Тёмный

Haikuwa Rahisi: Simulizi ya DJ Ally B - Umaskini hadi kuwa DJ anayelipwa zaidi Tanzania (Part 1) 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 56 тыс.
50% 1

Kama wewe ni mhudhuriaji wa sehemu za starehe kwenye viwanja vinavyopendwa Tanzania, huenda ukawa umeshabahatika kumuona #DjAllyB akifanya yake. Tofauti na Madj wengi wenye majina, Ally kwa sasa ndiye Dj anayetafutwa zaidi kwaajili ya kutumbuiza kwenye clubs nyingi katika mikoa karibu yote.
Hapumziki, anafanya tour zaidi ya waimbaji. Na huenda kwa sasa ndiye Dj anayeingiza mkwanja mrefu zaidi. Amefikaje hapa? Fuatilia historia yake
#HaikuwaRahisi

Опубликовано:

 

21 сен 2021

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 125   
@mjazatanzania9575
@mjazatanzania9575 2 года назад
Kwangu hiimoja ya interview bora Asante kwa hii elimuu imenisaidiaa kweri Thaks
@issakhan3802
@issakhan3802 Год назад
Interview inakua nzuli mpaka tunai download daaaah!!!hongera saana brother
@samniza1763
@samniza1763 Год назад
I really like his vibes, he is a really hustler.
@zayumar2955
@zayumar2955 Год назад
Nampenda kiukwel vile alivyo mcheshi 😍♥️♥️♥️
@emmanuelmmary9487
@emmanuelmmary9487 Год назад
Ally b umenitoa machozi bro...familia za kimaskin tumepitia mbanga nyingi sana inatouch sana aisee...sisi wengine hatujatoboa but one day
@samiaibrahim6811
@samiaibrahim6811 Год назад
Mungu yupo na Sisi tutatobowa
@jamalmakishe4850
@jamalmakishe4850 Год назад
Jamaa anaongea mambo kma umekuwa moshi familia duni unarelate kila kitu..keep it up G
@vincentmasalu8922
@vincentmasalu8922 2 года назад
Ally B ni Noma sana nimepata kumshuhudia Cask Mwanza mara nyingi sana enzi amapiano ndio inaingia 2019 - 2020 mwanzoni hiyo. Nilikuwa napenda sana style yake ya kupiga mbinja huku tunasikilizia mangoma. Aendelee kukaza.
@jacobmasewe9475
@jacobmasewe9475 Год назад
Cask
@danpool5816
@danpool5816 Год назад
Profesor wa ukweli huyu waat kanishawishi pakubwa 🇰🇪🔥🔥🔥🙏🙏
@graphixmaster6146
@graphixmaster6146 Год назад
Nilisema nisikilize story kidogo ila nimejikuta nimemaliza story nzima😁😁, hongera kaka kwa story yenye mafunzo kwa vijana, kifupi there is no shortcut kwenye mafanikio
@laurentrueta9625
@laurentrueta9625 Год назад
jamaa muungwana sana dj alyb tuko mkoan unatufurahisha sana
@johnmwandu2116
@johnmwandu2116 Год назад
Sns Ina maono Sana, mbwembwe za jamaa Leo ndio imenifanya nirudi kuitazama hii interview
@safiyatheonlything7848
@safiyatheonlything7848 Год назад
Me nimetoka kuangalia kwa milird na now nimekuja kutizama uku sms
@nmosha90
@nmosha90 2 года назад
We are proud of you Professor, aka Ally Masamaki.
@SamSPROStudio
@SamSPROStudio 2 года назад
Jamaa ni msimuliaji hadithi mzuri sana, Big up sana kijana....naiona spirit yako itakufikisha mbali zaidi.
@jimmymushy1474
@jimmymushy1474 Год назад
Banaa eeh uyu jamaa ananikumbusha mbali sana, mm nimezaliwa Moshi Mawenzi Hosp apo apo, izi club zote anazoziongea ndo ujana wangu nimeishia humo, natoroka Old Moshi, club yetu kubwa by then ni Pub Albero ya Chris's burger, Malindi tulipigwa puni kwenda maana ilikuwa bar ina machangudoa kibao...Ikaja Laliga bana ina litaa likubwa usiku...Nkiwa chuo Muccobs tunatoka hostel tunasema "we follow the light" kanikumbusha mbali sanaaa
@dallasmusic764
@dallasmusic764 2 года назад
Hakuna kinachokua Bora bila bidii na kujituma na kuomba Mungu kila wakati lolote linawezekana
@maggyroden5483
@maggyroden5483 2 года назад
Moja ya interview kali kuwahi kuisikiliza na unatamani isiishe
@user-nf5zx3je1l
@user-nf5zx3je1l Год назад
Nimeipenda sana hii interview jamaa anatoa elimu ya maisha sana
@fadakemambilinyi4603
@fadakemambilinyi4603 2 года назад
daaa inauma inafunza inatia moyo thanks broo
@jbdedon
@jbdedon Год назад
Hapo mwanza kitangiri kitambo sana nakumbuka Nilinunuaga na COMPUTER YAKE aisee
@kisianganijob1068
@kisianganijob1068 Год назад
This gentleman has really inspired me. Indeed nothing comes easy, you have to work for it.
