Тёмный

EXCLUSIVE: BILNASS NA NANDY WASIMULIA WALIVYOANZA MAPENZI 'SIKU HIYO TULIACHA WAZI MLANGO WA CHUMBA' 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 1,2 млн
50% 1

#ONAIRWITHMILLARDAYO#NANDY#BILLNAS#BUGANA
HII NI PART ONE YA INTERVIEW YAO KWENYE ON AIR WITH MILLARD AYO, PART TWO INAKUJA....

Опубликовано:

 

29 авг 2019

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1,4 тыс.   
@fatmakuzwa953
@fatmakuzwa953 2 года назад
Haya tulio rudia kutazama hii interview baada ya ndoa🤣🤣🤣gonga like😝😝😝
@ciarmnyone738
@ciarmnyone738 2 года назад
🤣🤣deal done
@alfonsinaadolf5202
@alfonsinaadolf5202 Год назад
Yaani🤣❤️
@mwamastn5312
@mwamastn5312 Год назад
Done😂😂
@mashakamnyamisi2700
@mashakamnyamisi2700 Год назад
Umetisha
@user-oy2em3lf3z
@user-oy2em3lf3z 9 месяцев назад
Yaan😂😂😂😂
@eilannyler417
@eilannyler417 2 года назад
who is here to rewatch the interview after the wedding💚they vibe so well🎶💚happy marriage to them💚
@BaltazarySukube
@BaltazarySukube 2 года назад
Im here too ✅✅
@belindajohn1669
@belindajohn1669 2 года назад
Am here
@Mimi-ug7ql
@Mimi-ug7ql 2 года назад
Here too 😁
@suzanaagustinookelo4953
@suzanaagustinookelo4953 2 года назад
Niko hapaa a jamani nimefurahi hadi sijui najisikiyajeee
@sarahaluka4636
@sarahaluka4636 2 года назад
Nko hapa
@nashwaabdallah670
@nashwaabdallah670 2 года назад
Alie angalia hii baadaa ya harusi 💍💙 loves
@sekelajackob2905
@sekelajackob2905 Год назад
Mimi pia
@uwingeneyeshadia7697
@uwingeneyeshadia7697 4 года назад
Millard nakukubali sana bro💕💕💕👏👏 alafu maswali yako yakiustarabu na adabu tele👌unastahili pongezi kubwa sana
@millardayoTZA
@millardayoTZA 4 года назад
asante sana Shadia, shukrani kwa kutazama na kuniandikia
@uwingeneyeshadia7697
@uwingeneyeshadia7697 4 года назад
🙏💕
@jumajay8496
@jumajay8496 4 года назад
Story about relationships should be kept secret for your respect should not expose to the public because it will not help even if people knows about your love affairs so how many interviews will you make if you will going to chenge another relationship sheme on you.
@effiekirui4312
@effiekirui4312 4 года назад
@@millardayoTZA nakutambuwa na nakufatilia sana kazi mzuri sana thumps up 👍from 254 ,Andy ni kama mimi vle nikipenda nimependa
@gyzzo7
@gyzzo7 4 года назад
Uwingeneye Shadia nimekubaliana na ww kabisa
@saradaniel4579
@saradaniel4579 9 месяцев назад
kuna siku NAYA ataona hii interview atalia kwa furaha.😍😍😍😍
@anicyaedward5605
@anicyaedward5605 2 года назад
Powerful couple finally wedding imeisha 16/7/2022 congratulations guys
@titledliz6814
@titledliz6814 4 года назад
Nani yuko hapa baada ya engagement jamani... some likes tafadhali
@aishamsofe3274
@aishamsofe3274 4 года назад
Elizabeth Ndille haahahaa nimewahi iangalia interview wakati imetoka nimerudi hapa kuisikiliza upyaaaaa baada ya engagement
@angelapius7526
@angelapius7526 4 года назад
Tupoooooo
@aloycemashau5431
@aloycemashau5431 3 года назад
Good
@saadeased7160
@saadeased7160 4 года назад
Woyoooooooo relationship irejewe mnapendezana bahna kiukweli team Nandy na billnas tuugane bahna hawa watu warejeane km bado km unafurahia mahusiano ya Nandy na billnas like✔🙌🙌
@joxiahmendez1325
@joxiahmendez1325 4 года назад
Weka like kama unatamani kuona epsode no.2 ya kurudiana kwao! Af hawa bado wanakunjana.!
