Тёмный

NYUMBANI KWA KUNGWI/KUNA DUKA LA UREMBO NDANI/ANAFAGIA SAA NANE USIKU 

ZamaradiTV
Подписаться 239 тыс.
Просмотров 117 тыс.
50% 1

Usisahau ku"SUBSCRIBE" RU-vid channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Развлечения

Опубликовано:

 

21 ноя 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 232   
@anathjuma6813
@anathjuma6813 6 месяцев назад
Waarab na wazanzibar hawajivungi,free soul...wachngamfu...Yani wakikuzoea wanaupendo sana...Ma Sha Allah
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 7 месяцев назад
Mash Allah nimependa unavyo fanya ibada. Allah aendelee kukuongoza ktk imani..
@AsmaSalim-rx4fb
@AsmaSalim-rx4fb 7 месяцев назад
Haya Leo wa mwanza na mimi naombeni like zang
@user-uj1bt7gq6n
@user-uj1bt7gq6n 7 месяцев назад
Wa kwanza au wa mwanza 😀
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 7 месяцев назад
​@@user-uj1bt7gq6n😂😂😂😂
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 7 месяцев назад
nimekupa habibi ❤
@SuleimanKhdija
@SuleimanKhdija 7 месяцев назад
@@user-uj1bt7gq6n wa mwaka😁
@faridapandu7579
@faridapandu7579 7 месяцев назад
❤❤❤ usafi muhim kweli mama
@user-vj6qs8sv8i
@user-vj6qs8sv8i 7 месяцев назад
Dadaangu mwanamke wa kiislam hatakiwi aoneshe mapambo yake na uzuri wake ila kwa Mahaarim zake na mumewe Jitahid ujiongeze stara na nywele zako zisionekane Nakupenda kwa ajili.ya Allah
@arafakiloli749
@arafakiloli749 7 месяцев назад
ALLAH akujaze kheri zaidi
@azizaaziza7996
@azizaaziza7996 7 месяцев назад
Assalaam allaykum warahmatullah naomba namba ya huyu.mama
@JanethMadios-oe5ue
@JanethMadios-oe5ue 7 месяцев назад
Kwendraaaaaaa bwana weweeee ndo nyinyi mnajifanya wakamilifu sana toka uko
@ethanevans2971
@ethanevans2971 7 месяцев назад
Hongera mama ..kwakweli nimefurahia hii mada na mama yupo vizuri katika presentation na pia kimalezi...huu ndio ukweli...mafunzo kwa vitendo.asante mama endelea hivyohivyo na mafanikio utayaona ....
@aishaamwalimu2887
@aishaamwalimu2887 7 месяцев назад
Nimependa Hivyo Viti Mie Nataka Aniuzie🙏
@utaani1
@utaani1 7 месяцев назад
Agizia dining table ya viti 6 zile refu UK, mimi nimenunua mbili moja kwa £600
@cdeleo9336
@cdeleo9336 7 месяцев назад
Mama msafi sana 👌🏽👌🏽
@SelemanMuhamed-ir5zl
@SelemanMuhamed-ir5zl 7 месяцев назад
Daaa adi raha Usafi wa maana nimependa❤❤❤❤❤❤
@AminaAhmed999
@AminaAhmed999 7 месяцев назад
maa shaa Allah nyumba safii
@africa7479
@africa7479 7 месяцев назад
mashallah, una moyo mzuri..sasa jitahidi kuongeza stara...Allah atakusimamia zaidi mama angu kipenzi
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 7 месяцев назад
Ipi nyingin
@africa7479
@africa7479 7 месяцев назад
@@tanzcanmediatv4473 kama wewe ni muisilamu basi huna haja ya kuuliza . ..kama sio muulize jiran yako mwisilam atakueleza.
