Тёмный

EXCLUSIVE: MAMA NA MTOTO HAWAJAONANA MIAKA 41,WAKUTANISHWA MOSHI "NILITUMA MALAIKA, NI KILIO" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 160 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

2 июн 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 375   
@cesilialucas2458
@cesilialucas2458 Год назад
Mungu ni mwema anajibu kwa wakati sahihi
@gretagonga2966
@gretagonga2966 Год назад
Jamani I know this lady, alikua jirani yangu. She is just a sweet soul. She has a strong faith jamani. Mama B nimefurahi kukuona tena sweetheart ❤️
@zahrababygarl1568
@zahrababygarl1568 Год назад
Anakaa dar sehemu gani
@dianamsuya4854
@dianamsuya4854 Год назад
I know her too ...ni m2livu na mchamungu mno dadaangu
@auntdorah9141
@auntdorah9141 Год назад
Mungu ni Mungu asiyeshindwa, Mungu azidi kukuinua binti, umeinua imani za watu wengi, nimekupenda sana...na kulikubali hili Neno MUNGU WA YASIYOWEZEKANA...yale tunaona hayawezekani Mungu hufanya njia🙏🙏
@hubamwinyi2441
@hubamwinyi2441 Год назад
Je huyu mama hakupata ht kujua ndugu za mtu aluyezaa nae au ht wafanyakazi wenzao...licha ya mawasiliano kuwa magumu ila miaka 40 ni mingi mno kutokujua kabisa habari za mwanao. Mtoto sehemu kubwa ni mama, hakuwahi ht kupata mshtuko kuwa kizazi changu hakiwezi kupotea, angetafuta ht bdugy au jirani ili apate kumuona na kujua kuwa mama yeye yupo. Ni huzuni kubwa sana hii...wajukuu utawauma mno wakikua na kujua. Ni ngumu kuunganisha udugu. Mungu tusaidie na utusamehe.
@magrethpastory4311
@magrethpastory4311 Год назад
Mungu ashindwi yeye ni muweza wa yote.Hongera kwa ulilofanya kumtafuta mama ,hakuna kama mama
@marthamungure1777
@marthamungure1777 Год назад
Huyu mama hakuwa anamuhitaji kwa sababu alikuwa na watoto wengine🤔. Namshangaa alivyomsahau mtoto wake kabisa😢
@saynabmohammed6263
@saynabmohammed6263 Год назад
Pengine ameona din yke tofaut
@marthamungure1777
@marthamungure1777 Год назад
@@saynabmohammed6263 Alimwacha akiwa mdogo. Hakuna sababu yoyote. Mtoto mdogo hajui dini. Alimtafuta mama alipojua wokovu.
@mwitaagness455
@mwitaagness455 Год назад
Usishangae miaka 41 ni mingi jamani huez kumkumbuka mtu
@marthamungure1777
@marthamungure1777 Год назад
@@mwitaagness455 Alikuwa wapi mpaka akafika miaka hiyo?? Hata baada ya mwaka au miwilu hakutaka kwenda kumwona alipomwacha?
@jamilajamal1584
@jamilajamal1584 Год назад
Huyu mama mmmmh roho ngumu 🥲dada ww ni kupe hongera sana👏🏽👏🏽👏🏽
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 Год назад
😂😂 kabisa mama roho ngum mi hata nigombane Vipi na Mzee siwez Acha watt wangu isitoshe Baba angle ni Baba mzuri mdada anahekima
@zurrychannel235
@zurrychannel235 Год назад
Nilijua mimi tu ndio nimeliona ilo😃😃🤔
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 Год назад
Usiwe mwepesi kulaumu mpaka ukiona Mama kamuachia mtoto Baba mengi yalihusika
@maajabumaridadi8756
@maajabumaridadi8756 Год назад
Ana roho ngumu sana yn sijui anachinja ng'ombe. Ila huyu dada anamjua sana Mungu ndy maana ana furaha na amani yn kasahau yote.
