Тёмный

Huyu ndiye Prophet Lovy Longomba, mpwa wa Awilo, alinunua kanisa lake la Marekani kwa TZS Bilioni 22 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 75 тыс.
50% 1

Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
Subscribe kwenye channel yetu ya WhatsApp
whatsapp.com/channel/0029Va84...
Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti

Опубликовано:

 

5 дек 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 387   
@dorsandollah3384
@dorsandollah3384 6 месяцев назад
Mungu mm ni mwenye dhambi, nisaidie Mungu wangu 👐👐
@prestonkenyaofficial
@prestonkenyaofficial 7 месяцев назад
Dude has been nominated for Grammy as the best producer. LOVY IS BLESSED
@bonnyngowo7567
@bonnyngowo7567 7 месяцев назад
Njia za Mungu kamwe HAZICHUNGUZIKI.Do not comment negatively for something you do not know for sure😢😢
@kimah9855
@kimah9855 7 месяцев назад
Lovy na Christian tunajua😂😂😂❤️Sasa hana bro yake 😢It’s good to see Sasa ni mtu wa Mungu ❤❤❤
@johnjackson9665
@johnjackson9665 7 месяцев назад
Papaa Lovy my prophet since I saw you preaching in Tanzania on the night of wonder you are the wonderfully anointed Prophet gether with our Papaa Java, Iam now make a follow up on your page insta and you tube, I learn a lot the word of Lord Jesús through your preching
@clouartmichael7296
@clouartmichael7296 7 месяцев назад
Mwenye sikio na asikie ...Manabii wa uongo wamekuwapo Mathayo 24:24 na utawagundua kwa matendo yao mionekano yao Yakobo 2:26 ...ila tuwe makini na haya matamasha mnauzwa nafsi zenu mnaposhiriki madhabahu ya haw manabii ...
@ProphetRomly
@ProphetRomly 7 месяцев назад
Mungu asipowaokoa wewe waweza? Lini ushawahi waombea hao unaodhani wamepotea? Je, Ushawahi kufunga kumuombea mtu yeyote mbali na ndugu zako? Kama niliyoyasema jawabu ni hapana basi utubu na uanze kumtafuta Mungu Nawewe ukahubiri maana wote tumeagizwa kueneza habari Njema.
@clouartmichael7296
@clouartmichael7296 7 месяцев назад
@@ProphetRomly1 Wakorinto 14:33 Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko, bali wa amani; vile vile kama ilivyo katika makanisa yote ya watakatifu.
@evelinadodie9443
@evelinadodie9443 7 месяцев назад
Dunia iko mbali Mungu atupe macho ya kuona mbali
@MohammedMohammed-uo5sk
@MohammedMohammed-uo5sk 7 месяцев назад
Thank I've seen them performing live in Kenya at mombasa show grounds as curtains riser for Mr Nice #Fagilia bongo and that time Mr Nice ndio kusema but look now #Lovy Longombas God has lifted him up to better the world.
@MohammedMohammed-uo5sk
@MohammedMohammed-uo5sk 7 месяцев назад
Ok,Longombas two bro who had good vibes in their music chemistry but they work hard but Kenya was there base foundation.God is great
@mikkello3590
@mikkello3590 6 месяцев назад
All these servants of God have the same encounter that leads them to serve God. They all encounter Jesus one on one
@abelsimfukwe8404
@abelsimfukwe8404 7 месяцев назад
Yes pastor LOVY GOD BLESS YOU MORE THAN MORE
@MujuniKamugisha
@MujuniKamugisha 7 месяцев назад
Dunia hii maprophet kila kona watu wanadanganywa kwa sababu wamekosa maarifa Wakristo tafuteni sana kujua neno
@TabiaMwaisumo-ss7pz
@TabiaMwaisumo-ss7pz 7 месяцев назад
Tupe hilo neno tulijue lkn kama huna neno acha maneno luka 6:37 itakusaidia sana kuchunga kinywa chko
@francisprot5586
@francisprot5586 7 месяцев назад
Toa sababu na evidence, usiongee usivyo vijua. Be +ve
@Elllllllllllly
@Elllllllllllly 7 месяцев назад
Neno linasemaje??
