Тёмный
No video :(

Baraka kaondoka Rockstar4000...kaeleza mipango yake 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 19 тыс.
50% 1

Moja ya story ambayo leo July 21, 2017 imekuwa ikimake headlines kwenye mitandao mbalimbali ni kuhusu mwimbaji staa wa Bongofleva, Baraka The Prince kuachana na label ya Rockstar4000 aliyosaini kufanya nayo kazi 2016.

Опубликовано:

 

20 июл 2017

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 182   
@elimagotraore9712
@elimagotraore9712 7 лет назад
Nimegundua kua WAHENGA wako sahihi kwel usimtukane mkunga uzazi ungalipo. Yaliokuta mjaluo ni haki kabisa ulikua anaongea kebeh sana
@fatumamsangi5740
@fatumamsangi5740 7 лет назад
kama kiba ni mkurugenzi wa rockstar.hapo hamna kampuni na haina mtaji utapeli tu.we nilikushauri huko kwa kiba umepotea uswahili,hate,na ndipo ulipopata maadui.diamond au wasafi usingepata shida hawana bifu na mtu wanafanya kazi na maisha licha ya kwamba wavivu na wazembe upande kiba wanawatukana.uko ulikosea.pia kiba ni muimbaji wa studio tu hajui kuimba nadhan umemjua.hao porojo wamekuchelewesha usiwajibu acha fanya kazi
@dovicochristopher5388
@dovicochristopher5388 7 лет назад
Fatuma Msangi ww utakalia Chuma subri huone
@mkwechemedy9929
@mkwechemedy9929 7 лет назад
We nae nani unae ropoka kwa mitandao
@abubakariyusufu9320
@abubakariyusufu9320 7 лет назад
Fatuma Msangi yaan ww ndo wale wale mashabik maandaz,yaan hao wazee w xxl(wcb)unawaona kama Miungu watu vle wakat hamna kitu.
@hydaxplus1887
@hydaxplus1887 7 лет назад
Fatuma Msangi ina onekana mind akitaka mkundu uta mpa choko ww
@alialle6441
@alialle6441 7 лет назад
Fatuma Msangi yani ww unashabikia hata mapenzi ya mbwa
@karimhemed9261
@karimhemed9261 7 лет назад
kitu kinachofanya diamond na kiba kua juu kila siku ni sababu ya nidhamu kwa mashabiki na media.. huyu hana maisha marefu kwenye mziki bt all the best
@alishomar7549
@alishomar7549 7 лет назад
baraka ndio mwenye uchungu na mziki wake...bkoz ndio kaz yke ...2muache ...aendelee ...all the best
@isibanianews1329
@isibanianews1329 7 лет назад
true
@jumannemkami5092
@jumannemkami5092 7 лет назад
baraka Mimi namuelewa sana halafu sidhani kama nyie mnaosema kashindwa muziki mna hakili timamu hivi nyie mnaojiita teamkiba niambieni toka mwaka Jana kibakuli ametoa nyimbo ngapi ukipata jibu ndo mtajua nyinyi ni #shabikimaandazi baraka ameona hakuna manufaa ni lazima ajitoe sio ang'ang'anie 7bu eti ni rockstar uongo big up baraka nakuelewa sana hata uwe chini kiasi gani
@abduhamisi6769
@abduhamisi6769 7 лет назад
Baraka ajifunze kuheshimu na kunyenyekea mashabiki zake na wasiokua wake, aangalie personality yake huwenda ikampoteza kwenye game MZIKI WA BONGO HAUNA ADABU
@faridmobji
@faridmobji 7 лет назад
alikuwa anatuharibia #teamkiba bora aondoke na hapo Amna pengo
@MakoyeAman
@MakoyeAman 7 лет назад
pole sana kijana, ustaarabu huna ww ndo ktakacho kuua kokote uendeko, kidbway alikubwaga hata hko pia
@michaeljeremiah634
@michaeljeremiah634 7 лет назад
baraka anaongeaga kweli kazi za kucfiana wakat akuna ktu mamaeeee baraka motooooo
@eliasinkala704
@eliasinkala704 7 лет назад
Hamna kitu pale afazari umeondoka, kama huyo anajiita king, anatoa kanyimbo kamoja anakaa mwaka, ww ndo ungepotea kabisa, ludi tujenge nyumbani sio nyumba za watu.
