Тёмный

HUU HAPA MCHONGOKO UKIKATA UPEPO KWENYE MAJARIBIO 

TRC RELI TV
Подписаться 79 тыс.
Просмотров 35 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

6 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 182   
@hieutrinhuc7077
@hieutrinhuc7077 16 дней назад
Dang, Here in Vietnam, despite a fledgling economy, we are barely coughing up money to keep our trains running. Anyway, hope that this amazing project turns a success! Love from Vietnam!
@FIFO28
@FIFO28 Месяц назад
Mungu ni mwema sana... tunaomba azidi kutubariki na kutupa maendeleo. Viva Magufuli Viva Samia
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema Месяц назад
Treni mchongoko inakimbia speed ya meno nje mkia juu mwendo wa ngiri. Pongezi kwa juhudi za Mheshimiwa Rais Dokta Samia na Wizara ya Uchukuzi. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee🇹🇿🇹🇿
@lazarombuze9776
@lazarombuze9776 29 дней назад
Najaribu kuwaza hiki chuma,kifike kigoma,Mwanza, Arusha,Tanga,katavi,.Mbeya,. Kivuke na mipaka kiende Burundi,congo,Zambia,Malawi, Mocambique, Kenya,.inaweza kufungua uchumi kwanamna ya ajabu Sana
@msafirisaimoni9561
@msafirisaimoni9561 Месяц назад
Magufuli oyeeeeee
@zuberinyenzi1982
@zuberinyenzi1982 Месяц назад
Oyeeeeee
@khamisswalehe
@khamisswalehe 29 дней назад
liati Allah asingemuuuwa
@benjaminpallangyo4545
@benjaminpallangyo4545 8 дней назад
Kwa kweli viva jpm
@K-go1qj
@K-go1qj 29 дней назад
Hongera Maghufuli bila yeye huu mradi usingekuwepo
@josephambrose2215
@josephambrose2215 28 дней назад
Apumzike Kwa amani JPM🇹🇿🙏🙏😭
@Sawa-z1o
@Sawa-z1o Месяц назад
And Tanzania will run 10 EMUs, oh God bless you! A miracle in broad light!
@abdulmango2461
@abdulmango2461 Месяц назад
Hatimae ndoto ya kila MTANZANIA imetimia.
@h.alshidhani8971
@h.alshidhani8971 10 дней назад
Kwanza kabisa badilisha jina lako... Usikufuru kujiita Abdul...... Halafu unakufuru
@abdulmango2461
@abdulmango2461 9 дней назад
@@h.alshidhani8971 Ndio maana nimesema ndoto ya kila Mtanzania sababu wa Tanzania ndio ilikuwa ndoto yetu na sisi tuwe na treni ya muundo huu so kama wewe sio mtanzania hii sms haikuhusu.
@alfinmbilinyi5985
@alfinmbilinyi5985 21 день назад
Mwamba pumzika chato Jpm wetu Tanzania!kazi yako ni amazing kwa kweli.Tuna subili mama Samia na reli yake ya mtwara Ruvuma tuone itakavo kuwa kazi nzuri.big up serikali ya Tanzania.
@yustomwaisomania2587
@yustomwaisomania2587 Месяц назад
RIP JPM 😭😭😭
@stanymccary7136
@stanymccary7136 Месяц назад
SGR mpo vizuri sana, mkifanya maendeleo kama Aya hakuna Mtanzania atakuwa na kinyongo na serikali
@allysimu6856
@allysimu6856 Месяц назад
Sio ndoto Tena Bali ni uwalisia wamaisha tunayoishi Sasa amka kijana wa kitanzania amaka Sasa ni wakati wakulipambania taifa letu tuwaungemkono viongozi wetu tusikubali kutumiwa na watu wenyenia ovu na taifa letu kazi nzuri Sana dr.samia mama mlezi mwenye hekima busara na upendo mwenyezi mungu akulinde na maadui kazi iendelee I Love Tanzania I Love Africa
@hassshoban8206
@hassshoban8206 Месяц назад
Ndoto ni kuunda wenyewe hayo matreni na miundombinu yake. 😊
@mhandomhina5503
@mhandomhina5503 Месяц назад
​@@hassshoban8206Kwa hiyo kabla ya kumiliki kibanda chako Cha kuishi unamaanisha utakijenga kwa mikono yako
@Sawa-z1o
@Sawa-z1o Месяц назад
Rip Magufuli, the immortal visionary, rest in peace.
