Тёмный

BILA UOGA MBUNGE AINGIA NA POMBE BUNGENI "Mimi siyo kichaa nakuheshimu | MBUNGE MSUKUMA AMTETEA 

EastAfricaTV
Подписаться 1,1 млн
Просмотров 276 тыс.
50% 1

Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Опубликовано:

 

4 май 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 225   
@mercypeter162
@mercypeter162 Год назад
Mbunge wananchi wa jimbi lako wakuongeze mitano tena umetuwakilisha vyema sana MUNGU akutunze
@jesuinababili2280
@jesuinababili2280 Год назад
Kabisaaaaaa... mu5 tenaaa
@georgemboneko9163
@georgemboneko9163 Год назад
Dada umekitumia vyema kiti chako cha ubunge kwa mawazo chanya. Ubarikiwe
@mossesisaack5066
@mossesisaack5066 Год назад
Dada Umeubariki sana moyo wangu kwa kusema ukweli ,Mungu akubariki . Niwaombe wabunge tuige mfano huu kuongea mambo ya kujenga nchi yetu kama huyu dada
@aishaalbalushaishabalush8291
kuongea ukweli kabsa ila utekelezaji kwa huyo rais wake utafsnywa maana awam hii maongezi tu hamna utekelezaji kabsa
@km4km437
@km4km437 Год назад
Ama kweli tupo wachache wenye uwezo wa kuongea mambo yasiyo faa kwenye jamii dadaangu mungu akupe ujasiri kesho iwe njeema kwetu sote sio kwao tu yamoyoni yamenitoka nawachukia watu kama huyo alievaa kibakuli kichwani hajui hata kuonya wala kufundisha anataka aitwe mwalim cheeeee
@saitotimollel-8995
@saitotimollel-8995 Год назад
Dada umeubariki sana moyo wangu kwa kusema ukweli mungu akubariki niwaombe wabunge
@aloycesamba998
@aloycesamba998 Год назад
Mbunge ameongea point mpaka Mimi niliyopo huku Arusha imebidi nimpigie makofi,hongera sana kwake.nami naunga mkono hoja
@vibetz9991
@vibetz9991 Год назад
Makofi yako hata mimi nimeyasikia huku
@nuruedu2117
@nuruedu2117 Год назад
Sawa
@nuruedu2117
@nuruedu2117 Год назад
Sawa
@jehovajonas9284
@jehovajonas9284 Год назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@charleschacha4076
@charleschacha4076 Год назад
Hongera sana sana dada una kipaji waambie ukweli japo ukweli unauma
@olesambekelaizer1117
@olesambekelaizer1117 Год назад
Daah HUYU Mama amenissimua kwa Hoja yake natamani nimuhagi 😂😂😂 kwa pongezi Gongo letu safi san😂😂😂😂😂 tuboreshe ili iwe na tija kwa Taifa letu
@timothymoshi5800
@timothymoshi5800 Год назад
Mheshimiwa Asante.Mimi siyo mnywaji, Lakini nimefurahishwa na mchango wako. Aidha nimefurahishwa sana ,tena sana jinsi ulivyo mjibu Huyo mzee. Majibu yako na mheshimiwa Tulia, yamemfanya ajue ana Akili na uelewa kiasi gani.Barikiwa mama.
@fatmaissa5685
@fatmaissa5685 Год назад
Tunauwezo wa kutengeneza wine hata katika ngazi ya kijiji kupitia sido
@darusinganziulenge9363
@darusinganziulenge9363 Год назад
Mungu akupe maisha mrefu akuondolee usda na hasada msema kweli mpenzi wa Mungu kila anayesema kweli anawekwa kundi la kichaa je uyo anayeweka wenzake kundi la wakichaa je yeye anayoyafanya kijamii yanampendezesha Mungu ukweli wamtu upo ndàni ya nafsi yake kila mmoja ataubeba mzigo wake mwenyewe
@user-ju2tp5dv6i
@user-ju2tp5dv6i 9 месяцев назад
Naomba moja hapo nizimue mueshimiwa Asante sna ukweli umewapa waache kukualili maisha yakaisali apwe kaisali na ya mungu pew e mungu
@rehemashayo5024
@rehemashayo5024 Год назад
Tungekuwa na kumi kama wewe nchi ingekuwa zaidi ya ulaga ❤❤
@KuhaniMbarikiwahalisi-nr7ih
Dada hongera sana kwa kusisitiza kuthamini vya kwetu alikuumba akubariki kwa kusema kweli
@user-ur8cz7ls3s
@user-ur8cz7ls3s 3 месяца назад
Asante sana dada umeongea point kubwa sana na Nina uunga mkono hoja yako Asante sana na ubarikiwe sana dada💛💚💚💚💚
@jovinmancomedytz
@jovinmancomedytz Год назад
Nimekuelewa sana mawazo yako nimakubwa sana mh Mungu akubariki sana
@rubensokoine6647
@rubensokoine6647 Год назад
Safi sana endelea kumshika yesu mama wangu
@bahatisimfukwe3834
@bahatisimfukwe3834 Год назад
Uko vizur mh wangu by simfukwe chole
@TundaEmanuel-ns8kj
@TundaEmanuel-ns8kj Месяц назад
🔥Hawa ndio aina yawabunge tunawaitaj sio wale wanaoenda kula mpk wananenepa hovyo 😊
@medardkalinjuma5503
@medardkalinjuma5503 Год назад
Dah mbunge wetu leo umejadili uovu kweli. Umeiudhi mbingu sana kwanafasi alokupa Mungu, umeitumia vibaya leo. Unywaji na wanywaji niuovu na hakuna mbingu kwa walevi.