@carolinederi5690
@carolinederi5690 7 месяцев назад
​@@TabiaMwaisumo-ss7pzZidi kusoma neno hyo verse moja haiezi kukisaidia coz hawa si watumishi wa Mungu wa kweli Yesu alichkiwa sana ukiona mtumishi yuapendwa jua ni wale kondoo ndan ya mbwamwitu
@MtazameKristoTv
@MtazameKristoTv 7 месяцев назад
Hallelujah 🙏 Men of God ❤❤❤
@Kelvinchristopher072
@Kelvinchristopher072 7 месяцев назад
Ivi na wewe mtangazaji unaamini kuwa hawa ni watumishi wa Mungu,ivi mnadhani mbinguni ni rahisi ivo kufika Mungu atusaidie sana😢😢
@florazacharia5982
@florazacharia5982 7 месяцев назад
Uwi we ndo hujui embu Kaa sikiliza mafundisho ya Prophet Lovy..afu muombe Mungu akuoneshe kweli yote. Mungu sio Mungu wa ma suti tu.. unawaza tattoo. Izo alichora kabla hajampokea Yesu. Ata waovu Yesu anawatafuta ukumbuke kesi ya Mtume Paul
@thescop1003
@thescop1003 7 месяцев назад
We nani alikuambia ni ngumu, mnajudge watu mionekano utafkili mlishaenda mkaongea na mungu mkarudi
@stainlesseducators699
@stainlesseducators699 7 месяцев назад
Acha uongo nani kakwambia ni ngumu? Mtu kwenda kwa baba yake ugumu upo wapi. Kama Mungu sio baba yako kweli itakuwa ngumu.
@viktamade
@viktamade 7 месяцев назад
​@@florazacharia5982 tattoo alichora muda sio mrefu wakati ameshaanzq huduma
@betty_900
@betty_900 7 месяцев назад
😂huezi elewa
@janenandi4095
@janenandi4095 7 месяцев назад
PROPHETIC Word FEARLESS Preacher UK 🇬🇧 IM IN AGREEMENT WITH YOU U PAPA LOVY : BLESSINGS ARE ONLY FROM GOD ; 👀 POA ; F FOREVER REMAIN BLESSED ; FOR THE MOUTH 👄 OF THE LORD HAS Spoken NO OTHERWISE ; IIM GLAD WE SPEAK 🗣️ SPEAK language AND FROM SAME COUNTRY ; I LOVE ❤️ KENYA 🇰🇪 KARIBU HOME 🏠🙏🏼❤️
@silviasaleh4667
@silviasaleh4667 7 месяцев назад
Lord have mercy, kanisa Lao nilagarama which it's not a lie but.....aprophet knows all his neighbors that's a good one.
@haruniaisha5905
@haruniaisha5905 7 месяцев назад
Utajiri na eshima viko kwa mungu 😍
@user-pq2vt8yz6p
@user-pq2vt8yz6p 6 месяцев назад
Wateule tuwe macho ni siku za mwisho,neno la Mungu linasema mtawatambua kwa matendo yao.Si kila mtu asemaye Bwana Bwana ataingia katika ufalme wa Mungu.
@dianafinnes3248
@dianafinnes3248 7 месяцев назад
I honour the Annointing on you ,Papa Lovy,GodBless you 🙏🏽
@clouartmichael7296
@clouartmichael7296 7 месяцев назад
Watoto wa Mungu jihadharini hizi ni nyakati za mwisho na kwa promotion zao huwa ni kubwa kwan Ibilisi hutumia nguvu ya media sana ila tusome Biblia ,Neno ni Kristo mwenyew Kwa Roho wake atawajulisha ukweli ..nuru na giza hazina hushitika 2 Wakorinto 6:14 ,1 Yohane 4:1 Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani. Leo hii imani ya rasta ya jamaica imaingia kwa manabii wa kanisani kwa kupotosha watu kwa kuibadili injili ya Kristo kwa kusema Samson alikuw na rasta wakati Samson alikuw na nywele ndefu na Mungu alitak kuonyesha utukufu wake pale kwenye nywele ya Samson...
@DavisMubake
@DavisMubake 7 месяцев назад
Niambie kwenye Biblia imeandikwa wapi mtu lazima akate nywele?
@CelestinMvungi
@CelestinMvungi 7 месяцев назад
Unampa ukubwa shetani kuliko Mungu. Don't you know that God work with those u don't even xpect
@clouartmichael7296
@clouartmichael7296 7 месяцев назад
@@DavisMubake mm sijasema habari ya kukata nywele ,rudia Tena kusoma vizuri ujumbe wa Mungu pia Mungu wetu sio machafuko kwa maana ya kubishana 1 Wakorinto 14:33 Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko, bali wa amani; vile vile kama ilivyo katika makanisa yote ya watakatifu.