@shabanibussara8454
@shabanibussara8454 Месяц назад
Nina faraja kuona vijana wenzangu waki operate mitambo na kupata ajira kwenye sekta nyeti na za kimkakati kama hizi. Kudos SERIKALI ya Tanzania
@SATZ-news
@SATZ-news Месяц назад
Wow!!! YANI HAPA SIFA ZIMWENDEE JPM VIIVA MAGUFULI WHATEVER YOU ARE WALISHINDWA WENGI MANENO MENGIII LKN MAENDELEO HAMNA😅
@kassimualli1755
@kassimualli1755 29 дней назад
Choko wew,unafirwa Sana
@SATZ-news
@SATZ-news 28 дней назад
@@kassimualli1755 wasenge wanalipenda sana tusi la kufirwa kwakuwa wanajua maumivu yake🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@aminasittusaid3830
@aminasittusaid3830 Месяц назад
VIVA/RIP - JPM💪😥❤❤❤ VIVA - Dr SAMIA💪🤝👏❤❤ VIVA - TRC💪🤝👏❤❤❤❤ VIVA - TZ🇹🇿💪🤝👏❤❤❤❤ VIVA - Tanzanians🇹🇿❤💃💃💃
@christophertanu1880
@christophertanu1880 Месяц назад
Huyo unamleta wapi,? Acheni ujinga kwenye uhalisia. Kazi ya JPM
@NESTORYMAGUTU
@NESTORYMAGUTU Месяц назад
Namtaka admin wa Kenya humu ndani👏👏👏
@Kim19onlinetv
@Kim19onlinetv Месяц назад
Thubutu wasije humu wataandamana
@user-ln4he3yp5l
@user-ln4he3yp5l Месяц назад
​@@Kim19onlinetvhahahahaaa
@ericadelard4730
@ericadelard4730 Месяц назад
ndo uyu mim apa
@emmanuelmasanja6040
@emmanuelmasanja6040 29 дней назад
Anaumwa😂😂😂anajisikia vibaya leo
@Shafikimanga7
@Shafikimanga7 Месяц назад
Kama kipo cha kujivunia Tanzania basi treni hizi, Asante Kwa Kila mmoja aliyefanikisha mpaka kufikia hapa. Hakika nime enjoy kwa huduma na kuanzia Sasa Mimi ni mteja wenu, zaidi niwaombe muongeze usimamizi ili shirika lidumu.
@Assu89Ma2ly-xt4np
@Assu89Ma2ly-xt4np Месяц назад
Hii nayo ikianza kazi rasmi na ile iliotangulia jumlisha na zile za ghorofa lazima watuweke namba 2 au 3 kwa afrika nyuma ya morocco na south afrika sioni mwingine wa kukaa mbele yetu labda walete ubinafsi
@mohamedihamisi292
@mohamedihamisi292 29 дней назад
Kumbuka mpaka Sasa hivi siye ndiyo tunaongoza kuwa na mtandao mrefu wa reli ya sgr Africa mzima
@omzedstationary932
@omzedstationary932 Месяц назад
VIVAA..TZ...VIVAAA!!
@user-fl3fb5gh6b
@user-fl3fb5gh6b Месяц назад
Rip jpm
@fredyjunior6961
@fredyjunior6961 Месяц назад
SWEET TANZANIA. HALAFU UTAKUTANA NA WAKUDA WANAPONDA
@leonehermenegild1809
@leonehermenegild1809 Месяц назад
Hongera sana TRC nimefurahishwa mno na maendeleo haya.
