nafuraha kumsikia huyu superstar wangu nyimbo zake tamu sauti kabarikiwa Mungu amzidishie. Aso mtu ana mungu twaskiza hadi sasa. Mtaratibu swabaha she is very humble ❤❤. Live long dadangu swabaha❤❤🎉🎉🎉🎉🎉sauti yake tunayo huku kilifi twamskiza
dunia ina ghurur ewe mja wa Allah muislam sibora ukarudi kwa Molla wako mwana Adam hajijui lini ataondoka dunia hii inamwisho sibora ukatafuta kazi nyingine ya halal ukafanya kuliko kujipalilia moto , tahadhari usisahau kwamba iko siku utaondoka , anaekusifu ujue hakupendi lakini anaekuzindua ndio bora , wengi walikuepo leo hawapotena
Nampenda uyu Mama bureee kbsaa😍😍😍😍😍.uish miaka mingi mamyy kilichobak umuimbie MUNGU tu.sasa inatosha umeshaimba kufuruhisha dunia n watu .Sasa mtukuze MUNGU ktk uimbaj wako .imba sifa za MUNGU tu.nakupndaaa Mamy sabahaa
sabahi umenifaya niliye hiyo nyimbo imenigusa mm Nina uchugu sana jinsi niloyapata lakiniiii mm namuachiya mugu diye at akaye nilipiga wala Sito msamehe malipo yapo hapa duniya I nionyeshe we kalba sijaodoka duniya bado nayaona megi ukouweza Moya wako na Subira. Kuwa nayo sanaaaa
🇮🇹🇮🇹🇮🇹🇮🇹🇮🇹 pepea bendera ya ITaly ndani ya Tanzania maashaalla huyu sauti Kapewa na Allah ila pumzika mamaa umrii unakwendaa ila vijimbo vyake daaah vitamu🤣🤣🤣🤣