@isibanianews1329
@isibanianews1329 7 лет назад
Elia Sinkala walikuwa wanamzubaisha dogo na dogo ana kipaji kikubwa
@saidymsongo7735
@saidymsongo7735 7 лет назад
Hujui mashabiki ndo wamebeba 70% ya maisha yako wakikutaa huwezi kuongea mbele ya adhara kwa hivyo unavyojinadi.. Na heshima huwa ni nguzo katika kazi.. Na shule ndo tatizo
@fatumaababy1281
@fatumaababy1281 7 лет назад
All the best,
@yusuphjunior3767
@yusuphjunior3767 7 лет назад
big up kaka Baraka mungu akuongoze ktk kaz zako.. rockstar hamna kitu wanakupotezea muda wako
@ernestjohanes9087
@ernestjohanes9087 7 лет назад
Anatukana hata mashabiki
@johdefinnest1928
@johdefinnest1928 7 лет назад
baraka kumbe maisha ya mwanza ulvyokuwa ukigongea show msanii akja club na ulipw ata sent Leo umetoka umejaa kichwa ngja tuone safar yako maana hueshma kabsa watu
@Msonjo
@Msonjo 7 лет назад
Mimi ni moja wa fan wa huyu boya hakuna ngoma yake ambayo sina hata kama kashirikishwa lazma niitafute tatzo yy taarabu nyingi simpendi kinoma ila naupenda mziki wake
@sakinandoile9439
@sakinandoile9439 7 лет назад
duuuuh..... sidhan km kuponda lebel ilokusogeza hatua flan ni issue nzur km umetoka rockstar toka kistaarabu usichafue wkt wamekusogeza kuwa na hekima kijana huijui kesho
@abdulathumani4305
@abdulathumani4305 7 лет назад
yupo wapi ruby Leo__20% je? wapi PNC na kipi kilicho mkuta janjaro kipindi kile!... wote hao walikuwa na mbwembwe kama hizo ila poah. kila la kheri...
@sakinandoile9439
@sakinandoile9439 7 лет назад
Abdul Athumani ninachokiona ni kwamba wabongo wanakuwa na kiburi ilhali mitaj hawana ...angeanza bila management huenda asingempata huyo Naj leo Rockstar wamwmlea na mtaj kapata anaviiimbaaa
@angelshirima7347
@angelshirima7347 7 лет назад
vizur Sana fanya unachopenda watz tufike mahal tuache kupangiana maisha
@rebolman3673
@rebolman3673 7 лет назад
safi sana baraka mafans wengine ni kuma tu hawajui lolote Kaz kujifanya team kiba na mond
@mkwechemedy9929
@mkwechemedy9929 7 лет назад
Baraka sawa malaya anae tegemea mwili wake kuuza mwili km mnakumbuka meneger alie mtoa C alitoka km msenge mmoja so me nalionaga senge moja hivi linalo angaika mitaani
@8pistons194
@8pistons194 7 лет назад
Mkweche Medy aka mkweche mavii
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 7 лет назад
Mkweche Medy comment mbovu ka jina lako
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 7 лет назад
Allen Gifford 😂😂😂😂
@dovicochristopher5388
@dovicochristopher5388 7 лет назад
Ww Mzee Baba unayumba shauri yako Huo ndo mwisho wako!