@barakaalec5162
@barakaalec5162 Год назад
Impact ya mzazi ni kubwa sana katika maisha ya mtoto
@aleyidukury8333
@aleyidukury8333 Год назад
Hukuna marafiki wakinaa Kama wa dar mm kuna mwamba mmoja alikaa kwangu tukiwa chuga lkn nilivyokuja dar hajaja nipokea mpaka leo
@exaverymakoye6026
@exaverymakoye6026 Год назад
Aise bro Ume ni inspire sana Kwa interview nzuri
@saidabdulkadirmjahid8255
@saidabdulkadirmjahid8255 2 года назад
This is Huge, content!🙌!to the street youth keep going 💪
@deejayismail2654
@deejayismail2654 2 года назад
Dah the best one .
@mariamerii4487
@mariamerii4487 Год назад
Mungu azidi kukuinua mzeee wa naseeemajeeeee
@sharmelasaif47
@sharmelasaif47 2 года назад
Nimefurahi hapo redio ninyny wenyewe Dah maisha yetu hao jamani aambiwa sasahiv tumesahau kweli Mungu ni mwema
@asueddy1465
@asueddy1465 Год назад
One hour interview passed just like 10 min that's wooow
@guruboleonard7314
@guruboleonard7314 Год назад
Brother sky introductioni umetisha sana
@sknapoleonshoo3145
@sknapoleonshoo3145 Год назад
Noted down something from you. May God bless you! 🙏🙏🙏
@Lakezoneclimbers_and_safaris
@Lakezoneclimbers_and_safaris 2 года назад
God is Good always
@amanimanase8798
@amanimanase8798 Год назад
Hongera kuwa na baba alokuwa pamoja na familia yake
@josephlucas2786
@josephlucas2786 Год назад
Maisha yana Siri sana usiamin kinywa Cha Alie fanikiwa Kamwe uwezi pata majibu ya kutoka ulipo kwenda alipo 🙈 Gonga like kama umenielewa
@hieljoe1017
@hieljoe1017 Год назад
Umesema kweli ndugu yangu
@ericknkonya5682
@ericknkonya5682 2 года назад
Very interesting, kweli usimuone mtu leo anashine hujui the number of thorns he stepped into. Natamani utengeneze segment specific tu to this kind of content. Going around succesful people and share their side of story
@lashilawizuberi652
@lashilawizuberi652 2 года назад
Creativity kubwa sana ya hich kipindi big up bro sky
@renoverenzahoissa6449
@renoverenzahoissa6449 Год назад
Basi mungu atujaliye tujifunze kwa hii story yake
@omaraliiddi1424
@omaraliiddi1424 2 года назад
Nakuelewa sana
@safiakhamis6749
@safiakhamis6749 Год назад
Naipenda sana saut yako..........
@jamalmakishe4850
@jamalmakishe4850 Год назад
FOR REAL FOR REAL.....
@officialMsafeybrown
@officialMsafeybrown Год назад
Morally xan mzee babaa.. unatisha 💥💥💥✌️🇰🇪
@alimasssaidi5922
@alimasssaidi5922 2 года назад
Huyu mwanaa kanifunza kituu kabisa haya maisha bhanaa atari sana
@aldegondejanuary5228
@aldegondejanuary5228 Год назад
Mungu Ni mwema daaah 🥺 story yako inatia nguvuu
@sospetershija9239
@sospetershija9239 Год назад
Kwa tunaoishi Kahama wadau wa The Magic 101 tunamkubali huyu mwamba
@baenimuhimafabrice
@baenimuhimafabrice 2 года назад
Ndo maisha hiyo brother ila inabidi ku pambana sana
@clementbabuu4811
@clementbabuu4811 2 года назад
Profesa💪💪💪
@delekalxon7221
@delekalxon7221 2 года назад
Good things happens to those who hustle. All the best brother
@halimamis4236
@halimamis4236 2 года назад
True
@cyracyra384
@cyracyra384 2 года назад
Poaa
@cyracyra384
@cyracyra384 2 года назад
😃😃😃😃
@cyracyra384
@cyracyra384 2 года назад
@@halimamis4236 😃😃😃😃😃
@Reginaldpeter2
@Reginaldpeter2 Год назад
Well said
@mcjmcheshi
@mcjmcheshi 2 года назад
Daaaaah safi san
@babuunavaz9843
@babuunavaz9843 2 года назад
Huyu jamaa Kama stori yake ndo yangu ingawa bado cjatoboa but one day 🕞🕞 will tell
@nassereltiwany
@nassereltiwany 2 года назад
Keep Goin Man. You Can Do It. ✊🏼🔥
@babuunavaz9843
@babuunavaz9843 Год назад
@@alliymohamedalliy6524 one day yeeees 😂😂
@walterkjux7303
@walterkjux7303 Год назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👉
@samniza1763
@samniza1763 Год назад
Never give up.
