Hii nchi balaa wengine wanaiba madini wengine wanaiba mabilioni ya Kodi zetu yaani hatari.Nchi yetu hatuna viongozi wazalendo hata kidogo.Vyeo na nafasi za Kazi wanapeana kifamilia yaani shangazi mjomba baba mama watoto binamu vitukuu mpaka vilembwe.Ukiwa na itikadi tofauti na chama kilichopo madarakani na unaelimu nzuri ajira hupati.Ila ukiwa kwenye chama tawala kesho mkuu wa wilaya mara mkuu wa mkoa nk
Hahahah bongo bhana kipindi at mtu mmoja hahahah achanicheke tena bongo usindiki uko mwingi sana.....swali kwahuyu jamaa inamana umemuona huyo tuu pekeake uonevu huo kwasababu tu huyo jamaa hayuko katika team yenu em achen kutufanya we are stupid.....
Ahsante ndugu kwa kunipa jibu maana wengine wangenitukana na je. ..Ko kila mwaka zinatoka na pengine labda kuna mwezi maharum kua zinatoka mwezi fulani ndugu yangu
Jaman tunapo leta watoto wetu jkt ukiambiwa mtoto ni mgonjwa bac uamini mxiwapatie mazoezi magumu jaman uxiombe ikutokee jaman mtoto anaenda jkt analudi maiti inaumaaa xana