Тёмный

DR SULLE | HUU NDIO UCHAWI HATARI WAKUKATISHA TAMAA | UNASEHEMU SEHEMU KUU 3 | NAJINSI YA KUJIKINGA 

MASJID MTORO ONLINE TV
Подписаться 419 тыс.
Просмотров 172 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

3 июн 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 219   
@user-sp2pp1ht6m
@user-sp2pp1ht6m 5 дней назад
Mwenyezi Mungu atunusuru, Amina.
@liam8127
@liam8127 2 года назад
Mungu akubar sule binadamu tunapitia menge atujui jinsi yakuepuka..yalabi tunusulu he!
@Samsungjprime-ww9ve
@Samsungjprime-ww9ve Год назад
Shukran Dr sule Mashaallah Allah akuzidishie umri wenye afya njema na siha mzr
@user-di3gf9cs2e
@user-di3gf9cs2e 5 месяцев назад
SHUKRAN Mufti wangu🙏🙏
@firdausassouman7115
@firdausassouman7115 2 года назад
Ma shaa Allah barakallahu fikum
@aishawangui6635
@aishawangui6635 2 года назад
Subhanallah. Hatua kwa hatua mpaka waislam waache kumwamini Allah na waamini wadamu wenzao kama wakristo na mapastor badia audhu billahi minal saitan rajeem..Ya Allah yarabbi wanitosha kunilinda kuniruzuku natubu kwako nisamehe
@evodiamahay1613
@evodiamahay1613 2 года назад
Ivi weye wakristu kutuonaje? Kama unakoment ,koment lakini wacha kuchafua dini za wengine mana wasio muamini mwenyezi mungu ni wengi ata waislam pia wapo wacha kujaji watu mana wakujaji ni mungu peke 😈
@aishawangui6635
@aishawangui6635 2 года назад
@@evodiamahay1613 mimi nilisema pastor badia naelewa kienye nasema na sijudge anybody nimezaliwa na wakristo na familia yangu ni wakristo najua kienye na sema
@mandelakizango8769
@mandelakizango8769 2 года назад
Allahu Akbar
@mwashamleo9996
@mwashamleo9996 Год назад
Sasa hapo kuna kosa gan mbona tunaenda hospital na tunaamin madaktar wanaweza kutusaidia?duh akili yako haina akil kweli 😢😊
@mwashamleo9996
@mwashamleo9996 Год назад
@Aisha wangui
@MsambyaNdulu-uw4do
@MsambyaNdulu-uw4do 2 месяца назад
Allah akhibar,Dr.mimi natatizwa sina mafanikio yoyote,kipato,ndoa zangu kuvurugika bila sababu lakini sijakubalia na hali ya kukataa tamaa,ila uwezo wa kupewa wakifika pale ulipo Dar sina. Nakusihii inisaidie niondokane na janga hili. Nahitwa LOKENDO-BONGA BILÉNGANA NGALÙLA
@user-nh1fd1nl7t
@user-nh1fd1nl7t 3 месяца назад
Sheikh Allah akupe maisha mema❤
@dinatalib2703
@dinatalib2703 2 года назад
Iyo roho ndo mm kabisa husema hivyo Mugu kanipangia hii hali dah subuhanallah
@abdulazeezuae4881
@abdulazeezuae4881 2 года назад
Ndio mime wangu jamani daah mbaka nashindwa chakufanya wachawi wengi mno duniani kushindwa wema
@zeinatmutesiruhora6105
@zeinatmutesiruhora6105 8 месяцев назад
Doctor sule tuleteye maji uku sauz Africa please wacawi kibao
@shamimuathumani8947
@shamimuathumani8947 2 года назад
Asalam alykum. Kwakweli hivi anavyoongea unaweza hisi Ni ujanja ujanja. Lkn lahasha nilikuwa namatatzo makubwa mno Ila kwa dua zake na maji ya dua. Alhamdullah kwa hapa nilipofkia. M/mung awape afya njema . Na kher nying mno
@moussaalimbinally1273
@moussaalimbinally1273 2 года назад
Oya nitayapataje ayo maji
@mariamomari4521
@mariamomari4521 2 года назад
Asslam alykum Ustadh maji nipata wapi niko mbali mimi naomba jina je huku Saudi Arabia naweza pata
@fhyubhhh2881
@fhyubhhh2881 Год назад
Alhamdulillah... Allah ampe ujuzi zaidi shkh Yarrab azidi kusaidia jamia...