@emmanueligoro8708
@emmanueligoro8708 Месяц назад
Hadi raha jamani. Haya mambo mazuri sasa tuweke mikakati mradi uishi miaka mingi. Na tuendelee kukamilisha network ya reli nchi nzima. Tubadilike kimtazamo. Tunaweza. Kwa ukubwa wa Tanzania tunahitaji miradi ya International Airports karibia kila kanda. KIA iboreshwe pia . Wataalamu wanaweza kwenda kucopy best airport wakaleta hapa kwetu. Narudia kikubwa ni kutunza haya mazuri yaliyoanzishwa au kuboreshwa. Atayejaribu kuharibu au kufanya mbinu zozote za kudhoofisha utendaji kazi wa miundombinu hii serikali isimuache. Atakuwa anahujumu uchumi wa nchi yetu.
@zobakazizi7637
@zobakazizi7637 Месяц назад
Waliopinga mradi huu wasipande hiyo treni. Baada ya chadema kupinga miradi ya maendeleo..nilijua hatuna wapinzani.
@samorasilayo1268
@samorasilayo1268 Месяц назад
hongera jmp
@muhengamakunga
@muhengamakunga Месяц назад
Asante jpm
@chumamasunga8855
@chumamasunga8855 Месяц назад
Hebu fanyeni chapu chombo ianze kutoboa Mwanza
@penhe1
@penhe1 Месяц назад
Kuna maeneo bado yako asilimia 20
@chumamasunga8855
@chumamasunga8855 Месяц назад
@@penhe1 Dah! Ikiisha itakuwa poa Sana aisee, Dar faster unafanya mishe na kugeuka.
@stateofart1089
@stateofart1089 Месяц назад
Anzeni kuoga kwanza wasu KUMA nyie mnanuka kifala. Mnaiabisha nchi
@mwilathomas2382
@mwilathomas2382 Месяц назад
Unawazidi nini wasukuma we Fala, au umerithishwa chuki tuh, kwa taarifa yako hata hiyo SGR Ni idea ya hao hao unaowaambia wananuka, keep remaining on tribe lism comfort zone.
@aminata3702
@aminata3702 Месяц назад
Wasukuma ndo kila kitu kwenye hii nchi wew makalio
@paulhema5713
@paulhema5713 Месяц назад
Iko vzr...ngoja niweke ndoto nyingine....sijawah panda tren ...ila hii nitakuja panda tu.....kwa namna yeyote Ile ...❤😂
@James-sz4ec
@James-sz4ec Месяц назад
Hii kweli inamwaga moto c mchezo ningetamani sana magufuli na makamu wake wote washuhudie kazi kubwa walio ifanya
@twalibuabdallah5270
@twalibuabdallah5270 Месяц назад
Magu harudi tena , unatamani lisilowezekana, but makamu wake ndie katimiza sasa
@omaryngurangwa8241
@omaryngurangwa8241 Месяц назад
Hii mashine balaa. Hongera sana serikali yetu mwenye macho haambiwi tazama.
@samsonkiyumbi7244
@samsonkiyumbi7244 Месяц назад
KADOGOSA UMEITHIHIRISHIA TANZANIA WAZALENDO WAPO. UMEINGIA KWENYE KUMBUKUMBU ZA TANZANIA. VIZAZI NA VIZAZI VITAKUMBUKA KAZI YAKO YA KIZALENDO ULIYOIFANYIA NCHI YAKO.
@jamesnteleva7073
@jamesnteleva7073 Месяц назад
@josephmungai and your fellow doubters, if not haters, train uliyoita garbage, absolutely worthless, and runs at 40kms/h instead of the declared 160kms/h ndiyo hii. Kazi kwenu. It's either you keep on insulting the good thing we have, or shamefully appreciate and stop that unreasonable hate you have. Sisi ni majirani, si vibaya kusifia kizuri, and learn from your neighbor, rather than spreading lies due to your hate, ego, and ignorance of Tanzania's sgr project.
