MashaAllah dr Sule mwenyezi mungu amekupa haiba na sauti hatuchoki kukusikiliza. Itumie sauti yako imfikie kila mtanzania kumuelimisha faida ya amani kwenye nchi. Uwe na redio yako dr so sauti yako ifike kila kona ya tanzania. Vijana wetu wasije kukurupuka na kutuharibia nchi. Mwenyezi mungu akulipe kila la kheri
Doctor sule nakupongeza kwa unachokizunguza nikweli kwasababu watu wengi hawana madili mazuri dini imekosekana kwenye nyoyo wana shabikia vurugu kuliko amani hawajuwi athari zake mungu akupe nguvu yakuongea ukweli..
Msitukane mitatandaoni.... Matamshi mapotofu.. mimi mkenya... usitumie methali ma semi zisizo na msingi kuwa samaki mmoja akioza wote wanaoza... kiongozi wangu ni Muhammad (saw)
Sule unanikwaza unavyo iteteya serikali , ninaujuwa uchungu ambawo serikali zetu za kiafrica , mkiongoza vizuri tutawasapoti, ila wakiongoza vibaya , lazima population isimame, sababu sisi watu wakawaida ndo tuna adhirika
Dr sule Assalam aleku kabla haujasema hao tafuta,na,ujue ni kwa NN walifanye hivyo lazima kuwe na sababu ya kila kitu kufanyika utawala ukiwa mbaya Sera,walizo,zisema,watatekeleza,walishindwa,katiba yetu,inaturuhushu,kuandamana,,umetembea Kenya wapi sasa hiyo hata wewe unakosea busara,hiyo,Kenya,unadharau ndo imewajenga nini bure kabisa,endlea,kufuga,majini
Hiki kizazi cha kina sule baadhi ni wanafiki hawezekani serekali wanakusanya pesa za dhuluma mfano tozo, faini za unevu, kulipia kodi mtaji wako badala ya faida yaani kodi kulipia zaidi ya mara mbili halafu wajanja wanaziiba na kwa majina CAG anawataja na hatua hawachukuliwi ila iko siku kitanuka
Ishu sio matusi ongea kwa akili usijitie zuzu ,wanadai haki zao, matusi sio kilichowafanya waandamane ,tatizo watanzania wanaolenga masilahi Yao huishia kusifiwa rais hata kwenye uwongo,rais wa Tanzania ungejua hao ndio wachawi wako ,aibu shehe au mchungaji kujikosha uwongo mbele ya rais