@aminamakobola7386
@aminamakobola7386 Год назад
Hongera Sana angel
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema Год назад
Vitu kama hivi vikitokea huwa vina Ishara nyingi mfano inawezekana Mama ameishi kwa majonzi na amekuwa akimuomba Mungu kabla hajaondoka Duniani akutane tena na Binti yake. Huyu Binti afanye Ibada ya Shukrani pia afanye mpango yeye na Mama yake waende Tabora kumuona Baba yake ili Wazazi hawa waombane Msamaha. Tanzania Imara Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
@husseinally5550
@husseinally5550 Год назад
Kweli kabisa
@kadokemarco9966
@kadokemarco9966 Год назад
Ni kweli kabisa
@mengikiguruwe6750
@mengikiguruwe6750 Год назад
Inawekana pia huyu binti alitaka kuonana na mama ili amuoneshe wajukuu na mkwe wake kabla hajatwaliwa; suala la kwenda Tabora si muhimu kwa sasa kwani mzee ana maisha mengine
@mercygibson1379
@mercygibson1379 Год назад
Glory to Almighty Living God. Amen
@zawadizawadimussa23
@zawadizawadimussa23 Год назад
Uyu mama ni mtata hakuwa na uchungu na mwanae
@charlesmugisha6529
@charlesmugisha6529 Год назад
Maskini🙏🙏🙏 hongera Sana kwa kumpata mama ako mzazi kweli una fraha kubwa moyoni.
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
MUNGU WA MAMBO YASIO WEZEKENA 🙏🏿AMEN AMEN MAMA HUYU ❣️
@husnaameen9309
@husnaameen9309 Год назад
Huyu mama alijitoa muhanga dah, Bora tu umeonana nae lakini amama yako ana roho ngum sana
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 Год назад
Inaonekana mama kweli anaroho ngumu hata mwonekano wake kwenye picture hachangamki
@dominamsonge3088
@dominamsonge3088 Год назад
Huyu mama anaonekana hasira ya mwenza wake aliihamishia kwa mtoto maana kama vile bado anahadira jamani. Mungu atusaidie wamama
@justinalyimo7966
@justinalyimo7966 Год назад
Kahsmishiaje Sasa wakat baba alitaka mwanae
@sebastianmwantuge5597
@sebastianmwantuge5597 Год назад
Una psychology kali sana,hata mimi nimegundua hilo
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS Год назад
Yani pia naona HUYU mama hajafurahi
@memoryngambi7570
@memoryngambi7570 Год назад
Unamaanisha yupo kama bibi Ester yaani wa kwenye CD ya teke la mama,umenifurahusha ndugu yangu.
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS Год назад
@@memoryngambi7570 🤣🤣🤣🤣🤣
@neemaloy889
@neemaloy889 Год назад
Maombi Yana nguvu Sana Dada hongera kwa kumtanguliza MUNGU
@NextoHunter-rm3cs
@NextoHunter-rm3cs Год назад
Dada unaimani kubw sana na mungu
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Год назад
Yesu nilijua movie. Big up sweet heart kumpata mama.
@saurasoso1543
@saurasoso1543 Год назад
Uyo mama mwenyewe Sasa ongea yake tu ana kiburi zarau na roho yake ngumu kinyama mbona haonyeshi kumfurahia mwanae khaa 😂😂😂😢
@annehk8185
@annehk8185 Год назад
anasikitisha kwa kweli yaani hana furaha hata ya kuigiza ile ya kinafiki aibu tupu kwake kama mzazi
@fideahyera2599
@fideahyera2599 Год назад
Aibu na kujickia mkosaji kwa mwanae
@joycemwankusye4872
@joycemwankusye4872 Год назад
Hata mi huyu mama simuelewi duuu...
@namsamson3443
@namsamson3443 Год назад
Alafu mtoto anamkumbatia yeye wala, ndugu zake Angel ndio wamefurahia ila huyu mama 😢
@lylianvegulla7555
@lylianvegulla7555 Год назад
Ni aibu. Watoto wanaPotezaga Baba siyo Mama.
