Тёмный

Jinsi ya kupika Chapati za kusukuma kwa Urahisi.... S01E10 

B's Magic Kitchen
Подписаться 56 тыс.
Просмотров 91 тыс.
50% 1

INGREDIENTS
Wheat Flour
Salt
2tbsp Olive Oil
Warm Water
Song: Usiniache
Artist:Dallarz
• Dallarz - Usiniache (o...
Instagram: / bmagickitchen

Опубликовано:

 

12 июл 2019

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 104   
@juditholoo3535
@juditholoo3535 12 дней назад
Lovely ❤
@AshirafuHashimu
@AshirafuHashimu 27 дней назад
Safi sana dada Mimi nilikua nakosea
@neymillions8500
@neymillions8500 3 года назад
Daaaaah nimeinjoy saaaaana...congrats
@MsBupe
@MsBupe 3 года назад
Asante sana na ninashukuru sana kwa support yako👏🏾
@damianochose3385
@damianochose3385 Месяц назад
Nimeipenda iyooo❤❤❤❤
@ahlamepimack741
@ahlamepimack741 3 года назад
Waooooo nzur kweli nakupendaaaaaa lovely sister Angu
@MsBupe
@MsBupe 3 года назад
Awwww!!! 🤗 Asante sana my dear na pia nakushukuru sana kwa suport yako🙏🏾❤
@azzaalhabsi1505
@azzaalhabsi1505 Год назад
Nimestafid. Nimejifunza na nimeprnda.asante dada
@redemptahndunge2171
@redemptahndunge2171 3 года назад
I love it
@MsBupe
@MsBupe 3 года назад
Thanx my dear, and thank you so much for your support👏🏾❤
@webbytjthomas9851
@webbytjthomas9851 5 лет назад
Nimefata maelekezo yako aisee zimekuwa laini na tamuuuu hatareeeee... big u B's Magic kitchen..
@MsBupe
@MsBupe 5 лет назад
Asante sana, endelea kuangalia Channel yangu kwa mapishi mengine.
@webbytjthomas9851
@webbytjthomas9851 5 лет назад
@@MsBupe sawa ntafanya hivyo..
@webbytjthomas9851
@webbytjthomas9851 5 лет назад
Next time fanya kebab na sambusa
@MsBupe
@MsBupe 5 лет назад
@@webbytjthomas9851 sawa nitajitahidi...
@maymbeyu5458
@maymbeyu5458 4 года назад
Nice one B's magic
@MsBupe
@MsBupe 4 года назад
Thank you so much, please don't forget to subscribe and click on the notification bell so that you're notified whenever i upload, also please follow me on insta @bmagickitchen for more interesting videos, thank you👏
@maymbeyu5458
@maymbeyu5458 4 года назад
It's okay...Thanks sanaaa
@monicaleonard6603
@monicaleonard6603 3 года назад
Nzuri love
@MsBupe
@MsBupe 3 года назад
Asante kipenzi na ninakushukuru kwa support yako dear👏🏾❤
@rosempelwa2521
@rosempelwa2521 4 года назад
Safii sana dear, kupika mbili mbili kumenikumbusha kwa mama tulikuwa tunapika mpaka nne nne...🤗
@MsBupe
@MsBupe 4 года назад
😂😂😂 hatutaki kabisa kupoteza muda. Asante kwa kuangalia, karibu uangalie na zingine. Naomba usubscribe na kubonyeza kengele pia naomba unifollow insta @bmagickitchen asante sana.
@adijaadija9923
@adijaadija9923 3 года назад
🥰🥰🥰🥰🥰🥰asant sana
@MsBupe
@MsBupe 3 года назад
Krb sana my dear na ninakushukuru na wewe kwa support yako👏🏾❤
@winfridamwigilwa2107
@winfridamwigilwa2107 3 года назад
Always you are the best. Thanks
@MsBupe
@MsBupe 3 года назад
Aaaawww!!!🤗🤗🤗 thanx babe and thank you again for your support🙏🏾❤
