Тёмный

FULL VIDEO: TAZAMA MASOUD KIPANYA ALIVYOANZA KULITENGENEZA GARI LA UMEME HADI KUKAMILIKA 

Dar24 Media
Подписаться 733 тыс.
Просмотров 34 тыс.
50% 1

#MasoudKipanya #GarilaUmememe
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24news@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24Tz
⚫️ Facebook: @dar24news
⚫️ Twitter: @Dar24News
#masoudkipanya #garilaumeme #Dar24Media

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 100   
@mathiaslyamunda2526
@mathiaslyamunda2526 2 года назад
Dunia inatoka Kwa Kasi kwenye matumizi ya mafuta kwenye kwenye matumizi ya nishati safi kukabiliana na Mabadiliko ya tabia ya Nchi, Mradi huu wa Kipanya Moja Kwa Moja unachangia Malengo ya Dunia ya Kupunguza hewa Ukaa inayopelekea ongezeko la joto duniani. Hata kama Serikali haitamsaidia Duniani huko watamdaidia. Hongera sana Masudi Kipanya.
@boniphacebukombe7285
@boniphacebukombe7285 2 года назад
Hongera sana Masoud, hakika tunajivunia sana ubunifu wa Kitanzania na mtoto wa Africa. Mungu aendelee kukulinda na kukupa ujasiri wa kukabiliana na changamoto nyingi za upinzani wa kibiashara. Ombi langu kwa Kaypee Motors, "Katika toleo jingine muweke board ya kufunika ili magari hayo tuyatumie ktk mizunguko ya mjini kutokana na changamoto ya nishati ya mafuta duniani
@omaryharuna1305
@omaryharuna1305 2 года назад
duuh!! nmejkuta natoa machozi tu daah!! mungu akulinde sana! spati picha kama ingelikuwa ni wakat wa mzee wetu bado bulldoza!..
@fredsanga9461
@fredsanga9461 2 года назад
Elon Musk aliyezaliwa Tanzania, hahitaji kingine zaidi ya support upendo na kumtia moyo. Naamini sana Masoud ana zaidi ya hilo. Mungu akubariki🙏🙏
@dmwood5431
@dmwood5431 2 года назад
Mimi Nina uwezo wa kutengeneza boat za fiberglass... lakini nimejikuta mkulima....ikiwa nitafikia malengo shambani, nitafanya kama massud kipanya.,sina support...
@yunusrnb5227
@yunusrnb5227 2 года назад
Fibergrass ndio Nini?
@elvisjonas8520
@elvisjonas8520 Год назад
Hongera sana kaka umetuvutia kama watanzania na Africa pia...
@godfreyhiza1075
@godfreyhiza1075 2 года назад
Big up br..... tunaweza...tuoneshe njia....
@sospeterurassa9894
@sospeterurassa9894 2 года назад
Hongera kaka,naomba kwenye kampuni yako tengeneza mpangokazi wa kuita vijana wenye vipaji vya aina ya wazo lako muungane ,hakika utapata mafanikio ya tija zaidi na ya haraka,Mungu awe nawe
@brisketkidari4856
@brisketkidari4856 2 года назад
Ttzo ni mmoja tu kwa vijana wanataka kuwa no1 hawataki kuanza 3
@kakorejrboyz6447
@kakorejrboyz6447 2 года назад
Tanzania tumelogwa mpaka anayetuloga anakereka na sisi ..huyu jamaa ni hatari Sana Serikali msaidieni huyu nasisi tuwe na chetu
@stephanomoses7694
@stephanomoses7694 2 года назад
Sio serekali yetu asee. Yaan atapotezwa chap2 kwani yey ni wa kwanza sasa. Tena na vile wana bifu anavyowakera kuwachoraga na mitumbo mikubwa. Mhhhhh. Namuombea mungu . Ila wacha tuone midomo mirefu waione hii. Utasikia haijakidhi vigezo
@Bilichaproduction1234.
@Bilichaproduction1234. 2 года назад
Ubarikiwe sana
@as-co2hg
@as-co2hg 2 года назад
Nimependa bro ulicho kifanya Mungu awasimamie. Kunavijana wamemaliza vyuo vyaufundi wanakipaji lakini kuendelea nakueza kuendeleza kipaji wanaishia njiani kutokana na changa mototo tofauti.Nadhani ukitanua na Kuwaiti mambo mengi yanaweza kufanyyika.
