Тёмный

Musukuma: "Faini ya Bodaboda iwe Elfu 2 au Buku I Rais Samia Ametoa Milioni 500 Kila Jimbo" 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,3 млн
Просмотров 158 тыс.
50% 1

"Nampongeza sana Mheshimiwa Rais kwa kazi nzuri anayoendelea kuifanya lakini pia kwa usikivu, sisi wabunge tumekuwa na mambo mengi na tumelalamika kwa muda mfupi na kwa muda mchache aliokaa madarakani ameanza kutekeleza, kila mbunge hapa amepata milioni 500 kwenye jimbo."
"Nilikuwa najiuliza wachumi wetu mko namna gani, inawezekanaje bodaboda inayobeba abiria wawili inakuwa na faini sawa na basi linalobeba abiria 65, mimi nashauri hata hiyo elfu 10 bado ni nyingi tungeweka hata elfu 2, lengo letu sio faini, lengo ni kuwawezesha watu watoke kwenye bodaboda wanunue magari, hakuna mtu anapenda kuendesha bodaboda miaka 5 anaumia kifua. Tumeanza vizuri kwenye elfu 10 lakini nashauri tufikirie kwenda kwenye elfu mbili au hata "buku" kwani kuna shida gani, nchi ina pesa nyingi"
#KutokaBungeni
#CloudsDigitalUpdates

Опубликовано:

 

8 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 117   
@enockwest4265
@enockwest4265 Год назад
musukuma namkubali san ,kama na we unamkubali msukuma gonga like ata mja
@SasiMaro
@SasiMaro Месяц назад
Mama ssh uko vizuri kuwakumbuka watumishi wako kuwapandisha madaraja kazini.
@mariumpeter6147
@mariumpeter6147 3 года назад
Kama kawaida mzee wa kutema madini. Penda sana Mh. Msukuma
@user-mt1xb8qj2k
@user-mt1xb8qj2k Год назад
Uko sawa. Mbunge wetu kwa icho
@stansmorland5072
@stansmorland5072 3 года назад
Point sana mh msukuma🤝
@user-vv9nr4ij2l
@user-vv9nr4ij2l Год назад
Jaman kusema ukwel msukuma nikiongonz wakuingwa ❤❤❤❤❤❤mungu akulinde
@festokiraryo.6107
@festokiraryo.6107 3 года назад
Musukuma upo vizuri
@BlandinaThomas-o1k
@BlandinaThomas-o1k 17 дней назад
Nimependa sana iyo msukuma uwakirisha wafugaji
@MichaelSwai-p6x
@MichaelSwai-p6x 2 месяца назад
Asante mweshimiwa msukuma
@iqmediatz
@iqmediatz 3 года назад
Akili mingi sana Msukuma
@JuniorIssack-nq1pf
@JuniorIssack-nq1pf 5 месяцев назад
Huyu baba mungu amlinde tu
@salamaisayas8281
@salamaisayas8281 Год назад
Hongera Kaka angu MH Msukuma umetiisha Kwa maelezo kuh mafutaaa
@GambaShadrack
@GambaShadrack 4 месяца назад
Nakukubali sana king msukuma, chapa kazi
@user-mj8nf4gz2o
@user-mj8nf4gz2o 11 месяцев назад
Ubarikiwe msukuma nimependa sana
@Rukiamussa-xe3ib
@Rukiamussa-xe3ib 10 месяцев назад
Musukuma hongera nakupenda sana piga kaz
@twalibugoda662
@twalibugoda662 3 месяца назад
Nakukubali Sana msukuma
@lunemyabahati
@lunemyabahati Год назад
Hongera sana msukuma tukomboe
@MsAggie5
@MsAggie5 3 года назад
Mmmmh! Nilifikiri faini ni kwa ajili ya kuwafanya wawe makini kwenye kufanya makosa ya kizembe? Anyway kila mtu na mawazo yake! Kweli machinga wengine wamesoma na wana vyeti lakini ajira hamna. Musukuma nakuelewaga sana
@bonifasimkuvalwa5524
@bonifasimkuvalwa5524 7 месяцев назад
Naomba gombea uraisi watanzania tunaku kubali sana
@Maichampiongirl
@Maichampiongirl 2 месяца назад
#msukuma mtani wangu uko vinzr sanaaaa yaani we ni maghufuli kabisaaa❤❤❤❤
@ousmanjuma3396
@ousmanjuma3396 3 года назад
Fact
@Startk840
@Startk840 4 месяца назад
Uyu msukuma mungu ambaliki sana
@edimundmedard4427
@edimundmedard4427 3 года назад
Asante sana Msukuma unastahir kuitwa professor
@yasiniselemani9318
@yasiniselemani9318 3 года назад
msukuma Oye
@essaumwamgeni8739
@essaumwamgeni8739 Месяц назад
Huyo ndio Msukuma bwana Chapa kazi Msukuma.
