Arusha ina watu makini sana na sio wote ni wavuta bangi hongera sana kelvin umekuwa kioo kwa jamii jitaidi sasa kuelimisha jamii ibadilike taifa la Tanzania litambue kwamba arusha ina watu makini sanaaa na isiwe kama inavyoonekana sasa hongera sana mkuu wa mkoa poll makonda unafanya kazi nzuri sana katika mkoa wetu Mungu akulinde sana
Big up sana Bike Rider, nakupa ushauri tu hiyo Milioni 10 iwekeze yote kwa biashara ukiona inakusumbua weka fixed account ila usijenge nyumba maana itaisha halafu utakuwa umeizika yote chini badala ya mzunguko. Endelea kuzingatia kuendesha kwa usalama barabarani maana Taifa linawategemea Vijana katika michezo hii.
Huyu jamaa ni nomah mno, piki piki ilivyo mzingua kwa kuzima dk za mwisho nilihisi kuumia nikijua ndio kashapoteza Mungu saidia kabeba ubingwa. Big up expert