@clouartmichael7296
@clouartmichael7296 7 месяцев назад
Baba wa Mbinguni Hana ushirika na miungu mingine Soma Neno hapo 1 Wakorinto 6:14...hata watumishi wake aliowaokoa huwatumia ktk utukufu wake Kwa Mavazi ndio maana anasema vaeni nguo za adabu ,hasa sasa Mitume,manabii,waalimu,wainjilisti ,wachungaji ,maaskofu, hawezi kuwatumia katika mionekano ya kidunia maan Yeye anasema mssifatishe namna ya Dunia hii Warumi 12:2 ,1 Petro 3:3 ,pia hata mionekano ya nywele Yakobo 2:16 Maana kama vile mwili pasipo roho umekufa, vivyo hivyo na imani pasipo matendo imekufa...hizi ni Nyakati za mwisho wapo wengi wanakuja hata watakaovaa heleni na wewe utakuja kusema Mungu anamtumia mtu yoyote yule ...upo sahihi lakini sio Kwa watumishi wake aliowateua kumhubiri maana Yeye mwenyewe anakataza wanaume kuwa na mionekano ya Wana wa Ulimwengu huu kuwa makini sana na Jitahidi kusoma Neno na Roho akuongoze maana tunaambiwa tuishi Kwa roho na sio kimwili
@CelestinMvungi
@CelestinMvungi 7 месяцев назад
Hujasikiliza mafundisho yao, ila umewahukumu kwa mavazi yao Yohan mbatizaji alivaa na kula kama chizi na watu wote walimwona hvyo je ingekua leo si ungesema dini imeingiliwa. Kuna nabii wa Mungu pia alihubiri uchi kwa miaka 3 je huyo pia hakutumwa na Mungu. Yesu alisema hata msipomwamini yeye basi aminini kazi zake watu wanapona na mapepo yanatii je hao hawaponyi watu, mapepo hayatoki. Utasema wanatumia nguvu za giza ila Yesu alijibu swali hilo akisema ufalme uliogawanyika je si utaanguka wenyewe. So stop pointing fingers by judging things of the spirit with your mind.
@stephenmwanzake
@stephenmwanzake 7 месяцев назад
❤Nampenda sana Pops. Jamaa amenyenyekea sana kutumiwa na Mungu, Jehovah ahimidiwe kwa hilo jambo. Maneno yananiishia, machozi ndo mengi, Ya furaha na kumshukuru Yeova
@adaboychibu1659
@adaboychibu1659 7 месяцев назад
😂😂pole sana
@sosbrayantbenjamin9701
@sosbrayantbenjamin9701 7 месяцев назад
​@@adaboychibu1659kwakwel mpe pole😂
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 7 месяцев назад
Unaota ndugu amka
@irakozesania1680
@irakozesania1680 7 месяцев назад
Mungu ni mukubwa
@joshuamuro9494
@joshuamuro9494 7 месяцев назад
Kafanana sana na AWILO MWENYEWE anzia kichwa mwili hadi sura
@kipleedy
@kipleedy 5 месяцев назад
Life is spiritual, kafara hutolewa... wachache sana wataelewa nilivyo sema.
@TheBossOdhis
@TheBossOdhis 7 месяцев назад
He is also a Kenyan Music Legend. Group yake na kake ilikua moto 🔥 sana miaka hio ya nyuma
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 7 месяцев назад
Sio wakenya hawana uhusiano na hiyo nchi isipokuwa wameishi Hawa jamaa ni wakongomani
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 7 месяцев назад
Ukisema ni wakenya basi baba yake awilo longomba naye ni mkenya
@TheBossOdhis
@TheBossOdhis 7 месяцев назад
@michaelthobias9967 wewe kwenda..he grew up in Kenya not Congo..you heard sky say ni Mkenya-Congo..Awilo ni mjomba wake..sio baba
@TheBossOdhis
@TheBossOdhis 7 месяцев назад
@michaelthobias9967 shida iko wapi...wameishi Kenya so he is a Kenyan Music Legend..
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 7 месяцев назад
​@@michaelthobias9967b4 ujibu kitu skiza kwa makini sawa hawa ni half kenyas half Congo
@martinjosephat4694
@martinjosephat4694 7 месяцев назад
Dah🎉🎉🎉🎉🎉
@contentprince9198
@contentprince9198 7 месяцев назад
Tutakuwepo sisi tuliobarikiwa n Mungu
@salvatoryngowi7233
@salvatoryngowi7233 7 месяцев назад
❤❤❤
@stevewanga957
@stevewanga957 7 месяцев назад
Yesu sura. Yake iko aje msanii ni msanii tu
@noelyjonsi9741
@noelyjonsi9741 7 месяцев назад
Kabisaa
@timetravellor5367
@timetravellor5367 7 месяцев назад
Duh ukristo umekuwa usanii na watu Wana sapoti
@veeJesus
@veeJesus 7 месяцев назад
Uezi kumtumikia Mungu kiukweli ukwel ukawa maskini. Hawa watumishi kama wewe ni mchanga kiroho unaangalia kwa macho ya nyama huwezi waelewa😊.
