kwa wanaume hata sishangai angekuwa mama simba ningeshangaa wanaume huwa wavivu kujuaga vitu vidogo dogo kwenye nyumba,na pia hiyo nyumba hajakaa muda mrefu na watoto ndo wanatumia.
Ukimsikiliza vizuri utajua siyo udj tu uliomlipa, amefanya uchinga ameweza kusave money na anajua kujichanganya na Wana na ndiyo maana amefika hapo halipo
Vijana acheni umama Wa kutegemea MTU chezeni michezo ya kina mama utajifunza kuwa na disprine ya hela kama alivosema DJ Aliy b Kweli Michezo inasadia Sana Mimi mwenyewe Niko kwenye iyo Michezo nayaona mafanikio
@@KautharRamadhan-xv3gf sina chuki na wara siishi tanzania nime toka toka mtoto ndiyo mana nime uliza milioni 40 ni pesa nyingi sana kwa tanzania kumbe milioni 40 ni pesa ndogo sana ndiyo mana nime shanga milioni 40 kununua sofa
Uwage na Akili ww bana!!!!! Utamlinganishaje bilionea TAUFIQ n zaidi kw Dj Ally b, Lakini Dj Ally b pesa anayo kw nafasi yke tena katuzidi sana tena kundi kubw la watu kimafanikio kw hiyo yatubidi Tumuombe sana Mwenyz Mungu atusaidie tupambane kiutafutj tuwe kama yy na cyo kumlinganisha n mtu mwngine 😮