@mwamini1545
@mwamini1545 Год назад
Ulikuwa kalibu yake ama ulikuwa inje ya inchi? Mii niko inje ya inchi na mii niko namatatizo mengi nimezunguka sana sijapata musada yeyote
@rajysmjunior
@rajysmjunior Год назад
Ww ume yapata sehem gan me nipo na shida nayo
@sophiamussa5354
@sophiamussa5354 Год назад
Ee mwenyew MUNGU tujaalie neema 🙏
@liam8127
@liam8127 2 года назад
kabisa mimi ndo inanikuta napata ela ila sifanikiw kabisa napata adi milion ila sifanikiwi mpaka nakata tamaaa ya kuwa namafanikio
@hassandinhoosmail6378
@hassandinhoosmail6378 10 месяцев назад
M/mungu aweke baraka na maisha yako Insha'Allah 🙏
@AntiMohamed
@AntiMohamed 2 месяца назад
Assalam Aleykum Warahmatullah Wabarakatuh ALLAH akuzidishie kila la kheri, Sheikh nauliza huku Mombasa Kenya waja lini.
@KiragaSteven-sz9xb
@KiragaSteven-sz9xb Год назад
Mashaallah
@zakiahbakari2017
@zakiahbakari2017 Год назад
MashaAllah
@aminasuphian7685
@aminasuphian7685 9 месяцев назад
Mwnyezi mungu akujalie maisha marefu
@emmanueljohn9286
@emmanueljohn9286 8 месяцев назад
Sheikh nimekuelewa sana pia umegusa maisha yangu kabisa.naomba mawasiliano yako tafadhali...
@MelkizedekiMarsely-mm6zy
@MelkizedekiMarsely-mm6zy 6 месяцев назад
We dt sule nakupenda bure kabisa we mwamba ktk historia
@mgeniomukubi1156
@mgeniomukubi1156 Год назад
Masha Allah .niko kenya na nina matstizo niyssaidikaje
@husseinabbakary2778
@husseinabbakary2778 Год назад
Mashallah
@user-nh1fd1nl7t
@user-nh1fd1nl7t 3 месяца назад
Mungu akujalie maisha mema
@gabrielnduwayo8277
@gabrielnduwayo8277 3 месяца назад
Assalamu.alaikum ,naitaji kuwasiliana na Docter Sulle
@sakeenaanzi4431
@sakeenaanzi4431 Год назад
MashaAllah, kama vile unakariria maisha yangu vile
@bintialirashid3470
@bintialirashid3470 2 года назад
Mashaallah nikweli kabisa
@Aisha-qx7kz
@Aisha-qx7kz 7 месяцев назад
Asalam alaykum warahamatullahi wabarakatuh......walahi shekh sule mungu akipenda nitakutafuta kwa hayo matatizo ya uchawi
@KhairatAbdallah-kv3ql
@KhairatAbdallah-kv3ql 2 месяца назад
A.alaykm...kiasi gan hayo maji
@nasfunasri5611
@nasfunasri5611 2 года назад
Asalam alykum shekh nipo Nairobi ntayapataje
@user-fy6xb8zp9o
@user-fy6xb8zp9o 7 месяцев назад
Assalaam alaykum warrahmatullah wabarakatuh mansha,allah na mimi pia niko Congo tafadhali
@fhyubhhh2881
@fhyubhhh2881 Год назад
Kabisa!!
