Allah akufanyie wepes inshallah akulinde na husda zawatu natena tembelea mikoa yote uwapge pini hadi wanyooke😅😅😊😊😊tuna kupenda sana muheshimiwa makonda❤
Mh , makonda mungu akupe hekima zaidi mungu akulipe baba mtenda haki kwenye haki munguyupo pamoja nawewe mweshimiwa ewe muumba mjarie afya njema subra utendajika kwausawa muheshimiwa makonda aamiiiina 14:31 14:33
Wachapa kazi wangu ni moja ni mama Dr samia hassan suluhu na wa Pili ni makonda na watatu ni biteko Miami ni chawa wenu niko nyuma kwa kile mnachokifanya kwa watanzania Mungu awalide na kuwabariki Amina
Mungu mwema alimtwa magu kumbe alijuwa yupo mwingine anamuweka kuwa mtetezi wawanyonye. Hakika Makonda Mungu akurinde wewe ni mfano wa kuigwa natamani sana mama Akimaliza mhura uingie wewe.
Nimelia huyu baba anavojieleza hapa jaman HV hii nnchi kwann inaviongoz WA hovyo Sana?mama yetu kipenz Dr Samia Tunakushukuru Sana kwa jili ya Makonda,Mana mpk hapa najiuliza kumbe kuna watu wameona km dunia niyao mpk wanatufanyia Haya?😢
Jmn watu watafika.mbinguni wamechoka.ila.midomoni utasikia.tunahofu ya Mungu hofu yaMungu sio.mchezo yaninunadhulumu watu hufanuika kazi kwa uadilifu Kisha unasema unahofu ya Mungu
Hivi hawa wakuu wa mikoa nikwamba hamuoni makonda anayoyafanya nikwamba mikoa yao haina shida kama hizi za arusha!!?? Kwa tanzania hii mikoa yote iko na shida kweli kweli!!
Ninaimani sana na wewe makonda na kikubwa kinachonibariki unajiweka upande wa Raia kutafuta haki Patam sana ukijiweka upande wa selikali tu peke yake kunavitu huwezi ona