Bwana sio mbaya safi sana mjanja fulani hivi:Ila Aisha awe na akili nyingi za kuishi naye huyu. Mchaga tena achunge sana .Nawapenda sana na couple yenu❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍🎉😅
Wavlana wa umri mmoja au akikuzidi kdg ni shida wanawake tucjidanganye. Hawa wenzetu hawachoki na hayo mambo. Ukiamua kuingia ingia 2 na ukubali lolote litalotokea!
Hakuna mapenzi apo mwisho wa siku ni kutoana machozi tu.uyu kijana kaja kwa kulelewa anaonekana baadae uyu mama atakuja kulia na kutoa machozi ya damu.
Kaulizwa kingine yeye anajbu kuhusu utoaji cjui huruma yan kuzunguka kwingiii ilimrad tu camera iendelee kummurika nyoko huyo anafurahia tu sembe la kufikiliwa