@raphaelkaswahili323
@raphaelkaswahili323 7 месяцев назад
Wewe ni mjinga kama wajinga wengine Paulo Petro Yohana mbona walikua maskini na walimtumikia Mungu kwa kiwango Cha juu zaidi na Bado wakabakia kua maskini why? Jitahidi kumjua Mungu Ili uyakwepe matapeli
@veeJesus
@veeJesus 7 месяцев назад
@@raphaelkaswahili323 we ndo mjinga wa mwisho lakin sio kosa lako. Kitabu cha matendo kinasema katika wale mitume hakuna aliekua na uhitaji maana yake nini wote walikua matajiri kwendraaaaaa uko kasome bible uko unataka watu wawe maskini ili nink kitokee akati Mungu tunaemwabudu ndo ameumba vitu vyote tena kwa ajili ya watoto wake. We vipi bwana
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 7 месяцев назад
Uwe tajiri? Ambae kuuona ufalme wa mbingu ni ngumu kuliko ngamia kupita kwenye tundu la sindano, huyo yesu hakuna sehemu unaona yeye au watumishi wake wanajihusianisha na utajiri wa kidunia ila nyinyi tu watumishi wa kichaga na kiha ndio lazma muwe matajiri , amkeni nyie watoa sadaka mnaowapa watu utajiri nyie mkiwa hoi mnapanda daladala na vikwapa vinawanuka
@veeJesus
@veeJesus 7 месяцев назад
@@fahadfaraj6474 weweeee tunakua matajiri kwa ajili ya Mungu. Tunakua matajiri kwa ajiri ya ufalme. Huezi kuhubiri injili bile fedha na nyie mnaosema utajiri ni dhambi wanafki wa kubwa kwa nini huwa mnaamka ahsubuh mnaenda kufanya kazi ili nini. Mungu alimtajirisha Abraham kwa nn afanye hivyo wakati ni dhambi. Abraham alikua tajiri mnoooooooo. Vipi kuhusu Solomon kaombwa hekima kajiziwa na utajiri juu yake. Vipi kuhusu Ayubu tajiriiiii haijawahi tokea na wako kwenye biblia na walimjua Mungu vibaya mno. Hiyo fikra ya kusema utajiri ni dhambi nikwambie tu ni ya kipepo ili uwe maskini na biblia inaandika hakuna kinyonge kitakachoingia kwenye ufalme wa Mungu. Kuna sehemu biblia inaandika Mimi ni Mungu nikupae nguvu za kupata UTAJIRI. MUNGU WETU NI TAJIRI NA WATOTO WAKE TUNATAKIWA KUWA KAMA BABA YETU SIO NYIE MNAJIFANYA WA KIROHO MKITOKA KUOMBA KANISANI MNAANZA KUOMBA LIFT ZA MAGARI. KUWA TAJIRI LAKINI UTAJIRI HUO NI KWA AJILI YA MUNGU. JENGA MAKANISA ENEZA INJILI TOA HELA YA MAKONGAMANO SAIDIA WAHITAJI NK
@Officialkeeler
@Officialkeeler 7 месяцев назад
Kweli Kabisa umeongea point sana kama shetani anatajirisha kwann MUNGU asitajirishe watumishi wake
@evemurugi3399
@evemurugi3399 7 месяцев назад
Wow we fallow each other tiktok and I didn't know he is a longomba
@queennambeye1236
@queennambeye1236 7 месяцев назад
Lovy Longomba Mkubwa Amewai Kuishi Tanzania
@HabilyTech
@HabilyTech 7 месяцев назад
Wahuni walioamua kujiita manabii
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 7 месяцев назад
✌️👍👊.
@chalokalunde9429
@chalokalunde9429 7 месяцев назад
Manabii wa upande wa pili,Sawa. Sio wa Yesu mnazareti.
@isamazatv.115
@isamazatv.115 7 месяцев назад
Hahahha this is too much kabisa izi church nimajabu kabisa 😂😂😂😂😂
@EllyFredy
@EllyFredy 7 месяцев назад
Mungu atusaidie nabii kavaa mpaka kipini 🙏🙏ee mungu shughulika na hawa watu wanaopoteza kondoo wako
@mjkazidi1265
@mjkazidi1265 7 месяцев назад
Umeshasoma Biblia Historia ya Sauli alivyo waua wakristo baadae akawa Paulo....Mungu anaweza kumtumia mtu yoyote wakati wowote...Wengii wanadanganywa na muonekano wa mtu.