@rukiamsomi6869
@rukiamsomi6869 4 года назад
ha ha ha ha ha
@nessmwambogolo2545
@nessmwambogolo2545 4 года назад
😁😁😁
@antybabybintrashid2333
@antybabybintrashid2333 4 года назад
Josiah Charles hahahaha
@munawwarjuma8021
@munawwarjuma8021 2 года назад
⁰pp
@euniceakudai4203
@euniceakudai4203 2 года назад
True love never dies, now 2 days to your wedding.Wish you a happy married life
@ashaomary5558
@ashaomary5558 10 месяцев назад
😂😂😂😂
@hamxik0096
@hamxik0096 2 года назад
Nimekuja kuangalia hii interview baada ya ndoa yao congrats to them😍
@pricymiles5937
@pricymiles5937 2 года назад
Here Iam
@araphampambaike3727
@araphampambaike3727 Год назад
Hata mimi aisee.. True Love Never Die Wallah.
@omreuzex7109
@omreuzex7109 4 года назад
Nandy is adorable. I love Nandy! She is so beautiful 😍😍😍
@princegabytv7251
@princegabytv7251 4 года назад
Go to her😛😂
@anicyaedward5605
@anicyaedward5605 4 года назад
Daaaa after engagement nimerud hapa wangap mmerud !! Nawapenda ❤️ wachaaa niedit after my powerful couple kufunga ndoa 16/7/2022 💃🏾❤️❤️🙌🏽
@djjoman
@djjoman 4 года назад
😁😁😁😁😁😁 mimi mmoja wao...!!!
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 года назад
Tupo wengi🤣🤣
@merinankullua5874
@merinankullua5874 2 года назад
Mimi pia nimerudi kwa kweli ,nawapenda
@BahatiAbdarahamani-vv4tc
@BahatiAbdarahamani-vv4tc Год назад
Tupo hapaaaa
@bigboyben6932
@bigboyben6932 4 года назад
Billnas is blessed!Nandy anampenda sana huyu kichwa kama korosho 😆 Hii inaenda kuwa moja ya couple bomba sana hapa bongo!i wish them well
@biancaomari6918
@biancaomari6918 4 года назад
🤣🤣😂😂
@irenelukumai8112
@irenelukumai8112 4 года назад
Kichwa kama hahaaaa
@tumainimwailenge5863
@tumainimwailenge5863 4 года назад
😆😆😆
@user-zw6ne3qy4s
@user-zw6ne3qy4s 4 года назад
Ben Baden 😂😂😂😂😂😂mbona korosho
@josephinewangwe9064
@josephinewangwe9064 4 года назад
😂😂😄😄😄
@neemamabele8451
@neemamabele8451 4 года назад
Millard anastahil Grammy za utangazaj bora among presenter wa east Africa... Utangazaj unahitaj ustarabu na ueledi mwing san na kujipang vizur kabla ya kusema na hich ndo anacho Millard na weng weng katika clouds media kam kak yang masoud kipanya,🔥🔥 na dad yang babra nawaheshim sna
@bongomsasa2496
@bongomsasa2496 4 года назад
Unajua maana ya Grammy? 😂😂
@christophermwalongo1938
@christophermwalongo1938 4 года назад
Bb
@bichwaz
@bichwaz 4 года назад
Nandy na Bilnass kweli mpo Romantic sana😍😍
@tobiaschaka8084
@tobiaschaka8084 4 года назад
Me and u
@graciaoscar7279
@graciaoscar7279 4 года назад
Tunaosubir ndoa ya billnas..... Tujuanee🤗🤗🤗🤗
@zuwenaali4873
@zuwenaali4873 4 года назад
Me
@fdd743
@fdd743 4 года назад
Kyando Grace
@graciaoscar7279
@graciaoscar7279 4 года назад
Nawawi Online TV 😂😂😂
@jovanafidelis2802
@jovanafidelis2802 2 года назад
Ndoa tayari
@estellemwai5402