@lovegodwine7868
@lovegodwine7868 Год назад
Mama ana roho ngumu , sijui ni hasira daaah🥲🥲
@uwinezajohara8362
@uwinezajohara8362 Год назад
Maman ni maman tu hakukulea ila unatamani umuone .upendo wa mama na mwana ni wakipeke
@yasmine937-so4mi
@yasmine937-so4mi Год назад
Kuna wamama wanaroho mbaya miaka 40 hujui mwanao anaishi vipi looo huyu mama anaonekana anaroho ngumu kweli ata ongea yake kwanza anaona aibu looh😂😂😂 Ahsante mama angu kwakutukuza watto zako nitakupe daima❤❤❤
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 Год назад
Yani huyu mama Hana hata aibu
@michaelchristopher2452
@michaelchristopher2452 Год назад
Bi mkubwa samahani lkn wew ni mtu mbad sana
@narlt229
@narlt229 Год назад
​@@michaelchristopher2452 😂😂
@maajabumaridadi8756
@maajabumaridadi8756 Год назад
Huyu mama ana roho ngumu kwa sababu angekuwa na nia ya kumtafuta mwanae angeweza kwan mzazi mwenzie alikuwa ni mtumishi wa serikali ni rahisi sana. Na baba wa huyu Angel ni mtu mzuri inaelekea maana angekuwa nunda angemwambia labda mama ake alikufa siku nyingi lakini hajamficha kitu. Huyu baba akapewa maua yake.
@saidasimba9979
@saidasimba9979 Год назад
Ila uwezo wa kila mtu kumtafuta mwezie ilikua inawezekana kabisa sema hawakutaka
@msaphirimagallah5781
@msaphirimagallah5781 Год назад
Huyu mama asamehewe tu... nawasihii wamama wale hizi roho achaneni nazo! Mnawatesa watoto wenu wasikuwa na hatia...
@muta-news2786
@muta-news2786 Год назад
Ndugu zangu wapendwa,hizi story za kuachwa na mama kwa baba ukiwa mtoto mdogo zisikie kwa jiran isikupate eiseee. Mimi mwenyewe niliachwa nikiwa na miaka minne ila naisi mpaka Leo hii maumivu ayajawahi kuisha rohoni. Nimefurahi wamekutana ila lazima ukweli tuseme,wanawake wengi uwa wanaogopa kuogopa na watoto wa mwisho au wadogo Sana kuogopa usumbufu wa maisha.maana mtoto wa miaka 2 uwezi kumuacha kwa baba yake na kuondoka na watoto wakubwa iyo Nini Sasa. Of course mm siwez kudanganya hii kitu uwa inanisumbua akili Sana mpaka naisi ivi au nilikuwa sipendwi na mzazi wangu au tatizo ilikuwa Nini mpaka akaniacha na kuondoka na watoto wakubwa na kuniacha mm mdogo kiasi kile. But anyway tupendane tu na maisha yaendelee ndugu zangu. Ila tujifunze kitu wazazi tunawaumiza watoto kuwatupa wakiwa wadogo kiasi kile.but kitu Cha kumshukur mungu imenifundisha kuheshimu mke wangu na kuwapenda watoto wangu sitaman ata second kuishi mbali nao au mama yao kunitelekezea watoto km ulivyo kuwa kwangu. Kuna mda inanipa moyo wa uvumilivu Sana kwenye familia yangu.Nimeipenda hii story japo imeniumiza maana nimekumbuka mbali Sana.naisi tuna la kujifunza kwenye Aya maisha.
@sagboison6297
@sagboison6297 Год назад
Pole sana
@ramadhanideu6444
@ramadhanideu6444 Год назад
Pole bro mwenyez mungu mtukufu awajaalie mema ww na familia yko
@ebonybhoke5321
@ebonybhoke5321 Год назад
Pole sana kaka,Hongera Mungu amekuwa familia yako
@pudensianamhasi5364
@pudensianamhasi5364 Год назад
Pole sana,pole mnoo,samehe tu
@farhatomar78
@farhatomar78 Год назад
Pole kaka Mungu ndo mpangaj wa yote
@Neema935
@Neema935 4 месяца назад
Huyu mama , moyoni mwake, hamna furaha, sijuwi anakumbuka alicho fanyiwa na mwenza wake. Hongera sana dada.
