Тёмный

HISANI YANGU IMENIPONZA MIE|AGHALABU SANA NYIMBO ZA ZAMANI KUFA|TUMIENI MANENO YENYE HEKMA 

Maximum Tv Online
Подписаться 444 тыс.
Просмотров 24 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

24 май 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 95   
@jarsjam8894
@jarsjam8894 2 года назад
Allah akuhidi. Jitahidi kurudi Kwa Allah
@fatmamohd8647
@fatmamohd8647 2 месяца назад
Nazipenda sana nyimbo zako Sabah zote ni nzuri mashaallah
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 2 года назад
Acheni kuimba watu wazima nyinyi wacheni tena tubiyeni tunataka kufa muda wowote
@azizaal-amri3577
@azizaal-amri3577 2 года назад
Kweli kabisa
@TheFire_Gamer
@TheFire_Gamer 2 года назад
Sio mnaonekana wahuni ila ngoma mungu hataki Bora usome mashairi tu
@nasmanasma8607
@nasmanasma8607 2 года назад
Kweli kabsa ila aza kwaz ww zidisha piy muombee mungu ili waache kuimba taarab
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 2 года назад
Aache kuimba haifaiii
@azizaal-amri3577
@azizaal-amri3577 2 года назад
@@nasmanasma8607 ajiombe yeye mwenyewe sio mtoto
@sakinaabdallah7713
@sakinaabdallah7713 Год назад
Heko maneno kunto ni ukweli iwapo anaona hapo kapata hajijui kua kapatikana ahsante dada sabah Salim kwa ubusara wako WE Always loving you♥️♥️♥️
@robertmwaniki4235
@robertmwaniki4235 8 месяцев назад
nafuraha kumsikia huyu superstar wangu nyimbo zake tamu sauti kabarikiwa Mungu amzidishie. Aso mtu ana mungu twaskiza hadi sasa. Mtaratibu swabaha she is very humble ❤❤. Live long dadangu swabaha❤❤🎉🎉🎉🎉🎉sauti yake tunayo huku kilifi twamskiza
@aishaissa2512
@aishaissa2512 2 года назад
Mlango wa mungu song hatari sana 🔥🔥❤️
@bintsalimalbimany287
@bintsalimalbimany287 2 года назад
Subhanallah Allah atuongoze waja wake yaan hapo ulipo unamshukur Allah kwa kukuinua kwenye music😭😭😭Allah akuongoze😭😭😭😭atuongoze na sote 🤲
@Awatee
@Awatee 2 года назад
Amiin Yarabby 🤲
@pilimusa3217
@pilimusa3217 2 года назад
Amiin
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 2 года назад
Angeacha mzikiii akarudi kwa Allah
@unknownafrica5568
@unknownafrica5568 2 года назад
Hajitambui
@saifarafa8728
@saifarafa8728 2 года назад
Bora huyu muimba taarabu tuna jua ni mziki wa kidunia kuliko wale wanaojiita waimmba qaswida. Kumbe waipo mduoara
@mamiyfeiy
@mamiyfeiy 2 года назад
Sikuhizi majimbo yote mitusi mitupu aibu hasaaa mimi hujiuliza wanoimba hawana familiaa majumbani chefuuuu
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx 2 года назад
Kweli unayosema mpk kinyaa
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 2 года назад
Mama mzuri huyu dah Masha Allah🌹
@anwarsaid9579
@anwarsaid9579 2 года назад
Kumbe ni mtu wa mombasa pia mashaAllah
@mmn7480
@mmn7480 2 года назад
Nampenda uyu mama anasauti nzur🥰💞❤️
@gojvon116
@gojvon116 2 года назад
dunia ina ghurur ewe mja wa Allah muislam sibora ukarudi kwa Molla wako mwana Adam hajijui lini ataondoka dunia hii inamwisho sibora ukatafuta kazi nyingine ya halal ukafanya kuliko kujipalilia moto , tahadhari usisahau kwamba iko siku utaondoka , anaekusifu ujue hakupendi lakini anaekuzindua ndio bora , wengi walikuepo leo hawapotena