@farijala1
@farijala1 7 месяцев назад
​@@mjkazidi1265 Unajua Mtazamo wa Hivyo Ndio unaopelekea Ulimwengu Kila kukicha Unaangamia. Mema Hayatendi kiriho TU HADI muonekanoq
@barakaduma4888
@barakaduma4888 7 месяцев назад
Koma
@user-mk2bq6io1e
@user-mk2bq6io1e 7 месяцев назад
Ehhhhh niatari Dunia
@AsmaAmeir
@AsmaAmeir 7 месяцев назад
Duh bas nami nikimuona yesu tayar nakuwa nabii
@fayverenah
@fayverenah 7 месяцев назад
Mbona watu mko bitter na prophet lovy😂😂muonekano wake unawauma mbaya😂kama mnataka kumsikiza sawa kama hutaki pita ukienda😂😂😂
@KhojaNasri
@KhojaNasri 7 месяцев назад
Nashukuru Mungu kuzaliwa muislam
@Nature-loverss
@Nature-loverss 7 месяцев назад
Pole sana
@user-mz3vu5jm5f
@user-mz3vu5jm5f 7 месяцев назад
Mwisho wa Dunia akuna. Mtumishi wa mungu apo
@YustoMlay-cv4zb
@YustoMlay-cv4zb 7 месяцев назад
Kabisa hao ni deval worshiper na uyo mwenyejiwao WA apa Tanzania
@Churchofecclesia
@Churchofecclesia 7 месяцев назад
Nyie wapuuz wote mliokoment BWANA NA AWASAMEHE
@akajoza4043
@akajoza4043 7 месяцев назад
Bwana yupi😂😂😂
@HansChuma
@HansChuma 7 месяцев назад
@@Churchofecclesia em naww amka acha kulala naww huyo bwana unaemuongelea angekuepo apo angekucha vibao
@wenawenawena3647
@wenawenawena3647 7 месяцев назад
Bwana which bwana where😂😂
@constanciapeter2497
@constanciapeter2497 7 месяцев назад
Welcome to TANZANIIA.. OUT Prophets we ❤❤❤uuu
@elcharismaticohommeromanti748
@elcharismaticohommeromanti748 7 месяцев назад
Akuna kipia apo, ila vipofu wa imani ndo wata a mini awo ma nabii wauongo
@danielyjarome9439
@danielyjarome9439 7 месяцев назад
Hongera kwakuwa wewe ni mtakatifu uliye kamilika mwenye uwezo wa hata ya kutoa kasoro za wengine ila nakushauri tuu muda unaotumia kukosoa watu utumie muda huo kuchunguza maisha yako ya kiroho je uko sahihi ??
@fayverenah
@fayverenah 7 месяцев назад
How i wish picha za kina paul john na peter wote waliotembea na yesu mkaona muonekano wao😂i think those guys were looking more funny thsn prophet lovy longomba😂😂
@michilita2959
@michilita2959 7 месяцев назад
Mmmmmmm jamani hela inatafutwa
@meshack3266
@meshack3266 7 месяцев назад
Bhanaa eee asiye amini asi Amin na anae Amin na amini
@Gabonfreeman
@Gabonfreeman 7 месяцев назад
God is my first one in my life
@bakarisaidi3022
@bakarisaidi3022 7 месяцев назад
Huyu hakumtoa broo wake kafara🤔Umaskini ni kitu kibaya sana lakini Mungu ndio anajua zaidi.Ukristo umekua biashara kubwa na biashara inayotajirisha rahisi sana,Muumini Maskini anazidi kua maakini na mchungaji anazidi kuwa Tajiri kisha anahubiri kua Tajiri itakua vigumu kuingia katika ufalme wa mbinguni na yeye ni Tajiri.