@ziadasadiki8196
@ziadasadiki8196 Год назад
Imemaanisha ni kwanini tuthamini vya wenzetu wakati vyetu vipo ?? KAMA NI DHAMBI BASI VIPIGWE MARUFUKU KABISA NA SIYO KURUHUSU VYA NCHI ZA KIGENI.
@johnmahu5060
@johnmahu5060 Год назад
Hongera sana hawataki kupima tbs yetu
@ClementJacob-sd8lf
@ClementJacob-sd8lf Месяц назад
Wanywaje mupo twendezetu bungeni nimewapenda sana
@nangugu1657
@nangugu1657 Год назад
Dah ama kweli wanaichi wa momba wanamuwakilishi bungeni dada hongela sana upo vizuli hakika mungu akuzidishie miaka na miaka Ijayo wanaichi wa momba watambue uwepo wako bungeni
@frankrevelian6919
@frankrevelian6919 Год назад
kuna watanzania wana akili kinoumaaa yaan....
@JudithJackson-we6iu
@JudithJackson-we6iu Год назад
Umeongea vizuri sana dada ubarikiwe sana
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts Год назад
Gongo ibotreshwe iwe na viwango...Ajira zipatikane na tuviheshimu vya kwetu
@ombayemangare3088
@ombayemangare3088 Год назад
Hii habari inastahili kujadiliwa katika bunge la Kenya.....napenda hoja hii
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 Год назад
Gongo Nchi zingine ni pombe ya asili Namibia gongo inauzwa sokoni mpaka kwenye baa ndogo ndogo.
@vitalismarunda6760
@vitalismarunda6760 Год назад
Wabunge kama hawa kwenye Bunge letu ni wachache sana Safi sana Dada Anguu unaupiga mwingi aiseeee
@seriousmovie
@seriousmovie Год назад
Daa!! Barikiwa sana mama momba hongereni
@SYLMASVISIONFORSCIENCE
@SYLMASVISIONFORSCIENCE Год назад
Umetengeneza point japo haikuwa imenyoooka mwanzo
@EvenEvarist-sk6ur
@EvenEvarist-sk6ur 24 дня назад
Dada mweshimiwa uposawa kabisa kabisa , wandugu watanzania .
@samoramollel
@samoramollel Год назад
Mwanamke unaakili sana.
@HassanNyawange-xj2cp
@HassanNyawange-xj2cp 8 месяцев назад
Katika wabunge ambao wapo bungeni kwajili yakuijenga icho hii wewe upo miongoni mwao! Msukuma pia dada uyo ongozen maisha mtupambanie wakipato Cha chin.
@rubensokoine6647
@rubensokoine6647 Год назад
Jamani wabunge pombe nidhambi sana Mungu awa saidie sana
@ziadasadiki8196
@ziadasadiki8196 Год назад
Kama ni dhambi kwanini zinaruhusiwa na Kama zinanunuliwa kwanini tuwaungishe mataifa ya mbali?? NADHANI HII NDIYO HOJA YAKE
@estherkibajiro3480
@estherkibajiro3480 Год назад
Dada kaongea point,, Big up my Dada 👊
@gospelguest694
@gospelguest694 Год назад
Mungu kutunze uendelwe kutetea wanachi wako waliokupa kibali na ukumbuke pia kuna taji yako mbinguni kaza mwendo ingawa utapigwa vita ila mungu hajawahi kuacha kuwalinda mashujaa wake
@StevenSinkonde-w5r
@StevenSinkonde-w5r Месяц назад
Hongera sana kwa kusema ukweli
@BatroNgilangwa
@BatroNgilangwa Год назад
Asante sana dada yangu Kwa hoja thabiti.