@maryandason1815
@maryandason1815 2 года назад
Nampenda uyu Mama bureee kbsaa😍😍😍😍😍.uish miaka mingi mamyy kilichobak umuimbie MUNGU tu.sasa inatosha umeshaimba kufuruhisha dunia n watu .Sasa mtukuze MUNGU ktk uimbaj wako .imba sifa za MUNGU tu.nakupndaaa Mamy sabahaa
@SafiyaaaSofi-uy3nk
@SafiyaaaSofi-uy3nk 9 месяцев назад
sabahi umenifaya niliye hiyo nyimbo imenigusa mm Nina uchugu sana jinsi niloyapata lakiniiii mm namuachiya mugu diye at akaye nilipiga wala Sito msamehe malipo yapo hapa duniya I nionyeshe we kalba sijaodoka duniya bado nayaona megi ukouweza Moya wako na Subira. Kuwa nayo sanaaaa
@rukiauwonde7062
@rukiauwonde7062 2 года назад
Mweupe balaaa songi tam balaaa hisan yangu 🥰
@sharifahabsi5004
@sharifahabsi5004 2 года назад
Mashaallah nakupenda sana mama from oman🤗
@rashidsalim7078
@rashidsalim7078 Год назад
Mbona waongea km z'bar hivi❤ Nyimbo zake sio mwaka mmoja bl ni miyaka yote
@drsule-dw9sm
@drsule-dw9sm 2 месяца назад
Naip3nda nyimbo ya map3nzi hayana formula kwaukweli ile nyimbo imeimbwa
@swabahasaidi8590
@swabahasaidi8590 Год назад
Somo napenda saanaa nyimbo zako
@jarsjam8894
@jarsjam8894 2 года назад
Shetani hodari lkn jitahidi kupigana nae
@sasamama7934
@sasamama7934 2 года назад
Mashallah mashallah mashallah yani ninavo kupeda allah anajua usiwe na shaka mm nitakusaidia kiarabu I❤U aunty sabah🇴🇲🇴🇲🇴🇲
@leylahleylah4599
@leylahleylah4599 2 года назад
Voice 🔥🔥🔥🔥go garl💪💪
@munirachangawa2928
@munirachangawa2928 2 года назад
Mashallah tabarrakallah yani nyimbo yako imenigusa.
@alhabsi6430
@alhabsi6430 2 года назад
Jamani mbona kawa mweupe sana yarabi
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 2 года назад
Make up haijamkaa kawa mweupee sanaa too much kama mtu mweupee
@hamidaalhabsi8568
@hamidaalhabsi8568 2 года назад
100 %true mja hanawema mpanga mchanga wa kaburi maashallah nilifikiria Zungu anapiga tu Muscat Oman
@shamsamohammed6386
@shamsamohammed6386 11 месяцев назад
Mashahllah ❤Habibty
@SalimAbdallah-qe5tm
@SalimAbdallah-qe5tm Год назад
Mmungu akuepushe nasharizamahasid
@fatoomaaziz2549
@fatoomaaziz2549 2 года назад
Nampenda sana sana wallah allah azid kumtunza
@husseinnassir3372
@husseinnassir3372 Год назад
nilikijuwa siku zote huyu wa mombasa tanzania kaendea kazi tu
@zaramunir8238
@zaramunir8238 2 года назад
Nampenda I like her so much sauti yake amazing 🤩
@aminanuhu5022
@aminanuhu5022 Год назад
Napenda nyimbo zako sanaaa
@shamimhayat7637
@shamimhayat7637 2 года назад
Anaitwaje mzuri sana na maneno yake mazuri
@Queen-be1uf
@Queen-be1uf 2 года назад
Sabah muchacho. Aunty best
@gumatohuka6959
@gumatohuka6959 2 года назад
I like ur songs,,jua Mlango ya mungu ni Wazi ♥️😇🙏.
@maloomaalmnsj5111
@maloomaalmnsj5111 2 года назад
Sanaaa
@maloomaalmnsj5111
@maloomaalmnsj5111 2 года назад
Sanaaa
@gumatohuka6959
@gumatohuka6959 2 года назад
@@maloomaalmnsj5111 Ahsante saana ♥️💓. Even now 🙏 am.
@gumatohuka6959
@gumatohuka6959 2 года назад
Please 🙏♥️😇.,Naomba ,Mwenyenzi Mungu"Akubariki".:.🙏.Sina mengi.,Nataka tu U barikiwe;.🙏💓😇.
@gumatohuka6959
@gumatohuka6959 2 года назад
@@maloomaalmnsj5111 i need ur nr.Please.
