Assalamu alaykum sheykh Nahayo unowatolea siri zao majini wakijini na makini wakibinaadam yawezekana wanakufanyiya vitimbi uonekane m baya duniani nzima Wao hawapendi hivyo ujitahidi sheykh sule na adhakari za kinga
Majini wema huwa wanakazi gani yani huwa mnawapa kazi gani mnauhusiano gani na majini wema?? Je majini wema ni kama alivyo malaika?? Na kwanini majini wanaishi duniani na malaika wanaishi mbinguni mahali anapoishi Mungu?? Kwanini malaika waishi mahali patakatifu mbinguni na majini waishi duniani ambako hapana utakatifu maana dhambi imetawala dunia na mbinguni Hamna dhambi wanapoishi malaika? Kwanini majini wanatumiwa na binadam na malaika Mungu pekee ndie anawatumia?? Au kunamwanadamu wa sasa anaweza kumuita na kumtuma malaika wa mbinguni kama anavyoweza kumuita jini na kumtuma?? Je wema wa jini ni sawa na utakatifu wa malaika? Asalam aleykum