@scolananyaro9237
@scolananyaro9237 3 года назад
Mamajusi choir
@ireneandrew1621
@ireneandrew1621 4 года назад
B's magic upo vizur umetupa njia rahis ya kupika chapati.. much love, thanks 🤗
@MsBupe
@MsBupe 4 года назад
Asante sana, much love to you too❤
@najmaomar83
@najmaomar83 4 года назад
mashaaAllah really nice,and soft ukiangalia tu
@MsBupe
@MsBupe 4 года назад
Asante my dear👏❤
@najmaomar83
@najmaomar83 4 года назад
@@MsBupe karibu☺😊
@rachelmwambasa895
@rachelmwambasa895 5 лет назад
Nimependa sana maana nina shida kwenye kupata chapati laini,pia naomba utuwekee ya kupika chapati moja moja maana kuweka mbili hvo nachanganyikiwa
@MsBupe
@MsBupe 5 лет назад
Usijali mumy, nitaifanyia kazi haraka iwezekanavyo, naomba uendelee kuangalia Channel yangu kwa mapishi mengine zaidi.
@nadiasohrab23
@nadiasohrab23 3 года назад
Shukran sana Kwaku nii raisishia mapishi ya chapati ni nzuri sana na laini Ma Sha ALLAH naomba kwa jumla tuwe na usafi sana jikoni izo kucha kama wewe ni mpishi Kata izo kucha haipendezi na Nyele tuzifunge na kitambara.
@MsBupe
@MsBupe 3 года назад
Nashukuru my dear kwa support👏🏾 nimekuelewa mumy, karibu tena.
@meresianamuja7684
@meresianamuja7684 3 года назад
mbona mm nikipik chapat zinakuwa ngum nakosea wap
@MsBupe
@MsBupe 3 года назад
Fuatilia video halafu pika tena na tena mpaka uweze, asante kwa support yako🙏🏾❤
@hudamohamhed4897
@hudamohamhed4897 3 года назад
Dadangu nakupenda bure💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖endelea vivyo hivyo kunifundisheni
@MsBupe
@MsBupe 3 года назад
Asante sana my dear🙏🏾❤❤❤
@devotamutayoba9373
@devotamutayoba9373 Год назад
Nimeipenda hii recipe
@DogoMabrouk
@DogoMabrouk 2 месяца назад
Sasa shoga upishi huo na makucha ya kubandika vipi? Maana kawaida hygiene muhimu kwenye mapishi kawaida kucha zikiwa ndefu zinabeba uchafu, hoteli za kimataifa huruhusiwi kuwa na kucha ndefu, hio sio sawa kabisaaaa shoga yangu.
@mariamally2609
@mariamally2609 2 года назад
Nzuur
@magdalenajuma6229
@magdalenajuma6229 3 года назад
Nilijaribu kukufatili juz kwa utube jaman nilipika chapati nzur sijaamini Asante Sana
@MsBupe
@MsBupe 3 года назад
Asante na wewe sana kwa support yako🙏🏾❤
@ngundejkassim3252
@ngundejkassim3252 3 года назад
nice
@MsBupe
@MsBupe 3 года назад
Thank you🙏🏾
@aminasalamalekumamina6217
@aminasalamalekumamina6217 3 года назад
Salam alekum mm amina kutoka Kenya napenda mapishi yako mshallaah
@MsBupe
@MsBupe 3 года назад
Asante sana Amina, nimefurahi kujua kuna mtu kutoka Kenya anaenjoy mapishi yangu🤗 Nashukuru sana kwa support yako👏🏾❤😘
@WardaIbrahim-sz1fv
@WardaIbrahim-sz1fv Год назад
Tamu hizo mbona zangu katikati zinakywa ngumu shida ni nn
@gracemasolele3580
@gracemasolele3580 11 месяцев назад
Mbona mm zinakuwa ngumu kiasi kwamba ukipigiwa usoni lazma uvimbe😂
@severinaseverinanyoni707
@severinaseverinanyoni707 Год назад