@dichodaplaiza
@dichodaplaiza 7 лет назад
karbu kuleeee kwenye vdeo zenye viewz nyingii mungu atakusimamia
@godfreypaul290
@godfreypaul290 7 лет назад
Huu ndo mda wa kupisha nafas ili wengine nao watusue. Kwaher Baraka imebak history kama nawe ulikuaga mwana music, kila jambo na wakat
@sportskijiwe781
@sportskijiwe781 7 лет назад
yupo sahihi kabisa baraka rock star mtu tunayemuona sana ni seven kama meneja kimipango hawapo vizur tuwe serious .lady jay dee siyo yule kiba mwaka mzima nyimbo moja hata wizkid,davido hawafanyi hivyo
@deogratiassilayo7182
@deogratiassilayo7182 7 лет назад
umama umezidi
@francisdaudi9894
@francisdaudi9894 7 лет назад
Huyu jamaa anadharau sana, hizi kauli zake sijui kama atafika anapotaka!! Kwa kawaida shabiki ndio mteja wa mziki hata awe kichaa inakupasa kujua jinsi ya kudeal nao. Vinginevyo, utajikuta unafunga duka mapema sana na tutakusahau.
@festontandu1747
@festontandu1747 7 лет назад
safi sana baraka wcb tunakusapot wanaokudiss ni team kibakuli
@barakamichael673
@barakamichael673 7 лет назад
kila mtu na anavyo ona baraka yupo sawa tena ni muwazi safi sana broo
@josephmarwa3924
@josephmarwa3924 7 лет назад
heheheheh anajifananisha na kiba doh...!!!
@kulengwamabula9508
@kulengwamabula9508 7 лет назад
shabiki kusema kwann nimetoka rockstar ni mimi na rockstar haikuhusu shabiki wewe deal na mziki tu.....jaman wanaomsupport waendelee huyu anashida kwan kuuliza ni vibaya jaman mi sijammind sema nasema tu dogo ni mpuuzi ego ni mbaya sijasema kwa ubaya sema muangalieni
@officiallugano8991
@officiallugano8991 7 лет назад
one of the coolest person ever
@idreamfoto
@idreamfoto 7 лет назад
Waliokupandisha Ndio Watakaokushusha, Mark My Words Chichibway
@man-zh6ug
@man-zh6ug 7 лет назад
Tatizo moja la lock star ni kuchelewesha kutoa kazi za wasanii wao angalia ommy dimboz katoa nyimbo haina vídeo mbaka Leo Alikiba katoa Aje lemix mbaka leo kimya
@hawawezidianakukushusha756
@hawawezidianakukushusha756 7 лет назад
uko sawa na sijaona ukiponda hiyo label uliohama ila watu ni wagumu tu kuelewa biashara ukiona haina maslah unahama hakuna ulazima fanya kazi zako ukitoa kt kizur utauza tu
@festontandu1747
@festontandu1747 7 лет назад
fatuma msangi safi sana kwa comment yako upo wapi nikutumie zawadi
@ernestjohanes9087
@ernestjohanes9087 7 лет назад
Huyu hana maringo huku kuimba kwenyewe hakuna kama mwanamke
@danielsiasa459
@danielsiasa459 7 лет назад
Me nimekuelewa vizuli yale maneno uliyosema kwenye XXl kuwa hujui boss.yani hutaki kuwa chini ya Alikiba sababu kawa boss saii.
@mwambirekwamboka9525
@mwambirekwamboka9525 7 лет назад
Daniel Siasa that's true dear meaning jealousy will make him fade.komaa jaluo akili ulionayo isipoteee
@khalfanmansour2297
@khalfanmansour2297 7 лет назад
👑 king munamkubali huyo chezi mwanamdogo
@kizablack7667
@kizablack7667 7 лет назад
Safi sana Mtu wangu wanguvu Maisha ni popote
@dullahweldingfundiwamageti1301
aendezake kuimba kwenyewe hajui anamaneno ya kimama sana kama kama mwanamke bana
@diksonmgonja4159
@diksonmgonja4159 7 лет назад
Mtoto mshamba huyuuuu
@dullahweldingfundiwamageti1301
MAK ONLINE TV anaona wivu mwezie kawa kitengo pale
@mwandiadam5490
@mwandiadam5490 7 лет назад
Dullah Rajab aaah!! leo hajui kuimba??? mmh!