@TrinaRoman345
@TrinaRoman345 Месяц назад
VIVA TANZANIA 🇹🇿 VIVA SAMIA MITANO TENAAA💪💪🫶🫶👍
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 Месяц назад
❤❤❤❤ SIKU ZOTE MAMBO MAZUR HAYATAK HARAKA WALA KU KURUPUKA❤❤❤❤
@alfinmbilinyi5985
@alfinmbilinyi5985 Месяц назад
TRC hongera sana.Tatizo lipo sekta ya barabara ni majanga.Dar kwa mfano Kila siku ahadi za uongo tu barabara za mitaa mbovu hasa ilala maeneo ya pugu ,ulongoni,banguro mwembe kiboko ,kifuru,Kila siku utasikia mara zitajengwa na DMDP mara tanroad.mara mwezi wa sita,mara wasaba hakuna kinachoendelea.sijui wanasubiri mvua Tena. Duu!kazi kweli kweli.
@munarnkungu8654
@munarnkungu8654 Месяц назад
mbona hamzifuniki apo mbele wakati aivuti nyenzie funikeni inaleta muonekano mzuli ivi mnasomaga comment nyinyi au mpo 2
@athumaniamiri880
@athumaniamiri880 Месяц назад
Kweli wakifunika itaonekana vizur mchongoko utaonekana vizur
@michaelrweyemamu1068
@michaelrweyemamu1068 Месяц назад
Wonderful 🇹🇿
@markkayuni9775
@markkayuni9775 Месяц назад
kumamae chombo kwa hewa dom kama upepo🦅🦅🦅🦅
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 Месяц назад
Mimi na ndugu zangu tumefurahi sana.
@Ben_Safari_Tz
@Ben_Safari_Tz 18 дней назад
MAMA SAMIA OYEE!!! Sasa kinachofata METRO TRAIN ZA TOWN TRIP 🎉🎉 INSHALAH 2025 ✅
@modenasayi
@modenasayi Месяц назад
Funikeni hapo mbele nyie mtakubali kutembezwa uchi?
@froma3732
@froma3732 Месяц назад
Kuna wale watu wa kupinga kuwa tumepigwa vichwa sio tuliagiza sasa vimefika hapo munasemaje
@mopalmo5818
@mopalmo5818 Месяц назад
Funikeni hapo mbele basi TRC
@user-kw6zo8tt5g
@user-kw6zo8tt5g Месяц назад
Kazi nzuri inakata upepo ballaa
@penhe1
@penhe1 Месяц назад
Kuwe na uzalendo hadi kwa wahudumu ndani, yasijetokea ya MGR
@nth3512
@nth3512 Месяц назад
Valishen pua yake bana
@gideonmwanjila8616
@gideonmwanjila8616 Месяц назад
Mahali pake pa kupumua. Wataka ife? 😂😂😂😂😂
@williamssempoli2294
@williamssempoli2294 Месяц назад
Kazi nzuri!🎉🎉
@marcominja8850
@marcominja8850 Месяц назад
Mwendo wa ngiri mkia juu!
@sabinaluyego4408
@sabinaluyego4408 Месяц назад
MUNGU IBARIKI TANZANIA
@nicaswaziri
@nicaswaziri Месяц назад
Asante Mungu kwa baraka zako juu ya nchi yangu. Hakika ahadi za Mungu ni kweli tukimuomba yeye anajibu kwa wakati.
@allyhussein9024
@allyhussein9024 Месяц назад
Unyama mwing 🎉
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv Месяц назад
Serekali iwe SERIOUSLY ili kukomesha Upumbavu wa kuharibu miundo mbinu juzi juzi tumesikia kuna watu walikuwa wanakata waya.... IWE SABABU YA KUWAKAMATA NA KUWAPOTEZA KABISA KWENYE JAMII NA KUWAFUNGA KIFUNGO KIREFU.... IWE FUNDISHO...AU KATA MIKONO.... HIZI NI KODI ZETU ZINATUREJEA....
@mozesamizi931
@mozesamizi931 Месяц назад
Hii ngozi nyeusi ina laana nimepanda hiyo tren juzi, nimekuta wameanza kuchorachora na makapen hata mwezi bado!