@lgdnce8309
@lgdnce8309 Год назад
weka matumaini kwa MUNGU thn uweke bidii kwa kile unacho kitafuta na usitafuti bila kuwa na moyo wa ku jishusha kwa kila mutu mukubwa mudogo wote jishushe na heshima uweke thn utakuja utobowe soon
@djwilliams_
@djwilliams_ Год назад
Interesting Vibes #SaluteDjAllyB
@azathsimba-vb9zi
@azathsimba-vb9zi Год назад
Hongera Sana wewe ni Mwamba
@chrismill9495
@chrismill9495 2 года назад
Interview kali sana so inspirations ✊🏾
@marydeo8069
@marydeo8069 2 года назад
Daaaaah
@siphaeljoseph2156
@siphaeljoseph2156 2 года назад
bro i salute yu even i feel to cry chief,
@victordavidmmbaga8491
@victordavidmmbaga8491 Год назад
Ooo0
@BMT2023
@BMT2023 Год назад
Baba hyo kazi ya kukata miwa naijua ni noma sijawahi kujaribu kuna watu wanaitwa wasafa noma sana hao.
@heritier5119
@heritier5119 Год назад
Maisha mapito ni wakati wake wa kula bata
@abdillahkitwana5974
@abdillahkitwana5974 Год назад
jamaa nmependa anaongea ukwl na uhalisia na haji-act yan anaongea km human...I really love this story na ally B alivo tofaut na mastar wengne kiukwel..hana mbwembwe🫡
@emauf
@emauf Год назад
kuna kitu kuhus watu wa moshi na arusha yan, unique
@azizikidevu8404
@azizikidevu8404 Год назад
nikweli aseee ata mimi imenifanyaaa nilid kuitazamaaa motooo sanaaa
@aminmohammed4249
@aminmohammed4249 Год назад
Hapa ni miluzi ya instagram ndo imenileta😂
@sifatiiman
@sifatiiman Год назад
😁😁😁😁ata mimi ila napendaga vibe lake 😂😂 kuna moja ile aliweka december 1 alikua anasikiliza wimbo wa asake ile joha lilikua vibe la kwenda 😁😁
@amanimanase8798
@amanimanase8798 Год назад
Nishaapia kwa mungu nani lazima anisaidie kwakulitaja jina lake kupitia hii stori hii
@samiaibrahim6811
@samiaibrahim6811 Год назад
Sisi watoto wakimasikini tunapitiya chagamoto nyigi sana ila ipo siku tutatobowa 😭😭😭
@videozaaj1069
@videozaaj1069 Год назад
Jamaa ni mtu mzuri sana aseeee,Suala la kuwapa fedha wazazi wako ni wazi kuwa haitoshi kuelezea upendo wako kwao ila wakifurahi basi BARAKA ZAKO UTAZITAFTIA CHOMBO CHA KUBEBEA NA UTAKOSA
@mcjmcheshi
@mcjmcheshi 2 года назад
Huyu mymi kabisa story yake yangu kabisa
@mweusiasili8345
@mweusiasili8345 2 года назад
Kipind kizur sana. Bless Ally and Sky
@keizerkaundila8805
@keizerkaundila8805 2 года назад
Mshikaji kaongea point sana nimempenda napenda namm niwe DJ chuo chake kiko wapi
@ramlajuma1598
@ramlajuma1598 2 года назад
Maisha 🙌🙌🙌🙌😢
@tanzaniandj
@tanzaniandj 2 года назад
Brouh......we ndo una n in spire kwenye game nakukubl sana nimeamin hakuna kinacho shindikan ni juhudi tuuh
@monicahovda4524
@monicahovda4524 2 года назад
Umeona eeeh! Ukiwa Mwizi ndio umeharibu Mwelekeo wote wa Maisha, usiibee, utajiwekea, Mikosi na Migundu katika Maisha yako yoote, weee pambana tu Mungu anakuona unavyopambana basi kwa juhudi yako anakukea wepesi
@watchme5678
@watchme5678 2 года назад
Sky we ni mnoma
@ajalijuma7673
@ajalijuma7673 2 года назад
Nakubaaal
@ferouzmasoud3104
@ferouzmasoud3104 Год назад
Klcho nleta kukucklza ni ile mizuka yako ya miruz 😂😂😂
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 Год назад
Marufuku kukata tamaa wanangu tupigie Kaz aijalishi Kaz Gani piga pambana sna
@graphixmaster6146
@graphixmaster6146 Год назад
Started from the bottom now....
