asante Mungu,bdo huyo Baba namuona mwema Baba yetu alikuwa akitwambia mabaya kuhusu mama, lakn mama alisistiz nimuheshim Baba ,Baba kaja kumuongelea vizur mama alivyojuwa wajomba zangu wamepata KAZI nzuri
Wababa acheni roho mbaya, kuzaa kunauma nyie hamjui tu. Kwann usiwarudishe watoto kwa mama yao? Hakuna mwanamke anayeshindwa kulea watoto wake. Najua namna mwanamke huyo alivyoishi kwa uchungu kwa miaka 17.
Hii kuchanya muislam kuzaa na mkilisto na mkilisto kuzaa na muislam bb Anaona nikimuachia mtt atakua kwenye maadili nisioyskubali atimae unaenda waficha wtt jiiiii
Waoe wee basi hao waislamu wenzako wewe unafikiri Tanzania ni nchi yakidini basi kama roho inakuma nendakaishi Afghanistan au Palestina Waisrael wakakupopoe na mabomu upotele mbali na ubaguzi wako
@@venasbengway3405 Ndimu huyo mimi mkristu lakini ninandugu zangu wa damu waislam tena ni wazanzibar nasi wabaguzi ni watu poa sana huyo upepo hana akili aende Palestina akaishi wayahudi wapoteze kabisa