@charlietz7125
@charlietz7125 Месяц назад
​​@@mozesamizi931hao ndo wabongo sasa,yani ustarabu bongo ni zerooo... ona gari za mwendokasi saiz hazifai zime chorwa chorwa kila kona!!
@agreykombe5396
@agreykombe5396 Месяц назад
Mchongoko unatembea kinoma
@mkude
@mkude Месяц назад
Hongera Mama SAmia Hongereni TRC
@mybrain8940
@mybrain8940 26 дней назад
Mungu, Tuma, Malika Mwingine, in Jesus name
@muhengamakunga
@muhengamakunga Месяц назад
hivi nikweri jpm haupo nasi tena
@pachamalota4455
@pachamalota4455 23 дня назад
Hii ndio yenyewe, sio ile ya diesel 😅😅
@elbaricktv1632
@elbaricktv1632 Месяц назад
Hii Sasa ndo mwendokas sio Ile nyingine yenye kichwa cha roli😂😂
@prosperitymaarifa3324
@prosperitymaarifa3324 Месяц назад
😂😂
@iathumani
@iathumani 29 дней назад
hujawahi panda hata ile ingine ndo maana unsema hivyo. Kwa tuliopanda hatuezi sema hivyo maana spidi yake ni kama radi. Safiri nayo kwanza ndo upate cha kuongea sio kufuata mkumbo😅🤣
@papaanel8160
@papaanel8160 8 дней назад
Wow!
@modenasayi
@modenasayi Месяц назад
Wow beautiful 😍
@kidsontemba1641
@kidsontemba1641 Месяц назад
HONGERA KADOGOSA ❤
@muhengamakunga
@muhengamakunga Месяц назад
mungu akulaze pema pepon jpm
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m Месяц назад
Hii ndo ina mbio hatari kushinda ile ya kwanza. Speed yake ni 160 km
@gabrielwence
@gabrielwence Месяц назад
Ya kwanza Speed yake ndio 160.. Ila sio mwisho wake. Wanahakikisha isizidi hapo. Lakini inauwezo mkubwa zaidi.
@gasparlubaga5866
@gasparlubaga5866 Месяц назад
Kwa namna hii hakuna atakae pinga maendeleo
@isdorchuvu6280
@isdorchuvu6280 29 дней назад
Ili dubwana linakimbia aisee !! Kama chopa !!
@gideonmwanjila8616
@gideonmwanjila8616 Месяц назад
Inatisha iyo
@Normaloutcast
@Normaloutcast Месяц назад
Raha sana
@kennedymnega1168
@kennedymnega1168 Месяц назад
Oya ilivyopita hapo 😂
@RichWise671
@RichWise671 Месяц назад
Ila #Tanzania🇹🇿🙌💝
@prudence_muta
@prudence_muta Месяц назад
Inatembea speed ngapi EMU
@user-nb6yh2bn9y
@user-nb6yh2bn9y Месяц назад
Duu afadhari maana nilijua ndoto itashia kwenye lile bichwa kubwa kama Buti 🙏🙏🙏
@mgenirajabu7601
@mgenirajabu7601 Месяц назад
ᗷOᑎᘜO "ᑎᗴᗯ YOᖇK" 🔥
@egdldm4981
@egdldm4981 10 дней назад
Mfuniko wa hapo mbele na nyuma kwenye maungio uwekwe sasa ili dhana ya mchongoko itimie.😮
@papiasdyausa176
@papiasdyausa176 Месяц назад
Yani mpaka miti inatingishika 😆😆
@danielmpaka
@danielmpaka 14 дней назад
The dreams of jpm
@fxmeddy9567
@fxmeddy9567 Месяц назад
Kama ni hivyo sawa,Tutawakubali.