@isibanianews1329
@isibanianews1329 7 лет назад
Dullah Rajab huyu anafaiti na maisha yake,huwezi kuendelea kupoteza muda kwa kitu ambacho hakikusaidii
@dullahweldingfundiwamageti1301
Dimension hana lolote wew utaona kama ataendelea na muziki
@leonardkomba686
@leonardkomba686 7 лет назад
baraka alianza bila rock star so hawezi kupotea kisa rock star ambayo imemkuta anafanya vizuri ndio wakavutiwa nae so baraka bado ataendelea kushine coz rock star walikuwa wanamtegemea baraka na sio baraka alikuwa anawategemea coz hawamuandikii nyimbo na anayeimba ni yy na sio baraka afadhali umekimbia kaka km Ali kiba wanamzubaisha kutoa nyimbo karibu mwaka mpaka mashabiki wanalalamika na ww wangeuwa kipaji chako km njoo WCB
@saintwiz
@saintwiz 7 лет назад
safi mzee umeongea point KABISAaaaaaaaaaa
@themobb_worldwide
@themobb_worldwide 7 лет назад
sawa baraka mwenye mioyo yako..
@miamboinyodosantos5810
@miamboinyodosantos5810 7 лет назад
hyo rockstar wananenepeana tu hawana lolote...barakah unakipaji kaka nitafurah kama siku nikisikia upo chini ya WCB
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 7 лет назад
Nimekuelewa baraka wanaokuponda ni wasenge tu huwezi kung'ang'ania mahali pasipo na mafanikio big up baraka utafika mbali yule bwege kibakuli alimtoa nani hadi sahi njoo Wcb ndio sehemu pekee ya kufanikisha malengo yako
@majuttowilliam3374
@majuttowilliam3374 7 лет назад
jitu jeusi mpaka roho nyeusi fala huyu aende zake huko
@dovicochristopher5388
@dovicochristopher5388 7 лет назад
Majutto William 😂😂😂😂
@dovicochristopher5388
@dovicochristopher5388 7 лет назад
Hassanova junior Na wewe ukafanikiwe sasa!
@masasiyetu4313
@masasiyetu4313 7 лет назад
barak hana jipya ata akanda wcb bado tabia yake mbaya tuuuy
@alialle6441
@alialle6441 7 лет назад
Hassanova junior samahani ww ni mke wa diamond au lavalava
@abubakariyusufu9320
@abubakariyusufu9320 7 лет назад
Jamaa kajishtukia,mi nilijua2 lazma ajitoe kimaso maso,ana chuki sana huyu dogo ndo maana kila mtu anagombana nae,uta fail una dis had mshabik?
@nassorlido9380
@nassorlido9380 7 лет назад
nakukubali njooo kwenye mziki mzury wasafi
@godfreymtwanga6929
@godfreymtwanga6929 7 лет назад
Kweli mwanadamu cyo wa kumuamn wala kumfadhili kabisa
@peterhalson8949
@peterhalson8949 7 лет назад
umetumbuliwa
@abdallahlyimomrwana9134
@abdallahlyimomrwana9134 7 лет назад
shabiki mpuuuz looooooh... rockstar mpo..!!
@hadassperez494
@hadassperez494 7 лет назад
All the best in your decision. Also cool your temper always 😂😂😂😂
@masasiyetu4313
@masasiyetu4313 7 лет назад
nauliza kuna wanaume kama mashoga waaa.......,? barak han jipya bora ata ya kaka diamondi anauza karanga wewe kauze upupu uko hahahaaa
@hamismindika7513
@hamismindika7513 7 лет назад
Maamuzi magumu lakini mazuri utamu wapipi nimate yako.hakuna tofauti yakummuacha mke nakuhamia kwenye puchu.karibu bacheboy
@8pistons194
@8pistons194 7 лет назад
kipaji chake mwenyewe nyie ng'ombe mnawashwa nn kama mnataka imbeni msainiwe rockstar.Maana ya rock ni jiwe na kwenye jiwe hapawez kuzalishwa chochote ndo mana hao wasanii wenu wamebuma.Kazi kuandikiwa nyimbo za WIZI
@muktartz7314
@muktartz7314 7 лет назад
mmoja ya msanii ambaye hajui kufanya interview
@richmontanna7934
@richmontanna7934 7 лет назад
Hujui kitu n wapenda kiki
@mackharun8750
@mackharun8750 7 лет назад
we boyaaaaaa wew nan shabiki mpumbavu
@tehsa-muhas154
@tehsa-muhas154 7 лет назад
Asee bro! At least ujishushe kidogo kaka!! Kwan interview za diamond huzionagi??