@estellemwai5402 2 года назад
Meeee
@wahiduitsverycommentmane5421
@wahiduitsverycommentmane5421 4 года назад
Kama umeipenda kofia ya Millard gonga like hapa ❤️
@bressfabians4537
@bressfabians4537 4 года назад
Kuna watu hawawezi kukutana na ma EX wao ni kweli au uongo 🤔😅 kama ni kweli. Dondosha like yako hapa
@rosemaryorio9342
@rosemaryorio9342 4 года назад
Moja wapo mm
@herikaniugu
@herikaniugu 4 года назад
Kama mnakutana means bado mnakulana kinoma
@chainbre275
@chainbre275 4 года назад
Kwanza mm wala sitamni hata nikutane naye maana aliniumiza sanaaaa
@nicearestaricktarimo1727
@nicearestaricktarimo1727 4 года назад
Mmoja wapo mie
@edwardmchanake9541
@edwardmchanake9541 4 года назад
Mara nyingi EX wangu Wote ni marafiki na napiga nao story fresh
@zennakailo8106
@zennakailo8106 4 года назад
Nakupenda sana #MILLARDAYO ILA NMECHEKA SANA😂😂🤣ila nmejifunza kila mwanamke lazima awe na wivu
@blackisgold1200
@blackisgold1200 4 года назад
The guy looks shy . But cool guy though... nady this is a good man wish you all the best. Beautiful
@ashaofficialtz6872
@ashaofficialtz6872 4 года назад
Nawapenda sana hawa watu.... Ni couple ❤tamu sanaaaa❤❤❤❤
@asyakhatib7942
@asyakhatib7942 2 года назад
Hatimae ni Mr and Mrs 😭❤️
@asmahassan5661
@asmahassan5661 Год назад
Masha allah mbn unalia
@gloriamdemu832
@gloriamdemu832 4 года назад
Kiukweli nimependa haya mahojiano Nyie watu mpo real sana hakiii nime enjoy
@thekarenlife2216
@thekarenlife2216 4 года назад
Nandy Umeshibaaaa hahaahaah i cant stop loughin yaani Millardayo nawapenda na interview zenu u guys are amazing i love Nandy she is too open 💖💖💖🥰🥰 keep it up @ Nandy @Millardayo
@veileronesmo9219
@veileronesmo9219 4 года назад
The gerl is so composed..the chemistry btn bill and nandy is so😙😙 inteview is on point big up millard....nandy anampenda billinas mara 👇👇👇
@StelaAsukilekilalakherisimba
Nawapenda sana hawa watu tena upendo umezidi baada ya ndoa. Mungu awarangulie❤❤❤❤❤❤
@nas153
@nas153 4 года назад
Nimeona interview nyingi ila sijawahi ikubali interview kiroho safi kama hii....safi sana watu wapo huru bila kukatishwa maongezi yao.👍👍👍
@issanaseeb7699
@issanaseeb7699 4 года назад
Kabsa mzee hujakkosea Interview za medea za wasafi unakuta kuna makelelee sipendi kuwaangalia wanakera ila hap unakuwa huru hadi raaha
@hasnaabduly4945
@hasnaabduly4945 4 года назад
@@issanaseeb7699 yani wanamakelele wale me mwenyewe wananitibua yani hawawap watu wanaowahoji nafasi yakujielezea
@zawadipeter178
@zawadipeter178 4 года назад
Nasser Abdal
@sideboy1299
@sideboy1299 4 года назад
@@issanaseeb7699 huo wivu
@stevewanga957
@stevewanga957 4 года назад
Hawa bado Wanapendana.. You were alwayz the best couple... Much love from 🇶🇦 🇶🇦
@lucasrhema4212
@lucasrhema4212 4 года назад
Billnas if you love Nandy go for it, why this hesitation?