@afreecastzaxie
@afreecastzaxie 2 года назад
hahahaaa ulikua unakata gogo pale shoppers hahaha
@rashid1860
@rashid1860 Год назад
uyu jamaa n kama mm cz m mzaramu lkn nimezaliwa moshi na najihs n mchaga full maana sina itikad zakizaramu 😁 sema kilichobaki n kutoboa tu kimaisha
@sifatiiman
@sifatiiman Год назад
😁😁😁
@kiliboykilimanjaro377
@kiliboykilimanjaro377 2 года назад
Daah tpc mzee hom niwapi
@daudmasawe4459
@daudmasawe4459 Год назад
Da nimemuelew San huy mwamba
@muddyhamza9606
@muddyhamza9606 2 года назад
Daah imenigusa na nimejifunza kitu kupitia Wewe
@dayana5513story
@dayana5513story 2 года назад
UBinadamu kazi,na mtu yoyote mwenye roho mbaya awezi endelea kimaisha
@amosmartin3212
@amosmartin3212 2 года назад
Habari
@Mpakauseme
@Mpakauseme Год назад
Unajidanganya mwenyewe
@dayana5513story
@dayana5513story 2 года назад
Story yake ni kama yangu kabisaaa, nikirudi bongo nitakuchek
@fredybundala2336
@fredybundala2336 Год назад
Hi Dayana, Bado hajarudi? Tunasubiri story tujifunze
@twentyacresfarms3464
@twentyacresfarms3464 10 месяцев назад
Hi dayana bado hujarudi
@omaryntagala3740
@omaryntagala3740 2 года назад
Bonge la interview yani hizi ndo zenyewe bab
@jseventz
@jseventz Год назад
imekuaje ulipewa laki tatu halafu usipange geto lako? maana umesema ulivyotoka mwanza ulienda ukapiga cku ya kwanza ukapewa laki 3 halafu ukakubal kulala nje mzee kwa side?
@Pango-ul2pb
@Pango-ul2pb 2 года назад
Maisha nisafari yakupasa kijana kutokata tamaaa
@mrramadhanimsangi7073
@mrramadhanimsangi7073 Год назад
Asumaaaaaniiii
@pioustrevol3468
@pioustrevol3468 Год назад
Unahaki ya kufurahia Jasho lako Kila Weekend
@sidrasidra8616
@sidrasidra8616 Год назад
Sasa ww si unajitaftia shari kweli 🤣
@keizerkaundila8805
@keizerkaundila8805 2 года назад
Mwanaume kumsaidia mwanaume mwenzio ni jukumu lako
@ya_seer1929
@ya_seer1929 Год назад
kwanza kabisa mwamba ulipata baba mzuri sana jivunie
@barakaalec5162
@barakaalec5162 Год назад
Sana…
@shukurudenis7283
@shukurudenis7283 Год назад
Nasikiliza simulizi hadi machozi yananitoka
@highthemetv7857
@highthemetv7857 Год назад
Tabia za kike
@richardsaikong1138
@richardsaikong1138 2 года назад
SNS mnaupiga mwingi ....
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 года назад
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
@bainolatino3412
@bainolatino3412 Год назад
Broh uko country gani kaka
@nurudinmwakisale1509
@nurudinmwakisale1509 Год назад
Nime penda uja zarau wazazi
@Views-mf8ir
@Views-mf8ir 2 года назад
Home boy .. Nakumbuka haikuwa rahisi mzee ..!! Tuoshe vyombo mwanangu tukaendeshe vyatu vya matairi...!! 😄🤣
@mambamrisho1649
@mambamrisho1649 Год назад
Moja ya interview mbaya mnoooo
@sifatiiman
@sifatiiman Год назад
kafungue chaneli yako urushe interview nzuri
@safiyatheonlything7848
@safiyatheonlything7848 Год назад
roho mbaya watu wote wamekubali ww tu ndo useme mbaya
@chengeson
@chengeson 4 месяца назад
Akiliyako iko Sawa kweli
Далее
Yeni Özbək Mahnisi Yoxsa Vefali Reqsi? 😍
00:36
Просмотров 2,9 млн
DR CASMIR RICHARD DAKTARI BINGWA WA KINYWA NA MENO.
2:14
PISI MBUZI
9:00
Просмотров 956 тыс.
Yeni Özbək Mahnisi Yoxsa Vefali Reqsi? 😍
00:36
Просмотров 2,9 млн