😁😁😁😁😁😁😁😁😁et achaneni na ilo komwe la kwenye chapati yangu mm kesho napika likitoka komwe nakuambia😄😄😄
@maryamramadhan9454
@maryamramadhan9454 3 года назад
Daaa mapat uwanafeli kinoma
@MsBupe
@MsBupe 3 года назад
Pole, zidisha juhudi tu.
@mycojacksonlaban3799
@mycojacksonlaban3799 3 года назад
Asantee mdada kwa darasa mpaka mate yananitoka
@MsBupe
@MsBupe 3 года назад
Asante sana na wewe kwa support yako🙏🏾
@georgetavalentine4686
@georgetavalentine4686 4 года назад
U so good😍
@MsBupe
@MsBupe 4 года назад
Thank You👏❤
@mgenisaid6882
@mgenisaid6882 3 года назад
ningependa ukatupa na vipimo ili tuweze kufanya vizuri shukran kwa msaada wako
@georgetavalentine4686
@georgetavalentine4686 4 года назад
But next time uanze na moja moja then ndo uoneshe mbili kama hivyo au zaidi ili watu waelewe zaid
@MsBupe
@MsBupe 4 года назад
Ipo video ya moja moja dear angalia utaiona. Asante sana kwa support yako❤
@oscarkambaulaya8846
@oscarkambaulaya8846 Год назад
Hongera.! Sana.
@abdullahalmahrooqi8306
@abdullahalmahrooqi8306 3 года назад
Salam jaribu utuandikie vipimo halafu chapati zikiwa nene kama blanket ukila haja kubwa inakua tatizo bora nyembamba ndio international kila sehemu zinakubalika hasa zaidi kwa watoto halafu ifanye chapati iwe brown upande mmoja.
@nadyaabdallah4211
@nadyaabdallah4211 2 года назад
Axant kwa upixhi ili nimeon hapo komwe kweny chapat😂😂
@MsBupe
@MsBupe 2 года назад
😂😂😂 shosti weee, achana na hilo komwe kama speaker za Msondo. Nashukuru sana kwa support yako🙏🏾❤
@khdijaahmed8458
@khdijaahmed8458 4 года назад
Mafutaa yamotoo au
@MsBupe
@MsBupe 4 года назад
Vuguvugu my.
@fortunatatarimo2219
@fortunatatarimo2219 10 месяцев назад
Natamani kuona moto unaotumia
@dianafredrick8382
@dianafredrick8382 2 года назад
Mbona umepaka kucha rangi? zitakuwa na ubora tena? au hizo niza kuku?
@MsBupe
@MsBupe 2 года назад
Kupaka rangi kuna shida gani? Naomba unieleweshe. Na unaposema kama zitakuwa na ubora una maanisha nn? Rangi ndio inatoa ubora? Nashukuru kwa kuangalia na karibu tena🙏🏾
@naimamunishi1241
@naimamunishi1241 3 года назад
wow😘
@MsBupe
@MsBupe 3 года назад
🙏🏾❤
@winnifridagerald3367
@winnifridagerald3367 3 года назад
Dada nauliza mafuta uliyokandia yalikuwa ya baridi au uliyachemsha??
@MsBupe
@MsBupe 3 года назад
Ya uvuguvugu my.
@lulu24peter24
@lulu24peter24 Месяц назад
Yamoto
@eveimbusi5940
@eveimbusi5940 4 года назад
Umesahau sugar
@MsBupe
@MsBupe 4 года назад
Sijasahau my dear, mimi huwa siweki.
@derrickthedon91
@derrickthedon91 4 года назад
Kila siku nasahau.. Dada aiseee kupika chapati unatumia unga upi?
@shannonabubakar6160
@shannonabubakar6160 4 года назад
Derrick Thedon wa ngano
@derrickthedon91
@derrickthedon91 4 года назад
@@shannonabubakar6160 poapoa dada asante
@hadijasospeter9597
@hadijasospeter9597 3 года назад
Nice chapat
@MsBupe
@MsBupe 3 года назад
Thanx dear👏🏾❤
@blackamina395
@blackamina395 4 года назад
