe sio mkazi wa dunia ya Tanzania hata wabunge wanakushangaa itakuwaje kwa wanaopewa nafasi na Raisi?
@@BRM2025 kama walipatana pia wangerudi palepale kwenye vyombo vya habari kuelimisha jamii walio itangazia yale mashambulizi ya kwanza,,nakumbuka mzee makamba alijisahau akasema wazuri hawafi eti hufa wabaya tu kwamba samia hatakufa yeye ni mzuri.. lakini samia alirudi kwenye vyombo alivyotumia makamba samia akarekebisha na jamii tukayaffuta mioyoni.na leo nimelisemea tu kama mfano wa gwajima mchungaji ali mchafua sana makonda sasa kama wamesha patana je na sisi tuliojeruhiwa na gwajima anatuachaje,,.?au mkubwa hakosei anarekebisha juu kwa juu au je yeye .....