@fhyubhhh2881
@fhyubhhh2881 Год назад
Mashaallah Mashaallah
@MohammedAli-rh5si
@MohammedAli-rh5si 2 года назад
Jazzaka llahu kher
@swafniesaid2331
@swafniesaid2331 2 года назад
Asalamu alekum mola akubarikiye akutiliye taufik amen utakuja lini Kenya hata sisi niwagojwa
@mbaroukmohammed913
@mbaroukmohammed913 2 года назад
Zzzzuuuuuummmmm M Smmmmmmmm 666mmm Mmm.mm Mmm.mm.m
@mbaroukmohammed913
@mbaroukmohammed913 2 года назад
Zzzzuuuuuummmmm M Smmmmmmmm 666mmm Mmm.mm Mmm.mm.m
@user-qq2oc4bt3i
@user-qq2oc4bt3i 3 месяца назад
Allahu akbaru
@PaulineNasma-dz2qv
@PaulineNasma-dz2qv Год назад
Assalam alaikum Mimi ni Nasma kutoka Kenya, nikitaka hayo maji nitayapataje . Shukran.
@abdirizackkala4593
@abdirizackkala4593 2 года назад
Sheikh utakuja lini Kenya
@iddalihussein1534
@iddalihussein1534 2 года назад
Asalaam aleikum sheikh, Naomba kupata number Dr dule ya whatsup, Niko nchini Kenya Meru county Barak-Allah
@neemajoseph9192
@neemajoseph9192 Год назад
Assalam alaykum naomba namba ya doctor sule nami nimesibiwa na hilo jamani ambae hajafikwa anaweza kuhisi shekh anaongea tu lakini yakikufika ndo utajua
@user-ni5fi6qk2h
@user-ni5fi6qk2h 4 месяца назад
@mwajabuabdalah-pl6bc
@mwajabuabdalah-pl6bc Год назад
Nampataje di sulle inapatikana wap
@emmanuelmbwambo6571
@emmanuelmbwambo6571 Год назад
SAWA mkuu 🙏.
@user-mt4sd6cj5y
@user-mt4sd6cj5y 11 месяцев назад
Uchawi. Upo lkny tusiuamini sanaa ..wengi wetu n wavivu wa kutafuta maisha twasingizia uchawi.hijra muhimu kama hufanikiwi Tanga hama nenda ulanga...mbea..msa kule wanga hawakujua Historia yako.
@muuu9505
@muuu9505 2 года назад
Kwamba mungu anaumba undongo wa shari mnaanza kuwaiga wakristo kina mwamposa kupata pesa mmeacha da'awa mmeanza usanii subhanallah
@abdulmbaruku9177
@abdulmbaruku9177 2 года назад
We tulia ngoja Allah akuoneshe ndo utajuwa
@fhyubhhh2881
@fhyubhhh2881 Год назад
Haujapatikana bado omba yasikupate..
@gasigwanassor417
@gasigwanassor417 2 года назад
Niko Rwanda majii hayo anaweza patikana ajee
@omarikinyory5785
@omarikinyory5785 2 года назад
Majini ya mashwetwani wapo
@jemedarmohamed3644
@jemedarmohamed3644 Год назад
السلام عليكم سيدى
@RamaKokilo
@RamaKokilo 2 месяца назад
Arusha una branch Dr.sule
@mustafarashid2484
@mustafarashid2484 10 месяцев назад
Comment nyingi hapa ni wanawake eti wanataka hayo maji,dawa ni amka usiku swali sunna nafanya dhikr kwa sana kwani Allah ako karibu na wewe
@fatumamwachupa7810
@fatumamwachupa7810 2 года назад
Please doctor sule pia mimi na yataka Sasa nitayapataje
@sembuakimbosho3319
@sembuakimbosho3319 Год назад
Asallm alleykhum hayo maji unayapataje na bei gani
@omarikinyory5785
@omarikinyory5785 2 года назад
Asalam aleykum warahmatullah wabarakatuh allah atujarie heli atukinge na maradhi
@nasimnamira2517
@nasimnamira2517 2 года назад
Salama Alekum she sisi tutapataje Niko Kenya nijibu
@nasimnamira2517
@nasimnamira2517 2 года назад
Nakuuliza hunijibu
@zulekhamnene9462
@zulekhamnene9462 2 года назад
Dr sulle naomba no yko niko kenya
@nassoroabdul6743
@nassoroabdul6743 Год назад
Uko sehem ipi ndugu yangu
@yasinkulendea2483
@yasinkulendea2483 3 месяца назад
Mawaidha yananihusu mimi 100%😢😢
@UwamahoroShemusa-yl1om
@UwamahoroShemusa-yl1om Год назад
Assalam alaikum Walhamat
@aminasalim929
@aminasalim929 2 года назад
Asalamu aleikum vipi nita pataaje haya niko kenya Nairobi
@user-vg7pp6xp2g
@user-vg7pp6xp2g 7 месяцев назад
Asalaam alykum...Dr Sule nataka hayo maji nitayapata vipi na niko kenya
@California9451
@California9451 2 месяца назад
Sule Mganga
@user-mv4ih4sd5n
@user-mv4ih4sd5n 2 месяца назад
Asalam alaykum warahmatullah wabarakat mimi nipo kianga Zanzibar nayapataje haya maji nayapataje
@fikirinijuma6158
@fikirinijuma6158 Год назад
Naomba namba ya DK sule napoteza mengi kweli Hadi mke wangu
@mwashamleo9996
@mwashamleo9996 Год назад
Si wameonesha hapo juu no zake?
