Thank you so much, please don't forget to subscribe and click on the notification bell so that you're notified whenever i upload, also please follow me on insta @bmagickitchen for more interesting videos, thank you👏
😂😂😂 hatutaki kabisa kupoteza muda. Asante kwa kuangalia, karibu uangalie na zingine. Naomba usubscribe na kubonyeza kengele pia naomba unifollow insta @bmagickitchen asante sana.
Shukran sana Kwaku nii raisishia mapishi ya chapati ni nzuri sana na laini Ma Sha ALLAH naomba kwa jumla tuwe na usafi sana jikoni izo kucha kama wewe ni mpishi Kata izo kucha haipendezi na Nyele tuzifunge na kitambara.
Sasa shoga upishi huo na makucha ya kubandika vipi? Maana kawaida hygiene muhimu kwenye mapishi kawaida kucha zikiwa ndefu zinabeba uchafu, hoteli za kimataifa huruhusiwi kuwa na kucha ndefu, hio sio sawa kabisaaaa shoga yangu.
Salam jaribu utuandikie vipimo halafu chapati zikiwa nene kama blanket ukila haja kubwa inakua tatizo bora nyembamba ndio international kila sehemu zinakubalika hasa zaidi kwa watoto halafu ifanye chapati iwe brown upande mmoja.
Kupaka rangi kuna shida gani? Naomba unieleweshe. Na unaposema kama zitakuwa na ubora una maanisha nn? Rangi ndio inatoa ubora? Nashukuru kwa kuangalia na karibu tena🙏🏾
@@MsBupe mmmh naona umemind sana hadi umenijibu kwa pressure. My dia usafi ndio mambo yote u can cook well bt watu wasikule juu ya uchafu so it's just apiece of advice mapishi yako nakupa 👍👍
My dear wala mimi sio mtu wa kumind, inawezekana nimeidraft msg vby ila siwezi kumind. Isipokuwa nilikuwa nakwambia mm nafundisha kwenye RU-vid hkn anayekula chakula changu isipokuwa mimi mwenyewe na familia yangu kwa hiyo huna sababu ya kuwa na wasiwasi maana wanaokula hawana shida na wala hawajawahi kulalamika, asante tena kwa support yako🙏🏾❤