Тёмный
No video :(

DR SULLE AFICHUA SIRI NZITO YA UTAJIRI ASIMULIA KISA CHA TAJIRI ANAYETOKA FUNZA 

Bongo Touch
Подписаться 741 тыс.
Просмотров 28 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 85   
@pammymoraamoraa6702
@pammymoraamoraa6702 3 месяца назад
Dr, sule nakupenda Bure njoo kwa ukristo ueedele kutuhubiria na biblia maana mahojiano yako yote mfano yote yote ni ya biblia.njoo kwa Jesu kristo yeye ndie njia tu kumfikia Mungu kama Mungu.biblia tamu inaogoza moto moto .bwana Yesu asifiwe naaedelee kusifiwa nayeye niyule yule Jana Leo na milele
@user-fu3cg3gv9g
@user-fu3cg3gv9g 2 месяца назад
Ujue huyu hata wakimbishia ninacho penda anatoa aya kwahio ukipinga unapingana na mtume na ana hoja nzito huyu mwamba
@hakizimanaselemani1995
@hakizimanaselemani1995 3 месяца назад
Jini Jema kamwe aliwezi kuja mka dili nalo kazi lolote liko bize na ibada , jinni la aina yoyot uki dili nalo tayari Ume toka katoka uislam , tuache kuji ficha nyuma y paziya ya dini , sheikh akiwa awek wazi utajiri wa majin wowot ni shirki si majin machafu au mazuri
@MuuYascohy-oc7os
@MuuYascohy-oc7os 3 месяца назад
Nabii Selemani aliwatumia majini kujenga Msikiti wa Aqswa na aliwatumia majini ktk kazi zake mbali mbali vip je nae alikuwa mshirikina ??
@jumachaduma5434
@jumachaduma5434 3 месяца назад
Anaongea kwa mihemiko,Hana elimu hiyo
@mbenamdudu7856
@mbenamdudu7856 3 месяца назад
Nabii suleimani alikua mchawi maana alifanya kazi na majini na aliwatawala
@bakarhassan
@bakarhassan 3 месяца назад
usi andikeusivyo vijua mungu katu hamrissha baada ya swala tuka tafute rizki kwaiyo hao makini wao hawana rizki Wana msujudia mungu tu acha ku kurupuka
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 3 месяца назад
@@MuuYascohy-oc7os imeaandikwa wapi?
@kassimabdillah5998
@kassimabdillah5998 3 месяца назад
Haya anayozungumza Dr ni yakwake yeye sio uislam, Uislam uko mbali kabisa na haya sikiliza mazungumzo yake vizur utaelewa tuu kikubwa kumuombea Dua Allah amuongoe maana anavuka mipaka nawausia Ndugu zangu katika Imani ushirikina ni DHAMBI KUBWA yakwanza mtu akifa na DHAMBI hii hajatubia anaingia motoni milele , tusighurika Kwa maneno yampotoshaji ukaingia katika maangamivu soma dini yako na Umuabudu Allah pekeyake bila ya kumshirikisha utafaulu duniani na Akhera ila ukitaka maisha ya Dunia fateni masheikh kama Hawa Ili mukaangamie Akhera
@HaniferMwiru-wn9wq
@HaniferMwiru-wn9wq 3 месяца назад
Khusnul khatwima yaarabb 😢😢
@Robbywedt
@Robbywedt 3 месяца назад
Safi sana doctar Sule
@user-rb4qc2in6l
@user-rb4qc2in6l 3 месяца назад
Namba ya Dr. Sulle tafadhali
@maryanomar119
@maryanomar119 3 месяца назад
Mashallah shekh sule umeongea maneno mazito sana mungu akubariki akupe afya na umri mrefu inshallah
@aliaden5512
@aliaden5512 3 месяца назад
unamuamini huyu mchawi
@LuluByams
@LuluByams 3 месяца назад
Doctor sule Nakuku Bali sana
@serahmohamed6513
@serahmohamed6513 3 месяца назад
MaashAllah tabarakaAllah, mtu akikuhitaji waeza patikana Dr. Sule?
@qhatramohamed7006
@qhatramohamed7006 3 месяца назад
Mashaa-Allah Allah akuhifadhi sheikh sule tunakupenda kwa ajili ya Allah (Nairobi) kenya
@faizG254
@faizG254 3 месяца назад
Huyu ni mshirikina. Ogopa Allah
@Sabakimotors001
@Sabakimotors001 3 месяца назад
Safi sana Dr.