@fredyjeremia7074
@fredyjeremia7074 Год назад
Tena pombe yetu inalewesha vzur kweli...unabaki na akili.🤣🤣🤣🤣🤣akili ya kuanza nayo kesho.
@bulengedimathias6756
@bulengedimathias6756 Год назад
😂😂😂
@fatmasoud
@fatmasoud Год назад
😂😂😂😂
@user-xl6vf4nb8y
@user-xl6vf4nb8y 10 месяцев назад
Kenya can never explain such 😅😅😅
@JoachimMagori-vm9pg
@JoachimMagori-vm9pg 2 месяца назад
KUNA sababu ya kuwa na taasisi ya kukusanya wabunifu bila kujali vyeti vyao ili kubaini vipaji na bunifu nzuri.
@aishaalbalushaishabalush8291
kwa huyo mnae muita rais wenu hana akili wala moyo wa kuwajali wanainchi wa kawaida miaka mi 2 sasa mnaongea tu hamna utekelezaji hakuna hata faida ya bunge awamu ya samia hamna wakutekeleza anapenda maaovu sana huyo mama ndio maana anashindwa kuyazuia maovu na maaswi yupo kimya waiz wanaiba wapo tu
@GilbertMuhandiki
@GilbertMuhandiki 7 месяцев назад
Kuna vitu navishangaaga sana ukiona wabunge wanavowaka bungen kweli utasema wamechukia kumbe ni nguvu ya soda Kwa ajili ya maandaliz ya uchaguzi wa 2023 ila wajue na njue sisi watanzania tunatumia Kwa maigizo hayo na mkumbuke sisi ndo walipa kodi tuliona hayo maigizo yanayoendelea tunatumia sana sana.Tupunguze masiara na tuache masiara.
@khamisihamadi629
@khamisihamadi629 2 месяца назад
Asante sana pombe niharamu kwenye vitabu vyote
@michaelmatemu3490
@michaelmatemu3490 Год назад
Hili Jambo wakati mtu anaongea alaf mwingine anasema taarifa inakata sana
@danielshekiyao706
@danielshekiyao706 Год назад
Yani hili binge la sasa Lina vioja Yani wamekunywaaaa usiku mzima pombe zikawatuma waingie nazo wakazitetee
@josephwachira-jz4bt
@josephwachira-jz4bt Год назад
Dada yangu mheshimiwa umenena, mimi ni mkenya na nimefurahishwa na economic mindset ya mheshimiwa. 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 🇹🇿
@euphrasiantawatawa1510
@euphrasiantawatawa1510 Год назад
Hivi wanini msimuache huyo mh Kondesta aongeee,mnakatisha katisha nini?
@LizzLissah-vg2tk
@LizzLissah-vg2tk Год назад
Such amazing topic
@isamony58
@isamony58 Год назад
nimependa iyoo mada tupewe uhuru tu gongo nipombe peke yakitaalamu mtwara oyeeeeee
@richardnott4403
@richardnott4403 Год назад
Hapo elimu inatakiwa hayo anayo Zungumza ni kweli kabisa kwa sisi tunao fanya kazi za hotel tunaelewa anachosema mbunge sema hapo tatizo wanao kunywa wanatumia vibaya gongo ni sprit kama hizo alizo nunua mh yaani ni elimu tu hapo ni pana sana
@farajamlenga2791
@farajamlenga2791 Год назад
Nmependa majibu yako kwa uyo mzee na Mungu ajutunze umeongea ponti sana nchi ingekuwa na wabunge wa namna iih hakika tungefika mbali
@YohanaMabongo-no6rv
@YohanaMabongo-no6rv Год назад
Mhe. Big up. Shida ni kwamba ukoloni umetulemea akilini. Tunakopi tu naku paste
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l Год назад
Mungu akulinde na husda maana umeongea mitano haitoshi
@abatinkalango4571
@abatinkalango4571 Год назад
Well said
@ibrahimkibira9943
@ibrahimkibira9943 Год назад
Wabunge wa chama kimoja ni wa hovyo sana mnadhan tumesahu zile hela zilizoibiwa pesa zetu wananchi...msituletee propaganda tunataka mjadili kuhusu zile pesa hizo habari za pombe ..waambien walev wenzenu ..tunataka pesa zetu zirud mtaan maisha magumu sana
@user-rx6ey5ff3u
@user-rx6ey5ff3u 5 месяцев назад
Jamani kwetu moshi tunaitafuta kwa toch nakumbuka zamani mtambo nyuma ya nyumba
@levinatesha5317
@levinatesha5317 5 месяцев назад
Dada sio poa😂😂😂😂😂
@HalfaSaid-vl6ki
@HalfaSaid-vl6ki Год назад
Ilo ndo tatzo la TZ ukibuni bunduki unakamatwa ila wanatumia mamilion kuagiza Silaha nje daaa! bongo😂
@naomipanja5768
@naomipanja5768 5 месяцев назад
Mbunge wetu be blessed
@Worldunite
@Worldunite Год назад
Waafrika tuna kasumba mbaya sana, tunathamini vya nje tunadharau vya kwetu.