@hamzaally3780
@hamzaally3780 2 года назад
Mungu akujaalie zaid bro
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 2 года назад
Safi sana. Haya ndiyi yaliyokuwa mawazo ya JPM. Akitamani sana kuona watanzania wakifanya mambo kama haya
@hamisijuma3276
@hamisijuma3276 2 года назад
Hakika Tuombe Mungu atuiburie JPM mwingine miaka ijayo
@tdlkonyagi5098
@tdlkonyagi5098 2 года назад
Hongera sana.
@angelmfinanga2354
@angelmfinanga2354 2 года назад
Masoud hongera brother and Mungu akulinde utuvushe
@butungo1
@butungo1 2 года назад
Waziri waziri Waziri wa biashara na viwanda usipoitazama hii, utanidisappoint mno mnoo
@timboxlee919
@timboxlee919 2 года назад
Congratulations 👏🤣🤩🤩, Sana masudi, waambie hata gorvment,kukopa wamezidi
@hamisijuma3276
@hamisijuma3276 2 года назад
JPM ALIKUWA ANATAFUTA WATU KAMA HAWA - RIP
@hdmsasa3355
@hdmsasa3355 2 года назад
Hd Msasa official KITANZI gusa maandish ukasikie nilivyomfunika MBOSO KHAN ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Cdyxj5ymOR4.html
@hdmsasa3355
@hdmsasa3355 2 года назад
Hd Msasa official KITANZI gusa maandish ukasikie nilivyomfunika MBOSO KHAN ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Cdyxj5ymOR4.html
@andyjk5974
@andyjk5974 2 года назад
wonderfull kweli tumekua na hizi idea sana. sema tu ndio kupata pa kuanzia.
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 2 года назад
Safi sana kipanya
@lungusii
@lungusii 2 года назад
KAMA UMECHUKUA IDEA YANGU FLANI IVI, NIKO NA LONG PLAN IDEA KUTENGEZA GARI LANGU BINAFSI NA HII NILIANZA KUFIKILIA TANGU 2011 . NA BADO NIKO NA NIA HIYO NITA KAMILISHA PROJECT YANGU ALLAH AKINIPA UHAI IN SHAA ALLAH
@emmamatemu8225
@emmamatemu8225 2 года назад
Endelea kuwaza Miaka 11 unawaza tu
@naftaliwilliam514
@naftaliwilliam514 2 года назад
Ndugu yangu pambana wazo lako litimie usife moyo
@baltazarlucas5000
@baltazarlucas5000 2 года назад
Itakuwa bora zaidi ya zao ikiwa na mfumo wa kujichaji pale battery ikipungua chaji na inawezekana . Hongereni sana iko poa sana.Maden in Tanzania 🇹🇿
@BigZhumbe
@BigZhumbe 2 года назад
Hongera sana kwa kweli that is a big move
@saidijuma5843
@saidijuma5843 2 года назад
Nikweli kaka kipanya, watu tunavipaji lakini hatuaminiwi na taasisi za kifedha yaan mabenki wala watu wenye fedha. Yaan mtu anapenda awekeze pale ambapo tayari pesa imeanza kuonekana.
@andrewoscar7762
@andrewoscar7762 2 года назад
Hongera Sana kaka masud
@frankmnale1900
@frankmnale1900 2 года назад
Ongera sana Masoud
@abdallahburhan5981
@abdallahburhan5981 2 года назад
Daah umeni inspire sana bro masoud
@netlity5532
@netlity5532 2 года назад
Very nice brother...keep it up! 👍
@J4UPro
@J4UPro 2 года назад
Upo Safi sana Masoody
@abdulbandidu119
@abdulbandidu119 2 года назад
Bro Abdulsamad nimeona sehem nying sana anajitoa,ilifikia wakat kuna support nilihitaj kutoka kwakwe nikamDM kule Twitter,ila cha kushanganza mpk leo hata hajanijibu.
@ukk9798
@ukk9798 2 года назад
Watu waliofanikiwa, husimama peke yao na wengine hufuata baadaye. Huu ukimwa ni ishara tosha kuwa watu na hata serikali hawaamini kuwa ni kweli. But the end will justify the means.
@barakathomaskibona1131
@barakathomaskibona1131 2 года назад
Hongera brother Masoud You are the best.