@minamina8024
@minamina8024 Год назад
Ila uyu mama kauzu sana
@shamzone388
@shamzone388 Год назад
Hakuna kama mama kwa kweli Hongera dear
@user-we3mp7be4c
@user-we3mp7be4c Месяц назад
Mama roho ngumu amegawa mtoto na kumsahau kabisa miaka yote inaima Dada Imani yako kwa Mungu ni kubwa ubarikiwe kabisa mm hana mapenzi na mtoto kabisa
@ellybrown5989
@ellybrown5989 Год назад
Mungu ni mwema Angel Barikiwa Sana na Mama,wabarikiwe pia waliokulea.
@halimamohammed7863
@halimamohammed7863 Год назад
Mama mwenywe mbna hana raha na mtto wke 🙄🤔
@nururaymond5
@nururaymond5 Год назад
Hawajafanana hataaaaa!!!!Ila binti ana Mungu ndani yake Walezi wake pongezi kwenu
@stellakusaga4916
@stellakusaga4916 Год назад
Glory be to our God almighty
@mkanjimamkanjimamkanjima2043
Wapo wameru furani wakiona hii vedeo cjuwi wanajiskiaje kwa kweli maana hao wameru ninao wataja watupa mtoto wa miezi 6 kwa baba mpaka sasa huyo mtoto yupo zaidi ya miaka 23 na hawana hata muda wa kutaka kujuwa yupo au la 😊
@salminasalim5630
@salminasalim5630 Год назад
Pole kwa kutopata mapenzi ya mama udogoni na hongera kumpata mama yako ukubwani ingalau uweze kuonja mapenzi yake MMUNGU awalinde and continue to cement your relationship
@auntdorah9141
@auntdorah9141 Год назад
Nikwambie kitu ndugu, sio wamama wote wenye mapenzi kwa watoto wao, kuna mtoto analelewa na mama mzazi lkn mitihani anayopitia! Na kuna mtoto analelewa na mama wa kambo ukiambiwa sio mama yake huta amini! Tunategemeana na moyo wa mtu. Japo mama ni mama
@auntdorah9141
@auntdorah9141 Год назад
Nikwambie kitu ndugu, sio wamama wote wenye mapenzi kwa watoto wao, kuna mtoto analelewa na mama mzazi lkn mitihani anayopitia! Na kuna mtoto analelewa na mama wa kambo ukiambiwa sio mama yake huta amini! Tunategemeana na moyo wa mtu. Japo mama ni mama
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 Год назад
😢😢mi nilikaa 7yrs bila mama na alivyorudi hakukaa akafa
@ifadatalizam8607
@ifadatalizam8607 Год назад
Huyo mama wala haoneshi furaha kakalia kiroho mbaya
@mwajumahamisi2006
@mwajumahamisi2006 Год назад
Kabisa
@salmamlokela1987
@salmamlokela1987 Год назад
Mimi nahis kama moyo wake umekufa ganzi sijui amini amin
@aminakasim1198
@aminakasim1198 Год назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Astaghafirullah
@sifaupindo
@sifaupindo Год назад
Kakika, pia atakua Hana mapenzi nae sababu hajamzoea, na mazoea pia yanaongeza upendo
@mamachris6811
@mamachris6811 Год назад
Dada anajua kujieleza,( anatiririka kama Mtangazaji) Conguraturations 🎉
@sifatiiman
@sifatiiman Год назад
yuko vizuri kama mimi tu
@GetrudeRashid-be8bs
@GetrudeRashid-be8bs Месяц назад
Napenda kuwapongeza walezi wahuyu dd,,mmemlea vzr sn,,anamjua Mungu,, waooooooo hongeren walezi wote,pokeen maua yen🎉🎉🎉,,mama yak mh
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 Год назад
