Subhanallah. Hatua kwa hatua mpaka waislam waache kumwamini Allah na waamini wadamu wenzao kama wakristo na mapastor badia audhu billahi minal saitan rajeem..Ya Allah yarabbi wanitosha kunilinda kuniruzuku natubu kwako nisamehe
Ivi weye wakristu kutuonaje? Kama unakoment ,koment lakini wacha kuchafua dini za wengine mana wasio muamini mwenyezi mungu ni wengi ata waislam pia wapo wacha kujaji watu mana wakujaji ni mungu peke 😈
@@evodiamahay1613 mimi nilisema pastor badia naelewa kienye nasema na sijudge anybody nimezaliwa na wakristo na familia yangu ni wakristo najua kienye na sema
Allah akhibar,Dr.mimi natatizwa sina mafanikio yoyote,kipato,ndoa zangu kuvurugika bila sababu lakini sijakubalia na hali ya kukataa tamaa,ila uwezo wa kupewa wakifika pale ulipo Dar sina. Nakusihii inisaidie niondokane na janga hili. Nahitwa LOKENDO-BONGA BILÉNGANA NGALÙLA
Asalam alykum. Kwakweli hivi anavyoongea unaweza hisi Ni ujanja ujanja. Lkn lahasha nilikuwa namatatzo makubwa mno Ila kwa dua zake na maji ya dua. Alhamdullah kwa hapa nilipofkia. M/mung awape afya njema . Na kher nying mno
Assalam alaykum naomba namba ya doctor sule nami nimesibiwa na hilo jamani ambae hajafikwa anaweza kuhisi shekh anaongea tu lakini yakikufika ndo utajua
Uchawi. Upo lkny tusiuamini sanaa ..wengi wetu n wavivu wa kutafuta maisha twasingizia uchawi.hijra muhimu kama hufanikiwi Tanga hama nenda ulanga...mbea..msa kule wanga hawakujua Historia yako.