@user-th6km5bj9m
@user-th6km5bj9m 3 месяца назад
Asalam alaikum waraymatulahy wabarakatu
@user-th6km5bj9m
@user-th6km5bj9m 3 месяца назад
Hayo maji nitayapata vipi sheikh😢
@UwamahoroShemusa-yl1om
@UwamahoroShemusa-yl1om Год назад
Sule naurizajye mimi niko mbari uganda kwakweri naweza patajye manji hio
@user-mt4sd6cj5y
@user-mt4sd6cj5y 11 месяцев назад
😂😂😂huu ndio mpango mzima kuna walala hoi n walala hai.
@lucrezianjenga8993
@lucrezianjenga8993 2 года назад
Hata mimi ni po Kenya maji hayo nita ya pata vipi
@hajiabdika1172
@hajiabdika1172 Год назад
Asalamu aleykum Dr naweza pata aje hayo maji
@MbulamayeJuma-xw4lx
@MbulamayeJuma-xw4lx Год назад
Asalamualeikum Dr mm naitwa kutoka Nairobi Niko namatatizo ya nitapata aje kusaidika please
@subirafatma3234
@subirafatma3234 Год назад
Asalam aleikum warahmatullah wabarakatuh sheikh ayo maji mtu anaweza kuyapata je kama si watu wa burundi plz sheikh na ni bei gani
@HajKhamis-qz7wg
@HajKhamis-qz7wg 8 месяцев назад
Nayataka.dokta
@victorotieno2716
@victorotieno2716 2 года назад
Asalam alaikum warahmatulah wabarakatu..naomba number ya doctor nipo Kenya 🇰🇪tafathali
@twaibujuma5023
@twaibujuma5023 9 месяцев назад
Mbona shekh arusha hatukuon
@AntiMohamed
@AntiMohamed 2 месяца назад
Cc huku Kenya tutumieni hiyo email jamani tupate kununua
@shariphshaibu3941
@shariphshaibu3941 9 месяцев назад
Assalamualaikum Dr sule swali langu 1 inapikana wapi?
@YasiniMahomba-mx6ux
@YasiniMahomba-mx6ux 8 месяцев назад
Muslim din alhak
@AntiMohamed
@AntiMohamed 2 месяца назад
Tafadhalini namba ya Sheikh tutaipataje
@BizoMenya
@BizoMenya 7 месяцев назад
Assalaam alleykum, naitwa ummu nipo mbagala nimefanyiwa sihiri nimeshindwa kujua ntaponaje matatizo yangu yananitesa naandamwa na nuksi balaa mikosi nashindwa kupata ndoa
@mwajumaallyally23
@mwajumaallyally23 Год назад
Walkum msalaam naomba namba ya ustadi sulley
@afandemsanzu3686
@afandemsanzu3686 2 года назад
Assalam aleikum Shekhe naomba namba ya Dr Suleiman
@hdkuligt1621
@hdkuligt1621 2 года назад
Hili mm namnini kwa asalimia 50
@mahmudmaganga9407
@mahmudmaganga9407 Год назад
ASALAM alaikum docter sule kama sisi tupo mbali burundi maji hayo ntayapata vipi pili naomba mawasiliyano yako Yamoja kwamoja ili nisitapeliwe
@fhyubhhh2881
@fhyubhhh2881 Год назад
Husda mbaya jamani
@mohamedmwanyasi678
@mohamedmwanyasi678 Год назад
Mm nko mombasa naitaji maji ya mti mjarab
@heritier5119
@heritier5119 2 года назад
Huo mti unaitwaje na eneo gani hapo jordan
@abudoeugenio6903
@abudoeugenio6903 Год назад
Dahhhh. Ostadh mimi nnamatatizo tangiya mwezi nne Ramadhani mpaka leo ( kuna vitu vinanitembeya mwirini ) unanisaidiyaje shekhe??