@rachelwakaba7210
@rachelwakaba7210 4 года назад
This two are still in love.... The looks tells its all. Nandy bado anampenda xana billnass
@barakakambi1469
@barakakambi1469 4 года назад
True
@veemoney1944
@veemoney1944 4 года назад
Anaonekn sana anampenda anajichekesha tuu
@dicksonaloyce6924
@dicksonaloyce6924 4 года назад
Millard Big 👆 love you. Nakukubali sana kwa Interview mungu akukuzishie manjonjo
@eliasrwechungura7503
@eliasrwechungura7503 4 года назад
Mahusiano ya Aina hii huwa hayana mwisho "believe me"
@itNeza
@itNeza 4 года назад
Nimekupenda Zaidi Nandy uko So Really 💗
@mwamlimaprisca3115
@mwamlimaprisca3115 4 года назад
Kama umeskia nandy akisema chizi kweli weka like yako hapa
@abdulseif4093
@abdulseif4093 4 года назад
kwa maringo haya hawa wanagongana bado hawa km unakubaliana na mimi gonga like nyingi kwangu
@jackymafuru4163
@jackymafuru4163 4 года назад
Jamani ninyi wasanii mna laana kabisa, mnacheza na akili zetu
@showtv3406
@showtv3406 4 года назад
Arafu Nandy kamzidi jamaa ujanja Kama una Amini ilo gonga like apaa
@linahselestina6025
@linahselestina6025 4 года назад
Kabisaaaaaaaaaaaaaa nimeno like haitoshiiiz😆😆😆😆haswa huyu toz boy uwiii maringo hadii kwenye kucha akatii wakawaida tuuh
@benjaminvanbizman4791
@benjaminvanbizman4791 4 года назад
mme damshii
@ManaL-ho9cr
@ManaL-ho9cr 4 года назад
Umeonaee
@elishakyamba8904
@elishakyamba8904 4 года назад
Yaani kama waandishi wa habari wangekuwa wanapewa tuzo basi Millard Ayo angewakimbiza sana tz
@keyakeya8911
@keyakeya8911 4 года назад
Alishawahi pewa tuzo huyu chalii 2015
@salummpala9256
@salummpala9256 4 года назад
Interview Mzuli Akuna Mazogo Kama Brok89
@jescajohn5034
@jescajohn5034 4 года назад
ELISHA KYAMBA na lilomy
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 4 года назад
ELISHA KYAMBA huyu sio muandish ni mtangazaji nawew
@sideboy1299
@sideboy1299 4 года назад
@@salummpala9256 we ndo unasema lkn block89 ndo pindi bora bongo tz
@lucaswalogwa3821
@lucaswalogwa3821 4 года назад
Mmenifurahisha sana story zenu halafu nandy kumbe mcheshi fulani
@azibossladykenny2455
@azibossladykenny2455 2 года назад
Billy amesema anatamani kuowa badae ya mwaka 10 ilaa leo 2022 kaowa uwiii Mungu ni fundi sanaa😍🥰
@fadhilikigwama6651
@fadhilikigwama6651 4 года назад
Hawa wameziga tu ila maana yao sio pesa ni penzi sema wamehofia isije ikaonekana kama ni dis kwa ruge ila inavyoonekana ruge alilingilia hili penzi kupitia wadhfa wake ndomana bugana lao likavunjika japo walikiwa wawili hawa wanapendana bt today bugana(penzi) limerudi kwao kilichobaki ni vikao tu gonga like kama tuko pamoja
@sweetkikulamekaup2764
@sweetkikulamekaup2764 4 года назад
Kumbe umeona
@priscamlyuka5531
@priscamlyuka5531 4 года назад
Hahahahaha
@muhbmoh7200
@muhbmoh7200 4 года назад
Aujapita mbali mzee , ivo ivoo🙉🙉
@husnajohn7466
@husnajohn7466 4 года назад
Fadhili Kigwama ndio maana hata lady kaamua kurudi kwa gadna G kweli yule jamaa alivuruga mapenzi ya watu
@amosiluka8233
@amosiluka8233 4 года назад