@QASSIMWAIGO-py3kq
@QASSIMWAIGO-py3kq 3 месяца назад
Habari kaka naoma no Dr sule
@rezikomer9552
@rezikomer9552 3 месяца назад
Je hawa wachawi wanawo ibiya watu nyota zawo kwa kutaka kuitumiya wenyewe simhusika akafukarika huwa ni jini piya
@lordenoughforme4417
@lordenoughforme4417 3 месяца назад
Nilikua nikidhani huyu mtu nisheikh kumbe jichawi.shenzi kabisa
@aliaden5512
@aliaden5512 3 месяца назад
Kweli kabisa mchawi ataliwa na hilo jin
@kimsamir965
@kimsamir965 3 месяца назад
Safi sana, SAFI KABISA. Hapaaaandio patamu kwel Duhhhh
@KhamisiKarisa-vl9nz
@KhamisiKarisa-vl9nz 3 месяца назад
Kazi safi sana kaka
@muhammedwakif6216
@muhammedwakif6216 3 месяца назад
Sule umepoteza muelekeo Allah akugeuze Umeingia kwenye uchawi
@opportunities2767
@opportunities2767 3 месяца назад
Du sikio lako na ww litakua na funza, wapi kasema ameingia kwenye uchawi
@hassanibrahim7870
@hassanibrahim7870 3 месяца назад
Kavuka mipaka sana,Allah atulinde na majahil kama hawa
@mahamudaideed6922
@mahamudaideed6922 3 месяца назад
Insha'Allah nitakutafuta nimekuelewa sana
@ZubedaHussein-it7nf
@ZubedaHussein-it7nf 3 месяца назад
Mashekhee wakubwa sie tusio nauwezo tunaogopa ata kuwaona anaejua gharama za kuonana nae anijuze
@jumaothman4411
@jumaothman4411 3 месяца назад
dr sule watanhaza shirki sasa baada ya imani unapotea sasa tena wafunganisha ushirikina na allah .
@MuuYascohy-oc7os
@MuuYascohy-oc7os 3 месяца назад
Acha upuuz wew kutibu kwan dhambi?
@hamismohamed3541
@hamismohamed3541 3 месяца назад
Mtangazaji et zipo hizo pini dah unatuwakilisha vizuri muhuni wetu😂
@sophdenis3471
@sophdenis3471 3 месяца назад
Dk sulle yuko sawa ipo sku mtamuelewa
@officialcandleboy6923
@officialcandleboy6923 3 месяца назад
Huo ni ukweli kabisa Uganda wapo wengi ni Tajiri ila huki kutana nae huta fikiria ni mwizi, na hao wa watoto ma punguani ni wengi sana
@hemedbamja3197
@hemedbamja3197 3 месяца назад
Eti "hata komandoo"😂😂😂hilo swali
@TheogeneNzabonimpa
@TheogeneNzabonimpa 3 месяца назад
Haudjambo Dr sule niko rwanda jinarangu theogene nafataga maongezi yako samhani unaweza kunipa namber ya whatsap nakuwandikiya
@romainehabamungu8547
@romainehabamungu8547 3 месяца назад
Docta , unasema kweli sana , basi nakuomba sana , mimi niko CANADA nitakupata je ?
@joventjohansenmushwaimi1988
@joventjohansenmushwaimi1988 3 месяца назад
Ana namba zake za simu anapatikana
@aweisali1723
@aweisali1723 3 месяца назад
Pini ju y pini
@abubakarchande8602
@abubakarchande8602 3 месяца назад
Nahitaji mawasiliano na sheikh au nielekezwe ofisi kwake tafadhali, ikiwezekana nipewe na gharama za kumuona
@salimyanga9216
@salimyanga9216 3 месяца назад
Tunaomba nambayako shekh
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 3 месяца назад
Uchawi upo umetajwa kwenye vitabu vya mungu vyote
@asiyajuma3135
@asiyajuma3135 3 месяца назад
MashaAlla Doctor sule umesema kweli wallah ila sijui ni ta kupataje nipo dubai
@chamushippingcsl7540
@chamushippingcsl7540 3 месяца назад
Doctor uko vizuri naomba kukuona
@bonifacewanyonyi3555
@bonifacewanyonyi3555 3 месяца назад
Umetuelimusha sana
@starah2525
@starah2525 3 месяца назад
Kwahio shule tuache tujifunze uchawi na kutumikia majini wazuri
@AbdusidMohammed-hi5ib
@AbdusidMohammed-hi5ib 3 месяца назад
Mim namuona doct sule yuko sahihi mbona nabii Suleiman alikuwa anamiliki majini na wanyama
@user-cy7vw3ni3w
@user-cy7vw3ni3w 3 месяца назад
Acha izo
@mohamedkipara1315
@mohamedkipara1315 3 месяца назад
Sheikh uko vizuri
@Skomi-0nedayyes
@Skomi-0nedayyes 3 месяца назад
Tunaomba namba ya dk sure ndgu mwana habari tafadhar🙏🏿
@ndayikezaoscar3467
@ndayikezaoscar3467 3 месяца назад
UJINGA TUPU
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 3 месяца назад
Nyinyi ndio wachawi tunawasaka
@pedropedroagira3980
@pedropedroagira3980 3 месяца назад
Da doctor Mimi nassumbuliwa sana na ato mambo
@FatmaRashid-sj8jw
@FatmaRashid-sj8jw 3 месяца назад
Baada ya mazungumzo ataje namba ya simu
@KhamisHassan-jh6go
@KhamisHassan-jh6go 3 месяца назад
Namba yako au nakupataje Dr Sule
@ahmedsdk6736
@ahmedsdk6736 3 месяца назад
Hata huku kigoma huku unamuona mtu anamiliki sheli 3 ana magorofa Watoto wanasoma shule za Gharama ana magali Makali alafu ukioneshwa anavaa yebo yebo sasa ya nn yote hayo?? S bora nipate 20 nikanunue jeans yang nipendeze
@IsaaPauleta
@IsaaPauleta 3 месяца назад
Doctor asie kuelewa na kuku fahamu huyo ni mwehu na taahira tu.