@sinyooo6583
@sinyooo6583 7 месяцев назад
​@@tanzcanmediatv4473kichwa waz
@awatifsaleh7450
@awatifsaleh7450 7 месяцев назад
​@@tanzcanmediatv4473afunike nywele
@fatmakhanii1676
@fatmakhanii1676 7 месяцев назад
Mashallah ila huyo muandishi wa habari mpaka chumbani na una mume hiyo ni sehem ya faragha na kila siku unafundisha leo unamuingiza chumbani mgeni wa kiume tena
@annievibes8794
@annievibes8794 6 месяцев назад
Huyo kaletwa special aje aone na atuonyeshe umbea😂
@user-vv5nx7rw5g
@user-vv5nx7rw5g 6 месяцев назад
Kwel hakupaswa aoneshe chumba Cha mumewe sio vzr
@Lexerjoh
@Lexerjoh 7 месяцев назад
huyu kweli ni mwanamke kakupa na chai mashallah
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 6 месяцев назад
mashallah ❤
@rahmasuleiman9334
@rahmasuleiman9334 7 месяцев назад
Jamani mwanamke usafi shoga angu nyumba yang’ara na mama love wang’ara nimependa sana nyumba yako na usafi wako ❤❤❤❤❤❤❤
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 7 месяцев назад
kweli kwake kuzuri sanaa mashallah kusafiii
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 7 месяцев назад
Yani nimepapenda napendaga nyumba iwe nzur na Safi nilikuwa napenda kusafisha nyumba paka wananitania site
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 7 месяцев назад
Kawa mama paka ata usiku anaweka nyumba vizur vyombo anaosha
@user-ki4sg8yz9j
@user-ki4sg8yz9j 7 месяцев назад
Usioneshe sana mazingira ya nyumbani kwako. Husda na pia wezi. Chumba chako cha kulala na mumeo ni mwiko.kuonesha hadharani
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q 7 месяцев назад
Hiyo imeenda mama lao mashaallah nyumba yang'ara km wewe mwenyewe
@fatmabby0017
@fatmabby0017 7 месяцев назад
Mashaallah ❤
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 7 месяцев назад
Usitaje majina ya watua uliowafunda. Sema tu nasinga wanawake na wanaume tunakuelewa. Nakupenda ni mwanamke unayejiamini
@magrethmagonza186
@magrethmagonza186 7 месяцев назад
Ni kweli nimependa japonica nipo mbali I can't imagine ukiingia humor ndani hongera shost❤
@aminaomary5567
@aminaomary5567 5 месяцев назад
Ongera sana mpenzi wangu,nyumba yako nzuri sana.❤❤👍👍👍
@user-kb3yg5jl1g
@user-kb3yg5jl1g 7 месяцев назад
Mama weeee hutaki mkaza mwana wa kenya😂😂😂😂😂😂😂Masha Allah Masha Allah nimekupenda sanaa
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 7 месяцев назад
Haha ATA mimi nilikuwa nasema nimempenda yupo mcheshi kwel
@glorianikiza3940
@glorianikiza3940 7 месяцев назад
Kwake pa safi kabisa
@Fear_Allah394
@Fear_Allah394 7 месяцев назад
Maa shaa Allah hio nguo ya manjano mbivu nzuri sana
@faidhacute
@faidhacute 7 месяцев назад
Tuletee didaaa shaibu tufahamu mambo yake pia maana anatuinspire
@zuwenakabwe1017
@zuwenakabwe1017 7 месяцев назад
Tuko pamoja
@maryrich
@maryrich 7 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@najathtemo3908
@najathtemo3908 7 месяцев назад
Hatokubali yule mashauzi mengi😂😂😂😂
@aminaomary5567
@aminaomary5567 5 месяцев назад
Kweli mpenzi wangu watoto wa kiume ni shughuli yaan,unasema wewe hadi unataka kulia.Mwisho unaingia mwenyewe kufanya usafi👍👍❤
@user-wk1ix1gm1p
@user-wk1ix1gm1p 7 месяцев назад
Mashaallah , msafi sana
@user-up2kg1wm9p
@user-up2kg1wm9p 7 месяцев назад
Masha allah. Mama love. Nimekupenda Sanaa
@mariamibrahim6738
@mariamibrahim6738 7 месяцев назад
Nampendaga uyu mama yanii na ni msafii