@ernestsinje9700
@ernestsinje9700 Месяц назад
KUDADEKI kama Kishada mperampera mwanangu
@selemanshemhilu5271
@selemanshemhilu5271 28 дней назад
Hii Chuma Ina mwaga motoo 🔥
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 Месяц назад
Zibeni huo mdomo wa mbele ili ipendeze
@TwalibuAlbaamiryShoka
@TwalibuAlbaamiryShoka 14 дней назад
Chombo kipo kwenye majaribio mchongoko
@djwinnertz
@djwinnertz 29 дней назад
Daaah inakimbia sanaa yaani duuh
@Kim19onlinetv
@Kim19onlinetv Месяц назад
INCHI HAIWEZI KUJENGWA NA WATU WENYE FIKRA ZA KUANDAMANA BALI INAHITAJIKA WATU WATULIVU NA VIONGOZI WENYE MOYO UTHUBUTU NA HURUMA MAGUFULI ALIFIKIRI AKAANZA SAMIA ANAENDELEZA NA KUMALIZA
@soudmoshmnyika5813
@soudmoshmnyika5813 Месяц назад
The best comment ever , haya ndio mawazo changa sio kufikiria maandamano tuu, nikusema sana viongozi ni binadamu watasikia na fukanya
@abdallahomary515
@abdallahomary515 Месяц назад
Hapo hamna kuiba diesel dereva apo ni kaukau, hongera serikali tunachotaka sasa ilete faida Kwa huo uwekezaji mkubwa ulio wekwa tumechoka kuambiwa kama shirika linajiendesha kwa hasara na wakiniendesha Kwa hasara mamaetu mpendwa piga chini wote,
@muyongahassan2188
@muyongahassan2188 Месяц назад
Tieni rangi ya bendera ya Tanzania kidogo bal mbal
@yussbreezy918
@yussbreezy918 Месяц назад
Magufuli mfungua njia❤
@geofreymalekana8000
@geofreymalekana8000 Месяц назад
👏👏
@kinyikaog7267
@kinyikaog7267 Месяц назад
Magu for change 👏
@esajackjack3032
@esajackjack3032 27 дней назад
Izo zote ni juhudi za mpendwa magufuli apumzike salama alipo
@tevintevin6254
@tevintevin6254 26 дней назад
Rip Magufuliiii
@Kabwela776
@Kabwela776 Месяц назад
Mbona hapo mbele kwenye huo mchongoko hawajafunika kuna kama lichuma vipi ????
@TwalibuAlbaamiryShoka
@TwalibuAlbaamiryShoka Месяц назад
Hayo ni majaribio
@Abdumfaume
@Abdumfaume Месяц назад
Patafunikwa tu usijali.. hiyo ni testing tu..
@fxmeddy9567
@fxmeddy9567 Месяц назад
😂😂😂😂 wa tz tupo makini sana. Upo sawa kabisa hizo ni kodi za wananchi wanyonge
@papiasdyausa176
@papiasdyausa176 Месяц назад
Hapo tu hawajafunika, wakifunika itapaa
@Kabwela776
@Kabwela776 Месяц назад
@@papiasdyausa176 ilitakiwa wafunike haina muonekano mzuri au vifuniko wameshaiba
@onetwoem1808
@onetwoem1808 Месяц назад
Ni testing ndio na ndio maana funikeni hapo mbele ili kupata data zilizo sahihi. maana ya kupaacha wazi ni kwaajili ya kuvutana tu au?
@abdulyhassan3742
@abdulyhassan3742 13 дней назад
R.I.P magufuli
@mashashpastory7467
@mashashpastory7467 28 дней назад
Dah, JPM😢🕯️
@holcmanjiri
@holcmanjiri 29 дней назад
when does personal public transport start?
@AlonFrank
@AlonFrank Месяц назад
Ni kweli
@benardmanoli8325
@benardmanoli8325 Месяц назад
👋👋👋
@josephambrose2215
@josephambrose2215 28 дней назад
Pumzika Kwa Amani JPM🇹🇿🙏🙏😭😭
@mohamedleonard760
@mohamedleonard760 Месяц назад
risasi
Далее
Smart Sigma Kid #funny #sigma #memes
00:26
Просмотров 7 млн
MAENDELEO YA UJENZI MRADI WA DART AWAMU YA TATU
5:49
#SGR: TRENI YA UMEME TANZANIA   (Film)
23:56
Просмотров 1,5 тыс.