@fatuma5208
@fatuma5208 Год назад
Nakupenda.sana.we.baba
@user-os8qc7pl1g
@user-os8qc7pl1g 2 месяца назад
Asante baba wa taifa
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 года назад
Sana musukuma umeongea vizuri mwanazengo dhahabu Mali zetu ni
@amourmunga8356
@amourmunga8356 3 года назад
uyu jamaa angepewa nafasi ya uwazirii yuko vizuri sana tena uwazirii mkuu siku yoyote
@WillisonMkumbo
@WillisonMkumbo 2 месяца назад
Msukuma upo safi,ngalau diwani amateur kaposho
@philimonmsabila4506
@philimonmsabila4506 6 месяцев назад
Huyu jamaaa mkumbuke nimtoto wa mkulima anajua maisha nini mungu akupe miaka 1000
@fazeelshomary2704
@fazeelshomary2704 3 года назад
Dah! Hili swala la faini sasa naona linapelekwa kisiasa zaidi kuliko kimkakati
@ChongemarwaChongemarwa-qz4hy
Safi ngoxha
@magerechales9018
@magerechales9018 3 года назад
Ila msukuma unaakili Sana sema bado hawajakugundua tu saf Sana hasa swala la fain za ngombe
@user-dh3uf2ro2s
@user-dh3uf2ro2s 5 месяцев назад
Msukuma unavyopambania wanachi hata mungu anapenda uongozi huo atakulinda Allah na kila lililo baya
@wisperfect5320
@wisperfect5320 3 года назад
Msukuma upo vizur
@user-le7cc9zk4d
@user-le7cc9zk4d 2 месяца назад
Chuma nakubali mwamba
@fetychina3273
@fetychina3273 3 года назад
👏👏👏👏👏👏👏
@wisperfect5320
@wisperfect5320 3 года назад
@fettychina
@wazirimakua8769
@wazirimakua8769 3 года назад
Hapo kwenye faini sidhani kama Mheshimiwa amefafanua vizuri sababu ya kutoza faini! Faini sio njia ya kukusanya mapato tu bali ni kumuonyesha mtenda kosa ubaya wa jambo alilolifanya, sidhani kama kuna uhusiano wa ukubwa wa chombo na adhabu. Kama kuna watu hatari na wanaosababisha ajali za barabarani ni bodaboda na bajaji (baadhi).
@agastprudence7639
@agastprudence7639 3 года назад
Kumbuka hata ajila nyingi zipo bodaboda maana serikali haitoi ajila na hii ni zaidi ya miaka sita sasa
@fetychina3273
@fetychina3273 3 года назад
Mihuwa na kukubali msukuma siku zote
@humphreyalbano3349
@humphreyalbano3349 3 года назад
Dad nikiona picha yako tu najuaga Ni wew...Nice
@sanmknyambarya5478
@sanmknyambarya5478 3 года назад
Safi sana msukuma unique member of parliament
@luqmaneme9105
@luqmaneme9105 3 года назад
Bodaboda nao wajielew baadh yao wanatend makosa kusud n kusababisha madhara kwa raia
@aishaissa2512
@aishaissa2512 Год назад
Safi sana msukuma 🎉🎉
@reganmartin5485
@reganmartin5485 3 года назад
Asante Msukuma
@WillisonMkumbo
@WillisonMkumbo 2 месяца назад
Angalau Kaposho ka diwani kawe hata million mmoja
@mussamussa1087
@mussamussa1087 Год назад
Aweeeeee raisi
@SufianSwaibu
@SufianSwaibu Месяц назад
Kweli mskuma kwenye swala radobadoba kweli umetutea sana kwakweli mngu akulinde jamn sjui nikupe tuteteee nduyetu
@Bahati-qz5sd
@Bahati-qz5sd 5 месяцев назад
Hapo sawa ngosha
@dominicjulius3108
@dominicjulius3108 3 года назад
Pamoja msukuma
@Msafirimzigwa
@Msafirimzigwa 3 месяца назад
Msukuma we jembe endelea hivyohvyo mungu atakusimamia
@OmarDaud-sf1kn
@OmarDaud-sf1kn 2 месяца назад
Wewe msukuma ni star sana
@GamzeninDunyas-th7hh
@GamzeninDunyas-th7hh 9 месяцев назад
Harika tebrikler ❤❤
@AbiudPatrick
@AbiudPatrick 3 месяца назад
Safiii failiniI've 2000 mimi ni katibu wa boda singinda mungu akubariki kariba singida
@benedictmrisho1800
@benedictmrisho1800 6 месяцев назад
Kweli Wah Madiwani walipwe mishahara na marupurupu ya pension kila miaka 5 sawa na Wah wabunge wao. Madiwani ndio mhimili mkubwa ktk kata.
