Тёмный

GB 64 DEBORA FERNANDES NI MASHINE KATILI VIBAYA MNO, SIMBA TUNASHUSHA VYUMA 

Ngwale Sports HD
Подписаться 29 тыс.
Просмотров 83 тыс.
50% 1

Debora fernandes

Спорт

Опубликовано:

 

5 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 187   
@MamboMbuli
@MamboMbuli 7 дней назад
Kweli kabisa unayosema,,,uchawi upo na DUA zipo ila wazee na viongozi wa Simba wafanye umuhimu wa kuwakinga,,mana yanga ni wachawi sana,
@khalidmwakabuta5045
@khalidmwakabuta5045 7 дней назад
Umefikiria mbali sana nduguangu , haiwezekani wazee wa utopolo wanajitokeza hadharani na kuongea mpaka vitisho kwa wachezaji wanaohujumu timu,mf; Mzee Mpili , sisi wa kwetu Simba Sc wamekaa kusema tuu wazee tupo , haina maana ya uwepo wao sasa kama hawatimizi na kuonesha uzee dawa
@MamboMbuli
@MamboMbuli 6 дней назад
Kinachotakiwa kuwakumbusha viongozi kwa busara na mifano
@JoramKinyuko
@JoramKinyuko 3 дня назад
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@user-qy9fj3yo2t
@user-qy9fj3yo2t 7 дней назад
GB.64 leo umesema kweli bro uchawi unatumaliza wanyama 👍❤️❤️❤️🦁💪🤲🌹🌹🌹
@josepahatmargwe6504
@josepahatmargwe6504 7 дней назад
Uko sawa GB 64 ,Yanga mafanikio Yao ni Ulozi.
@user-yh3dv2bl7u
@user-yh3dv2bl7u 7 дней назад
Gb 64 nakuelewa sana mwamba najua unaumia sana walindwe hao wachezaji tunawapenda Mo dewij umevuja jasho kuvunja kibubu tunaomba uwalinde mwenyewe
@khalidmwakabuta5045
@khalidmwakabuta5045 6 дней назад
@@user-yh3dv2bl7u Na pesa ilivyongumu hivi mtu anajitolea pesa yake halafu wazee washindwe kuweka japo ulinzi wa timu yetu kweli watakuwa hawatendi haki
@GodfreyJames-zt6ig
@GodfreyJames-zt6ig 7 дней назад
JB wewe unaakili sana lingne sisi tupo sumbawanga tumesha chungulia viongoz wa yang Tim ikuwa plszn wanaenda kuchimbia dawa bunju wachezaj wakija tu Wana ingia kwenye mtego
@daudinyello4033
@daudinyello4033 7 дней назад
SIMBA WANAHUSUDU UCHAWI SANA
@samadady7795
@samadady7795 7 дней назад
Mwanangu unaongea ukwely sana
@patrickmohamed3639
@patrickmohamed3639 7 дней назад
Umeongea point sana ila najua kunamabwege wata kuponda ili kukufifiza viongozi fatilieni hilo swala GB anaonekana kama anachekesha kumbe ndio ukweli kabisa
@kefamahenge5187
@kefamahenge5187 7 дней назад
Mungu aendelee Kuwabariki sana ,tunazidi kufunuliwa na kipindi hiki cha kusifu na kuabudu. by Mshana.
@LupatuDaiya
@LupatuDaiya 6 дней назад
Nakukubali sana kaka wew ni Big thinker
@SalhaSuleiman-y8m
@SalhaSuleiman-y8m 2 дня назад
Naomba kazi ya upishi hatutaki uchawi
@MohamedChillo
@MohamedChillo 6 дней назад
Tusisingizie uchawi , soka la kisasa halina hayo mambo ndugu yangu,wachezaji wetu ni wa kawaida ,angalia hata gharama zao ni za kawaida siyo kama wa Mamelod au Al Ahly
@user-mw5xs2wx8n
@user-mw5xs2wx8n 7 дней назад
Kweli wanawapiga misumari sana
@salimmalaka256
@salimmalaka256 7 дней назад
HIYO 100%
@beatussoka9517
@beatussoka9517 7 дней назад
GBwambie ukweli msimuhuu kaziwanayo
@DonatelaSanga
@DonatelaSanga 7 дней назад
Gb 64 unaakiri sana kaka viongoz waliangalie hlo yon da
@aminaomary5567
@aminaomary5567 6 дней назад
Kweli kaka uchawi upo na ndio maana tunafungwa ovyo na viongozi wetu wa simba hawaamini uchawi. Lakini uchawi upo sana.❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-id5oc7hm4n