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 7 месяцев назад
msafii na mrembo hana tabu mashallah
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 7 месяцев назад
Ndio ajajipenda kama shangazi zangu
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 7 месяцев назад
Ndio ajajipenda kama shangazi zangu
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 7 месяцев назад
Kumbe mpemba nikajuwa warabu mwanzo nilitaka sema warabu wasafi
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 7 месяцев назад
@@VickKulekana-si1ib muarabu wa kipemba
@abdulsimbarakiye4145
@abdulsimbarakiye4145 6 месяцев назад
Mama hongera sana wewe ni mzungu kichwani unaichi kama mzungu alhamdulillah. Pia wewe mama ni mtu wadini sana maisha Allah god bless you
@fatimamohammed2332
@fatimamohammed2332 7 месяцев назад
maashallah tabaraka Allah mama msafi sana
@officialbntrasool5223
@officialbntrasool5223 7 месяцев назад
Nikishapata mume ntamfata huyu awe kungwi 😂😊
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 7 месяцев назад
Tena usje ukasahau ana mambo mazuri huyu utakuja kuenjoy kweny ndoa Yako sina vyakukueleza dear👌👌
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 7 месяцев назад
Okay 🎉
@nasraabdul6878
@nasraabdul6878 6 месяцев назад
Napenda anavyoongea Uyu mama❤
@khadija5761
@khadija5761 7 месяцев назад
Mashaallah❤❤❤❤
@zezenuvel7612
@zezenuvel7612 7 месяцев назад
Mamalove kungwi nimekupenda bure ❤❤❤❤
@islam.with_juneyd
@islam.with_juneyd 6 месяцев назад
Allah atuhifadhi sote atuongoze katika njia ya haqi
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 7 месяцев назад
Hata mimi napenda mume tuwe mbali mbali aje akiondoka
@mariamdullazy8166
@mariamdullazy8166 7 месяцев назад
Mmh sasa muda mwingine ukimuhitaj inakuwaje mi ndo najiuliza hapo inakuwaje
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 7 месяцев назад
@@mariamdullazy8166 Hee shoga angu ukishasema nayo roho yako kuwa wew mutakutana baada ya siku kadhaa fine tu
@ukhtyrayyan7884
@ukhtyrayyan7884 7 месяцев назад
Hats mie napenda nando nipo hivo😅
@mariammnongo2149
@mariammnongo2149 7 месяцев назад
Hupend kufanya yale mambo yetu sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 7 месяцев назад
@@mariammnongo2149 Hahahaaaa ndo kila siku? Si mukikutana ndio vitu vinanoga zaidi
@lulushawaka6200
@lulushawaka6200 7 месяцев назад
Mashallah
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 7 месяцев назад
Ndio viti hivyo vimeingia navipendaga na hiyo milamgo naipendaga sana
@user-kp6lz7zs1w
@user-kp6lz7zs1w 29 дней назад
Mashahallah mama etu mpendwa ❤❤❤❤
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 7 месяцев назад
Mashallah Mama kwako kuzuri nakupenda sana ❤
@nuruyusuph5562
@nuruyusuph5562 7 месяцев назад
Mashallah msafi
@user-ki4sg8yz9j
@user-ki4sg8yz9j 7 месяцев назад
Hongera mjukuu wangu nakupenda sana. ❤
@OnlyRuky
@OnlyRuky 7 месяцев назад
Mashaalah ❤
@HalemaHhhh
@HalemaHhhh 4 месяца назад
Nakupenda sana mamangu❤i wish ningekua karibu nawe
@meowzna
@meowzna 7 месяцев назад
Super MaMa😍 Masha'Allah🙏
@nasramduli5097
@nasramduli5097 7 месяцев назад
Love u mama
@SharifaOm
@SharifaOm 7 месяцев назад
Mm nampenda sana huyu mama
@user-rj1gc5xk8k
@user-rj1gc5xk8k 7 месяцев назад
Mama kungwi hongera yako 😂😂chukua 🎉🎉yko
@ninaken7109
@ninaken7109 4 месяца назад
Beautiful house tour...