Fadhili Kigwama hawa madem tatzo c malaya
@maishahalisitz1505
@maishahalisitz1505 4 года назад
Nenga ni kama Whozu tu,mnafunguka sana, story nzuri
@gracesindika462
@gracesindika462 4 года назад
Yan hapa unaon Kbxa nandy kapenda zaidi kuliko mwenzieee mweeee
@anajohn8132
@anajohn8132 4 месяца назад
ila baada ya ndoa Nenga kakolea zaidiiii
@janejames5329
@janejames5329 4 года назад
like kama umependa this conversation am all the way from congo
@barineokech8775
@barineokech8775 4 года назад
Nandy una mambo. ..kumbe ulikua unatafuta pesa kwa ruge ujifuraishe na Bilnass. ..mausiano yako na ruge ulikua unakataa lakini Bilnass unaitikia haraka kweli.
@sylviaclaud777
@sylviaclaud777 4 года назад
Hi
@nancyruoruo1025
@nancyruoruo1025 4 года назад
Bilnass sema ukweli tu .....unampenda nandy she is cute ❤❤❤❤❤..mutahaba alikupenda sana nandy ila mungu akampenda zaidi.....
@imamuhemedi4387
@imamuhemedi4387 4 года назад
NANCY RUO RUO
@chrismnicko9430
@chrismnicko9430 4 года назад
Hawa watakuwa wanakulana bado kama unaikubali hii gonga like
@zullaicamatola3431
@zullaicamatola3431 4 года назад
Waaachane weeeeee!!!!!!!!!!!
@chrismnicko9430
@chrismnicko9430 4 года назад
@@zullaicamatola3431 kweli bn ila hawataki kuwa waz
@ismailmajala2802
@ismailmajala2802 4 года назад
Chris Mnicko mavi ya kale hayanuki
@willykaovela5485
@willykaovela5485 4 года назад
Chris Mnicko hahaha
@nancyruoruo1025
@nancyruoruo1025 4 года назад
@@chrismnicko9430 mkunaji😂😂😂😂😂
@dominasam6437
@dominasam6437 4 года назад
Like Kama umependa heren za Nandy 😍😍
@dswaytz6145
@dswaytz6145 4 года назад
Domina Samwel kaaa jamn ww hahhhhh
@dominasam6437
@dominasam6437 4 года назад
@@dswaytz6145 nzur et
@joycekasimbazi9817
@joycekasimbazi9817 3 года назад
Ni nzuri mno
@fadhilishekalage4515
@fadhilishekalage4515 3 года назад
Hey
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 2 года назад
Finally you made it. Congratulations guys
@sund2553
@sund2553 2 года назад
Nimerud kutizam interview baada ya harusi ya hawa ndugu wawili…..mapenzi bana hongeren Nandy na bill
@nachunachu7466
@nachunachu7466 4 года назад
Gonga like kama billnasi alishukuru ruge alivyofariki
@kelvinrayder2570
@kelvinrayder2570 4 года назад
Hey hii interview poa sana nimekubali, keep it up billnas na nandy. Much respect to u two
@emmanuelantony1620
@emmanuelantony1620 2 года назад
Billnas bana una bahati kapendwa na Nandy Sana Sana....!!! *(Blessed Billnas)*
@faithkweka9020
@faithkweka9020 4 года назад
Bonge moja LA ngoma B U G A N A My Nandy keep fire burningggggg Bonge moja la couple
@hythammahmoud7630
@hythammahmoud7630 4 года назад
Hapokwenye “block” 😂 there are so many of us doing it thinking dat we are protecting ourselves while on the contrary we destruct! Billnas learn man as u have made us learn the effects of blocking in relationships... Shout-out to Millard Ayo for the good interview as i am loving it and learn through it! Keep up the good spirit
@husnahasan1944
@husnahasan1944 4 года назад
Gonga like kama umeikubali bugana..
