Ndugu yangu Zamaradi Asante sana kumleta tena baba Levo. Maana huyu ni zaidi ya komedian. Pia ni msema kweli hanaga uongo kwa anayoyazungumza juu ya maisha yake.
Huyu baba revo anakipaji kikubwa sana damu yake niyakupedwa nabinadamu sana anabwa ushauri mzuri wa bosi wake amuajiri momo kwa moja ampe mkataba hata wa mwaka miwiri amtuzame kipato kitaongezeka sana mujaribu bosse press tunakushawishi asanti sana timu baba revo kutoka dubai
Dakika ya 23:36 baba levo anasema anataka akasomee utangazaji, lakini interview yake ya kwanza I mean party one ya hii interview kasema aliishia darasa la saba. Najaribu kuwaza anasoma chuo kipi na kwa utaratibu upi maana vyuo vyote registered na nacte lazima uwe umemaliza at least form four with awarded certificate sio uwe ulifeli kabisa ukakosa hata devision four.