Moja ya story ambayo leo July 21, 2017 imekuwa ikimake headlines kwenye mitandao mbalimbali ni kuhusu mwimbaji staa wa Bongofleva, Baraka The Prince kuachana na label ya Rockstar4000 aliyosaini kufanya nayo kazi 2016.
kama kiba ni mkurugenzi wa rockstar.hapo hamna kampuni na haina mtaji utapeli tu.we nilikushauri huko kwa kiba umepotea uswahili,hate,na ndipo ulipopata maadui.diamond au wasafi usingepata shida hawana bifu na mtu wanafanya kazi na maisha licha ya kwamba wavivu na wazembe upande kiba wanawatukana.uko ulikosea.pia kiba ni muimbaji wa studio tu hajui kuimba nadhan umemjua.hao porojo wamekuchelewesha usiwajibu acha fanya kazi
baraka Mimi namuelewa sana halafu sidhani kama nyie mnaosema kashindwa muziki mna hakili timamu hivi nyie mnaojiita teamkiba niambieni toka mwaka Jana kibakuli ametoa nyimbo ngapi ukipata jibu ndo mtajua nyinyi ni #shabikimaandazi baraka ameona hakuna manufaa ni lazima ajitoe sio ang'ang'anie 7bu eti ni rockstar uongo big up baraka nakuelewa sana hata uwe chini kiasi gani
Baraka ajifunze kuheshimu na kunyenyekea mashabiki zake na wasiokua wake, aangalie personality yake huwenda ikampoteza kwenye game MZIKI WA BONGO HAUNA ADABU
Hamna kitu pale afazari umeondoka, kama huyo anajiita king, anatoa kanyimbo kamoja anakaa mwaka, ww ndo ungepotea kabisa, ludi tujenge nyumbani sio nyumba za watu.
Hujui mashabiki ndo wamebeba 70% ya maisha yako wakikutaa huwezi kuongea mbele ya adhara kwa hivyo unavyojinadi.. Na heshima huwa ni nguzo katika kazi.. Na shule ndo tatizo
baraka kumbe maisha ya mwanza ulvyokuwa ukigongea show msanii akja club na ulipw ata sent Leo umetoka umejaa kichwa ngja tuone safar yako maana hueshma kabsa watu
Mimi ni moja wa fan wa huyu boya hakuna ngoma yake ambayo sina hata kama kashirikishwa lazma niitafute tatzo yy taarabu nyingi simpendi kinoma ila naupenda mziki wake
duuuuh..... sidhan km kuponda lebel ilokusogeza hatua flan ni issue nzur km umetoka rockstar toka kistaarabu usichafue wkt wamekusogeza kuwa na hekima kijana huijui kesho
Abdul Athumani ninachokiona ni kwamba wabongo wanakuwa na kiburi ilhali mitaj hawana ...angeanza bila management huenda asingempata huyo Naj leo Rockstar wamwmlea na mtaj kapata anaviiimbaaa
Baraka sawa malaya anae tegemea mwili wake kuuza mwili km mnakumbuka meneger alie mtoa C alitoka km msenge mmoja so me nalionaga senge moja hivi linalo angaika mitaani
yupo sahihi kabisa baraka rock star mtu tunayemuona sana ni seven kama meneja kimipango hawapo vizur tuwe serious .lady jay dee siyo yule kiba mwaka mzima nyimbo moja hata wizkid,davido hawafanyi hivyo
Huyu jamaa anadharau sana, hizi kauli zake sijui kama atafika anapotaka!! Kwa kawaida shabiki ndio mteja wa mziki hata awe kichaa inakupasa kujua jinsi ya kudeal nao. Vinginevyo, utajikuta unafunga duka mapema sana na tutakusahau.
shabiki kusema kwann nimetoka rockstar ni mimi na rockstar haikuhusu shabiki wewe deal na mziki tu.....jaman wanaomsupport waendelee huyu anashida kwan kuuliza ni vibaya jaman mi sijammind sema nasema tu dogo ni mpuuzi ego ni mbaya sijasema kwa ubaya sema muangalieni
Tatizo moja la lock star ni kuchelewesha kutoa kazi za wasanii wao angalia ommy dimboz katoa nyimbo haina vídeo mbaka Leo Alikiba katoa Aje lemix mbaka leo kimya
uko sawa na sijaona ukiponda hiyo label uliohama ila watu ni wagumu tu kuelewa biashara ukiona haina maslah unahama hakuna ulazima fanya kazi zako ukitoa kt kizur utauza tu
baraka alianza bila rock star so hawezi kupotea kisa rock star ambayo imemkuta anafanya vizuri ndio wakavutiwa nae so baraka bado ataendelea kushine coz rock star walikuwa wanamtegemea baraka na sio baraka alikuwa anawategemea coz hawamuandikii nyimbo na anayeimba ni yy na sio baraka afadhali umekimbia kaka km Ali kiba wanamzubaisha kutoa nyimbo karibu mwaka mpaka mashabiki wanalalamika na ww wangeuwa kipaji chako km njoo WCB
Nimekuelewa baraka wanaokuponda ni wasenge tu huwezi kung'ang'ania mahali pasipo na mafanikio big up baraka utafika mbali yule bwege kibakuli alimtoa nani hadi sahi njoo Wcb ndio sehemu pekee ya kufanikisha malengo yako
kipaji chake mwenyewe nyie ng'ombe mnawashwa nn kama mnataka imbeni msainiwe rockstar.Maana ya rock ni jiwe na kwenye jiwe hapawez kuzalishwa chochote ndo mana hao wasanii wenu wamebuma.Kazi kuandikiwa nyimbo za WIZI
Hapo Ndipo jamaa karibu kabisaa hata hao mashabiki wanakuja kwenye zako kuona unavyo perform sasa Kama ushaanza kuongea hiv unategemea Nani wakukusaport kwa mwenendo huuu du pole mzeee hayo sio maneno yakuwaambia mashabiki wako
Baraka nae si twakuona mtu wa maana kumbe mavi matupu vijimeno tu mtsssssssssssss toka uende ukauze mitumba ukiskia usenge nikama hivyo Sasa utawatukanaje mashabik lioni sikupe na nakuchukia na mashabiq hawakupendi vimeno weeeeeee