@shakilahpurity7314
@shakilahpurity7314 4 года назад
When I grow up I want to be a celebrity then millard ayo unifanyie interview sababu he sooo professional 😍😍😍😍😍😍
@mudystarog1381
@mudystarog1381 4 года назад
Nawakubali sana Nandy na billinas sema nimependa interview yenu maana haichoshi me nimejifunza kitu kwao jamani kuachana siyo vita oneni wanavyo furahi hapo ingekuwa kina mwajuma chokonoti hapo pangekuwa hapatoshi hongera yenu japo ninawasisi mtakuwa mmerudiana maana majibu yenu siyaelewi elewi 😂jamani ni me mwenyewe ambaye siwalewi au topo wengi like tujuane
@antybabybintrashid2333
@antybabybintrashid2333 4 года назад
Mudy Hamza hahahahahahaha
@HightechTz
@HightechTz 4 года назад
Nami siwa elewi awa asee kuna mapicha picha instar wenda wameludiana
@mudystarog1381
@mudystarog1381 4 года назад
@@antybabybintrashid2333 😂😂😂hawaeleweki hawa watakuwa wamechemsha kipolo chao
@mudystarog1381
@mudystarog1381 4 года назад
@@HightechTz me mwenyewe nimeona ila hata majibu yao hapa yanaonyesha dhahiri dalili za kurudiana
@pendonkanda5868
@pendonkanda5868 4 года назад
Mudy Hamza hahahhaahha bifu miaka mia na kila tukionana tunaanza upya hahha
@berryperry2930
@berryperry2930 4 года назад
Nyie mnao omba omba like kuna nn jmn kwan ni sadaka 😒😒😒😫🤗🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@amiriramadhan7753
@amiriramadhan7753 4 года назад
Hahahahahahaha hawa wasenge wananiuzi kinyama wallah
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 4 года назад
😂😂😂😂😂😂hawanaga kazi
@shebdoukhalifa
@shebdoukhalifa 4 года назад
Wehu
@berryperry2930
@berryperry2930 4 года назад
Amiri Ramadhan umeona ee 😂😂😂😂😂😂🤤🤤🤤
@berryperry2930
@berryperry2930 4 года назад
Azza Mahamdu kweli wanabore 😫😫🥵🥵🤣🤣🤣
@ayoayoo1222
@ayoayoo1222 4 года назад
Milard nimependa studio yako, sio studio zengine kila mtangszaji ataka kuongea na mic zabembea kama crane za port....big up milard
@mselamselaree7516
@mselamselaree7516 4 года назад
😂😂😂😂😂😂Wasafi
@amanisalum1638
@amanisalum1638 4 года назад
Millard Please I remember this was one of the best interview ever.As now they have accepted I would like to see you with them again.Because they refused and pretend.Now they have acted and the ring went to Nandy's hand.
@agnesgeorge6818
@agnesgeorge6818 4 года назад
Millard Ayo mm Nakupenda sana kaka angu lakn katika Kristo YESU,,I wish nikuone live cku moja!
@MaaneML
@MaaneML 2 года назад
Beautiful interview. The real power couple. Forever William and Faustina.
@estherhaloim1496
@estherhaloim1496 4 года назад
Millard Ayo na Nandy ni perfekt Match 👍👍👍👍👍👍👍 Ama Willy Paul Willy Poze 👍👍👍👍👍👍👍❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@makamehajiormralahadi1300
@makamehajiormralahadi1300 4 года назад
Millard Ayo...nakupa hongera za dhati kwa uthubutu wako kama kjana ulo amua kujiwekeza ktk tasinia muhimu sana ya kimaendeleo ktk jamiii ya kdunia...