@rosebullens5155
@rosebullens5155 7 месяцев назад
Wawwwl wellbethere son of Godfromkenya
@adriandanford208
@adriandanford208 7 месяцев назад
Mungu ndiye anajua walio wake ,😂😂😂
@edchrisbeatz8976
@edchrisbeatz8976 7 месяцев назад
mungu akikuita ufanye kaz yake lazma akubadilishe kwanza sasa huwa wavaa vipini na kusuka sijui imekuwaje!!? 😢 so sad gyz bora kujisomea maandiko mwenyewe kuliko kusomewa haya ndo madhara na hawa ndo wanasababisha ukristo uonekane wa hovyo stupid😡
@shamimushittindi1418
@shamimushittindi1418 7 месяцев назад
Mavazi hayakupeleki popote dear
@luciasteven3314
@luciasteven3314 7 месяцев назад
Kitendo cha kubadrishwa tabia sio cha sku wala wiki wala mwezi aliemuokoa ndio atambadr siku had siku plz kua mpole
@MAMA_KIAN
@MAMA_KIAN 7 месяцев назад
❤❤❤❤
@KhadijaAbdallah-kn3ii
@KhadijaAbdallah-kn3ii 7 месяцев назад
Sadaka za bwana muhimu sana
@MAMA_KIAN
@MAMA_KIAN 7 месяцев назад
❤❤❤❤❤❤
@abdulrahmankafuku3449
@abdulrahmankafuku3449 7 месяцев назад
Maskini kondoo wa mungu wanazidi kupotea 😢😢😢😢
@Churchofecclesia
@Churchofecclesia 7 месяцев назад
Mmoja wapo n wewe usiejielewa
@Churchofecclesia
@Churchofecclesia 7 месяцев назад
Mmoja wapo n wewe usiejielewa
@abdulrahmankafuku3449
@abdulrahmankafuku3449 7 месяцев назад
@@Churchofecclesia Mathayo 24:24 Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule. Mathayo 24:25 Tazama, nimekwisha kuwaonya mbele. Mathayo 24:26 Basi wakiwaambia, Yuko jangwani, msitoke; yumo nyumbani, msisadiki. Mathayo 24:27 Kwa maana kama vile umeme utokavyo mashariki ukaonekana hata magharibi, hivyo ndivyo kutakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu.
@abdulrahmankafuku3449
@abdulrahmankafuku3449 7 месяцев назад
@@Churchofecclesia Soma brother usipoteee kwa kukosa maarifaa
@salmabinyaga2357
@salmabinyaga2357 7 месяцев назад
​@@Churchofecclesiawe ndo hujielewi kenge wee
@Odogwu9667
@Odogwu9667 7 месяцев назад
Bwana Yesu Asifiwe
@shebbythespyro5393
@shebbythespyro5393 7 месяцев назад
Ukristo una utatizo kweli
@MAMA_KIAN
@MAMA_KIAN 7 месяцев назад
❤❤❤❤❤
@issazalala4907
@issazalala4907 7 месяцев назад
Daaah watumishi full Rasta mix tatuu😂
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 7 месяцев назад
Prophet Tb Joshua japo ni Muslim ILa namsikiliz kila siku ndio namwamin
@jamaldeenmakenga
@jamaldeenmakenga 7 месяцев назад
Prophet Tb Joshua, A freemasonry agent!!! What are you talking about?
@leaherasto929
@leaherasto929 6 месяцев назад
Prophet Lovy anafundisha mafundisho mazuri sana
@jayspermlewa7425
@jayspermlewa7425 7 месяцев назад
Wacheza porn wanaweka vipin puani na wanamatatuuu na ww mchungaj unaweka sasa nn tofaut yake na hao wahuni damn it this is shame as Christianity😢
@danielyjarome9439
@danielyjarome9439 7 месяцев назад
wewe chunga maisha yako ya kiroho je uko sahihi ??????? na njia zako pia sije siku ya kiama ikafika wale ulioona wakosaji kumbe ndio wako sasa na wewe umejaa dhambi. Muombe MUNGU akusaidia kuishi maisha matakatifu sio kukosoa watu wengine.
@GeorgeChitemo-kt8sw
@GeorgeChitemo-kt8sw 7 месяцев назад
Msiiwa ite watumishi wa Mungu kwakuwa mnachafua Imani ya ukristo hawa waabudu shetani kabisa aslimia miamoja
@danielyjarome9439
@danielyjarome9439 7 месяцев назад
Hongera kwakuwa wewe ni mtakatifu uliye kamilika mwenye uwezo wa hata ya kutoa kasoro za wengine ila nakushauri tuu muda unaotumia kukosoa watu utumie muda huo kuchunguza maisha yako ya kiroho je uko sahihi ??
@cmoshi7014
@cmoshi7014 7 месяцев назад
WATU WANGU WANAANGAMIZWA KWA KUKOSA MAARIFA. 😭😭😭😭😭😭😭
@DannyScorp-zq1sp
@DannyScorp-zq1sp 7 месяцев назад
polee tunakuombea upate maarifa
@cmoshi7014
@cmoshi7014 6 месяцев назад
Nakuombea wewe umtafute Yesu mwenyewe maana anapatikana ili uione mbingu. Yesu Anarudi nyie shobokeeni tu sijui nabii, mtume tutawaacha. Mtafute Mungu peke yako. Ubarikiwe
@constanciapeter2497
@constanciapeter2497 7 месяцев назад
And u know KISWAHILI 😂😂❤❤🎉🎉🎉
@aderanderwa7623
@aderanderwa7623 7 месяцев назад
TUJIANDAYE YESU KRISTO ANARUDI TUJITAKASE KUMLIPA KILA MTU UJILA WAKE TUWE MACHO MUNGU ATUFUNGUE MACHO TUONE HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO YESU KRISTO ANARUDI WAPENDWA
@gildasnyaki3812
@gildasnyaki3812 7 месяцев назад
Lovy is the genuine Prophet of God.
