Hakika brother Mfinanga hongereni sana Kwa kumpàta Dada yenu naa inatia moyo inafurahisha na inaonyesha ni jinsi gani mlikua hudhuni yakutoonana na dada yenu hamkumjua alipo hamkujua yuko hai au laa kweli ni jambo MUNGU aendelee kuwapa Moyo wa upendo huo.
Pia dada Angel abarikiwe sana ktk juhudi za kumuomba mungu amkutanishe na mamake,kweli nani kama mama!!!!!haijalishi walipotezana kwa namna gani hawa wandugu but ndo wakati sahihi wa Mungu kuwakutanisha,wakati wa jambo ukufika hakuna wakuzuia
Sijaelewa jinsi walivyotenganishwa ila nahisi aliindoka na baba, yaani baba na mama walitengana. Nadhani taarifa haijakaa vizuri kipi kiliwatenganisha, je alipotea? ama alichukuliwa na mzazi mmoja baada ya kutengana....
Huyu mama sjui km sio mchawi mn hta yale mapenzi ya mama kwa mtt hana….mama mtt wako miaka 40😥😥hta kwa kusota angefika dar lkn mhhhhh Allah anisamehe kwa kumwita mama wa watu mchawiii lkn ht km sio mchawii ila na features za kichawi
Mi nmependa huu upendo jamani. Ama kwa hakika huu ni wakati mwafaka wa kukutana na ndugu zako. Huenda msingetengana nao huenda ata wasingekuzingatia, mshukuru MUNGU kwa wakati huu sahihi kabisa na kwa upendo wa ndugu zako, familia zingine ndugu wangevuta midomo iyo adi ingewaanguka kwa kuchukia.😂
Ila mama mzazi wa enjo anamoyo kabisa kweli uzae mtoto uumpe baba sio mbaya ila toka hapo ata usifatilie mtoto wako ata kumuona jamn,uyo mama anajikaza ila aibu anayo sana ni vile tu mtoto anahamu nae,,,mama ulieingia leba jmn utafutwe na baba je itakuwaje,Pole enjo kwa kumpt mama ako
Aah hapo kuna kitu hakiwekwi wazi ,frankly speaking kuna matatzo kwa wazazi ,haiwezekani miaka yote hio mama hakumtafta mwanae pia mtoto alikua hamtafti mama yake,,lait kama mgeweka wazi kila kitu,,mgeisaidia jamii ,
Mapenzi ya mama yake aliyokosa akiwa Mdogo hawezi kuyapata tena it is too sad, Tz mngetunga sheria ndoa au mahusiano yakivunjika mtoto abaki kwa mama maana mtoto ni wa mama Ukiangalia kwa undani ni mama ndio anajua nani ni baba wa mtoto, na hamna mwanaume au mwanamke wa kambo anaweza kumpa mtoto upendo wa mama kama mama yake wa asili. Kuna kitu cha kujifunza hapa . Baba yake huyo alifanya kosa kubwa kwa kumkosesha mapenzi ya mama yake
Hapana. Hapa naona baba ni mtu mwenye roho nzuri sana. Inaonekana mama ndiye aliyemsusia baba mtoto akaondoka. Baba huwa hawazuii watoto kwa mama zao ila mama huyu anaonyesha alijenga chuki kali sana kwa baba hata hakutaka akae na alama yoyote ya kuwaunganisha na huyo baba. Akina mama walivyo na upendo kwa watoto angalia hakuweza kutaka kujuwa mwanaye yuko wapi kwa miaka 41 hiyo siyo kawaida. Ni kwasababu ya chuki aliyokuwa nayo kwa baba wa mtoto. Mimi nasema Baba wa dada huyu ni mtu mnzuri sana. Kwanza angemkataa dada huyu tangu mimba hadi kuzaliwa mtoto
@@georgekibassa4720 unaongea usichokijua tunaongelea miaka ya zamani mawasiliano ya ovyo haki za wanawake zilikuwa hamna , huwezi kujua huyu mama alitishwa nini au alifanywa nini na huyo baba , lazima kuna sababu kubwa ndio maana kama imekuwa hivyo . Mama amesema alimtafuta mtoto wako ili alishindwa kumpata na huwezi kujua msongo gani wa mawazo huyo mama amepitia
@@georgekibassa4720 huyo baba hana roho nzuri angekuwa na roho nzuri amgemtafuta mama wa mtoto mtoto akiwa mdogo ili mtoto apate malezi ya mama yake wa kweli na sio mama wa kambo !
@@kabwelasutiviraka4765 Kulingana na stori alivyoongea dada baba aliwahi kukutana na mama wizarani lakini mama hakuonyesha haja ya kutakakujua mwanae alipo maana hakuchukua Ata contact ya baba
@@njuka3515 mama alisema kuwa alikutana na baba angel wizarani baada ya miaka minne ya kumuachia mtoto so akamuulizia kuhusu mwanawe lakini baba angel akawa na majibu ya kurusharusha mwisho akamkimbia, hapa inaonesha baba ndio tatizo