Sheria Ngowi, you are one of the very humble, God-fearing, brilliant and excellent designer. You value your wife, your people, your nation and sports in a special way. Mungu azidi kukufanikisha zaidi
Sheria Asante kwa elimu ushauri na unyenyekevu pia uzalendo. Mungu azidi kukuonekania. Na assnte lwa muandaaji alievumbua madini haya nawe unaonyesha kipaji na uwezo wa kazi yako.Tunafurahi kuwaona watanzania mkituheshimisha.
Huyu Jamaa kweli ni mtu mwenye kipaji na ana Hekima kwasababu mambo yake hataki kujiinua Bali anamtanguliza Mungu na Watu waliomsaidia kumwinua. Barikiwa nawe muandaaji wa kipindi hiki.
Nimekubaliana zaidi ndugu sheria ngowi. Natamani siku Moja kuvaa suti aidha ilidizainiwa au kushonwa na wewe sheria ngowi. Ingawa kipato changu ni kidogo lakini nitaweza kugharamia suti ya laki 3 uliyoi-design mwenyewe. I yearn for that opportunity brother