Hii inatufundisha tusiwatupie lawama halaka halaka wazazi wanaotupa vichanga vyao maana hatujui kilichowasibu Mungu nisaidie sana nisiwe miongoni mwa watoa lawama bila kujua kiini chake🙏🤲
Masha Allah ! Hii diyo kazi ya mawifi ! Mm pia kapitia hiyo REHEMA Alipitia ! Kwa sasa ALAHAMDULILAH kwa sasa watoto wangu wameniweka salama na ALLAH Awape wema Maishani yao AMIN AMIN! PIL WATANGAZAJI DUA ZANGU ZIWE MAQMBL KWENU AMIN AMIN ! Kazi nzuri ! MAWIFI DIYO KAZI YAO HIYO !
Kumwacha mtoto wa miezi 3 ni kosa kisheria maana mtoto hakuwa na kosa hata angenyimwa matumizi angepambana tuu ata angefanya kazi za ndani wamama inatakiwa tuwe majasiri ata ukiwa na ali ngumu Mungu angemjalia angepata tu maisha
Shangazi anasahau njinsi kaka yake alivgomtesa mkewe, huyo shangazi mshenzi hakupaswa kuwa hapo wangemleta huyo mume wake akaumbuka kwa tabia yake chafu
Huyu shangazi inaelekea kampa sumu nyingi anuari Ila kwamungu hakuna linaloshidikana anuari mpokee mama yako hakuna mkamilifu chini ya jua Allah atakufanyieni wepesi kwakila jambo
Ndio mana anaazirika usikute yeye ndio aloficha mtoto halafu anaongea uongo eti kasema anapiga debe na mtoto shangazi shangazi hakuna kama mama wewe shangazi tu
😭😭😭😭😭😭😭 Kipindi kinaniliza sana kwasie tuliolelewa bila mama hatuwezi jua mama zetu walikua wanapiyia yapi kwa baba zetu ilobaki nikumshukuru MUNGU kwakukutana na kusameheana na kuruhusu Maisha mengine yaendelee
Habari zenu mimi ninafuraha sana kwa kazi nzuri mimi ni saumu kutoka kenya mombasa ninaomba msaada kwenyu niko na kijana anaitwa RAJAB SALIM kutoka Dar salama. Ako na miaka mingi sana hajaenda kwao naomba msaada
Shangazi. Wa anuary hakutumia hekima kabisa akumbuke chanzo nikaka ake alitakiwa amchukuwe mama na mtoto ili amnyonyeshe mwanae huyu mama angeweza kujiuwa au kutoa mimba au kumtupa
Mmh aisee nimelia Sana Leo jmn kwakweli wanaume Wana weza kusababishasisi wanawake tukaonekana tuna roho mbaya sana hat wanaotupaga watoto Maji yanakuwa ymefika shingon kulingana na maadili mtu anaona familirahi Bora atupetoto atapata mweingin e mmh Mungu tusaidie wanawake Mimi ninalea watotl watatu Kila mtoto na baba yake na sikuwahi kuwaza Hilo nasijui huwa nakosea wapi mpaka sio lew mmm hhhh nimelia sana jm😭😭😭😭😭😭😭😔😔😔😭
Mungu ndo anaepanga maisha yetu,kikubwa watoto unao kuna wenye ndoa na hawana watoto,hakuna fraha kama kuitwa mama,tuko wengi ila life linasonga alafu milo yote 3
Huyu shangazi alijuwa huyo mama hatomtafuta mwanaye. Na bila Shaka walimjaza huyo Anwar maneno mabaya kuhusu mama yake. Sasa analia sababu huyo Anwar atapata stori kutoka pande mbili na ukweli ataujuwa. Huyo shangazi analia kwa mengi. Jamani , "tenda wema nenda zako, usingoje shukrani". Mungu ndiye mlipaji usilazimishe malipo.
@@imeldaelias6303 nakumbuka mamayangu nilimjua nikiwa darasa la 4 sasa hiyo siku nililia saana tena saana na huwez amini alikuja shulen nikaitwa ofisin nikaulizwa huyu nani ,. Nikilio tu na machozi huku nikisemama mama wakati cjasahi kumwona ndio ujue damu nzito
Ila kwa mwanamke yeyote kwa maelezo ya huyu mama lazima ulie tu! Kilanmmoja anamapito na historia za machozi ktk maisha yake, history zangu ni nyingi saana, nikifumba macho hiviiiiiiiiiii nikiwaza na nikifumbua ni machozi! Ila Mungu ni mwema mpaka sasa nasema asante ndio kujifunza ktk dunia hilii
Kwajinsi ninavyowajua mashangazi jamani! Huyu shangazi pia ni mama, ahsante Kwakua hukustahili iyo adhabu ilihali starehe zilkuwa zao wawili, ilipaswa akuombe msamaha na akushukuru hakupaswa kulipwa hayo, sawa n sahihi mama kukutana na mtoto ila aombe msamaha & amshukuru, hongera kwa busara anuari ni wazi shangazi amekulea kwa maadili mazuri.