@winepreneur7329
@winepreneur7329 Год назад
Sista ukitoka tuonane unikabidhi huo mzigo
@aloycesamba998
@aloycesamba998 Год назад
😂🤸
@muganyizibuzubona7160
@muganyizibuzubona7160 Год назад
😂😂😂
@silvanuskulikiza8864
@silvanuskulikiza8864 Год назад
Mmekuwaje ninyi wasomi wetu na wabunge wetu? Mmekosa cha kutetea mpaka mnatetea pombe!!? Daaa! Vipi wasomi wetu!!!?
@hamzajafary
@hamzajafary Год назад
mungu akulinde usem ukwel
@AbrahamSekuza
@AbrahamSekuza Год назад
Kiwanda chibuku muekezaji alie kuwa anakiendesha amerudi kukihitaji baada ya Tbl kushindwa kukiendesha jiji wamekataa wakati mkuu wa mkoa wakati huo kabla ya Makala hakuwa na shida ila jiji wamekataa sababu wanaijuwa
@user-lo1ub5sv1t
@user-lo1ub5sv1t Год назад
Hongera sana
@johnmahu5060
@johnmahu5060 Год назад
Pombe za kienyeji haitakiwi kwa sababu viongozi hawapata asilimia 10 ndo mana wanadharau ili tu ije toka nje
@josephgurti7321
@josephgurti7321 Год назад
Uko sawa
@andrewshirima6332
@andrewshirima6332 Год назад
Upo sawa Mh.
@geeva99
@geeva99 Год назад
Mbona kama kalewa ye mwenyewe, akisikia taarifa analeta attitude, kweli pombe ina frequency mbaya hata ukikaanayo karibu tu
@user-ny3de2qq6r
@user-ny3de2qq6r 6 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@bausaluck6612
@bausaluck6612 Год назад
Sasa izo zimemwangwa au waziri alitaka kujuwa laza ya KackDaniel
@thompsonmasologo5093
@thompsonmasologo5093 Год назад
Kampa King
@salimumohammedsalimu1720
@salimumohammedsalimu1720 Год назад
Kwahiyo ukimaliza show waenda kujitwika sharubati kuanguka😂😂😂😂
@sebastiannyembe2660
@sebastiannyembe2660 Год назад
Mwalimu Bora huingia darasani na zana za kufundishia
@user-fn8mz5le3c
@user-fn8mz5le3c Год назад
I miss you amina chifupa
@AbilahSalumu-qx1cb
@AbilahSalumu-qx1cb 2 месяца назад
Yes sister 👏 🙌
@Nanata1995
@Nanata1995 8 месяцев назад
Bakukubali
@altenkiswaga2533
@altenkiswaga2533 Год назад
Hayo maneno kwanini ubunifu wa Tanzania udidimizwe
@juliusmagheke1379
@juliusmagheke1379 Год назад
😂😂 nasubiri siku mkijadili barabara na madaraja nayo myabebe kuyaingiza ndani ya bunge
@edwinmalila8603
@edwinmalila8603 Год назад
Kongole mbunge watu wa chini mwananchi hafikiriwi na mawazo ukoloni mamboleo unafanya kazi
@peterkanza2207
@peterkanza2207 Год назад
Hii nchi ukiwa mbunifu unaitwa muhuni? Kipanya kabuni gari,kisha watendaji wa wizara ya viwanda wanamuita muhuni.