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 7 месяцев назад
Ur dreaming wake up
@Churchofecclesia
@Churchofecclesia 7 месяцев назад
​@@KassimAlly-xp4dztulia ww hujui unachokiongea et ur dream stop foolishness
@minicooper9642
@minicooper9642 7 месяцев назад
@@Churchofecclesia sasa wewe kwa akili yako hao wanaweza kua mitume wa Mungu? Hebu acheni kumtania M.Mungu nyie jamani
@sammotv6920
@sammotv6920 7 месяцев назад
​@@Churchofecclesiahuna akili amkaa ulipolalar
@Churchofecclesia
@Churchofecclesia 7 месяцев назад
@@sammotv6920 wewe zako ndo uziamshe zakwetu zimeamka muda ndo maana tunasema cha ukweli, zako zimelala na zimetiwa giza kabisaa
@Mikael-xh4cp
@Mikael-xh4cp 7 месяцев назад
Hii ndio kitu inazidi kunidhihirishia kuwa europeans are very smart and will not tolerate such nonsense , vitu kama hivi havitokei huku because no one will tolerate everyone is busy hustling
@Dranka186
@Dranka186 7 месяцев назад
Kwa wenye akili 😮😮😮
@yusafbayu7016
@yusafbayu7016 7 месяцев назад
Alhamndulillah kuwa muislam mana haya mambo yaku nunuwa kanisa ikiwa yako na sikiaga tu kwa wenzetu 😢😢
@queenmollel6739
@queenmollel6739 7 месяцев назад
Hahahaa yaani, ila hayana maana Cha muhimu ni kumpenda Mungu , muda mwingine pesa inaruhusu kama huna utanunua nini
@prosperreuben1724
@prosperreuben1724 7 месяцев назад
Kwahiyo ile misikiti iliyopo kwenye masheli ni ya nani kama haimilikiwi na mtu binafs
@goddyffmarsacha259
@goddyffmarsacha259 7 месяцев назад
Uislamu is a false religion
@minicooper9642
@minicooper9642 7 месяцев назад
@@prosperreuben1724 huwezi kusikia hata siku moja msikiti ni wa mtu Misikiti yote ni ya M.Mungu
@minicooper9642
@minicooper9642 7 месяцев назад
@@goddyffmarsacha259 mtu mwenyewe hujielewi sasa utauelewa Uislam Haya tambeni na mitume wenu marasta 😂😂😂
@africa7479
@africa7479 7 месяцев назад
eee kanisa linanunuliwa ?
@adriandanford208
@adriandanford208 7 месяцев назад
Ukimwengu wa giza unapambana saana kuvuna nafsi za watu kuzipeleka kuzim
@francisprot5586
@francisprot5586 7 месяцев назад
Tunaomba na ya Java
@tatuaamuuinyi9633
@tatuaamuuinyi9633 7 месяцев назад
😅😅😂😂😂😂😂
@badymedia9648
@badymedia9648 7 месяцев назад
biashara ya dini inahela kumaanina ,ila kwa wakristo ,waislam hata ubweke mpaka utoke povu , utaondoka mishipa ikiuma mia mbovu hutoiona 😂😂😂
@janesuma-is4wc
@janesuma-is4wc 7 месяцев назад
Mtumishi kavaa kipini puuan ni jambo jema haya sawa sina lakusema zaidi only God can judge his servants
@mwami_the_don_
@mwami_the_don_ 7 месяцев назад
Tuwaombee kwa mungu hawa manabii wa uwongo kwakwer
@RojahKamalza-lw3ls
@RojahKamalza-lw3ls 7 месяцев назад
Mmeona hiyo pua lakin
@marthageorge5043
@marthageorge5043 7 месяцев назад
🙄🙄
@faridithomas4859
@faridithomas4859 7 месяцев назад
Wakristo bwana
@mbarouksattar5281
@mbarouksattar5281 7 месяцев назад
Lovy Longomba Senior Ni Kaka Yake Awilo Longomba,Alishawahi Kupigia Bendi Ya AFRISO.
@lujuomjanja2866
@lujuomjanja2866 7 месяцев назад
HAPO USA HAPO KUNA VITU VINGI SANA PALE........!!!