Mama Amejaa Asira Sijajua Kama Anajisikia Vibaya Kwa Kukaa Mbali Na Mtoto Bila Kumsaka Au Bado Yuko Na Asira Wenda Kati Yake Na Mmewe Awakua Na Mawasiliano Mazuli Sasa Bado Amejawa Asira
@ScollaLeba-qm3rv
@ScollaLeba-qm3rv Год назад
Dah furaha ilitawala sana hongereni jamani ❤️❤️
@vumiliawambula1716
@vumiliawambula1716 Год назад
Amen Amen Sana Mungu nimwema
@hildahtemu
@hildahtemu Год назад
Nafrah sana mama angu yupo....mungu ahsante kwa ili ❤pia naiman baba yangu nawe utakuepo na wish nikuone ...mimi ni mzima na wishi nawe nataman nikuone baba ata sekunde moja❤....daaah sijui ntampata wapi mana najina moja tu nalolijua....Temu❤
@ngowibeatrice1701
@ngowibeatrice1701 Год назад
Katika hii dunia mama ni kila kitu
@jamilajamila4572
@jamilajamila4572 Год назад
Uyu mama ana roho ngumu sana miaka yote iyo umekaa hujui mtoto wako yupo sehem gani du
@waimani5550
@waimani5550 Год назад
Nazani ndio sababu ya Mungu aliamua kumtenganisha na mtoto wake, vinginevyo binti angekuwa kama mama yake
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 Год назад
Yaani jamani
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 Год назад
Mama mbona amkumbatii mtoto jamani huyu mama Amesema neno moja eti nilimwacha mtoto akae na baba yake kwa kuwa nina wengine. Lo hatausifanye juhudi ya kujua yuko wapi.
@carolineelias5847
@carolineelias5847 Год назад
Hakika Mungu ni mwema sana kwake yote yawezekana
@marselinarweyemamu4034
@marselinarweyemamu4034 Год назад
Kwa mtazamo mama haukuwa na mapenzi ya mwanao.kiukweli haiwezekan we miaka yote usimtafute mtoto
@rahmaidd1246
@rahmaidd1246 Год назад
unajuaje wewe
@sifasanga7866
@sifasanga7866 Год назад
Mimi ukweli nimeingia leba siwezi kuacha mtoto wangu Mdogo bila kumfuatilia
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 Год назад
Sahihi angalia hata uongeaji wake amerilux Sana
@ChristianDondo
@ChristianDondo Год назад
Kumbukeni mawasiliano ya miaka 40 iliyopita yalivokuwa, mtu akihama mkoa asiporudi yeye alipokuacha na ww ukawepo ngumu kuonana
@hamedhabsi2752
@hamedhabsi2752 Год назад
Kwa mtazamo wangu Mimi Mtoto ndie atafutae wazazi wake. Yeye kafika Hadi umri huo wa karibu miaka 43 kutoka na stori iliyozungumza happy kua wametengana wakati akiwa na umri wa miaka miwili. Kea Nini hajamuuliza babake kuhusu Mamake?
@lydiahbhoke2284
@lydiahbhoke2284 Год назад
Najifunza kuendelea kuwapenda wanangu sana sana Mimi ni wa maana sana kwao
@LucyMwasu
@LucyMwasu Год назад
Hongera dada kwa kuweka Imani kwa Mungu Ni kweli hakuna jambo lisilowezekana kwa Mungu
@mariamnkenzi3651
@mariamnkenzi3651 Год назад
Oh glory to Jesus❤
@lovenessfrancis5547
@lovenessfrancis5547 Год назад
Dah!mama komando professional ps but matendo commando jmn miaka 2-40 hujui Hali ya mwanao dah!! hongera dada nimekupenda bure
@sarahgaula2220
@sarahgaula2220 Год назад
Ila huyu mama mmmmh 41 yrs
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 Год назад
Siqezi kuachia mtu mtoto wangu hata km niko na Hali gani we!