@user-rr1lw7sz6h
@user-rr1lw7sz6h Год назад
Ni mbunge wa kwanza mwenye mawazo chanya mama mwaga cheche kututete wa pika pombe wanateseka sana
@MasterRugemalila-ze4ym
@MasterRugemalila-ze4ym Год назад
Asante
@user-ow6tx2is8b
@user-ow6tx2is8b 5 месяцев назад
V good gongo ililea nakutusomesha
@infoman0909
@infoman0909 Год назад
Dear gambe
@williamjohn7907
@williamjohn7907 Год назад
safiiiiiiiii
@wilbartwilliam
@wilbartwilliam Год назад
Well said madam
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 Год назад
Hivi inakuaji mtu mzima Tena msomi anatamka maneno kisengere nyuma? Mfano: 1 dhambi mtu anasema zambi 2 R ( Ara ) mtu anatamka L ( ELO ) 3 serikali mtu anatamka selikali 4 Brother eti blaza! 5 Road eti load! 6 light eti right 7 Right eti light !!!! Duh, aibu sana. Kiukweli nawashangaa sana 8. Kura eti kula!
@fabricenindagiye1143
@fabricenindagiye1143 Год назад
Afrika dufise ikibazo co gukengera ibikorewe kubutaka bwacu tukizera ivy'abazungu. Sema dada wambie
@IbnuAlly-cg2gn
@IbnuAlly-cg2gn Год назад
Watu hawawezi kuachiwa kulewa ovyo ovyo kwa pombe za ajabu ajabu halafu wakachinja watu mitaani, na hizo za tanzania si zimeruhusiwa zilipokidhi vigezo?
@maulidimpili698
@maulidimpili698 Год назад
Mbunge baada ya kukemea pombe unaenda kutetea pombe hiv umesoma na elimu yako inakusaidia kwel
@delimachesa5007
@delimachesa5007 Год назад
Huyo ni mtumjshi wa serikali serikali haina Imani...Imani Ya wananchi ndioinakataza matumizi Ya pombe ila Serikali haikatai ndo mana inaruhusu importation ikiwa bidhaa haina madhara kwa watumiaji na ndo mana kuna taasisi ya kuthibitisha bidhaa kuingia kwenye mzunguko
@maulidimpili698
@maulidimpili698 Год назад
@@delimachesa5007 ukisikia serikali ni watu sio jengo wala vifaa soma vitabu vya dini zote utaona pombe inavyokatazwa ila sehem yoyote inaposhuka elim ndipo walipoanza kutofautiana hao wasomi au wavumbuz wa vitu wanafalsafa wamechukua vitu kwenye vitabu vya dini zote ndio wanatamba mpk leo mawazo yao
@danfordmbilinyi1138
@danfordmbilinyi1138 Год назад
Nice say
@user-bl2vt6rk8m
@user-bl2vt6rk8m Год назад
Duuuh nimeipenda iyoo
@barakanyamafu5937
@barakanyamafu5937 Год назад
Dada una Akilisana
@user-jl5un4wf3u
@user-jl5un4wf3u Год назад
Huyo binti anayetetea ubunifu sheis athinker in deed.
@cloudmchopa5665
@cloudmchopa5665 Год назад
saaf saana hakuna sapoti zidi ya kuletewa police
@neemajumanne458
@neemajumanne458 Год назад
Ongera mtumishi
@goodlucknaftali4826
@goodlucknaftali4826 Год назад
Tunywe gongo tujinye bar ndiyo mnatak tuwe tunalewa uku tunanuka mavi
@ShomaMaganga-pm4mf
@ShomaMaganga-pm4mf Год назад
Umenena sana
@maresianantibakazi-yh4qd
@maresianantibakazi-yh4qd Год назад
Nimecheka kwa sauti
@user-mh6xv7wi7k
@user-mh6xv7wi7k Год назад
Umesema kweli kabisa
@macheramuhabe5503
@macheramuhabe5503 Год назад
Waambie ukweli wanona pombe za nchi za nje ndio nzuri kuliko za kwetu
@raphaelngulo1293
@raphaelngulo1293 Год назад
Nimependa Mawazo ya Mh,Mbunge
@deogratiusdonald5123
@deogratiusdonald5123 Год назад
Sasa wewe haunywi pombe jee?? Hizo utazipeleka wapiii? Ukitoka nazo bungeniiiiii??? Duuuu!! Bunge hili balaaaaaa!!! Au umpe mkulya yule anayeliaga akilewagaaaaa!!!
Далее
I Built a EXTREME School Bus!
21:37
Просмотров 8 млн
UNO!
00:18
Просмотров 286 тыс.
I Built a EXTREME School Bus!
21:37
Просмотров 8 млн