@samwelyalamayaningaisungui4936
Msukuma uko 💯👍 unaipenda wana nchi yako san
@EdinnaKaizer
@EdinnaKaizer 3 месяца назад
Vizur sana upo makn sana ongeren sana jamn.mwombeen huyu mbunge wenu
@AyubuDeusnkoni
@AyubuDeusnkoni 2 месяца назад
new bungeni reo
@Mimivvvvv
@Mimivvvvv Год назад
musukuma wew ndo Mbunge humo ndani mwenye akili peke akoo hao wengine ni ............ 😢
@essaumwamgeni8739
@essaumwamgeni8739 Месяц назад
Huyo ndio
@joshuaminga762
@joshuaminga762 Год назад
Pamoja sana
@NixonJohnson-zn8nk
@NixonJohnson-zn8nk 3 месяца назад
Kweli boda sio kazi... Kiukweli
@DavidiTonelo
@DavidiTonelo 3 месяца назад
Nikweli mweshimiwa msukuma bodaboda tupunguziwe faini
@pauloyata9551
@pauloyata9551 3 года назад
Very talented MP much respect 2 u
@mfalmewanyika2804
@mfalmewanyika2804 3 года назад
Hawa boda boda ukiwaekea fain ya buku, wataingia nazo mpaka ikulu😂😂😂
@AbediAbdallah-tx1oh
@AbediAbdallah-tx1oh 8 дней назад
Tunazwa zaidi efu 20. Hadi 30
@DavidiTonelo
@DavidiTonelo 3 месяца назад
Msukuma katisha apo kwa bodaboda 🏍️🏍️🏍️
@user-dh3uf2ro2s
@user-dh3uf2ro2s 5 месяцев назад
Unaona mbali sana kodi zikipanda matajiri watahamia nchi za jirani je kutakuwa naongezeko lakodi au!!
@aloycesimwinga5763
@aloycesimwinga5763 4 месяца назад
We jamaa mung akubalik pia uko mbelen uje kuwa rais utatetea sana wananch
@user-mt1xb8qj2k
@user-mt1xb8qj2k Год назад
Msukuma uko sawa wambie
@joramkimario6174
@joramkimario6174 3 года назад
Yaaani musukuma ana akil nyingi kama redio ya mbao
@mussamussa1087
@mussamussa1087 Год назад
Uweeeeeeeee raisi mama na wengne makumaaaaàà
@jamespeter1798
@jamespeter1798 3 года назад
Msuka nakukubali Sana unajua shida za watu
@jumaamagerow7120
@jumaamagerow7120 Год назад
Mbona wananchi ni maskini hoehae. .Wakilipa buku watavunja sheria sana na ajali zitakuwa nyingi.
@abras3479
@abras3479 3 года назад
Msukuma ni miongoni mwa wabunge walio na akili nyingi sana kuliko elimu yao. This guy is very well exposed. Ni wazo zuri sana kuzuia magari kuingia eneo lote lililo karibu na Kariakoo sokoni. Maeneo ya sokoni kisiingie chombo cha moto.well done MSukuma
@Wamoyothenumberone
@Wamoyothenumberone 3 года назад
Yaan msukuma weunatakiw uwe rahisi wa Tanzania,wenikama magufuli tuu
@Wamoyothenumberone
@Wamoyothenumberone 3 года назад
Ukosahihi,msukuma ni jiniazi
@vagasonmwani5122
@vagasonmwani5122 3 года назад
Hahahaha msukuma noma akili nyingi sana
@AbiudPatrick
@AbiudPatrick 3 месяца назад
Hunger msukuma kwa kuwatetea bodaboda
@SimionWesiko
@SimionWesiko 2 месяца назад
😅😮
@dmox8723
@dmox8723 Год назад
Wanaomchukia msukuma ndani ya bunge wote ni wezi tupu
@user-vz2kz9qo6y
@user-vz2kz9qo6y 2 месяца назад
Hakika msukuma.ww ni wamuhim nchi hii
@nephirielasto3310
@nephirielasto3310 3 года назад
Yupo Saw msukuma na anafaa uongoz mkumbwa hap Bungen hat uwazi au supika
@Wamoyothenumberone
@Wamoyothenumberone 3 года назад
Anatakiw kuw rahisi wa nchi hii
@barakaezekia3382
@barakaezekia3382 3 года назад
Bado police wanakamata kwa mfano maeneo wanayokama ni Tazara na mataa ya veta kalibu na sheli ya oil com . je bunge mnalifikiliaje juu ya hilo Rais mama samia mimi pia Bodaboda inanuhuma sana
@AyubuDeusnkoni
@AyubuDeusnkoni 2 месяца назад
now bugen reo
@mussamussa1087
@mussamussa1087 Год назад
Njooooo nanyumbu hao makumaaaaaaaà usimwachishe.