@user-id5oc7hm4n 7 дней назад
Kula chochote nitalipa,,,umeongea true maana wanawafunga wachezaji wetu,wanaonekana ,wabaya,, tukiwaacha wanawachukua ,,utopolo kwa vibuyu nomaaaa😂
@AbbasyMdabwa
@AbbasyMdabwa 7 дней назад
Gb wemsema kweli ila wachezaji wetu walindea
@Bboy-ek8vn
@Bboy-ek8vn 7 дней назад
Yanga wamemchukua tena pa jobe
@salimmalaka256
@salimmalaka256 7 дней назад
NDIO ZAO HIZO
@user-xc8jp2ol4m
@user-xc8jp2ol4m 7 дней назад
Umetufumbua macho blo
@fidelismwakanyamale6787
@fidelismwakanyamale6787 7 дней назад
Huyu ata Mungu amjuwi kila kukicha anawaza njaa
@user-os7yv7gg1s
@user-os7yv7gg1s 7 дней назад
😂😂😂GB bana
@JohnMpemba-in1jm
@JohnMpemba-in1jm 7 дней назад
Gb upo saw bro
@SalhaSuleiman-y8m
@SalhaSuleiman-y8m 2 дня назад
Nasisitiza kazi ya upishi
@user-hu4el2rx2u
@user-hu4el2rx2u 7 дней назад
Fukuza wafanyakazi wote wa simba wachawi wanapewa pesa ahsante GB64 humeona hilo na viongozi wajue
@salimmalaka256
@salimmalaka256 7 дней назад
KIBOKO YAO ALBADIRI TU
@HamadSuleiman-e1x
@HamadSuleiman-e1x 7 дней назад
Mm najitolea kuipeleke pemba maziwa ngombe 😂vp mutakuwa tayar kupigwa dua na kuoga chumvi
@yohanalungwa7960
@yohanalungwa7960 7 дней назад
Yanga kweeli wachawi Kuna shabiki wa yanga alionekana anapeleka majina ya wachezaji wa Simba morogoro kwa waganga washenzi wachawi wakubwa hawa
@user-hu4el2rx2u
@user-hu4el2rx2u 7 дней назад
Wachezaji wote tuwasimee Albadir wakiwagusa wafe hao utoporo pumbavu
@salimmalaka256
@salimmalaka256 7 дней назад
NDIO INAVYOTAKIWA WAFE TU
@hamidudigogo5863
@hamidudigogo5863 6 дней назад
HAPA BG NAMINI UMESOMA MEAEJI ZANGU KUHUSU UTOPOLO KWALOGA WACHEZAJI WA SIMBA
@HamisiAthumani-vz1oi
@HamisiAthumani-vz1oi 7 дней назад
Hakika inatakiwa wasomewe dua🙏🙏🙏
@sedekiantibahoha2245
@sedekiantibahoha2245 7 дней назад
We ndo huna akili sio gb
@daudinyello4033
@daudinyello4033 7 дней назад
HUYU JAMAA KUMBE TAAHIRA
@komboarts7110
@komboarts7110 7 дней назад
Tanzania ukisema ukweli watu hawapendi kabisa jamaa anasema ukweli mara comments za watu wanasema kalewa hiyo sio. Kweli jamaa Yuko real sana😂
@user-wk2bg8zf3l
@user-wk2bg8zf3l 7 дней назад
SIMBA NGUVU MOJA
@KuchbyMskude
@KuchbyMskude 5 дней назад
Shabiki mwenye akili hold up broah
@Mwnashabani
@Mwnashabani 6 дней назад
Nakuelew xan kk yanga ni wachaw xan hata mm pia nalifahamu maana kuna kiongozi mmoja ni jirani yangu ni mchawi tenah mkubwa xan
@danielpeter8085
@danielpeter8085 7 дней назад
Ila GB ww ni shabiki lia lia nakukubali sana ..unajua mengi kaka 🖐️ uchawi upooo ata mm sipingi
@abuuhassani497
@abuuhassani497 7 дней назад
Mashine ya kivita Valentin nouma full back ya mpira anapanda na kushuka, anakaba mpka dhambi, hii ni version ya Roberto Carlos krosi dongo ukigusa waya. Wanasimba msimu unaokuja mjiandaa kushangilia magoli, maana nouma hajisikii furaha kumaliza mechi bila kutoa assist mbili.
@user-hu4el2rx2u
@user-hu4el2rx2u 7 дней назад
Mo oyeeee nguvu moja
@user-pz9nd8ys8o
@user-pz9nd8ys8o 4 дня назад
Gb yupo sahih
@lemamolelilemamoleli7740
@lemamolelilemamoleli7740 7 дней назад
Nakweli
@SilivesterHasunu
@SilivesterHasunu 7 дней назад
mwaka huu jaaa Mani hatari tupu myamani
@salimmalaka256
@salimmalaka256 7 дней назад