@marthajohn9120
@marthajohn9120 Год назад
Hongera sana my dear kwa kuwa na imani kubwa sana
@lilianimikaeli
@lilianimikaeli Год назад
My
@habibaomarykiponda4036
@habibaomarykiponda4036 Год назад
Sasa kwann alimuacha mdogo akachukua wakubwa mdogo simuach ht kwa dawa nitamuiba tu
@floraflora5717
@floraflora5717 4 месяца назад
Inavyo onekana uyu mama sio poa kwake ajapenda afu anasema anaelekea kuwa mubibi wakati kishazeeka unamuachachia mwanaume mtoto wako eti yupo mikono salama duh dada pole sana pia onger
@mrsmumewangu4907
@mrsmumewangu4907 Год назад
Nilichogundua mama Amna hapa eti nilijua yupo kwa baba yk atakua salama mzima kweli ww mqwanao hata umuache kwa bilionea kumtafuta muhi dah we dada unamoyo Sana Kama mm mwenye roho ya kinyama sizani Kama ningekutafuta thubutuuuuui
@abdulkaleemmbarak6670
@abdulkaleemmbarak6670 2 месяца назад
Tenda wema wende zako. Mama ametoa pongezi Kwa binti yake na clouds TV akamuacha mzazi mwenzake alie kuza.Baba nakupa hongera Kwa kukuza binti yako jazza yako iko Kwa mungu.
@halimaabdul4805
@halimaabdul4805 Год назад
huyu mama noma duu
@user-rx8pp8ql9p
@user-rx8pp8ql9p Год назад
Hongera sana Mungu amejiinua na hakika ni Mungu wa yote yasiyowezekana,
@fatmaally7252
@fatmaally7252 Год назад
Mashaallah jamani
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 Год назад
maa shaa Allah🤗🤗😍😍😍
@maimunamsakamali9152
@maimunamsakamali9152 Год назад
Hongera bibi sahili Kwa kumpata mwanao
@happyness577
@happyness577 Год назад
Mungu ni mwema kila wakat
@ashuramhandoashuramhando6798
Mashallah 🙏🙏 nimefurahi sana kusikia umeipata pepo yako🔥🔥🔥
@hemedytengu5718
@hemedytengu5718 Год назад
Pepo ya Dunia ni mama🥰
@nasseralhabsi1483
@nasseralhabsi1483 Год назад
Kwa kweli wanafanana hasa. Huyu kweli ni mama yake.
@user-li1wb6pu7h
@user-li1wb6pu7h Год назад
Huyu mama ana roho ngumu mtoto wako wa miaka miwili unmuacha baba kweli umesema ilimuacha huyu ikaondoka wengine kwanini usiwaache hao wakubwa ikaondoka mauti mdogo?wewe mama noma
@SelemanMuhamed-ir5zl
@SelemanMuhamed-ir5zl 11 месяцев назад
MUNGU NI MWEMA SANA. KILA KITU KINA WAKATI WAKE JAMANI. MAMA YANGU NAYE HIVYOHIVYO ALIACHWA NA MAMA YAKE AKIWA NA MIAKA 3 NA AKUFANIKIWA KUKUTANA NA MAMA YAKE . LAKINI KATIKA KUMUOMBA MUNGU NA KUMTAFUTA. 2022 AMEFANIKIWA KUMPATA MAMA YAKE AKIWA AMEZEEKA HUKO KIJIJINI MOSHI.
@evankya1955
@evankya1955 Год назад
kuacha mtoto wangu na kufunga milango ya kumuona tena for 40yrs jamani hiyo ni roho ya namna gani? i feel for Angel
@NasmaSaidy-zt4ly
@NasmaSaidy-zt4ly Год назад
Mashaallah
@NaomiMshana-lj4tc
@NaomiMshana-lj4tc Месяц назад
Barikiwa sana dada enjo
@bahatimalundi3593
@bahatimalundi3593 Год назад
Inaonekana mama wakati anakuwa alikuwa na hasila sana ndio maana ilitokea iyo changamoto pole sana dada
@michaelchristopher2452
@michaelchristopher2452 Год назад
N sahihi kabisa mama kama angelikua ayupo na asira asingeshindwa kupata taarifa ya mwanae lkn yeye alisusa kwakweli bibi kazngua
@majaliwawilson9372
@majaliwawilson9372 Год назад
Najiukiza sms za Jambo hil nizakibinaadam lakin Jambo hili angekuwa baba vingetawal matusi nalawama nyingi tujifize kujuwa makosa hufanywa naote Ila wanawake niwepec Sasa kutuhum wababa pale wanapo Bak nawa toto
@esterkiyabo1329
@esterkiyabo1329 Год назад
Mmmhh! Wewe mama! Muda wooote miaka 40?
