Dang, Here in Vietnam, despite a fledgling economy, we are barely coughing up money to keep our trains running. Anyway, hope that this amazing project turns a success! Love from Vietnam!
Treni mchongoko inakimbia speed ya meno nje mkia juu mwendo wa ngiri. Pongezi kwa juhudi za Mheshimiwa Rais Dokta Samia na Wizara ya Uchukuzi. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee🇹🇿🇹🇿
Najaribu kuwaza hiki chuma,kifike kigoma,Mwanza, Arusha,Tanga,katavi,.Mbeya,. Kivuke na mipaka kiende Burundi,congo,Zambia,Malawi, Mocambique, Kenya,.inaweza kufungua uchumi kwanamna ya ajabu Sana
@@h.alshidhani8971 Ndio maana nimesema ndoto ya kila Mtanzania sababu wa Tanzania ndio ilikuwa ndoto yetu na sisi tuwe na treni ya muundo huu so kama wewe sio mtanzania hii sms haikuhusu.
Mwamba pumzika chato Jpm wetu Tanzania!kazi yako ni amazing kwa kweli.Tuna subili mama Samia na reli yake ya mtwara Ruvuma tuone itakavo kuwa kazi nzuri.big up serikali ya Tanzania.
Sio ndoto Tena Bali ni uwalisia wamaisha tunayoishi Sasa amka kijana wa kitanzania amaka Sasa ni wakati wakulipambania taifa letu tuwaungemkono viongozi wetu tusikubali kutumiwa na watu wenyenia ovu na taifa letu kazi nzuri Sana dr.samia mama mlezi mwenye hekima busara na upendo mwenyezi mungu akulinde na maadui kazi iendelee I Love Tanzania I Love Africa
Kama kipo cha kujivunia Tanzania basi treni hizi, Asante Kwa Kila mmoja aliyefanikisha mpaka kufikia hapa. Hakika nime enjoy kwa huduma na kuanzia Sasa Mimi ni mteja wenu, zaidi niwaombe muongeze usimamizi ili shirika lidumu.
Hii nayo ikianza kazi rasmi na ile iliotangulia jumlisha na zile za ghorofa lazima watuweke namba 2 au 3 kwa afrika nyuma ya morocco na south afrika sioni mwingine wa kukaa mbele yetu labda walete ubinafsi
Hadi raha jamani. Haya mambo mazuri sasa tuweke mikakati mradi uishi miaka mingi. Na tuendelee kukamilisha network ya reli nchi nzima. Tubadilike kimtazamo. Tunaweza. Kwa ukubwa wa Tanzania tunahitaji miradi ya International Airports karibia kila kanda. KIA iboreshwe pia . Wataalamu wanaweza kwenda kucopy best airport wakaleta hapa kwetu. Narudia kikubwa ni kutunza haya mazuri yaliyoanzishwa au kuboreshwa. Atayejaribu kuharibu au kufanya mbinu zozote za kudhoofisha utendaji kazi wa miundombinu hii serikali isimuache. Atakuwa anahujumu uchumi wa nchi yetu.
Unawazidi nini wasukuma we Fala, au umerithishwa chuki tuh, kwa taarifa yako hata hiyo SGR Ni idea ya hao hao unaowaambia wananuka, keep remaining on tribe lism comfort zone.
KADOGOSA UMEITHIHIRISHIA TANZANIA WAZALENDO WAPO. UMEINGIA KWENYE KUMBUKUMBU ZA TANZANIA. VIZAZI NA VIZAZI VITAKUMBUKA KAZI YAKO YA KIZALENDO ULIYOIFANYIA NCHI YAKO.
@josephmungai and your fellow doubters, if not haters, train uliyoita garbage, absolutely worthless, and runs at 40kms/h instead of the declared 160kms/h ndiyo hii. Kazi kwenu. It's either you keep on insulting the good thing we have, or shamefully appreciate and stop that unreasonable hate you have. Sisi ni majirani, si vibaya kusifia kizuri, and learn from your neighbor, rather than spreading lies due to your hate, ego, and ignorance of Tanzania's sgr project.
TRC hongera sana.Tatizo lipo sekta ya barabara ni majanga.Dar kwa mfano Kila siku ahadi za uongo tu barabara za mitaa mbovu hasa ilala maeneo ya pugu ,ulongoni,banguro mwembe kiboko ,kifuru,Kila siku utasikia mara zitajengwa na DMDP mara tanroad.mara mwezi wa sita,mara wasaba hakuna kinachoendelea.sijui wanasubiri mvua Tena. Duu!kazi kweli kweli.
Serekali iwe SERIOUSLY ili kukomesha Upumbavu wa kuharibu miundo mbinu juzi juzi tumesikia kuna watu walikuwa wanakata waya.... IWE SABABU YA KUWAKAMATA NA KUWAPOTEZA KABISA KWENYE JAMII NA KUWAFUNGA KIFUNGO KIREFU.... IWE FUNDISHO...AU KATA MIKONO.... HIZI NI KODI ZETU ZINATUREJEA....
hujawahi panda hata ile ingine ndo maana unsema hivyo. Kwa tuliopanda hatuezi sema hivyo maana spidi yake ni kama radi. Safiri nayo kwanza ndo upate cha kuongea sio kufuata mkumbo😅🤣
INCHI HAIWEZI KUJENGWA NA WATU WENYE FIKRA ZA KUANDAMANA BALI INAHITAJIKA WATU WATULIVU NA VIONGOZI WENYE MOYO UTHUBUTU NA HURUMA MAGUFULI ALIFIKIRI AKAANZA SAMIA ANAENDELEZA NA KUMALIZA
Hapo hamna kuiba diesel dereva apo ni kaukau, hongera serikali tunachotaka sasa ilete faida Kwa huo uwekezaji mkubwa ulio wekwa tumechoka kuambiwa kama shirika linajiendesha kwa hasara na wakiniendesha Kwa hasara mamaetu mpendwa piga chini wote,