@Worldunite
@Worldunite 2 года назад
Daah laiti hayati angelikuwepo, angefurahi sana maana alipigania sana kukuza vipaji km hivi
@stephanomoses7694
@stephanomoses7694 2 года назад
Hongera sana kaka. Ila hapo inabidi inayokuja ufanye modify ya kufunga alternator. Na belt ili ijichaji battery yenyew pindi2 inapowashwa. Ili isiwe ya kuchajisha tena
@petroprenge8716
@petroprenge8716 2 года назад
Wazo zuri sana kaka, natamani asome hii reply. Ila sasa ikijichaji yenyewe kuna watu watakosa ulaji, nazungumzia Charging Centers
@stephanomoses7694
@stephanomoses7694 2 года назад
@@petroprenge8716 kweli kabisa kaka umeona mbali. Maana ukizingatia ni kweli . Mtu hawezi fanya jambo kubwa hivyo afu akashindwa kuweka hyo system. Ina maana ametengeneza ulaji wa style nyingine
@mussabendera1751
@mussabendera1751 2 года назад
Mashaallah
@kyakagoro6584
@kyakagoro6584 2 года назад
Hongera sana kk
@issamakamba5569
@issamakamba5569 2 года назад
Mungu akubariki kaka Wengi Wana vipaji ila hawafiki kwasababu za kimfumo ila wewe umeonyesha Afrika na dunia
@josephotieno1253
@josephotieno1253 2 года назад
Tumekubali na tumekuheshimu brow.
@zefamange7281
@zefamange7281 2 года назад
UMEFANYA KAZ NZURI, NILIKUCHUKIA SANA ULIPOKUA UNAMCHUKIA MAGUFULI
@ibnbaazalrufiji1468
@ibnbaazalrufiji1468 2 года назад
Nnavo wajua wa tz, sasahiv watasema masoud ni (Alien's) kutoka sayari nyingine"
@noblestbrokers6290
@noblestbrokers6290 2 года назад
So wonderful
@petermusa4745
@petermusa4745 2 года назад
Nakubalisana masudi maana waafrika tunajidharau sana, tunaona wazungu ndio wanaweza kumbesote tukosawatu kikubwa ni kwekeza watu wenye vipaji hakika tutapata mafanikio sana
@paulinedamian2929
@paulinedamian2929 2 года назад
Big up masood
@ubunifubashitekibajaji6179
@ubunifubashitekibajaji6179 2 года назад
nice project
@ubunifubashitekibajaji6179
@ubunifubashitekibajaji6179 2 года назад
Nami nakipaji Lakini cnawakuniendeleza
@clausemsemwa297
@clausemsemwa297 2 года назад
This man is good....
@aliomar1986
@aliomar1986 2 года назад
Ina speed ngapi
@cvanoedward3093
@cvanoedward3093 2 года назад
Mungu akusimamie ili tutoke kwenye utumwa wa akili tuanze kutumia vya kwetu Hongera
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 2 года назад
Kipanya wewe Genius
@brisketkidari4856
@brisketkidari4856 2 года назад
Lait ningekuwa rais hii gari ya mwanzo ningeinunua nikaiweka kumbukumbu ya taifa
@michaeltilla3527
@michaeltilla3527 2 года назад
Mm ni mtanzania mwenye nia ya kuendesha gar ktk kampun ya masoud
@mtumzito4045
@mtumzito4045 2 года назад
Africa wakati wetu umefika wa kufanya vyetisasa tujitambuetu na mungu atatubariki
@sandefacebooksalondunonusa39
@sandefacebooksalondunonusa39 2 года назад
Salut
@jamescustom6699
@jamescustom6699 2 года назад
Safi chief kitu kikubwa
@Worldunite
@Worldunite 2 года назад
Tulishalishwa sumu ya kushindwa, na wakati sasa waafrika kuamka na kuondoa hiyo sumu tuliyolishwa, tz tunaweza sana
@salvatorebaregu9871
@salvatorebaregu9871 2 года назад
Maisha plus, nilipo kuwa nikiona vitu vikifanyika niliamini siku moja kutakuwa na matokeo chanya heko bwana kipanya
@geraldlyimo2859
@geraldlyimo2859 2 года назад
Mbona gari hatuioniii
@fortidaskashaigili7496
@fortidaskashaigili7496 2 года назад
Haya ndio matunda ya JPM kupitia hotu a zake zilikiwa zinatia ujasiri makubwa Sana wakuthubutu
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 2 года назад
uko sawa masood.... hongera sana...
@moriskawina7651
@moriskawina7651 2 года назад
Kaypee nimependa jitihada zako toka maisha plus ukibuni nashine na mbinu za maisha mbalimbali na mzee wako Babu wa maisha plus hujawahi kumtupa. Leo umefika hapo ulipofika hongera sana jitihada huzaa mafanikio
@lugelosanga5798
@lugelosanga5798 2 года назад
Elon musk wa bongo jamani tujivunie huyu jamaaaaa
@raymondndeanka2608
@raymondndeanka2608 2 года назад
HONGERA KAKA, MUNGU AKUBARIKI KWA KUFIKIRI NA KUTHUBUTU, NIMEJIFUNZA KITU.