@baghabaghaingwengwe1750
@baghabaghaingwengwe1750 Год назад
Ni kweli wanacho kifanya clous Fm ni huduma ya Mungu
@bitishoriziki1113
@bitishoriziki1113 Год назад
Barikiwa San dada mama ni mama kns🎉❤🤲🙏👏🔥
@brytonypeter5348
@brytonypeter5348 Год назад
Mm nilitelekezwa na baba yangu nikiwa na miez mpaka Sasa Nina miaka 25 nimefanya jitihada za kumtafuta mitandao mpaka nikampata ila kiuhalisia waalimu Wana tabia ya kukimbia watoto alihama kikaz akahama mazima
@robertmwangomale
@robertmwangomale Год назад
Jamani ni jambo jema sana,,,,nami namtafuta baba yangu mzazi tangu nizaliwe sijawai kumuona naitwa Robert mwangomale ( ila Jina baba niliambiwa anaitwa mlewa A mlewa anaasili ya iringa na dodoma
@roseodipo9868
@roseodipo9868 Год назад
Mmh mama mbona bado ana hasira na ba mtoto sijui nisemeje?kama hana furah kivile🤷🏻‍♀️
@aloycebabene6239
@aloycebabene6239 Год назад
Hata anavyoongea huyu mama ana moyo mgumu sana.
@aishaulengesabry9672
@aishaulengesabry9672 Год назад
Yaani dah. Sijui Mwanamke mwenzetu anakumbuka nini jamani. Hadi umtupe mwanao miaka yote hiyo
@annehk8185
@annehk8185 Год назад
@@aishaulengesabry9672 labda anakumbuka aliyoyapitia akamtoa mtoto kwa baba maana hana furaha kwa kweli Mungu amsaidie asamehe
@evertheobald1811
@evertheobald1811 Год назад
Huyu mama mzazi ni changamoto
@user-cc5qs5wo3z
@user-cc5qs5wo3z Год назад
Mungu Mwema😊, amejibu kwa wakati
@happymau2809
@happymau2809 Год назад
Waoow Asante Mungu
@shamsakiobia6421
@shamsakiobia6421 Год назад
Pole na ongera my dear
@ElizabethEnock-ub5vv
@ElizabethEnock-ub5vv 11 месяцев назад
Namuomba mungu kila siku anifunguliy njia nikutane na mama yangu hakika nitafulai sana
@baghabaghaingwengwe1750
@baghabaghaingwengwe1750 Год назад
Hakika cloud ni kiboko mno big up
@MwanaishaHemed-xi6rj
@MwanaishaHemed-xi6rj Год назад
Dah😭 miaka yote hiyo hatimae umempata Mama yako mungu mwema lakini pia baba yako ni mtu mzuri maana ingekua baba mwengine angekwambia Mama yako ashakufa haswa ili usimtafute
@fathatsaid367
@fathatsaid367 Год назад
Mtt anahaja na mama ila mama sielewi duu Allah atutie imani
@lilianimikaeli
@lilianimikaeli Год назад
My
@esthersissamo1120
@esthersissamo1120 Год назад
Mungu mwema Jamani
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 Год назад
Mama Na Mtoto Wote Watata Miaka41 Eti Usisake Mama Mzazi Kweli Jamani Du Wote Wakosefu C Mama Wala Mtoto Wote Wakosefu
@sifatiiman
@sifatiiman Год назад
mama ndio alitakiwa kumtafuta mtoto mtoto toka anamiaka 2 unaakili wewe?
@asiamohd5516
@asiamohd5516 Год назад
Mmmmh, Mungu ni mwema.