@vero57
@vero57 2 года назад
Sauti mashallah 🎶👌👌👌
@mamiyfeiy
@mamiyfeiy 2 года назад
🇮🇹🇮🇹🇮🇹🇮🇹🇮🇹 pepea bendera ya ITaly ndani ya Tanzania maashaalla huyu sauti Kapewa na Allah ila pumzika mamaa umrii unakwendaa ila vijimbo vyake daaah vitamu🤣🤣🤣🤣
@biubwamohd6089
@biubwamohd6089 2 года назад
Tubu tena ukifa hapo unaimba nihasara
@jamilajamila4572
@jamilajamila4572 Год назад
Uyu mama mrembo hatar❤️❤️
@zaipazzi9490
@zaipazzi9490 2 года назад
Nampenda dada Sabaha mchacho
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 2 года назад
Ni kweli ukiwa na maisha duni ni wachache watakao kudhamini
@dawaninja1719
@dawaninja1719 Год назад
I love you songs ❤❤❤❤❤❤❤
@khadijaali4657
@khadijaali4657 2 года назад
Mashallah
@khadijabintmohammadbintmoh8026
@khadijabintmohammadbintmoh8026 2 года назад
Mashaallah
@aishachambo8663
@aishachambo8663 2 года назад
🔥🔥🔥❤️❤️
@vero57
@vero57 2 года назад
Mama mrembo sana
@halimaa9367
@halimaa9367 2 года назад
Kweli kabisa mama ukiwa duni
@aminaali792
@aminaali792 2 года назад
Masha’ALLAH she’s so pretty 🥰🥰Maximam tv munatumia jina gani kwenye ticktock please ❤
@sharongilbert4106
@sharongilbert4106 2 года назад
Maximum tv
@asmarajabu5786
@asmarajabu5786 2 года назад
🥰🥰🥰
@binthkhamisi1097
@binthkhamisi1097 2 года назад
Isani yangu
@maimunasalim6804
@maimunasalim6804 Год назад
❤❤
@cristinasofla5090
@cristinasofla5090 2 года назад
Apewe tuzo hiyu
@kessynurutajiri4940
@kessynurutajiri4940 2 года назад
Sabah Salum ww ushakuwa bi kizee. Acha kujichubua, umekuwa kituko kabisa, unatisha. Mbona rangi yako ilikuwa inapendeza tu bila kujichubua.
@furahayamoyo9193
@furahayamoyo9193 2 года назад
Umekosa cha kuongea hapa????
@safaaarafat-ob2vj
@safaaarafat-ob2vj Год назад
Hahahahhah ndugu kujichubua khaaa hata cream haijui tafuta helaaa ungareee nyoooo😂😂😂 umaskini unakusumbua ww et anajicream 😂
@AshaShaffih-ou8wq
@AshaShaffih-ou8wq Год назад
We lini ulimuona mweus huyo ????
@muzafarsharif9465
@muzafarsharif9465 2 года назад
watu wanapenda uarabu
@nooor1120
@nooor1120 2 года назад
Wewe unapenda nini?
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 2 года назад
wanapenda uarabu kwani huyo sabah muchacho yeye nani
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 2 года назад
Alhaji huyoo ukiona hivo pesa ya hijja ni ya haramu au tiketi ya kugaiwa
@suleimanbadru819
@suleimanbadru819 2 года назад
Hajat
@kiri5807
@kiri5807 2 года назад
Allah anajua zaidi . sio kazi yetu kupasisha matenfo ya watu .
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 2 года назад
@@kiri5807 Mhmm mwenye macho
@fatmazullu4933
@fatmazullu4933 2 года назад
@@kiri5807 yaanii
@kiri5807
@kiri5807 2 года назад
@@sabihaibrahim143 hao unaofikiria wewe pesa yao ya halali ni wepi ?
@mmn7480
@mmn7480 2 года назад
T unaboa sasa ndo nn yani malingo kiufupi ujui bora ungeacha2 ndonn unaongea uku unaangaria chini make ncheke😄😄😄😄
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 2 года назад
Cheupe poda kupodoka
@pilimusa3217
@pilimusa3217 2 года назад
Podo podooo
@leahsamson9354
@leahsamson9354 2 года назад
Nakupendaga bure mama
Далее
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Просмотров 6 млн
MZEE YUSUPH CHUPU CHUPU KUTOLEWA ROHO NA MREMBO
13:55
Просмотров 114 тыс.
Nikumbatiye/Seleleya by Rukia Ramadhan (new version)
12:42
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Просмотров 6 млн