@kamikazisalma5209
@kamikazisalma5209 7 месяцев назад
Mansha Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@HeriethHaule-ct9gx
@HeriethHaule-ct9gx 5 месяцев назад
Hata ongea yake inaonekana tu anaupendo
@elenlazaro3192
@elenlazaro3192 6 месяцев назад
Huyo lastborn anapendwa sana😂😂😂 imagine at my 20 siko home😅😅😅😅
@minafadhil3837
@minafadhil3837 7 месяцев назад
Mamaa msafi huyu
@rukiaathumanathuman7875
@rukiaathumanathuman7875 6 месяцев назад
Masha Allah nice
@jamilamnetya6228
@jamilamnetya6228 7 месяцев назад
Nampenda sanaa uyu mama
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 7 месяцев назад
❤❤❤
@esterjames7407
@esterjames7407 6 месяцев назад
Mhh huyu mama kweli kungwi anajua mwanamke mazingira bibi wee ona kabla ajahojiwa amekula ndizi ili ata kama kunakaharufu mdomoni kaishe nimempenda bure ❤❤❤❤❤
@nicolenabintu2509
@nicolenabintu2509 7 месяцев назад
Mama msafi sana , Akili zake zenyewe nyingi , Asante mama mrembo nime shukuwa jina la parfum 😂🌷
@Lexerjoh
@Lexerjoh 7 месяцев назад
yan ww kama mimi
@user-gj2mm3ko8m
@user-gj2mm3ko8m 5 месяцев назад
Njoo Interview Kenya uje uone mama kungwi Bado sana yani Bado nguo Hapa 4,000$ tena nguo kaa 10
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 7 месяцев назад
Tuko wengi anapenda kukaa nyumban kama mim
@user-pq5my4ih2v
@user-pq5my4ih2v 7 месяцев назад
Super mama
@JescaMuyabi-ix8ly
@JescaMuyabi-ix8ly 7 месяцев назад
Hongera
@naturelle1097
@naturelle1097 7 месяцев назад
Maua mazurii
@SululuZungu-kx8ws
@SululuZungu-kx8ws 6 месяцев назад
Sema mwanangu salehe mmbea xn na mfukunyuku xn siku uje kwangu ufukunyue ukute nyoka uone vitu
@sidikassim6759
@sidikassim6759 7 месяцев назад
Siivyo mmangu unapndza kdgo kuliko kuvaa mikope ile na mboni wla hupendzi mma sio Siri lakni hvyo umpendza Mashala mmangu
@sarahgaula2220
@sarahgaula2220 7 месяцев назад
Kajitahidi Sana
@sinyooo6583
@sinyooo6583 7 месяцев назад
Duu mama msafi huyu nitamuiga na mimi
@skymoontravel7140
@skymoontravel7140 5 месяцев назад
Usafi ni mtu kuzaliwa nayo unaweza kuiga ukaishiwa njiani😅
@sinyooo6583
@sinyooo6583 5 месяцев назад
😂Apana bn
@user-kp6lz7zs1w
@user-kp6lz7zs1w 29 дней назад
Mama Love ❤️ kungwi ❤❤❤😂😂😂
@Ismail-kp7dx
@Ismail-kp7dx 28 дней назад
Mama hongera
@yusufuyasin2347
@yusufuyasin2347 7 месяцев назад
Mi namtaka Allyyy😂😂
@rouhysaleh6421
@rouhysaleh6421 7 месяцев назад
Sio aly ni alwiy
@zulfayusra8747
@zulfayusra8747 7 месяцев назад
Uyu mama kwake simple bt smart sana nmependa sana kwake vle amekueka
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 7 месяцев назад
Ndio ata Mimi nilitaka sema yupo simple Yani yupo Kama Mimi nyumban napendaga kuwe Safi nilikuwa nasafisha paka wananitania site
@antiyasanitiago3221
@antiyasanitiago3221 7 месяцев назад
❤❤❤❤❤
@fatmakhanii1676
@fatmakhanii1676 7 месяцев назад
Mmbona kama mmegeuza kwenye bei hongera wifi yetu tunakusubiri kwa ham
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 7 месяцев назад
Viti vizur na neza napendaga iyo ya mbele ya tv.makochi nayaonaga kwa wanapouza masofa kumbe sebulen yanapendeza ivyo
@user-rj1gc5xk8k
@user-rj1gc5xk8k 7 месяцев назад
Mama kungwi umezidi chumba cha mke na mume n stara hata hao wifi zko hawatakiwi kuingia ila we mpk mitandaon hujafny vzr
@sikudhanimohammad7692
@sikudhanimohammad7692 6 месяцев назад
Ametuonesha ili tujifunze.