@kingsdaughter2040
@kingsdaughter2040 4 года назад
You can see love on there eyes my nandi love is a beautiful thing
@aikajulius5515
@aikajulius5515 4 года назад
That is the true definition RELATIONSHIP 💞💕
@jensennashon6147
@jensennashon6147 4 года назад
Bugana iko njema sana... couple nzuri sana iko huru sana sana
@naomidavid6390
@naomidavid6390 4 года назад
This interview its so awesome . nandy the way u fall in love and jealous like me 🤗
@yasmenoozm8094
@yasmenoozm8094 4 года назад
Napenda inteview yako Millard but apo kwa mbwa wameniuliza mungenipea izo pesa🤣🤣🤣🤣
@mariamnchimbi8227
@mariamnchimbi8227 2 года назад
I had to come back to this interview….may God bless you 💕
@queenbaddestcuteemmy5430
@queenbaddestcuteemmy5430 4 года назад
Walah nime enjoy balaa interviews yakibabe sana milard😍
@bimaisarankamia4153
@bimaisarankamia4153 4 года назад
Wangapi waliangalia akihojiwa bilnass akasema hawezi kuowa atasubiria sn.
@official_msabika5527
@official_msabika5527 4 года назад
Kweli!
@nancypretty5915
@nancypretty5915 2 года назад
Hawa watu toka zaman walikuwa wanapendana jamaniii ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🧡🧡
@roinajohnson9788
@roinajohnson9788 4 года назад
Mapenzi y kwel yanakujaga mojakwamoja hta mkiachana mtajishtukia mpo pamoja
@aishasilaji5759
@aishasilaji5759 4 года назад
Kweli
@rukiaselemani9363
@rukiaselemani9363 4 года назад
Daaah kweli kabisa
@isunga1964
@isunga1964 4 года назад
Mkiachana achaneni kabisakabisa jamni tunapata tabu sana sisi wambea wa mjini😆😆😆😆Bugana♨️♨️💥💥 Mashaallah Nandy umependeza mamy
@mtingwamackenzi6547
@mtingwamackenzi6547 4 года назад
Hahaha we hangaika na umbea we Nzako bugana
@ramlaameer2057
@ramlaameer2057 4 года назад
😅😅😅
@kasicorneli7645
@kasicorneli7645 4 года назад
Hahahaha wambea wa mjini
@deboramrema2861
@deboramrema2861 4 года назад
Yani kuna watu wanatakiwa kujifunza hapa mond jifunze kuachana na mtu sio vita
@nasrijamaica7885
@nasrijamaica7885 4 года назад
Debora Mrema safi
@eunicejoseph8544
@eunicejoseph8544 4 года назад
Kweli
@artemisneoy9596
@artemisneoy9596 4 года назад
maana angeanza kumponda mtu yule
@sideboy1299
@sideboy1299 4 года назад
We umeona Mond tu
@jacksonimeena4676
@jacksonimeena4676 4 года назад
Nandy is in love with billnass kama unakubali gonga like hapa twende Sawa.
@glorytweve7992
@glorytweve7992 4 года назад
Congratulations Mr Millardayo 💕
@musasimba3689
@musasimba3689 4 года назад
Niujinga na Upuuzi Mwanamke avae heleni wew mwanaume uvae Kama unaamni hilo gonga like.
@amosiluka8233
@amosiluka8233 4 года назад
Neco Star_Tz choko huyu
@batildavincent3058
@batildavincent3058 4 года назад
Unafeli wap si msanii asee
@destinedhajra4136
@destinedhajra4136 Месяц назад
Imagine 😥 amm here just now Nandi always my favorite all way from wasikudanganye❤❤❤n billnass ❣️❣️❣️
@saitotisaitoti6734
@saitotisaitoti6734 4 года назад
Hawa wanapendana kabisa.mahaba mazito kabisa.nyuso zinaonesha.bora mrudiane tu
@sheebahhall7652
@sheebahhall7652 4 года назад
I love Millard so much,Gosh!!!