@Kabwela776
@Kabwela776 7 месяцев назад
Ukiwa mwongo ni rahisi kuwa tajiri njoo na uongo wako leo umetokewa na Yesu anzisha kabisa bas umasikini umeuaga
@Officialkeeler
@Officialkeeler 7 месяцев назад
Namuelewa sana huyu Jamaa
@fatumasalumu2869
@fatumasalumu2869 7 месяцев назад
Hakuna dini hapo
@muharamiesther5908
@muharamiesther5908 7 месяцев назад
Mwe Mwe Mweee🤔
@drsilo
@drsilo 7 месяцев назад
Ukiristo bn eti kanisa ni hali ndo inahusiana je na uunguu
@sayeedbinazan
@sayeedbinazan 7 месяцев назад
😂😂😂😂
@basiribonga689
@basiribonga689 7 месяцев назад
Kwamba kanisa lina police station? Sawa bana
@saidybhoky-lb7hg
@saidybhoky-lb7hg 7 месяцев назад
jamani kuweni makini hawa ndy wanasapoti ushoga
@mazulacelestine3038
@mazulacelestine3038 7 месяцев назад
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa,? Mathayo 24 inaongea mengi, lakini leo mafuriko na majanga ya asili tunaita mabadiliko tabia ya nchi, wakati ukweli Ni dalili za siku za mwisho, tunadanganywa ili tusimtafute kristo, changamkeni watu wa Mungu, Mwili wako Ni hekalu la Mungu, ya Nini kuvaa makolokolo? Ma tattoo yote Ni miungu,, Aya Bwana awaongoze njia njema: 1kor 6;19 miili Ni Mali ya Mungu
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 7 месяцев назад
Mambo magum aya
@haridimpelengana1246
@haridimpelengana1246 7 месяцев назад
Haya misukule nendeni kwenye usiku wa maajabu mkapandikiziwe chip za ushoga. Mungu si mwendawazimu
@goddyffmarsacha259
@goddyffmarsacha259 7 месяцев назад
Huyu sio mcongo, huyu ni Mkenya 100% The Longombas
@shamimushittindi1418
@shamimushittindi1418 7 месяцев назад
Congolese
@happnesskatandula4189
@happnesskatandula4189 7 месяцев назад
I was there yesterday airport nikiwapokea nitaman nimguse Prof anibariki
@lakhaly19
@lakhaly19 7 месяцев назад
Akubariki kwan yeye ni mungu?
@subirahowen124
@subirahowen124 7 месяцев назад
😂😂 kazi ipo
@Neema182
@Neema182 7 месяцев назад
WATU HUTOKEWA NA YESU FAKE PIA. (SHETANI HUJA KAMA MALAIKA WA NURU Mathayo 24:11 [11]Na manabii wengi wa uongo watatokea, na kudanganya wengi. 1 Yohana 4:1 [1]Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani. Mathayo 24:24 [24]Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule.
@YustoMlay-cv4zb
@YustoMlay-cv4zb 7 месяцев назад
Itabidi niende uislamu jamani daah
@user-uo8xw9kr4b
@user-uo8xw9kr4b 7 месяцев назад
Karibu bila shaka ALAH JALAH JALAL akuongoze.
@drsilo
@drsilo 7 месяцев назад
Karibu na utajua km ukristo hamna kitu hamna pasta atakaezungumzia hili..lakn ktk hamn mtu atakaeichezea DINI njoo ktk din ya haki
@joniajohn4716
@joniajohn4716 7 месяцев назад
Don't get lost Yesu ndie njia ya kweli na uzima , pasipo Yeye hakuna atakae mbona MUNGU alie hai. Leo kubali umpokee Yesu awe Bwana na mwokozi wa maisha yako ingali neema ipo. Nenda katika kanisa linalohubiri neno la kweli na uzima....sio miujiza miujiza pekee haiwezi kukujenga kiimani. Ufundishwe neno la Mungu vizuri ili uweze kukulia wokovu. Ukikomaa kiroho na kiimani kama Neno la Mungu linavyoagiza upepo wa UONGO wa ibilisi na agents wake wakiwemo manabii wa uongo hautakuyumbisha kwa sababu utakua umejengwa katika misingi imara. Ndugu usipotee muslims and christians don't worship the same God unfortunately. Yesu ndie njia ya KWELI NA UZIMA that's it.
@Sheba4651
@Sheba4651 7 месяцев назад
### Yusto karibu kwenye Uislamu, huku kwetu mtu haamki asubuhi akawa nabii ama mtume, kubwa atakua sheikh tu, atowe mawaidha aseme na kunukuu ya Mungu muumba.
Далее
Christian Longomba Funeral Service.
13:09
Просмотров 134 тыс.