ALBADIRI LAZIMA ZISOMWE KWA UWINGI ANAE GUSA AFE TU
@mtulivu-ir1nq
@mtulivu-ir1nq 7 дней назад
Yanga noma kwa uchawi Hadi mayele katupiwa vijini misri 😅😂😂 Tena alikua mchezaji wao chuki Yani yanga wanaroho mbaya sana🙌🙌🙌
@MohdRehan-v9l
@MohdRehan-v9l 7 дней назад
Upo sawa Hawa jamaa kweli wanawaroga wachezaji wa simba
@upendofreddy6431
@upendofreddy6431 2 дня назад
Simba nguvu moja
@dalalfundikila507
@dalalfundikila507 7 дней назад
G waambie utopolo walozi sana
@salimmalaka256
@salimmalaka256 7 дней назад
TENA WANAUWABUDU
@YahyaMndevu
@YahyaMndevu 4 дня назад
Uchawi upoyanga wachawi wanajuwa nyota zawachezaji wasimba ila tutapambana mpakatufanikiwe simba
@Daniel-u5q
@Daniel-u5q 6 дней назад
Uko sahh mwamba
@godwillrichard7017
@godwillrichard7017 7 дней назад
TFF Kuna haja ya kuangalia hawa watu wanaochafua Ligi yetu kwa fikra potofu, hili timu lenu ndio linafukizaga mimoshi kwenye away grounds mawazo ya kichawichawi tu...
@marshangeka712
@marshangeka712 3 дня назад
Kweli kabisa mwamba
@maikomatayo2794
@maikomatayo2794 7 дней назад
GB64 wee ni kiboko nakukubali sana brother wanatuharibia wachesaji wetu kabisa iyo haipingwi wachawi kabisa ila kila kitu kina mwisho watakoma wapuusi kabisa 😂😂😂😂😂
@ibrahimusagondo5228
@ibrahimusagondo5228 6 дней назад
Hili la kuwaroga wachezaji wetu ni kweli kabisa
@KABIBIPETER
@KABIBIPETER 5 дней назад
lkn ulisema chama akienda yanga hushabikii simba
@eliadaimon804
@eliadaimon804 7 дней назад
Simba kombe tuna chukuwa kwer siouongo
@josepahatmargwe6504
@josepahatmargwe6504 7 дней назад
Yanga ni Majini Fc, hawana lolote zaidi ya Vibuyu.
@salimmalaka256
@salimmalaka256 7 дней назад
NDIO TENA HODARI WA KUKATAA NA WATOWA RUSHWA PIYA
@jumanneshego3308
@jumanneshego3308 7 дней назад
acha uwongo nyama we umemuona wapi usiwakatae2
@feisalmohamed2848
@feisalmohamed2848 7 дней назад
Tatizo lako unaanza na ukweli halafu unamalizia na uongo ,uongozi huu sio uongozi ule kwan tofauti iko wapi ya uongozi ?
@chiefnumborecords4819
@chiefnumborecords4819 7 дней назад
Huyu kashalewa mbona
@salimmalaka256
@salimmalaka256 7 дней назад
KAMA KALEWA TEREMKA GARI HILO
@emmanuelthomas1078
@emmanuelthomas1078 6 дней назад
Kwendraaaa huko! Ulisema chama akihamia Yanga nawee unahamia AZAM! Kikowapi?
@AwadhiHashimu
@AwadhiHashimu 7 дней назад
Vp unawasifu tena kak
@Bboy-ek8vn
@Bboy-ek8vn 7 дней назад
Pa omary jobe kaenda yanga
@shabanimzalla7108
@shabanimzalla7108 7 дней назад
NAKUKUBARI SANA GB64
@user-wp9wf3et1n
@user-wp9wf3et1n 6 дней назад
Bro bro bro nimekwita mara 3 uko sahihi ogopa so wafua jezi na wapishi wabaya sn
@THEOBALDNGOBYA
@THEOBALDNGOBYA 7 дней назад
Unaongeaa aisee we noma kumbe na elimu ya kilimo unajua nimeipenda hiyo ya kusafisha ghala.
@justinazakayo6152
@justinazakayo6152 7 дней назад
Kweli waombewe hata mimi waje niwaombee bure
@RashidWatac
@RashidWatac 7 дней назад
Kabisa mkongwe 64
@yakoubaliy7559
@yakoubaliy7559 7 дней назад
Kaka Gb 64 leo umeongea point kuliku siku zote nikweli lazima wachezaji wapate duwa na kama huko dar hakuna wataalam pemba wako huku tunaomba mashirikiano wenzetu ili tufanikiwe hawa ngedere weusi wasije wakatuvuruga
@RajabuRamadhan-cy4cj
@RajabuRamadhan-cy4cj 7 дней назад
Ongea kaka ukweli unauma mwagika popote ulipo tupo wanasimba