@futuristicboii
@futuristicboii 7 лет назад
Sasa unaleta jeuri! Album yako utasikiza chumbani kwako mwenyewe
@mesaidiabdallah2851
@mesaidiabdallah2851 7 лет назад
nenda ukaimbe moyo mbele hata uko utakako kwenda auto dumu kwa kua unanidhamu truboy akukosea safari ya mawanza yamnukia
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 7 лет назад
Sawa ila ulimi hauna mfupa usiongee mdomo wazi hujafika kwa wenzio.
@mondnumz7746
@mondnumz7746 7 лет назад
ww na myoyo yako kila nyimbo moyo tu huna cfa za kwenda wasafii boya ww hujua kuandika tofaut na moyo hovyooooooo
@abeidmayanga809
@abeidmayanga809 7 лет назад
mbwawewee mpuzi wewe usiye naadam wala busara ya kuzungumza na watu through media aseee kweli mangala hunaakili
@alialle6441
@alialle6441 7 лет назад
Ila huyu kwa nidhamu yake ilivyo mbaya cjui ataishi na nani kwenye dunia ya sasahivi!
@leothobias8116
@leothobias8116 7 лет назад
#BARAKA hayupo sahihi kabisa hakuna shabiki anae shabikia mziki bila kumpenda msaani hajaupenda mziki.....!sio maneno ya kuwa ambia mashabikia
@dicksonmagati5455
@dicksonmagati5455 7 лет назад
Hapo Ndipo jamaa karibu kabisaa hata hao mashabiki wanakuja kwenye zako kuona unavyo perform sasa Kama ushaanza kuongea hiv unategemea Nani wakukusaport kwa mwenendo huuu du pole mzeee hayo sio maneno yakuwaambia mashabiki wako
@taruuwarombo1264
@taruuwarombo1264 7 лет назад
yupo sahii
@jessemadahqvevo5728
@jessemadahqvevo5728 7 лет назад
Kweli ww unajiamini asee nimekukubali wa leke zone mwenzangu
@reubenndungu6420
@reubenndungu6420 7 лет назад
Naj ana kazi ngumu..
@mohamedkuyawa3889
@mohamedkuyawa3889 7 лет назад
baraka sifa zinamponza xana wanavyomxifia kisa anaponda ndo anatafuta sifa mm nirikua shabiki yake rakina xaxaiv nimemuama
@dullahweldingfundiwamageti1301
safari yakwao imenukia akachunge ng'ombe hahahahaaaaaaaa true boy alikuambia wew
@jeremiajohaziel4927
@jeremiajohaziel4927 7 лет назад
Jamaa amekuwa mweupe sijui nae kageukia mkorogo!!!!!