@florencemsigala6549
@florencemsigala6549 Год назад
Huyu mama 🙌
@fatumastv
@fatumastv 7 месяцев назад
Huyu mama kama Astuki misijaona kufulai kwauo mama ila samahani
@frankbella4271
@frankbella4271 Год назад
Mungu wa mbinguni hashindwi
@bigirumanalululouise4540
@bigirumanalululouise4540 Год назад
❤❤❤❤❤❤❤
@eashaeasha9776
@eashaeasha9776 Год назад
Kwenye cm mama qlichangamka mno ile ck ile nashangaa live mama kapoa kiasi hiki hajachangamka sana haoneshi furaha
@prettypretty9745
@prettypretty9745 Год назад
Kweli mama ni mama hata hivyo furaha ya mtoto kumuona mamake imekithiri zaidi ya mama kumuona mwanawe nimeangalia kwa kina hata hivyo mungu azidi kuwapa mapenzi na muhitimishane kwa salama
@aishaulengesabry9672
@aishaulengesabry9672 Год назад
Yaani. Soo painful but tumuachie Mungu, tusihukumu. Lkn how comes mama hakustruggle kumtafuta mwanae.
@dorakiyao4509
@dorakiyao4509 Год назад
Aiseee miaka 41 duu una roho ngumu mnoooo
@esturidaruvanda758
@esturidaruvanda758 Год назад
Mtoto amefrahi toka moyoni mama dhamili inamsuta sana kumwachia mwanaume mtoto miaka yote hiyo ubarikiwe dada kumtafuta mamaako umeikimbia laana mtunze mamaako mpaka ajiogope mungu akubariki sana dada mtumishi wa mungu
@hildahtemu
@hildahtemu Год назад
Hello Clouds naomba muanzishe na ya kukutana na baba japo ni ngumu lakin tutawashukulu❤
@reginalongwe8701
@reginalongwe8701 Год назад
Mungu nimwema
@rerisamba
@rerisamba Год назад
Saa nzingine watu wanakua na siri utapata hakusema kama aliwachanga mtoto mahali
@aronmtui597
@aronmtui597 Год назад
Na kwanini baba alikuwa hakupeleki kwa mama
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 Год назад
Walikua wametifautiana
@fatumasaidi2592
@fatumasaidi2592 Год назад
Hapo chacha🤔
@maajabumaridadi8756
@maajabumaridadi8756 Год назад
Ampeleke wapi wakati mama ndy aliondoka akawaacha.
@rehemangowi-zk6qu
@rehemangowi-zk6qu Год назад
Jamani huyu mama mbn anashangaza mbn haonyeshi kumfurahiyi mwanae ,majibu ya mkato ,,kama haikuwa muhimu mtoto kumtafuta khaaaa😂😂😂😂😢
@salummbunga4167
@salummbunga4167 Год назад
Alilia Sana siku ya sherehe so hii sio mara ya kwanza
@ashurakodd1589
@ashurakodd1589 Год назад
Sasa mlitaka apige mayowe ya kinafki ama anaonekana huo ukimya alishaathirika kisaikolg kama unamwelewa mimi nimemwelewa kwa sababu nimeyapitia kama sio Mungu da! Ilikuwa ni hatar ya wangu kunisahau kwa ajili ya mjinga mmoja
@nasramuhammad2046
@nasramuhammad2046 Год назад
Niko na miaka 25 mamangu n tz kutoka moshi ila ako kenya tangu tuzaliwe ajawai kanyaga kwao kwa wajomba zng ata siwajui Allah atueke nikutanishwe na familia ya mamangu 😢 😢
@angle3600
@angle3600 21 день назад
Maombi yananguvu,na anajibu na wakati wake,mimi ninaushuda wa maombi
@tumainiezekia5873
@tumainiezekia5873 Год назад
Mapito wanayo pitia akinamam weng nimagum simlaumu huyu mam kupotezan huwez jua ilikuwaje
@Mamiseti7
@Mamiseti7 Год назад
❤❤
Далее
HOUSE GIRL EP 52 || love story💞💕
24:13
Просмотров 15 тыс.
Hamster Kombat 20 July Mini Game
00:13
Просмотров 10 млн
Недооцененный котел в Симс 4
00:37
MY WIFE LEFT ME WITHOUT NOTICE- PK KARITEI
1:19:01
Просмотров 48 тыс.