Kila la heri kwao ingawa najua mataifa ya magharibi lazma yatatafuta propaganda wahakikishe wanawaondoa madarakani kama ilivyokuwa kwa Muamar Gaddafi, Thomas Sankala na wengineo. Muhimu ni waafrika tuungane tuwe kitu kimoja, kwnn tunaendelea kukubal kuw watumwa wa mabepari😢😮
ECOAS WATAKUJA KUJIONA NI MABWEGE PUNDETU. MANA VIJANA SASA TUNAITAKA AFRICAYETU NA MALIZETU. YANI HADI RAHA NIMEONA LEO KWENYE TIKTOK TRAOLE AKICHAKAZA NDINGA NA VIJANAWENZAKE. TUMEMPATA GADAFI NA PUTIN WA AFRICA.❤
@@jumakibwana1810 kumbe hoja kubwa ni ushoga sio kuibiwa mali.think big bro , ongeza shule ya siasa za DUNIA . Kunamahala umesikia kwamba urusi hakuna mashoga .hio ni pointless big .ongeza shule
Toka Usome Ama Toka Ujielewe Ulisha Sikia Ama kuwambiwa Taifa la Urusi Linanyonya Taifa lolote lile Hapa Dunian wacha Ujinga ndugu Yngu Russia Ndio Taifa La Kwanza Dunian Na China Yasio Nyonya Nchii Yoyote Isipokuwa Kufanya Biashara tu 😂😂 @Aksa-yk1dp
@@AliKaroyo unasema china ipi .waulze Zambia waulize Uganda kwenye kulipa maden wamefanywa nn ..kwenye airport zao .Leo mnamuina Russia kama ndugu yenu lkn kunasku mtarud kulia .sinamaana kua napenda tuendelee kua chini ya wa bepari sema njia sahh nikujitengemea ss wenyewe kuanzisha sarafu yetu .sasa brics inayopigiwa promo unazan itakuza u gum wetu au kuddmiza .njia sahh nikuungana waafra .njoo tz na Hela ya Burundi bank hawapokei ,Hela ya Kenya ikingia south hapokelew Hela Yako ukipeleka Ghana watakushangaa .alafu Leo mnakuja kuunga mkono Hela ya brics ambapo bado mtaendelea kuumia ndan ya bara la afrca .hio vta ni ya Russia na ulaya sisi tunajumuishwa kwasababu hatuna mising imara waliokuja nayo akina Gaddafi na mgabe akina kuruma waliotaka sarafu Moja ya afrka .nachukia kuona wa afrka bado tunaiman nahao watu weupe the only wants us for purpose