Mimi naona hapo mama anualy hakuwa sahihi kumuacha mtoto miezi 3 eti kisa hakuwa anapewa matunzo na baba anualy .miezi 3 hata kazi yamama ntilie angefanya akiwa na mwanae mgongoni .na kama maisha yamjini yarishindikana angeenda kijiji kwao na mtoto wake.hapo mama anualy aombe msamaha asiangarie kosa la mzazi mwenzie kutokumpa matumizi aangarie yeye kumuachia mtoto shangazi mtu akiwa na umri wa miezi 3 kulea nikazi jamani ,hata kufukuzwa na huyo baba alikuwa sahihi kabisa kumfukuza .
Mie nimefurahi Sana nawashukuru clouds. Mwiaku mungu awabariki maana mashangazi hamuwajui itakuwa huyo kaka yake alikuwa na pesa. Mie yangu ni makubwa mpk nimelia nayaona ni yangu
Mie wangu aliambiwa nimekufa na mashangazi we Mungu acha aitwe Mungu asaivi nafuaha na Mwanangu wamebaki njoo Manunu njoo wapii pale mlipo ninyanganya na kunipeleka polis 👮♀️ na kunipeleka mahakamani mtoto wangu mwenyewe tena mdogo tena baba amefariki machungu na Msumari wa moto juu
Hii ngumu jaman machozi hayaishi. Pole mama Anuary kwa mitihani hii hakika Mungu ni baba wa Yatima. Yaan unamfukuza mtoto nyumban kisa kabeba ujauzito jaman
Shangaz kupewa🎤 ataka kuanza kumchamba mama Anuary mweee, haya tunashukur kwa kumlea kijana, afu kingine huyu shangaz anaonekana amemlisha maneno mengi Sana ya sumu😒
mhh aiseh nimeumia sana mimi niliteseka kwanzia mimba mpk kulea mtoto japo sikumtelekeza mtoto au kumtupa ila niliyopitia mpk leo sijasubutu kuzaaa tena,kifupi tunaowapenda na kuwapa mioyo yetu wakishindwa kututhamini kipindi tumatatizo ni rahisi kufanya maamuzi magumu na huwa yanaumizaa baadaye,3 months my man married his x and chase me to his mother house,ila leo ninamaisha yangu na bado nalea mwanangu.more man's are evil,really nimerudisha siku nyuma nilizoteseka duh wacha nikae alone with my son.
Mwache abebe si kimbelembele chake?Angeongea na kaka yake halafu stake kujua huyu to mwanamke aliyezaa na kaka yake Kuna shida gan yy si slimsikilizaaa alimsikiliza kaka yake tuu!!
Ila kulea mtoto ni kazi kuliko kuzaa shangazi anaona kama kanyanganywa mtoto lakini asamehe tuu mtoto atakuwa na upendo kwa shangazi yake kuliko mama lakini
Shangazi mnafiki ata anuar anaonekana kumbeza Hahahaha mama ni mama Weee kwani si kaka ako ndo aloharibu Mambo au kapaniko kusemwa mumewe uchafu wake wa kumtimua 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Shangaz Bado una nafasi Kwa huyo Mtoto....Usilie tulia...Huyo Mtoto Yuko Bounded na Wewe. Anamfariji tu Mama yake.... Kisaikolojia hawezi kuwa na Upendo nae
Shangazi unataka SIFA upewe wewe tu,sawa unastahili sifa ila hupaswi kumlaumu huyo mama,mlaumu kaka yako,mama kama asingemtaka angeitoa hiyo Mimba mama wa watu anakuwa KONDA na Mimba sababu ya kaka yako?
Shangazi mnafiki huo si wakati wa kutaka kuongea vyenye kutaka kuchonganisha, akubali kashukuriwa kwani hakuna kama mama, asijaribu kumjaza mtoto mabaya ya mama yake wacha wapatane
Roho mbaya unaiona ww huwezi kujuwa changamoto za ulezi alopitia mama kazaa sawa hatukatai ila kulea mtt ni kazi sana kuna kuumwa yaani changamoto ni nyingi ni shangazi yupi saivi analea mtt 🤔
@@MaryamAli-qt4wz mimi hapa nimelea watoto wa ndugu yangu na hata sijaolewa, bado nina umri mdogo ila nafanya kazi na ninawatunza watoto, wapo shule nawafanyia kila kitu, siwezi hukumu mtu yeyote,