@rozajeannet6329
@rozajeannet6329 7 лет назад
Mmmmm
@japhetmadenge8396
@japhetmadenge8396 7 лет назад
safiiiiii
@gloryassey3962
@gloryassey3962 7 лет назад
Huyu mbona hatueshimu fans
@gideondickson7676
@gideondickson7676 7 лет назад
dogo sasa hiv anavimba anazingua
@dovicochristopher5388
@dovicochristopher5388 7 лет назад
Glory A Anayumba
@abeidmayanga809
@abeidmayanga809 7 лет назад
Glory A msengee Sanaa huyumtt
@8pistons194
@8pistons194 7 лет назад
nyie wenyew wasenge...rema
@gideondickson7676
@gideondickson7676 7 лет назад
ww ndio msenge kabisa
@ghalibnadil3561
@ghalibnadil3561 7 лет назад
Kwel uyu jamaa mwehu 😂😂😂
@sammytz1540
@sammytz1540 7 лет назад
mda wa kwenda kuuza mitumba, milango saba umewadia 😂
@jaystar1004
@jaystar1004 7 лет назад
Samuel Shaphat 😂😂😂😂
@mesaidiabdallah2851
@mesaidiabdallah2851 7 лет назад
Samuel Shaphat umetisha sana bby na majibu yko uyu ni mzee wa .moyo kila nyimbo paka atie moyo potea kama ulivo zaliwa
@sammytz1540
@sammytz1540 7 лет назад
Mesaidi Abdallah 😛😛😉
@jeremiajohaziel4927
@jeremiajohaziel4927 7 лет назад
dogo acha mkorogo sasa ijapo unataarabu nyingi kama binti alotelekezwa na mpenziye
@leskaryjoram8832
@leskaryjoram8832 7 лет назад
Dogo toa nyimbo acha maneno
@samsonkusupa6809
@samsonkusupa6809 6 лет назад
we ulifikiri ni ile rock star ya jay zz...!?
@jumamichael4083
@jumamichael4083 7 лет назад
Juhudi bila nidhamu ni sawa na bure
@binthamadi2205
@binthamadi2205 6 лет назад
Baraka nae si twakuona mtu wa maana kumbe mavi matupu vijimeno tu mtsssssssssssss toka uende ukauze mitumba ukiskia usenge nikama hivyo Sasa utawatukanaje mashabik lioni sikupe na nakuchukia na mashabiq hawakupendi vimeno weeeeeee
@elimagotraore9712
@elimagotraore9712 7 лет назад
Katumbuliwq aaahhhhh
@ernestjohanes9087
@ernestjohanes9087 7 лет назад
Unamsaidia mtu then unasema ujinga huo
@RAVincentOfficial
@RAVincentOfficial 7 лет назад
THE END OF BARAKA ... AUNA AKILI
@djgthehotstepper
@djgthehotstepper 7 лет назад
huyu amechanginyikiwa airplay kidogo yamvimbisha
@maryammaryamkiriwashwa1626
@maryammaryamkiriwashwa1626 7 лет назад
nenda uko ww mweusi kama jiko lakuni. ujinga ulikwenda kuwaharibia utajiahsribia mwenyeo
@EMMANUEL42541
@EMMANUEL42541 7 лет назад
Wachane wachane baraka
@allencosmas248
@allencosmas248 7 лет назад
utoto akikua ataacha
@leskaryjoram8832
@leskaryjoram8832 7 лет назад
Mziki bila mashabiki
@wemakalam9415
@wemakalam9415 7 лет назад
Maisha ni foleni kila siku munasonga mbele wewe un arudi nyuma kila la kheri kunguru hafugiki
@robertonaftal4856
@robertonaftal4856 7 лет назад
janja tatizo mdomo wako hujafunzwa
@ismailymussa155
@ismailymussa155 7 лет назад
itakua ni mweusi SNA ndy maana wamekutoa umetolew
@naimarama5741
@naimarama5741 7 лет назад
rest in peace 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@charlzg3516
@charlzg3516 7 лет назад
msenge mkubwa weee
@ramsobeca9578
@ramsobeca9578 7 лет назад
baraka kuma tu
@peterhalson8949
@peterhalson8949 7 лет назад
kwan ww nan
@peterhalson8949
@peterhalson8949 7 лет назад
wewe ndo ujichunguze
@ikrissaidrissa8613
@ikrissaidrissa8613 7 лет назад
eti heeeeee sasa tuone we sijeuli
@djunction4127
@djunction4127 7 лет назад
pole unafel
@therealmsopa
@therealmsopa 7 лет назад
Too much ego baraka, lifespan ya muziki wako ndogo sana...nidhamu inakuangusha kaka...i used to be your fan ila sio kwa sasa tena
Далее
до/после Знакомо?
00:16
Просмотров 13 тыс.
Ahadi ya Yanga kupata uwanja ipo pale pale
32:01
Просмотров 6 тыс.