Tunakuomba Rais wetu makonda Arudi kwenye uenezi kule mama ananguvu. Ole wao viongozi wanaompiga vita makonda Hakika wataondoka wenyewe duniani, Mama wananchi tunampenda makonda
Unataka kwenye uchaguzi mchague madiwani wazur kwani wale waliopo ni wabaya? chama kinacho ongoza kuanzia serikali za mitaa mpaka serikali kuu ni CCM lkn miaka yote mitano imekwisha hakuna kinacho endelea isipokuwa ufisadi ndio umeshamili, mimi kama mimi cwezi kuchagua CCM kwa7bu ndio chanzo cha maisha magum, CCM hovyo kabisa.