Dr, sule nakupenda Bure njoo kwa ukristo ueedele kutuhubiria na biblia maana mahojiano yako yote mfano yote yote ni ya biblia.njoo kwa Jesu kristo yeye ndie njia tu kumfikia Mungu kama Mungu.biblia tamu inaogoza moto moto .bwana Yesu asifiwe naaedelee kusifiwa nayeye niyule yule Jana Leo na milele
Jini Jema kamwe aliwezi kuja mka dili nalo kazi lolote liko bize na ibada , jinni la aina yoyot uki dili nalo tayari Ume toka katoka uislam , tuache kuji ficha nyuma y paziya ya dini , sheikh akiwa awek wazi utajiri wa majin wowot ni shirki si majin machafu au mazuri
usi andikeusivyo vijua mungu katu hamrissha baada ya swala tuka tafute rizki kwaiyo hao makini wao hawana rizki Wana msujudia mungu tu acha ku kurupuka
Haya anayozungumza Dr ni yakwake yeye sio uislam, Uislam uko mbali kabisa na haya sikiliza mazungumzo yake vizur utaelewa tuu kikubwa kumuombea Dua Allah amuongoe maana anavuka mipaka nawausia Ndugu zangu katika Imani ushirikina ni DHAMBI KUBWA yakwanza mtu akifa na DHAMBI hii hajatubia anaingia motoni milele , tusighurika Kwa maneno yampotoshaji ukaingia katika maangamivu soma dini yako na Umuabudu Allah pekeyake bila ya kumshirikisha utafaulu duniani na Akhera ila ukitaka maisha ya Dunia fateni masheikh kama Hawa Ili mukaangamie Akhera
Hata huku kigoma huku unamuona mtu anamiliki sheli 3 ana magorofa Watoto wanasoma shule za Gharama ana magali Makali alafu ukioneshwa anavaa yebo yebo sasa ya nn yote hayo?? S bora nipate 20 nikanunue jeans yang nipendeze
KUMBE WAISLAM NAO WANA MAFUTA NA MAJI.., RIZIKI NGUMU KWELI.. MBONA MUNGU ANAOKOA KIRAHISI SANA, ILA HUKU MAMBO NI MENGI... YESU ALIUAMBIA MTI KAUKA UKAKAUAKA HAPO HAPO.. MUNGU ATUSAIDIE SANA.