@igurusitv6553
@igurusitv6553 3 месяца назад
Huyu ni mwanga tu
@aliaden5512
@aliaden5512 3 месяца назад
kabisa mchawi eti pete inaleta baraka
@hassanally446
@hassanally446 3 месяца назад
Mwanga wewe usiokua na elimu, kwa sababu elimu ya mjinga ni majungu
@didawaso4165
@didawaso4165 3 месяца назад
Uwogo
@zainababdurlham18
@zainababdurlham18 3 месяца назад
Sheik kama unahitaji matibabu je garama yake nigp
@Jcg-js5xu
@Jcg-js5xu 3 месяца назад
Kaka mm naomba namba za shehe sulle
@JamesAmani-xz6hu
@JamesAmani-xz6hu 3 месяца назад
dhaa dkit tunaomba namb zako make fifa zaku tunatak kushudia jamn
@MahmoudMbarouk
@MahmoudMbarouk 3 месяца назад
❤dr.sule tunaomb namb yako tuna meng tunatak kukuuliza
@aliaden5512
@aliaden5512 3 месяца назад
unataka kuuliza nini kama unataka pete utakufa kama mbwa
@surusuru1994
@surusuru1994 3 месяца назад
Tena mover zip
@Soge-jb4rb
@Soge-jb4rb 3 месяца назад
Wapo wengi to
@sherfineatieno
@sherfineatieno 3 месяца назад
Yani ww na hamonize kumbe gora moja
@Manyohu.tv1
@Manyohu.tv1 3 месяца назад
KUMBE WAISLAM NAO WANA MAFUTA NA MAJI.., RIZIKI NGUMU KWELI.. MBONA MUNGU ANAOKOA KIRAHISI SANA, ILA HUKU MAMBO NI MENGI... YESU ALIUAMBIA MTI KAUKA UKAKAUAKA HAPO HAPO.. MUNGU ATUSAIDIE SANA.
@latifamuhunzi4061
@latifamuhunzi4061 3 месяца назад
Nikwambie kitu my ndugu, kama huelewi kitu uliza kwqnza
@latifamuhunzi4061
@latifamuhunzi4061 3 месяца назад
Kwa.upande wetu sisi ipo mpaka kwenye maandiko,labda nyie ndio mnayaona mageni
@latifamuhunzi4061
@latifamuhunzi4061 3 месяца назад
Maji na mafuta hayo mnayo ambiwa ninyi ya upako,ni maji ya kawaida.na mafuta ya mzaituni,kama huelewi ndipo mnapoona ni mapya ndiponapo pigiwa hapo
@amirimbago8325
@amirimbago8325 Месяц назад
Nawewe uambie mti ukauke kama una hiyo imani.
@user-qr2ww4nl7f
@user-qr2ww4nl7f 3 месяца назад
Hawo wooote wenye kumuunga mkono sule niwapenda shiriki kbsa😢
@ummulhussein
@ummulhussein 3 месяца назад
🤣🤣🤣
@faizG254
@faizG254 3 месяца назад
Huyu ni mshirikina.
@faizG254
@faizG254 3 месяца назад
Huyu mshirikina anapotosha Waislamu
@KhamisHassan-jh6go
@KhamisHassan-jh6go 3 месяца назад
Dr Sule nikihitaji namba yako naipataje au kukuona je
Далее
СМАЗАЛ ДВЕРЬ
00:31
Просмотров 263 тыс.
А ВЫ УМЕЕТЕ ПЛАВАТЬ?? #shorts
00:21
Просмотров 1,5 млн