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 7 месяцев назад
Mama naye hivyp hivyo wanawe ndio marafiki zake
@w4058
@w4058 6 месяцев назад
User uko right kabisa
@agathachughu
@agathachughu 7 месяцев назад
Mbona wachoyo ule kaketi kule mbona hamuna Karibu 😮😮😮😮😮😮😮
@rukaya-jg7hj
@rukaya-jg7hj 7 месяцев назад
😂😂😂saleh
@mombasa0076
@mombasa0076 6 месяцев назад
Ni upotezaji wa mda tu
@user-gm1vt3bt1h
@user-gm1vt3bt1h 6 месяцев назад
Haya namm naomba link
@MissRafikieli
@MissRafikieli 19 дней назад
Dola $9.99 sio dola 66.6$. No such thing. Kwahi ni around 26,153.67 TZ shillings.
@TaarabChannel
@TaarabChannel 7 месяцев назад
Mpitie na kwangu jamani
@marthahozza2964
@marthahozza2964 6 месяцев назад
😀😀 mh jmni binadamu
@faidhacute
@faidhacute 7 месяцев назад
Kuna watu wanaishi na kuna wasindikizaje 😂😂
@fettyrashid9042
@fettyrashid9042 7 месяцев назад
😂😂😂😂 Faidha
@munaashyahya1059
@munaashyahya1059 7 месяцев назад
Banae😂😂😂😂
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 7 месяцев назад
Mimi mwenyewe nikiongeaga wananiambiaga inatakuwa ungekuwa MC
@user-kp6lz7zs1w
@user-kp6lz7zs1w 29 дней назад
Mama niambie Uwo Ubani maalum niujue
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 7 месяцев назад
Kungwi na mc nimeshapata bado mume sasa🤗
@maisalashea7532
@maisalashea7532 7 месяцев назад
Hahahw😅😅
@munaashyahya1059
@munaashyahya1059 7 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@sarahsamson26
@sarahsamson26 6 месяцев назад
Hahahahaa
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 7 месяцев назад
👌🏽👌🏽
@jikonikwamamaSwaumu
@jikonikwamamaSwaumu 7 месяцев назад
Kungwi namuelewa
@fauzhaji7149
@fauzhaji7149 6 месяцев назад
It's 9.99 not 66..
@w4058
@w4058 6 месяцев назад
Mwanamke hufai kumsinga wanaume
@SophiJeilan-vq5cp
@SophiJeilan-vq5cp 7 месяцев назад
Swala inakataza maovu jistiri nyelezako na mwiliwako dada
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 7 месяцев назад
Na mtangazaji nampendaga
@zuwena1zuwena114
@zuwena1zuwena114 7 месяцев назад
❤❤❤❤
@Boaz22
@Boaz22 6 месяцев назад
Jamani natafuta nyumba kama hii ila nataka iwe ni chumba kimoja master na vingine vyote viwe hivi hivi, kama kuna dalali naomba jibu comment yangu tuchekiane ata kesho nakuja kulipia kodi
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 7 месяцев назад
Anauza bei rahis hadi raha
@michaellagwen8198
@michaellagwen8198 7 месяцев назад
Ase kuna watu wanaishi
@user-yi3yh9or4h
@user-yi3yh9or4h 5 месяцев назад
Upo daa jmn huku zenj nakuhitaji
@user-yi3yh9or4h
@user-yi3yh9or4h 5 месяцев назад
Mii mbint wa zenj
@mwapendosultan887
@mwapendosultan887 7 месяцев назад
hii sasa ndio mana ya kungwi
Далее
The Hardest Challenge!
00:37
Просмотров 11 млн
Cabeças erguidas, galera! 🙌 Vamos pegá-la!
00:10
Впервые дал другу машину…
00:57
KUMBE UGOMVI WOTE MARIO ALIMTRACK PAULA KAJALA
1:24
Просмотров 24 тыс.
Mboto awatoa machozi waalikwa
8:06
Просмотров 180 тыс.
Оцените переход от 0 до 10🤣
0:14