@festombilinyi6146
@festombilinyi6146 4 года назад
I love this interview....
@sashrely6815
@sashrely6815 4 года назад
Kam unapenda mapenzi ya kishigaji iviii like hapa
@phabianstephano8279
@phabianstephano8279 4 года назад
Nimeipenda sana hii interview mpk nimeamua kuisikiliza nyimbo ya kivuruge
@WilliamLLloyd-qx9tc
@WilliamLLloyd-qx9tc 4 года назад
another best exclusive interview from Ayo
@angelfelix7939
@angelfelix7939 3 года назад
Nan yupo hapa baada ya do me😂😂🔥🔥nyimbo yao mpya..
@knourisgalis2165
@knourisgalis2165 4 года назад
I love u Bill & Nandy .... Millard I do the same good work . I appreciate u gyz
@LissaZabron
@LissaZabron 4 года назад
I loved this couple so much 😍 and i wish you guys mrudianee..
@ezradaniel4613
@ezradaniel4613 4 года назад
Warudiane mala ngap😅
@DarveedyFedrick-ub5je
@DarveedyFedrick-ub5je Год назад
Mapenzi nyie acheni yaitwe mapenzi
@samwelerasto7138
@samwelerasto7138 4 года назад
Yaan interview Nzuri kinoma hakuna Yale mambo ya sitaki kuongelea mambo Ya nyuma 😂😂😂😂😂
@mozzahshedrack2532
@mozzahshedrack2532 4 года назад
Samwel Erasto kbs
@zuchu7973
@zuchu7973 4 года назад
Hawawez ksema kw7bab kwa ss wamrudian
@happysulley7961
@happysulley7961 4 года назад
Dah nimecheka thn nimelia hakuna kitu kizuri Kama mahusiano mazuri nakupenda my sister nandy
@mariej6962
@mariej6962 4 года назад
"Nilitaka huyu" wow wow. Th is guy is simply a player. Hamna kitu hapa, hana uwezo wa kuconnect na mwanamke emotionally
@ndekumtallo6642
@ndekumtallo6642 4 года назад
Millard hakikisha Kuna part 2😋
@dafrosamsonge2007
@dafrosamsonge2007 2 года назад
AMBAYE YUKO HAPA LEO BAADA YA NDOA KM MIMI,SO LOVELY
@Benshaffie
@Benshaffie 4 года назад
Millard it was such a nice interview kindly upload 2nd part
@zainabmkuya5151
@zainabmkuya5151 4 года назад
Interview 😙😙Millad part 2 basiiiiiii...usitufanyie km ya Zari mpk leo haijaisha..!
@joycemapesa8120
@joycemapesa8120 2 года назад
Am here after wedding straight outta instagram
@emmanuelcornelius6304
@emmanuelcornelius6304 4 года назад
Huyu manzi anampenda bado na kama yuko na mtu which i highly doubt naona amesema tu ili aonekane she is not dormant.bilnas anajua huyu manzi anampenda
@sarayusufu256
@sarayusufu256 4 года назад
Emmanuel Cornelius hahaaa
@ommie_nyzer
@ommie_nyzer 4 года назад
#ipogo. Nenga!! Owa uyo🔥🔥💯
@muniragambere2680
@muniragambere2680 4 года назад
Nakupenda sana millard.....umstaarabu sana kwenye interviews
@marcofrancis1163
@marcofrancis1163 4 года назад
Bill nass namkubali mnoo...kazi nzuri Sana ah....hongera Bill nas
Далее
OG Buda - Сделай Мне Приятно Щас
02:24
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
Просмотров 77 млн
EXCLUSIVE |MBOSSO NA SIRI YA MAFANIKIO YAKE
14:01
Просмотров 74 тыс.
BILL NASS AVUNJA UKIMYA Kuhusu MTOTO wa HAMISA MOBETTO
4:53
OG Buda - Сделай Мне Приятно Щас
02:24