@mussamussa1087
@mussamussa1087 Год назад
Njooooooo mtombe mpaka mariuumm
@user-yr5nx2nw8r
@user-yr5nx2nw8r 8 месяцев назад
hakika mheshiwa msukum MUNGU alikuandaaa kutetea viumbe wakoo
@user-eh1xk5gq6f
@user-eh1xk5gq6f 2 месяца назад
Bodaboda wanatedeka
@aizzyashery5564
@aizzyashery5564 Год назад
Hiki kitulia bn
@user-bg2vk4qm9m
@user-bg2vk4qm9m 2 месяца назад
Msukuma apewe urais mhura mmoja
@shabanymwanahewa1776
@shabanymwanahewa1776 3 года назад
sikuzote msukuma noma sana
@user-uf9nd4ji5k
@user-uf9nd4ji5k 8 месяцев назад
Msukuma unajua
@RICHARDKIKWELELE
@RICHARDKIKWELELE 6 месяцев назад
Kwel
@AbiudPatrick
@AbiudPatrick 3 месяца назад
Msukuma were ni MZALENDO
@bakarimhina4133
@bakarimhina4133 Год назад
Mheshimiwa Kasheku Msukuma ktk Mchango Wako Hapo Kwenye Ng'ombe kwa Kweli Umechemsha. Haiwezekani Ng'ombe Waingizwe Mbugani Halafu waachwe.(Wtachwe tu.
@saidijulius9911
@saidijulius9911 3 года назад
Namkunali sana mbunge msukuma unaongea pwenti tupo nambie hao
@user-eh1xk5gq6f
@user-eh1xk5gq6f 2 месяца назад
Tuteteeni wafanyabiashara na wakulima
@salamaisayas8281
@salamaisayas8281 Год назад
Taf wah wabunge pamoja na kuwatetea bodaboda ebu pia wakemewe waache wizi WA kukwapua Mali za watu barabarani na matendo maovu waliyo nayo mf ubakaju na mauaji hs wale ma_day workers ! Wakemewe waache kabisaaa
@nathanaelnnko252
@nathanaelnnko252 Год назад
😅
@user-jc8vt7ct9t
@user-jc8vt7ct9t 5 месяцев назад
Hawa jamaa ni wezi tu hapo mnakwepa kikokotoo tu
@braintv4065
@braintv4065 3 года назад
Kwa hiyo mtasubscribe channel yangu au nijiue
@mariumpeter6147
@mariumpeter6147 3 года назад
Jiue ila kabla ya kujiua chimba kaburi,nunua jeneza,nunua suti,uwalipe watu wa kuosha maiti na pia unitumie pesa ya kuendeshea msiba ili watu wasipate shida msibani
@davidjames8345
@davidjames8345 3 года назад
Kufa tu jinyonge na buibui
@mariumpeter6147
@mariumpeter6147 3 года назад
@@davidjames8345 👏👏👏 kaka nakujengea sanamu lako
@michaeljoseph1154
@michaeljoseph1154 3 года назад
Jiue
@JamalSipilali-zj3tz
@JamalSipilali-zj3tz Год назад
🥺🥺🥺🥺🥺🙏🙏🙏❤️❤️❤️❤️❤️❤️🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@agastprudence7639
@agastprudence7639 3 года назад
Bodaboda ndo inafanya polisi kuwa wababe
@MatungwaEdgar
@MatungwaEdgar Месяц назад
😂😂😂😂😅
@user-jh3yu7wl9r
@user-jh3yu7wl9r 9 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂
@user-xj3oh8tp4m
@user-xj3oh8tp4m 6 месяцев назад
Dogo
Далее
DR SLAA AFUNGUKA A-Z UTEKWAJI WA ALLY MOHAMMED KIBAO
15:08