Тёмный

Miaka 33 Nimemaliza Makanisa | Baba Mtoto Alinipokonya | Pendo na Mama Yake Wamekutana Leo 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 51 тыс.
50% 1

clouds digital ipo mubashara kwenye kipindi cha LeoTena

Опубликовано:

 

3 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 52   
@aminaalabri4170
@aminaalabri4170 Год назад
Hongeren sana clouds mnafanya ktu cha peke tunawapenda sana
@ProtasBalibabaza-ip1oy
@ProtasBalibabaza-ip1oy Год назад
Mnafanya vitu vikubwana sana clouds #leo tena hongereni Mwenyezi Mungu awabairiki
@omanoman2044
@omanoman2044 5 месяцев назад
Wallah wa mam mnaharibu san rangi zen had naon haya mwijaku anamuangalia duuh
@rosemaryjoseph768
@rosemaryjoseph768 Год назад
Hongera sana Leo Tena haya mambo yapo na ustawi hawana msaada kwa wamanisha kesi nyingi nimekutana nazo
@nyassorajabu628
@nyassorajabu628 Год назад
Hongera ma mdogo Kwa kumpata binti yako
@beatricedavie1827
@beatricedavie1827 Год назад
Jamani mtukutanishe na baba zetu pia,Mimi nahitaji kukutana na baba yangu,pia Mungu awabariki kwa kazi nzuri
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 2 месяца назад
Uwatafute binafsi uwape taarifa zako na za baba yake ili wawe na pa kuanzia.
@ElizaMwambudzi-fe8dp
@ElizaMwambudzi-fe8dp Год назад
Hongereni kwa kazi nzuri Mungu awabariki sana
@AngelMbaga
@AngelMbaga 3 месяца назад
Mko vizuri kwenye listening skills hongereni.
@happymwashimaha5134
@happymwashimaha5134 Год назад
Hongera sana Pendo rafiki yangu. Wakati wa Mungu Ni wakati sahihi
@ahlamkilema1787
@ahlamkilema1787 Год назад
Yani hichi mnachofanya... clouds....mungu hatawalipa Yani mm Bibi yangu..watoto wake watatu..paka Leo na nimzee natamani hawajue wanawe
@salmangwila8062
@salmangwila8062 Год назад
Nyie leo tena hongeren
@UpendoLukas-s1u
@UpendoLukas-s1u 2 месяца назад
Nami namtafuta baba yangu mnisaidie.
@foodbasiccourt2028
@foodbasiccourt2028 Год назад
Kwa hapa clouds hongereni sana
@christaoman8890
@christaoman8890 Год назад
Ni furaha na huzuni pia miaka mingi bila mama ni Mungu tu
@angellambonika3002
@angellambonika3002 3 месяца назад
Wanaume wengi wanajua kupata starehe tuuuu lakini uchungu juu ya watoto hawana !!!! Mungu anawaona.
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 Год назад
Hongereni sana Clouds
@lizybabymgaywa8035
@lizybabymgaywa8035 Год назад
Pole sana Mama
@RachelJoseph-du5gs
@RachelJoseph-du5gs 3 месяца назад
Jmn Kwan huyo baba alipatwa na jini gan kha!
@PaschalPaulMandegeshi
@PaschalPaulMandegeshi Год назад
mnachokifanya ni jambo jema pongezi kwenu #clouds
@levinalyimo6240
@levinalyimo6240 3 месяца назад
Mwenxangu hata Mimi yamenikuta ustawi wa jamii ni balaa
@RajabuFute
@RajabuFute 3 месяца назад
Hongern sana ila tunaomba kipindi cha kutafuta kina baba
@rehemaathhmani357
@rehemaathhmani357 4 месяца назад
Mungu mkubwa ❤
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 3 месяца назад
Pole sna mama
@aishaddddhh6272
@aishaddddhh6272 Год назад
Jmn ikifikia kipindi cha kukutanishwa watoto nawazazi wao wakiume mnistue jmn
@felisternselu6287
@felisternselu6287 Год назад
Mwakani ni baba na watot
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Год назад
Dah! Inauma sana kwakweli
@MwanaishaHemed-xi6rj
@MwanaishaHemed-xi6rj Год назад
Mtihani Pole sana Mama dah😭😭
@ghhhhy1812
@ghhhhy1812 3 месяца назад
Pole san mam
@leaherasto929
@leaherasto929 Год назад
Dahuu umependeza Sana
@jamilamwangoka1055
@jamilamwangoka1055 Год назад
Yaani mngekuwa mnatuandalia na kwenye TV nduguzangu tuwetanaangalia Yani pongezi Sana kwenu
@JanethMgoly
@JanethMgoly 3 месяца назад
Clouz tv
@ashuuuaisha9122
@ashuuuaisha9122 Год назад
Kuna muda mtu unatamani tu kungèkuwa na mbegu zinauzwa sehemu tununuwe ili mtoto asiwe na baba wa aina hii
@maswamills3161
@maswamills3161 Год назад
Mbona zipo? Pesa yako tu
@foodbasiccourt2028
@foodbasiccourt2028 Год назад
Mbegu zinauzwa twna unachagua mwenyewe na una uamuzi wa kuto kujua aliyetoa mbegu hela yako tu mama
@theafricaiknow6615
@theafricaiknow6615 Год назад
Zinauzwa mbona,ni pesa yako tu
@aggreynsemwa1380
@aggreynsemwa1380 Год назад
@@theafricaiknow6615 à
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 3 месяца назад
Hujasikua upande wa pili huna ruhusa ya kuhukumu Mimi naona Dunia inawatukana wababa sana inawasemea unyanyasaji ukija kufatilia kesi unakuta udangaji upuzi mwingi wa wanawake enzi za ujana wababa wanamua kubeba watt wake
@aishaddddhh6272
@aishaddddhh6272 Год назад
Kaka zangu wanatamani kuonana na baba yao
@ashnaom2270
@ashnaom2270 Год назад
😢huzun sana
@evaakyoo3009
@evaakyoo3009 Год назад
Wanaume mlaaniwe sana
@OnlyRuky
@OnlyRuky Год назад
🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺💃Wababaaaa jmaaaaani
@FreshJuiceFoodSimpleCook
@FreshJuiceFoodSimpleCook 3 месяца назад
Walipewa rushwa hao washenzi wa tabia wananyima watu haki zao
@janengowi-lt9gu
@janengowi-lt9gu Год назад
Wanaume wanaume mngekuwa nyie mnasikiaga uchungu wa kuzaa sijui mngefanyaje kuhusu watoto
@JestinaEwin
@JestinaEwin Год назад
Du mateso haya nahisi wanangu ndo wanayopitia
@rezegerezege691
@rezegerezege691 Год назад
Pole sana Dada yangu kipenz Mungu Awalinde nakuwatunza
@HalimaKassim-w3s
@HalimaKassim-w3s Год назад
Amin inshallah ❤
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
😢💔
Далее
Обменялись песнями с POLI
00:18
Просмотров 866 тыс.
BABA YANGU KIPOFU Full episode /45/ #love
20:10
Просмотров 177 тыс.
Обменялись песнями с POLI
00:18
Просмотров 866 тыс.