@shariffkareem8045
@shariffkareem8045 Год назад
Mimi sija muelewa uyo mwenye kofia nyekundu mbona nae nimiongoni mwa udongo mbaya
@user-un8be7ct3e
@user-un8be7ct3e 9 месяцев назад
assalaamu aleikumu sasa mimi ninashidayakutomiliki kileninachokifanyia hatamifugo kuku akitotoa vifalangavinakufavyote je kunakk
@amosdavies1781
@amosdavies1781 2 года назад
Hivi Dr. Unapo uza ramani ya vita... si unawapa adui tahadhari ya kujipanga Maana hao wachawi pia wanakusikiliza unavyowagonga nyundo
@BON357
@BON357 Год назад
Izi dawa za doctor sure napata wapi
@user-uw8cp9yi6h
@user-uw8cp9yi6h 11 месяцев назад
Tufafanulie hayo maji ni yapi.
@GloriousRestorationTV
@GloriousRestorationTV 2 года назад
Sasa hamwoni kwamba mnajichanganya??? Yaani wachawi ndio wamefanya halafu unasema Mungu??? Au unasema yule mungu mwingine wa dunia hii !!!!
@user-lc5fz1th9j
@user-lc5fz1th9j 4 месяца назад
Naomba mawasiliano yako
@maimunamselemo8427
@maimunamselemo8427 2 года назад
Nayapataje haya maji jamani?
@user-jq2fq6ph8y
@user-jq2fq6ph8y 7 месяцев назад
Nisaidie namimi ninashida sana
@Samsungjprime-ww9ve
@Samsungjprime-ww9ve Год назад
Mimi nayataka hayo maji nitayapata vipi huku niliko na nikiasi gani ?
@sadiaahmed1984
@sadiaahmed1984 2 года назад
Unaongea nn ww mwenyewe ni mshirikina, kila saa nyota imengara, watu watakupenda,
@majomasliman7856
@majomasliman7856 Год назад
Assalam aalaykum wrahma tullahi wabara katuh tuna shkuru sana ila kwa sisi tulioko Burundi tuna taabika sanaaji hayo tuna yapata je? Dr sule
@nassoroabdul6743
@nassoroabdul6743 Год назад
Uko burundi sehem ipi ndugu yangu
@fatufatuma6306
@fatufatuma6306 Год назад
Dokta sule Niko Burundi naomba namba Yako kupitiya yutb
@nassoroabdul6743
@nassoroabdul6743 Год назад
Uko sehem ipi
@jemedarmohamed3644
@jemedarmohamed3644 Год назад
samahani nauliza jina la maji hayo habiib
@marthachukanzuangichuka
@marthachukanzuangichuka Год назад
Okokeni
@abdallahsalum9316
@abdallahsalum9316 Год назад
Haukuna wokovu Dunian zaid ya kwa mungu.
@mwandazifatma8210
@mwandazifatma8210 Год назад
Sasa mm nipo zanzabar nitayapata vip hayo maji
@HerriMossi-fu3lw
@HerriMossi-fu3lw 10 месяцев назад
Namu asalamwalakumu w t b ostazh mimi ni mukazi wa burundi n'a tulikuwa tunaomba namba za simu ili tuweze kijuwa mengi ila samahani
@mwashamleo9996
@mwashamleo9996 Год назад
Mbona hii inanihusu mimi natokaje ktk hali hii?
Далее
Beautiful game!😍
00:20
Просмотров 2,4 млн
Pesa imejificha katika vitu vinne - Sheikh Walid Alhad
20:37