@JohnAloyceSanane
@JohnAloyceSanane 7 дней назад
Asa anamgombesha Nan huyo 😢😢😂😂
@salimmalaka256
@salimmalaka256 7 дней назад
WEWE
@MayleenDonaldharris
@MayleenDonaldharris 7 дней назад
Kweli yanga wachawi sana
@amirihabibu8892
@amirihabibu8892 3 дня назад
Babaaaa.kunywamaji.kwanza.umeongea
@ezenaboniface2519
@ezenaboniface2519 2 дня назад
Nikweli viongozi wa Simba amkeni lindeni wachezaji vipaji vyao maana upande wa pili wanawachezea wachezaji wetu wanaharibu vipaji vyao ok viongozi
@user-tr8nw3nu2n
@user-tr8nw3nu2n 7 дней назад
Sema baba sema
@Tupatupamuhamadi
@Tupatupamuhamadi 6 дней назад
Xafar hi hanakixpika Tena wenyewe tujaa tu mkapa
@aminaomary5567
@aminaomary5567 6 дней назад
❤❤
@upendofreddy6431
@upendofreddy6431 2 дня назад
Hahaha, kwelli uchawi upooo
@Amonationtv4551
@Amonationtv4551 7 дней назад
Daah
@JohnHerbet-os7uh
@JohnHerbet-os7uh 7 дней назад
Huna hela 0 hajielewi
@ambrosipaulo1732
@ambrosipaulo1732 7 дней назад
Gb bhana
@jitihadaharuna9448
@jitihadaharuna9448 7 дней назад
Kweli kabisa 😂
@MambukiIbrahim
@MambukiIbrahim 7 дней назад
Kwely kabisa wasafishe maeneo yote paka mfua jezy wapishi wapo wengi wanahitaji kazi ili twende mbele wanasemaga wasiwa ndiyo akily
@AshelyAbel-kg4kx
@AshelyAbel-kg4kx 6 дней назад
huyu mwamba anaona mbali
@moseshaji1177
@moseshaji1177 7 дней назад
Salute kwako mwana Movement
@alimohammedomar3412
@alimohammedomar3412 7 дней назад
Wachezaji.wenu lazima wapotee sababu hamna uongozo ulio sahihi
@abujumanne7570
@abujumanne7570 7 дней назад
Gb 64 umeongea ukweli
@mosesmachumu7423
@mosesmachumu7423 7 дней назад
right
@mkudembeteni4075
@mkudembeteni4075 7 дней назад
Kaka umesema tume kusikia wata amua!!
@4gfashion
@4gfashion 7 дней назад
Kiukweli kuhusu chama haijauma ila uongo dhambi baleke ni bonge la mchezaji simba tutajuta kumuacha
@salimmalaka256
@salimmalaka256 7 дней назад
ANA RECODI YA KUSALITI KUTOKA KWAO CONGO WANAMJUWA
@MamboMbuli
@MamboMbuli 7 дней назад
Alikuja Simba tukamtema ,dirisha dogo ,hatuwezi kujuta kabda wewe shabiki andazi utajuta
@alimohammedomar3412
@alimohammedomar3412 7 дней назад
Mwalimu wa physics kumbe mpumbavu
@daudimchileg307
@daudimchileg307 7 дней назад
Mmmmh mtatafuta sababu saaana
@luganowilliam2150
@luganowilliam2150 6 дней назад
Boka kaja.Aandae tu shavu la kupigwa kofi
@user-bx1qo9fe3q
@user-bx1qo9fe3q 7 дней назад
Msiongeesana mtaona aibuu
@Licky_boy_tz
@Licky_boy_tz 7 дней назад
🎉🎉🎉🎉
@alimohammedomar3412
@alimohammedomar3412 7 дней назад
We mpumbavu. Hao unaosema wameisha ndio hao waliokuliza nje ndani.
@simionluambano3828
@simionluambano3828 7 дней назад
Anachosema GB 64 ni kweli Kuna mtu mmoja anaitwa miraji alisema hivyo hivyo wachezaji wa Simba wanalogwa hili suala ni la kweli kabisaa
@omarylukindo5306
@omarylukindo5306 7 дней назад
Et okajeka badala ya okajepha
@MayleenDonaldharris
@MayleenDonaldharris 7 дней назад
Mhh
@abuusadick9891
@abuusadick9891 7 дней назад
Nikwli mm nisema toka manara alipo hama kuhamia yanga ndipo palipo fanyika urogi apo ya wachezaji apo
@salimmalaka256
@salimmalaka256 7 дней назад
MANARA MSENGE MSHIRIKINA NA FITINA SANA
@upendofreddy6431
@upendofreddy6431 2 дня назад
Hahahaha waambie
Далее
Не надо толкать, надо бить🥊
0:20