@iddyjumanne8504
@iddyjumanne8504 2 года назад
Hawa ndio mainjinia sio walio jaza vyet tu nakuajiriwa maselekarin hakuna lolote hawana ubunifu hawana lolote
@ambakisyemwanjemba5787
@ambakisyemwanjemba5787 2 года назад
Tuweke nadhiri Kila mwenye uwezo wa kununua magar aanze na gari la Kaylee ndipo anunue Aina nyingine ili kumsapoti huyu mtu jamani nawashauri wenye maduka mjini hii gari inafaa kusogezea mizigo dukani,wauza mayai,wauza mikate,nk tuwekeze kwa huyu mwamba.
@cvanoedward3093
@cvanoedward3093 2 года назад
Historia ushaiandika hujaja bure Duniani
@Worldunite
@Worldunite 2 года назад
Gharama ya kununua gari hili ni kubwa sana ukilinganisha na Guta
@Worldunite
@Worldunite 2 года назад
Tz kuna vipaji, shida ni kwamba hakuna chombo kinachowaunganisha na kuwawezesha
@kinigarm8239
@kinigarm8239 2 года назад
Lazima Watanzania tumuunge mkono bwana Masoud.
@ambakisyemwanjemba5787
@ambakisyemwanjemba5787 2 года назад
IQ yako masoud ni hatari sana
@dennymkumbala5748
@dennymkumbala5748 2 года назад
Bei gan naitaji hii gari kwajili ya mishe zangu za ufugajii tupeni Bei tuagize
@shamimjuma1262
@shamimjuma1262 2 года назад
Naomba ni uganenanyinyi ninakipagi
@ChakoniChako
@ChakoniChako 2 года назад
maelezo kibao tuonyeshe gari fungua boneti fungua mirango ya mbele asa hadithi kibao
@Worldunite
@Worldunite 2 года назад
...ndo wanajitokeza baada ya mtu kupata umaarufu
@selemanshechonge5456
@selemanshechonge5456 2 года назад
Mchukue yule kijana wa kigoma zuber pia ana kipaji cha kutengeneza magari na yeye akuze kipaji chake
@cvanoedward3093
@cvanoedward3093 2 года назад
Nasubiri nijue gharama na Mimi niwe miongoni mwa wateja
@Loyal2
@Loyal2 2 года назад
Usiende inch za wazungu watakupa sumu hata wakuiteje tuma eafwasi wako
@desngalaba1181
@desngalaba1181 2 года назад
Nazani tutengeneze namna ya watu kuinvest kwenye vitu kama hivi
@wilsonkaseha2034
@wilsonkaseha2034 2 года назад
Kongole kwako ewe Mwana wa Tanzania.
@gideongerald2846
@gideongerald2846 2 года назад
Sema kagari Kako katatumika mjini TU kwenye umeme vijijini hakawezi kufanya kazi labda watembee na mabetrii
@shinshi9696
@shinshi9696 2 года назад
Musk kipanya, 🤣🤣🤣
@amanlenatus9067
@amanlenatus9067 2 года назад
Duh akili kubwa
@zawadichalale4047
@zawadichalale4047 2 года назад
Ss hapo ishu nyingine ni kwenye masoko watanZania wengi hawaaamini vya kwao labda awezeahwe sanasana then tuzuiliwe kununua magari nje
@butungo1
@butungo1 2 года назад
KP tutengenezee magari tuache kuagiza Japan. Hivi waziri wa viwanda na biashara anaangalia hii au anaona aibu? Ningekuwa Rais, KP ungekuwa Katibu Mkuu wa Viwanda
@boniphacebukombe7285
@boniphacebukombe7285 2 года назад
Hello brother mambo vp? Ni kweli kabisa tulio wengi tuna matarajio makubwa sana kwa kampuni hii ya Kitanzania kupata support kubwa kutoka Serikalini tofauti na hapo wengi tutakuwa disappointed sana
@boniphacebukombe7285
@boniphacebukombe7285 2 года назад
From UJISEMI
@vijanafurniture1810
@vijanafurniture1810 2 года назад
Good
@abrahammwambije2769
@abrahammwambije2769 2 года назад
Hongera brother Ila serikali haitusapoti kilasiku nikurudi nyuma sana Nina tamani kuku Ina malanyingi Nike kusoma kwenye magazeti (vibonzo) ninatamani kukuona brother
@hdmsasa3355
@hdmsasa3355 2 года назад
Hd Msasa official KITANZI gusa maandish ukasikie nilivyomfunika MBOSO KHAN ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Cdyxj5ymOR4.html
Далее
Million jamoasi - Amerikaga sayohat
12:37
Просмотров 220 тыс.