Maji ni ya moto ama, zangu baada ya kupika huwa ni ngumu nakosea wapi siz
@MsBupe
@MsBupe 4 года назад
Ya baridi my dear tumia.
@stephanieakoth99
@stephanieakoth99 3 года назад
Moto inafaa kuwa ya juu ama medium ama chini?
@MsBupe
@MsBupe 3 года назад
Medium ndugu yangu, nashukuru kwa support yako👏🏾
@vickyastery2034
@vickyastery2034 2 года назад
Ukianza frympen jikon unaweka na mafuta au bila mafuta na ukianza kupika unasubir had zibadilike rangi ndo upake mafuta
@lulu24peter24
@lulu24peter24 Месяц назад
Had ibadilije rng
@mapishimazuri9312
@mapishimazuri9312 4 года назад
Samahani Mafuta Yako Umeyachemsha Kwanza Au?
@MsBupe
@MsBupe 4 года назад
Hapana dear, naomba usubscribe na kubonyeza kengele pia naomba unifollow insta @bmagickitchen asante sana.
@mapishimazuri9312
@mapishimazuri9312 4 года назад
Sawa Asante
@franksaimon7069
@franksaimon7069 4 года назад
Ndio
@asenathnyanchera3545
@asenathnyanchera3545 3 года назад
Upishi mzuri ila mikuja yako hapana
@MsBupe
@MsBupe 3 года назад
Angalia tu mapishi ndugu yangu mengine hayakuhusu. Nashukuru sana kwa support yako dear🙏🏾❤
@asenathnyanchera3545
@asenathnyanchera3545 3 года назад
@@MsBupe mmmh naona umemind sana hadi umenijibu kwa pressure. My dia usafi ndio mambo yote u can cook well bt watu wasikule juu ya uchafu so it's just apiece of advice mapishi yako nakupa 👍👍
@MsBupe
@MsBupe 3 года назад
My dear wala mimi sio mtu wa kumind, inawezekana nimeidraft msg vby ila siwezi kumind. Isipokuwa nilikuwa nakwambia mm nafundisha kwenye RU-vid hkn anayekula chakula changu isipokuwa mimi mwenyewe na familia yangu kwa hiyo huna sababu ya kuwa na wasiwasi maana wanaokula hawana shida na wala hawajawahi kulalamika, asante tena kwa support yako🙏🏾❤
@dianafredrick8382
@dianafredrick8382 2 года назад
Chapati poa Ila hiyo mikucha dada yangu, imekukata max Siku nyigine uvae mifuko milaini iliyoruhusiwa,
@MsBupe
@MsBupe 2 года назад
My dear sijaelewa hii mikucha yangu inakusumbua nini? Chapati ni za nyumbani kwangu, nakula mwenyewe. Shida iko wapi mamaa?
@othmanchuma5802
@othmanchuma5802 3 года назад
Mafuta unaweka yamoto ya baridi
@MsBupe
@MsBupe 3 года назад
Ya vuguvugu, nashukuru sana kwa support yako🙏🏾
@aloycemasele7236
@aloycemasele7236 3 года назад
Ila wkt mwingne usipake Rangi mkono wa kulia
@MsBupe
@MsBupe 3 года назад
Kwa sababu gani?
@aloycemasele7236
@aloycemasele7236 3 года назад
@@MsBupe kama umesomea mapishi utakuwa unajua sababu
@aloycemasele7236
@aloycemasele7236 3 года назад
@@MsBupe tena hata wa kushoto usipake utakuwa mpishi safi na bora!
Далее
ШОКОЛАДКА МИСТЕРА БИСТА
00:44
Просмотров 1,2 млн
CHAPATI ZA KUCHAMBUKA/SOFT LAYERED PARATHA
8:41
Просмотров 362 тыс.
How to make soft/layered chapatis
16:00
Просмотров 1,4 млн
MAANDAZI YA NAZI
11:18
Просмотров 93 тыс.
Jinsi ya kupika Njegere.......S01E50
7:35
Просмотров 291 тыс.
CHAPATI TAMU,LAINI NA RAHISI SANA KUPIKA
5:32
Просмотров 1,1 млн